Matangazo ya Dira ya Dunia TV
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
#Israel #Palestina #Gaza #Hamas #Rwanda #Tanzania #DiamondPlatnumz #FidQ #Trace #TraceAwards #Davido #Kazibure
Asante kwa habari nzuri na za uhakika
BBC NEWS kwa Kiswahili, mpo safi
Karibu sana E. Kazibure
Asante sana🙏🏾
Tunawapata vizuri Elizabeth kutoka same klm
😢 watazania tunateseka wengine wana lala wafanyakazi tunawafanyia Mungu yupo ipo siku atawaumbua kwe upe
Hiii imeenda.
Hongera Samia,watakuelewa tu,pambana,usiyumbishwe
habari leo tarrhe
Hongera sana mama. Waliyozoea kupiga wanajuta na kulia😊
Amani duniani twaomba
❤ Asante sana kwa habali nzuri
Elizabeth Kazibure 🎉🎉❤❤
Pole Kwa familia ya kijana Munguyupo atawalinda
Hongera dr samia watanzania hawana uzarendo akitokea anaeweza kipato cha taifa apewe uendeshaji
Hii Elizabeth kaz buree
Ww mama mungu anakuona
Tunaliombea Taifa letu Tz
Mungu awatie nguv wakati huu mgum
Mungu tunaomba Amani ya dunia
Ongera Rais wetu kipenzi Dr SSH
Allah akuongoze katika uongozi wako ipo siku watakuja kukuelewa ila watachelewa sana kumekucha
hauna afya ya akili
Kama ningekuwa na nguvu ningevunja un,Au Umoja na Falme za kiyarabu zote ni taasisi ambazo ni dhaifu haziwezi kuchukuwa hatuwa zidi ya nchi zenye nguvu
Kule putini ana kesi ICC huku netenyahu mtu mzuri kwao hata hiyo ICC ipo kwa kesi za watu wasiopendwa na marekani na uengereza
mawazo ya kipumbavu kuamini at kwamba waafrika watafanikiwa kwa kuwapa rasilimali zao wageni, haya ni mawazo ya kishenzi,ukoloni unarudi kwa kasi sana Afrika,rip Magufuli
Hamas ushidi
Tuu
Nina inami Mungu ndie khakimu wa Kila kitu
Dàaa inasikitisha sana
Naam waislam haki yetu iko kw Allah pekee
Yaumul hisaban yasira
Nyie acheni.hiyo.vita.mnaua.watu wasio.na.hatia.katika.hili.mlio
.Saint.vita.hii.damu.roho.za.watu.zinazopotea.mtadaiwa.mbele.za.mungu
Shida watanganyika ufahamu ni mdogo wanadanganyika
Mwingereza ndo chanzo
MUNGU ibariki israel
Mayahudi magaid Tena magaidi wakubwa Duniani
Allah pekee ndio atakaewanusuru
Na pia ndie mwenye kuhukumu
Tayari tumeliwa😢
Umeliwa wewe,Sisi tumeula,ni Uwekezaji wa nguvu kabisa.
Wamekufa waislamu wengi sana hao wawili watanzania ata hatuwatambui
Huu mkataba,bado ni kizungu mkuti.hamna kitu hapo,maana ya usili huo,ni alama ya ufisadi haswa.
Huyu mama nikibaraka wa warabu
Acha chuki Zaki Dini ww kenge ww mama kibaraka ume ona ww tu lkn safu nzima ya serekali ime lizia mkataba ww utakua nani kenge tu ww tupishe bwana nchi hii tulivu tulia
Kishauza kawa part of zionist 😅
Serikali hii haijawahi kuwa makini kwenye mkataba wowote bado ni utata mtupu ila nawashukuru wabaharakati wote waliopga kelele ila watanganyika msiiamini ccm na serikali yao tupambane bado sana
Watu 5000 wamekufa ila bado Hamas ndio wanaoitwa magaidi 😭😭😭 God bless Palestine 🇵🇸 😭😭😭🤲
Magaidi wapigwe Mbaka wasirudie Tena kuchokoza Taifa la Mungu
Na kila wanapopiga mabomu wanasema hamas alikuwa hapo wajinga kweli hawa zionist
Sikukubaliana nayo kabisaaa ila kila kitu kina mwisho wake subiria
Majanga. Rwanda tena?. Wamemtafuta Mungu mkuu uchokozi. Kazi kwao.
Mungu gani, mungu anauwa vitoto vyenye miezi saba 😬😭,yani atoe msahada afu mungu amuone kagame ni mbaya, Fucky you
Hamas should stop fainting Israel because only gaza people are affected 😢
Safi sana samia we wekeza akina mkapa wamewawekeza wazungu mpaka baadhi ya wald muhimbil tatzo wakrsto huwa wanawakebeh saana marais wenye majina ya ki islamu japo sio waislamu
Fikira bofu kabisa na sumu ya udini:
✍️ Uzalendo na dini yako ni vitu viwili, acha fikira bofu.
✍️ Je, ni mpaka wapigiwe kelele ndio wafanye marekebisho?
✍️ Hawakuwa na hizo akili za kurekebisha kabla kabla ya kukoselewa?
✍️ Je raisi akikosea na akikoselewa ndio unaanza kuangalia dini yake.
✍️ Tema hio sumu uliomeza!
Hao wanajeshi hawamwogope mungu wanawaua watoto wasio na makosa yoyote😅😅😅😅😅😅😅
Kwani rais
Wenu kuuza bandali hamuogopi mung
Mimi Nauliza Mpaka Leo Wapo Wapi Watetezi Wahaki Za Kibina Adamu Mpaka Leo Hiyi Au Ndio Minazihirisha Kuwa Waislamu Hawana Haki Hakiyao ipo Kwa Allah Tu 😭😭🤲🤲☝☝
1:52
Hivi jeshi la umoja wa mataifa linashindwaje kukomesha vita hiyo.
Mkataba huu wa DPW iko siku utawaliza watanganyika hakuna ukweli
Vita nihatal sana
😭😭😭👏👏👏
hunabaya mama dp world hata hapa Japan wapo Tena wapo vizur sana
❤❤
Hasad zimewajaa kufarii katika nyoyoo zao
Nyie ambao siyo kafiri muombeni Allah wenu Vita ikome
Lakini kwa nini amerudisha mikataba yenyi mfalme Magufuli alikataa?uyu mama ni kibaraka ya ma bebero.
Nyinyi wa bbc wakati wazalendo walibana kitshanga nyinyi bbc hamkusema lakini m23 imebana tena mumetangaza nyinyi vibaraka sana wenyi woga
Mwisho wa Vita ya Palestine na Gaza Ni GANI?
Waache waone tu juu ni upuzi arthi mumeukukuta na mutaoch
wamejipima amasi kikombe hicho wakinywee tuu kwakuwa walianza waho
Mkataba uwesiri kwanini !uwo usiri ndio unaficha ubaya wake usijurikane ? hatari kuwaficha kujua haki Yao
IPO SIKU NA NYINYI MTAPIGWA MPAKA MJUTE
Unaota wewe Israeli alikuwa nanguvu kutoka tumboni mwamamae na mungu alimubariki na mungu aliwekea agano kwake yakobo kwahyo kumpga siyo leo mtapigwa mpak mchanganyikiwe mnajifanya kilakitu mnajuwa mmeyakoroga muyanywe sasa
Mlisho mpoto aliwahi kusoma chuo gani. Cha usafirishaji au amemezeshwa mambo anakwenda kuongea mbele za watu wenye akili. anatuambia atupe elimu juu ya bandari nchi nchi hii viongozi wetu bado ni watumwa wa fikra magufuli alikua kiongozi wengine wote hakuna kitu
😂😂😂😂😂
Haya tusubiri tuone kweli ya mkataba huu.
Porono
Nataka kujua chanzo halisi ni kipi? Na angali Israel ilikuwa ni taifa la m/mungu
Kwa nini mikataba mingine imekuwa ya sili
ongrraaaaaaaa kagameee ww ndo raic
Huyo mtanzania chuo Cha kilimo kipo suwa morogoro mwana kulitafuta
😂
hizo ni propaganda tu za serikali. mama kaupiga mwingi hapo ameweka sain anajua atakayekuja hatanufaika na bandari miaka 30 sio mchezo
kagame kasome Bible,kitabu cha wafalme wa pili sura ya kwanza mstari wa kwanza hadi wa14)
Huna akili kwahy astoe msahada kisa huo mstari, anajua tabu ya Vita haswa ile ya kimbali mwaka 94 ,
BBC mlipeni Elizabeth, maisha yamepanda hakuna kazi ya bure
🇮🇱🇮🇱🤝🤝🇺🇦🇺🇦🇺🇲
À
Israel inatumia kanuni ya akuanzae MMALIZE.