Matangazo ya Dira ya Dunia TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
    #Israel #Palestina #Gaza #Hamas #Rwanda #Tanzania #DiamondPlatnumz #FidQ #Trace #TraceAwards #Davido #Kazibure

Комментарии • 92

  • @VenanceRoy61
    @VenanceRoy61 11 месяцев назад +3

    Asante kwa habari nzuri na za uhakika

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 11 месяцев назад +3

    BBC NEWS kwa Kiswahili, mpo safi

  • @MrDavidigobwa
    @MrDavidigobwa 11 месяцев назад +4

    Karibu sana E. Kazibure

  • @samuelngerwa5185
    @samuelngerwa5185 10 месяцев назад

    Tunawapata vizuri Elizabeth kutoka same klm

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 11 месяцев назад +5

    😢 watazania tunateseka wengine wana lala wafanyakazi tunawafanyia Mungu yupo ipo siku atawaumbua kwe upe

  • @morrismusembi139
    @morrismusembi139 11 месяцев назад

    Hiii imeenda.

  • @iddyjuma2263
    @iddyjuma2263 11 месяцев назад

    Hongera Samia,watakuelewa tu,pambana,usiyumbishwe

  • @JacksonMagira
    @JacksonMagira 11 месяцев назад

    habari leo tarrhe

  • @RahmaMfaume-x4x
    @RahmaMfaume-x4x 11 месяцев назад +2

    Hongera sana mama. Waliyozoea kupiga wanajuta na kulia😊

  • @PeterMolely.-yw2qi
    @PeterMolely.-yw2qi 10 месяцев назад +1

    Amani duniani twaomba

  • @KAMANGAFILMSPRODUCTION
    @KAMANGAFILMSPRODUCTION 11 месяцев назад

    ❤ Asante sana kwa habali nzuri

  • @ztvonline2523
    @ztvonline2523 11 месяцев назад +2

    Elizabeth Kazibure 🎉🎉❤❤

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 11 месяцев назад

    Pole Kwa familia ya kijana Munguyupo atawalinda

  • @mohameditoba
    @mohameditoba 11 месяцев назад

    Hongera dr samia watanzania hawana uzarendo akitokea anaeweza kipato cha taifa apewe uendeshaji

  • @Kennymagawa-cr3on
    @Kennymagawa-cr3on 11 месяцев назад

    Hii Elizabeth kaz buree

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 11 месяцев назад

    Ww mama mungu anakuona

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama 11 месяцев назад +2

    Tunaliombea Taifa letu Tz

  • @zakayomsele3543
    @zakayomsele3543 10 месяцев назад

    Mungu awatie nguv wakati huu mgum

  • @yokiequipmentsltd255
    @yokiequipmentsltd255 11 месяцев назад +3

    Mungu tunaomba Amani ya dunia

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 11 месяцев назад +2

    Ongera Rais wetu kipenzi Dr SSH
    Allah akuongoze katika uongozi wako ipo siku watakuja kukuelewa ila watachelewa sana kumekucha

    • @mussasaid284
      @mussasaid284 11 месяцев назад

      hauna afya ya akili

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 11 месяцев назад

      Kama ningekuwa na nguvu ningevunja un,Au Umoja na Falme za kiyarabu zote ni taasisi ambazo ni dhaifu haziwezi kuchukuwa hatuwa zidi ya nchi zenye nguvu

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 11 месяцев назад

      Kule putini ana kesi ICC huku netenyahu mtu mzuri kwao hata hiyo ICC ipo kwa kesi za watu wasiopendwa na marekani na uengereza

  • @mussasaid284
    @mussasaid284 11 месяцев назад +5

    mawazo ya kipumbavu kuamini at kwamba waafrika watafanikiwa kwa kuwapa rasilimali zao wageni, haya ni mawazo ya kishenzi,ukoloni unarudi kwa kasi sana Afrika,rip Magufuli

  • @omaryChima-oe2py
    @omaryChima-oe2py 10 месяцев назад

    Hamas ushidi
    Tuu

  • @scoutpwanimchangani6711
    @scoutpwanimchangani6711 11 месяцев назад +3

    Nina inami Mungu ndie khakimu wa Kila kitu

  • @IevoRungurungu
    @IevoRungurungu 11 месяцев назад

    Dàaa inasikitisha sana

  • @jokhasalim9670
    @jokhasalim9670 11 месяцев назад

    Naam waislam haki yetu iko kw Allah pekee
    Yaumul hisaban yasira

  • @AnnaSanga-bs7pl
    @AnnaSanga-bs7pl 11 месяцев назад

    Nyie acheni.hiyo.vita.mnaua.watu wasio.na.hatia.katika.hili.mlio
    .Saint.vita.hii.damu.roho.za.watu.zinazopotea.mtadaiwa.mbele.za.mungu

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 11 месяцев назад +2

    Shida watanganyika ufahamu ni mdogo wanadanganyika

  • @MfaumeChande-f6p
    @MfaumeChande-f6p 11 месяцев назад

    Mwingereza ndo chanzo

  • @ShabanOumar
    @ShabanOumar 10 месяцев назад

    MUNGU ibariki israel

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 11 месяцев назад +1

    Mayahudi magaid Tena magaidi wakubwa Duniani

  • @jokhasalim9670
    @jokhasalim9670 11 месяцев назад

    Allah pekee ndio atakaewanusuru
    Na pia ndie mwenye kuhukumu

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 11 месяцев назад +3

    Tayari tumeliwa😢

    • @iddyjuma2263
      @iddyjuma2263 11 месяцев назад +1

      Umeliwa wewe,Sisi tumeula,ni Uwekezaji wa nguvu kabisa.

  • @SwabriSaid
    @SwabriSaid 11 месяцев назад

    Wamekufa waislamu wengi sana hao wawili watanzania ata hatuwatambui

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 11 месяцев назад +3

    Huu mkataba,bado ni kizungu mkuti.hamna kitu hapo,maana ya usili huo,ni alama ya ufisadi haswa.

  • @methodmkongwa6248
    @methodmkongwa6248 11 месяцев назад +3

    Huyu mama nikibaraka wa warabu

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 11 месяцев назад +1

      Acha chuki Zaki Dini ww kenge ww mama kibaraka ume ona ww tu lkn safu nzima ya serekali ime lizia mkataba ww utakua nani kenge tu ww tupishe bwana nchi hii tulivu tulia

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 11 месяцев назад

      Kishauza kawa part of zionist 😅

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 11 месяцев назад +4

    Serikali hii haijawahi kuwa makini kwenye mkataba wowote bado ni utata mtupu ila nawashukuru wabaharakati wote waliopga kelele ila watanganyika msiiamini ccm na serikali yao tupambane bado sana

  • @hassanamir1119
    @hassanamir1119 11 месяцев назад +4

    Watu 5000 wamekufa ila bado Hamas ndio wanaoitwa magaidi 😭😭😭 God bless Palestine 🇵🇸 😭😭😭🤲

    • @geofreymilinga2965
      @geofreymilinga2965 11 месяцев назад +1

      Magaidi wapigwe Mbaka wasirudie Tena kuchokoza Taifa la Mungu

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 11 месяцев назад

      Na kila wanapopiga mabomu wanasema hamas alikuwa hapo wajinga kweli hawa zionist

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 11 месяцев назад

    Sikukubaliana nayo kabisaaa ila kila kitu kina mwisho wake subiria

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 11 месяцев назад +1

    Majanga. Rwanda tena?. Wamemtafuta Mungu mkuu uchokozi. Kazi kwao.

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 11 месяцев назад

      Mungu gani, mungu anauwa vitoto vyenye miezi saba 😬😭,yani atoe msahada afu mungu amuone kagame ni mbaya, Fucky you

  • @bendetermbesa702
    @bendetermbesa702 11 месяцев назад +1

    Hamas should stop fainting Israel because only gaza people are affected 😢

  • @ZyidSeleman
    @ZyidSeleman 11 месяцев назад

    Safi sana samia we wekeza akina mkapa wamewawekeza wazungu mpaka baadhi ya wald muhimbil tatzo wakrsto huwa wanawakebeh saana marais wenye majina ya ki islamu japo sio waislamu

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 11 месяцев назад +2

      Fikira bofu kabisa na sumu ya udini:
      ✍️ Uzalendo na dini yako ni vitu viwili, acha fikira bofu.
      ✍️ Je, ni mpaka wapigiwe kelele ndio wafanye marekebisho?
      ✍️ Hawakuwa na hizo akili za kurekebisha kabla kabla ya kukoselewa?
      ✍️ Je raisi akikosea na akikoselewa ndio unaanza kuangalia dini yake.
      ✍️ Tema hio sumu uliomeza!

  • @ASHAOMARY-k1v
    @ASHAOMARY-k1v 10 месяцев назад

    Hao wanajeshi hawamwogope mungu wanawaua watoto wasio na makosa yoyote😅😅😅😅😅😅😅

    • @CeciKilingo
      @CeciKilingo 6 месяцев назад

      Kwani rais
      Wenu kuuza bandali hamuogopi mung

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 11 месяцев назад

    Mimi Nauliza Mpaka Leo Wapo Wapi Watetezi Wahaki Za Kibina Adamu Mpaka Leo Hiyi Au Ndio Minazihirisha Kuwa Waislamu Hawana Haki Hakiyao ipo Kwa Allah Tu 😭😭🤲🤲☝☝

  • @katoialfred9083
    @katoialfred9083 10 месяцев назад

    1:52

  • @augustinokagoroba3098
    @augustinokagoroba3098 11 месяцев назад

    Hivi jeshi la umoja wa mataifa linashindwaje kukomesha vita hiyo.

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 11 месяцев назад +1

    Mkataba huu wa DPW iko siku utawaliza watanganyika hakuna ukweli

  • @jumanne3498
    @jumanne3498 11 месяцев назад

    Vita nihatal sana

  • @RonaldSsazi
    @RonaldSsazi 11 месяцев назад

    😭😭😭👏👏👏

  • @HRmanco-yd3lf
    @HRmanco-yd3lf 11 месяцев назад

    hunabaya mama dp world hata hapa Japan wapo Tena wapo vizur sana

  • @AbuwNibras926
    @AbuwNibras926 11 месяцев назад +1

    Hasad zimewajaa kufarii katika nyoyoo zao

    • @CeciKilingo
      @CeciKilingo 6 месяцев назад

      Nyie ambao siyo kafiri muombeni Allah wenu Vita ikome

  • @mwema5009
    @mwema5009 11 месяцев назад +1

    Lakini kwa nini amerudisha mikataba yenyi mfalme Magufuli alikataa?uyu mama ni kibaraka ya ma bebero.

  • @mwema5009
    @mwema5009 11 месяцев назад

    Nyinyi wa bbc wakati wazalendo walibana kitshanga nyinyi bbc hamkusema lakini m23 imebana tena mumetangaza nyinyi vibaraka sana wenyi woga

  • @ISaacMPFITUMUKIZA
    @ISaacMPFITUMUKIZA 10 месяцев назад

    Mwisho wa Vita ya Palestine na Gaza Ni GANI?

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 11 месяцев назад

    Waache waone tu juu ni upuzi arthi mumeukukuta na mutaoch

  • @lusekeloburton
    @lusekeloburton 11 месяцев назад

    wamejipima amasi kikombe hicho wakinywee tuu kwakuwa walianza waho

  • @DeusMbalamwezi-h7t
    @DeusMbalamwezi-h7t 9 месяцев назад

    Mkataba uwesiri kwanini !uwo usiri ndio unaficha ubaya wake usijurikane ? hatari kuwaficha kujua haki Yao

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 11 месяцев назад

    IPO SIKU NA NYINYI MTAPIGWA MPAKA MJUTE

    • @CeciKilingo
      @CeciKilingo 6 месяцев назад

      Unaota wewe Israeli alikuwa nanguvu kutoka tumboni mwamamae na mungu alimubariki na mungu aliwekea agano kwake yakobo kwahyo kumpga siyo leo mtapigwa mpak mchanganyikiwe mnajifanya kilakitu mnajuwa mmeyakoroga muyanywe sasa

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 11 месяцев назад

    Mlisho mpoto aliwahi kusoma chuo gani. Cha usafirishaji au amemezeshwa mambo anakwenda kuongea mbele za watu wenye akili. anatuambia atupe elimu juu ya bandari nchi nchi hii viongozi wetu bado ni watumwa wa fikra magufuli alikua kiongozi wengine wote hakuna kitu

  • @KhanG-sx8ws
    @KhanG-sx8ws 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 11 месяцев назад +1

    Haya tusubiri tuone kweli ya mkataba huu.

  • @PeterSam-s2q
    @PeterSam-s2q 11 месяцев назад

    Porono

  • @WaziriHassan-yy2xm
    @WaziriHassan-yy2xm 11 месяцев назад

    Nataka kujua chanzo halisi ni kipi? Na angali Israel ilikuwa ni taifa la m/mungu

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 11 месяцев назад

    Kwa nini mikataba mingine imekuwa ya sili

  • @Abdul-rn5zj
    @Abdul-rn5zj 11 месяцев назад

    ongrraaaaaaaa kagameee ww ndo raic

  • @johnshedrack3274
    @johnshedrack3274 11 месяцев назад

    Huyo mtanzania chuo Cha kilimo kipo suwa morogoro mwana kulitafuta

  • @MaryamHamisi-m8v
    @MaryamHamisi-m8v 11 месяцев назад

    hizo ni propaganda tu za serikali. mama kaupiga mwingi hapo ameweka sain anajua atakayekuja hatanufaika na bandari miaka 30 sio mchezo

  • @mussasaid284
    @mussasaid284 11 месяцев назад

    kagame kasome Bible,kitabu cha wafalme wa pili sura ya kwanza mstari wa kwanza hadi wa14)

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 11 месяцев назад

      Huna akili kwahy astoe msahada kisa huo mstari, anajua tabu ya Vita haswa ile ya kimbali mwaka 94 ,

  • @alibroker271
    @alibroker271 11 месяцев назад

    BBC mlipeni Elizabeth, maisha yamepanda hakuna kazi ya bure

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 11 месяцев назад

    🇮🇱🇮🇱🤝🤝🇺🇦🇺🇦🇺🇲

  • @MsafiriSenge-hq2cw
    @MsafiriSenge-hq2cw 11 месяцев назад

    À

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 11 месяцев назад

    Israel inatumia kanuni ya akuanzae MMALIZE.