MZEE MASATU: YANGA ANAANZIA KAJAMBA NANI CLUB BINGWA !!! | KISAYANSI SIMBA YUPO GROUP STAGE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 41

  • @mankamanka7415
    @mankamanka7415 3 месяца назад +2

    ❤❤❤Simba nguvu moja❤❤❤

  • @DavidChristino
    @DavidChristino 3 месяца назад +4

    Mzee masatu shikamo mzee wangu

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 месяца назад +9

    Yanga wanajifanya wakubwa kumbe wanaanzia hatua ya awali cku zote cmba atabakuwa cmba hawez kuwa paka japo wanafanana

  • @Amne_ggg6
    @Amne_ggg6 3 месяца назад

    Mzee Masatu nakukubali mno❤️❤️❤️

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +5

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 3 месяца назад

    Mzee Masatu unajua utani hora sana

  • @WilliamCharles-iq8ym
    @WilliamCharles-iq8ym 3 месяца назад

    ww mzee,Chawa Sana.Tunawasubili tr 8.

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 3 месяца назад

    Kweli matatu simba mzee si anachezea tu bakiza maneno mzee masatu

  • @gladnessmichael2459
    @gladnessmichael2459 3 месяца назад

    Unaota alinacha mzeeee unaongea kishabik poleeee sana

  • @RamadhanChembela-p9r
    @RamadhanChembela-p9r 3 месяца назад

    Kwenye kombe la luzaaa

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 3 месяца назад +2

    Mkubwa anaonekana sio mbaka muulizane

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 3 месяца назад

    Nyie watangazaji hao wasemaji Watu wazimà wapewe wazee wenzao.
    Muwakilishi wa Wanainchi yupo Mzee Mpili.
    Hebu mualiki akumbane NAO hao wanaokaa ktk nyumba za kupanga

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 3 месяца назад

    Simba atabak shilikisho, yanga ataanza awal kimataifa

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib 3 месяца назад

    Hapo ndipo mpokosea ongelea timu Yako lpo kwenye kundi lakike yanga lpo champion llgi

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 3 месяца назад

    Mbona huyu mtangazaji ni kama vile anavi nasaba vya Lomalisa fc? Kwani anajaribu kuwa tetea wachezaji wa Timu Lomalisa fc kuhusu umri wao

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 3 месяца назад

    Huyo masatu aombe sana kizazi chake kisafwate akili zake😢

    • @bone102
      @bone102 3 месяца назад

      Haya tuambie Kati ya Simba na Yanga nani mkubwa CAF tupe na ushaidi ili tuone wewe na huyo mzee nan watoto wake wasifuate akili zake

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 3 месяца назад

    Yanga ni ndogo hata wajaze mizee na Azam watapigwa kama Ngoma na hata wagosi wa kaya

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad 3 месяца назад

    Yani watu hawajuagi tu ila kiukweli hatua za awali huku Kuna faida sana mechi 4 hz unaingiza mbinu vizur tu za kufanya makundi yawe Bora kwako sema watu wao wanaona km ujinga lkn ni faida sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    WACHEZAJI WAZINGULIWE KWA ALBADIRI ATAKAE JARIBU KUWAROGA AFE TU

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 3 месяца назад

    Nikweli hatua ya awali ila sio luzer

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi 3 месяца назад

    Mzee masatu utatuharibia watabadilisha mganga hao

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 3 месяца назад

    Masatu uko levo gani?au shirikisho

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid4139 3 месяца назад

    kajamba nani utopolo

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 месяца назад

    Huyu mzee hua ndiye wakwanza kulalamika team ikianza kupoteza

  • @abdulomari4932
    @abdulomari4932 3 месяца назад

    Huyu mzee akili kisoda

  • @JenniferMjie
    @JenniferMjie 3 месяца назад

    Shabiki maandazi

  • @nasseraljahwri6310
    @nasseraljahwri6310 3 месяца назад

    😂😂😂
    KAJAMBA NANI

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 3 месяца назад

      Tusi kubwa hilo, Injinia anasikia na Gamondi.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 месяца назад

    Shirikisho 😂😂😂

  • @MauBonde
    @MauBonde 3 месяца назад

    Simba hata wakibebwa hawafiki popote kimataifa nakumbuka ligi ya mabingwa afrika walipitishwa hivyo hivyo lakini hata robo hawakifika zilikua mechi kadhaa robo nusu na fainali.

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Masatu makina magumu tunajaribu kuroga majina yanapotea Sasa safar hii cjui tutafanyaje

  • @DouglasBilishanga
    @DouglasBilishanga 3 месяца назад

    Wakati mwingine mambo mengine hata ukimpa mwehu anaweza kukupa jibu,Kolo ni mkubwa akiwa wapi? Huko lazima aonekane mkubwa yuko na nani huko,kweli timu iko kundi moja na Uhamiaji ya Zanzibar bado unatamba Masatu ni bado bikira huyo apelekwe jando

    • @nasseraljahwri6310
      @nasseraljahwri6310 3 месяца назад

      Hii msg sijui umeandikiwa?? Chukua SM yako bro, msimamo wa Caf ranking Simba WA ngp Vs Chura?? Ukiachana na shirikisho 😂😂

    • @Khalidniya380
      @Khalidniya380 3 месяца назад

      Simba kutofanya vizuri mwaka huu haimanishi kama Simba imekua mbovu hili ni jambo na msimu tuu

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 3 месяца назад

      Hata angekuwa club Bingwa asingeanzia Matopeni

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 3 месяца назад

    Mzee simba ni mkubwa aliyedumaa. Miaka mingi harefuki, robo unacheza mara ngapi?? Halafu maneno yenu ndio yanayowaroga. Sasa msimu unaanza na mmeshaingia kwenye mfumo wa kuiongelea yanga. Endeleeni mimi yangu macho na masikio.

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 3 месяца назад

      Vyura acheni Nongwa...SImba mkubwa Utopolo ni KAJAMBA NANI😅