Wahubiri watoa msimamo wao kuhusu marufuku ya muguka Mombasa
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2024
- Baraza la Maimamu na wahubiri nchini CIPK linatarajiwa kutoa msimamo wake kuhusu shinikizo la kutaka miraa na muguka kupigwa marufuku kisiwani mombasa. Baadhi ya viongozi wamelalama kuwa matumizi ya muguka yanachangia utovu wa usalama na kuathiri sekta ya elimu huku vijana wakishindwa na majukumu yao ya kijamii.
Bismillah!! Malizeni pia madawa ya kulevya...
Hio haitawahi isha 😂
Safari kuu huanza na hatua moja mihadarati inapigwa vita dunia nzima lakini mirungi na muguka ni donda ndugu mara ni haramu mara makruu imechanganya watu tena inamsukumo wa kisheria na serikali kufikia hatua ukiambia mtu asilimu anakwambia ndio nile miraa juu inaleta picha walaji ni waislamu!
@@mohamednyuni2631 bado miraa na muguka itakuwa pwani, kama waisilamu hawaipendi basi wasitafune lakini wacheni watu wa dini, kabila, rangi etc zengine waendelee
Fungeni adi pombe maana mkifunga miraa na mgokah watarudi kwa pombe mtakuwa mumefanya kazi bure
Muguka kupigwa marufuku ni stori za jaba. Gbagajat lazima!!
Waambie tena
Nyinyi ndio mwaregesha watu nyuma
Labda uende kula meru
@@sammymugendi650kama mtakula huko meru then hakuna shida
Naomba sote tuwe kitu moja hatutaki mwanzo ni Haramu kidini🤲🌃
But pombe Iko expensive sio wengi watatumia
Young men who consume Muguka for some years runs mad, have done my research
Kwetu ni meru
Nawaunga mkono kabisa. Mirungi ni madawa ya kulevya kama madawa mengine tu, pigeni marufuku kama huku kwetu Tz🇹🇿
Kweli kabsa
Masha,ALLAH
Tuhakikishe migokaa na mirungi
Haifiki Mombasa
Hatari sana mbuzi watu😂
Me watching this nikiwa mogoka mbaya😅🌿
Watafuga but muguka lazma ichogwe,sasa ivi nachana kwa starehe zangu apa
@@JacksonMutinda-jw5qw kwani wanataka ikuliwe na Nani wengine🤣
Yes alhamdulillah ni ipigwe marufuku kabisa itolewe mombasa kabisa na takae shikwa nayo fine 200000
Umbwa
@@Kelvinmkandinali-df9dn😂😂acha matusi wewe. Kama huwezi toa hoja Yako nyamaza.
Hapa mombasa hatutaki mbuzi watu
Fungeni unga mwanzo do mkuje kwa mgkaa na miraa😂😂😂
Kitawaramba watu wa mombasa
Alahmulillah.mama zetu na wanetu na Allah awaepushe
Alahmulillah ndo nini?
I hope Mung'aro and other coast governors wanaona this good move
Mung'aro has done it
Bangi ni marufuku lakini... Ata polisi huvuta😂😂😂 tafakari haya
Bangi haina shida, tafakari pia au jielimishe zaidi.
Mungu amewapa bhangi miraa..munasema ni haramu...kisha mwaenda ulaya kuomba omba msada...kweli bibilia inasemae..watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Lakini afadhali watakula kwa kujificha.sio watakutana na mtu mpka kwa matatu anakuchafua roho mdomo umejaa kisha ankuongolesha
@@nuraabdulhakim5840 tru
Insha Allah Allah ajaalie iwe marufuku kabisa
Amiin thuma aamin 🤲
sawa kabisaaaa marufuku
It should be banned everywhere in kenya
Uliskia wapi
We hama tu kenya hii ufala huezi leta nai 😂
Yes.
Sasa awa wana semaji miraa to the world 🌎 inshallah 🤲
Mugukaa na madawa ya kulevya viangamizwe vote ,😊
I sulute and support funga yote kbsaaa
Mkimaliza hayo mambo ya mugukaa....bado jambo moja tuuuu....hiiizi ma tiktok pia muzitowe kenya tumechoka kuona VIFUAAA Vamadada zetu na MAKALIOOO,,watoto wakieslamu wamehazibikaa,,siokuwa twaangalia lakin twaona,,
Masha Allah good
MTU auzie hizo takataka kwa watoto wake
Kabisa
Kweli kabisa
Unajua takataka ni nn ww
@@BettyManyasa takataka ni hiyo miraa unatafuna ka mbuzi
101%
Mnafunga coz ni rahisi kufunga miraa coz ni local but wat about other drugs zinatoka abroad.😢
Tutadeal na ile tunaweza deal nayo vile inafaa
Mashalah mungu you mwema Mimi naomba ifugwe Kenya mzima maana dungu yangu asikii tukimkataza
Goodwork ,hope it will be stopped.
Alhamdulilah
Karibu garissa. Hapa pia Kuna shida kubwa kwa sababu ya miraa
Haiwezakani kwanza wapinge marufuku madawa yenye wao wanauza
Nobody forces anyone to chew, its your choice!. Muguka iendelee...
Ok. Nobody stops you from using, cocaine 🤔
Na cocaine na heroine...🤔🤔? Ama wanawapiga competition wauzaji wa cocaine 😅😅...hapa kuna kitu hatuelewi...miraa na cocaine ngani inafaa kupigwa marufuku 😅😅
Kwani wapi cocaine ni legal?
Kwani Cocaine ni legal ?!!! Hatutaki any kind of mihadarati Pwani
Hio ujinga ya miraa pelekeni bara kwenu sio coast boss
Everybody knows those are illegal ...
@@Blackmuslimtiger3025na unga .
Lets ban the lethal sustance altogether. Ama embu wakuze na wakule.
Im a resident in kwale county whereby you find teenagers also into this act....
Mugukaa is ruining life we don't want it
Mungu aumbe mti, mtu apige marufuku😂 funny
Yaani watu wanashida kutafuna majani usiku kucha.imekuwa chakula cha kila siku,simbadilishe diet jameni.
Wanatafuna hadi mate yanawadodoka mimdomoni.
Parents,elders , all religious leaders all opinions ,spiritual,elder and political leader from grassroots wards mca have failed to address this problems, make sure, miraa traders to pay a high revenue in daily collection and see same time hawkers licence to licensed and while the wholesalers are charged one million shillings annually traders licence ,
And not every dick and hurry can get access to sale , THAT'S ONLY WAY TO DEAL WITH, BANGI MIRAA ALL EVEN CLUBS TO BE REDUCED TOTALLY
Wameru wapike hiyo miraa na mogokaa wafanye mboga , we don't need that shit again in coast province,
Nyinyi mtakufa njaa by the way wameru ndo wamewashikilia
Wauze uko kwao
@@florencemuthoimuthoni5816 hapa the subject is mugoka and miraa , food products ata wasipoleta there is no way we shall suffer my friend, coz ata wao zitawaoezea shambani coz wana depend coast for their survival
@@florencemuthoimuthoni5816wameru wajishikilie wenyewe
@@florencemuthoimuthoni5816uzeni kwenu bara,uchafu wenu uzieni wabara wenzenu meru na Nairobi
Vijana wanapotea sababu the society is not designed for children and youth. Youth have been abandoned by family and government physically and mentally, socially, economically..in everyway. Madawa is just diversion from the hopelessness. Why dont we deal with the root of the problem?
Dawa yao gavana ongeza ushuru kila siku 100k
Uzuri kilifi sio mbali😂
InshaAllah mola awape nguvu viongozi Hatutaki mugokaa wala miraa Coast
Mombasa ndio depot kubwa wa magoka.
Mmejitambua hatimae Kenya. Tanzania ukikamatwa na mirungi jela inakuhusu.
Mutangoja xana muguka na marungi kupigwa marufuku c kwanza mupige bangi na pombe ndio tuone mumefanya jambo la maana miraa ni Gold yetu na bila hiyo kazi watoto hawasomi wala kula yatafakariini hayo
This maziwa lala Governor is involve with A class drug partner in Crime..SHAME ON THE Governor
N sawa kabisa
What about bangi, unga.
Judging from the comment section Kenya imejaa mambleina. Just mind your own business kama hutumii mihadarati. Na kama mtoto wako ameharibika usilaumu jaba.
Marufuku kabixa,ndugu zetu waskitisha kama wanyama xaxa,kutwa watafuna majani mpaka waboa😢
😂😂😂😂😂😂😂😂mbuzii
Kuna family zaidi 1million inalelewa na kusomeshwa kutokana na miraa,,waache ushezi
Congratulations to the clerics
Wameona biashara zao za cocaine zimeharibika kutokana na serikali kuwakabili wauzaji wanaanza kuleta story ya mugukaa😂
Evidence?can you justify your claim ama unaropoka tu
❤
@@husseinabdi657usishindane na wabara brother 😂😂😂wacha iondolewe alafu tuwapate wakikula waone kivumbi
Hatawasikitisha watoto wetu 😢
Heroin, coke and pills sales feed the rich.... muguka and weed sales feed the poor. We know how politics work. If you can't arrest the drug tycoons leave the small players alone.
Proper sanctions are needed here well done Coast we need this kind of accountability
Tumuombe Mungu atuongezee maarifa, sababu hata mkipiga marufuku muguka na hamjazingatia sababisho/ tatizo la msingi itakua bure au hali itakua mbaya zaidi sababu kutaibuka jambo au kitu kiingine.
Pray on the recitations of the rosary,, Jesus give us the weapon, for any one needs peace,, or overcome any evil pray rosary
IPIGWE MARUFUKU PIA HAPA NAIROBI, TUMESHINDWA KUMWAGA
Bangi, Madawa ya kulevya ni mingi sana Mombasa, pia the parenting is Mombasa especially for boys is very poor, boys are on their own, why dont we have the ssame problem in Meru where the trees are grown
KULENI NYINYI HUO UPUZI ...HATUTAKI KABISAAA
Haifai kuwa mombasa
Kwani mombasa sio kenya ama😂waswahili na miraa ni kama pua n upini😅lazima wakule miraa...
Bangi imewashnda itkuwa mgka na miraa? hzo n story za jba😂😅😂
Mimi na choga miraa na mogoka tangu miaka 18yrs siku za teenager leo niko miaka 60yrs Alhumdulilah na sina na marathi yoyote na na BIBI na wa toto..na bado na chonga
Tangu dawa za ulevia ime letewa mombasa shida kwa watoto wetu...Huyo Governor ni boss wa dawa ya ulevia sio miraa ni baya au mogoka
Kwanini huyo Governor haja sema kitu kuhusu dawa za ulevia ajili yeye awajua ma boss ni nani ya dawa wa ulevia na yeye ana pata hogo kwao
Na watu wa mlima wakikutana mnaongea ongea ovyo
tunawaunga mkono viongozi wetu mogoka miraa ipigwe marufuku kabisa
Sio Msa tuu isiingie Pwani kabisa kwa nini wapige marufuku Mnazi ambao hauna athari yoyote?
Kazi hamutupi na passport zenyewe mtu kupata na ni raia wa kenya ni kizaza Sasa mwataka tuwajibike vipi sisi kama vijana
Gwethe for life
Alxmuduliah Alxmuduliah
Wanatajiwa heroin wanalenga. Watu wa Mombasa wanaharibiwa na madawa zinazoletwa na hao viongozi tu. Miraa haiharibu akili ila heroin na cocaine
Wabara wanataka kumaliza pwani yetu wana uwevu na coast port wamechukua hakuna ata mkubwa mpwani huko mara tunalishwa mughukaa kwani lini pwani tutajihisi tuko wakenya tuwe na haki kama wengine tumetengwa sana wezetu mashamba tunawauzia ila mpwani hawezi uziwa mashamba bara lengo lenu nikutumaliza nakusema eti hatujasoma mara sekta fulani mcoast hawezi aki kusema kweli wabara wanatudharau sana ndio mana chuki haziisha tuheshimiane kama wakenya tusibaguane kazi kwa kila mkenya au kila kabila
Viongozi wameshindwa na kazi
Hii ndio ilikuwa ndoto yangu na naona mingu amejibu maombi
Unafiki ni mbaya. Hawa hawaongelei mambo ya madawa ingine kama heroin kwa miaka. Kwa nini muguka? Waseme tu ni pesa zaidi wanataka ili wafaindike.
Kashike kashike kashike
Marufuku haswa kenya miraa ina madhara makubwa
What about heroin cocaine and other hard drugs?
Miraa imenisaidia sana
Hii sio viongozi wa kidini. Viongozi wa kiislamu.
What about other drugs ?
Walajii mongoka na mirungi musimlaanii gavana wetu 😂😂😂😂 acha iwee ban Angalau watu Wafanye maendeleo kwa familia zao sio kujenga nyumba nakubomoa ukiwa wala ngokss
Muguka sio miraa hata hazilingani.
Basi apa meru tuko na mairungi kwa shamba tungekua chizi wote na rehab zingekua tere uku lkn nyinyi maraumu miraa bali watoto wenu wanachanga madawa na miraa mtu anatokwa wazimu
Kwanza gavana pia yeye hasimamishe shisha anavuta shisha hawezi komesha shisha coz hatakosana na joho pia
Fungeni kenya zima kama kweli mnajali vijana
Nahuku kwetu kwale hatutaki pia mugokaa, tupa kulee
Wapige marufuku kenya mzima. Wasee wanakaa kama mbuzi.... Majingjong,,,kunyaf,nyaf, nyaf
Madawa zinauswa mombasa bona azijatolewa chungeni sana
😂hatutaki watoto wetu wamekua wachafu hatawAsimitisha
Miraa mombasa mtakula kwanza malizeni unga miraa na muguka tunakula na haitwadhili na hawa viongosi wanajiita wa ndini ni wale wa mombasa sio Kenya hii ni kutenganisha kenya ni waongee waelewane sio kusimamisha.
The only way to stop muguka and miraa in the coastal region is not through county government or national government cause it will be turned into a political matter this is a social issue let our imams and pastors surmon the youth against the use of drugs parents should also take lead role on making sure the talk to their children not forgetting the NGO's based in the coastal region to start massive campaign and civic education am confident in less than 6 month the mugokaa and miraa traders will account huge loses and this business will vanish from our region but for this to happen we must have patient and trust the process this is the only way but relying on county government and national government it's a total waste of time.
The day the national government started fighting mnazi, I knew this will happen.
Lazima mugokaa iuzwe Kenya mzima waa Che upuzi kamamko serious malizeni cocaine kwaza
Nenda kaishi meru. Mbuzi binadamu
Nenda meru au bara
What is Muguka?
Wanadamu wanakula majani kama wanyama.inawasaidia na nini mwilini?
Kawaulize wana sayansi
Mmeru is typing……
Maliza madawa ya joho kwanza
Give them jobs first. Mogoka instead of alcohol. Thats what you should debate. Kila mtu ako na uraibu. Not minding your own business and lack of true empathy is equally detrimental even more than mogoka.
Hio migokaa na miraa ipigwe marufuku kabisa pwani
Kabisaa ni kama tu bangi😢
Why is the Governor so 🤔 😐 quite on issue of hard core A class drugs. .herion n cocain