Simba waga sio msanii wakubaatisha iyi itakuwa balaa kubwaaa duniani so namwamini sana MHD ni rapper mkuu sana ,,😲😲 yaaaaap nipo zangu kwetu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩nasubiru tu kuona gisi duniya ita bambika 😁😁😁😁😁
Waze wana juwa kuleya . Anamwiga baba yake lile penzi la Mondi n'a Zari. Ange mwiga kwa njiya Zingine ana pita pale pale na kujikuta sikuyasiku amesha chelewa . Vivany boy na zuchu na Mbosso wa takuwa juu zaïdi yake äta Anza kimbizana nå Mac voice mtoto wa chuyi apo patam baadaye ......
@@amereciumfemium885 basi ungejua kama mimi wasaf hata ucnge comment hivyo but ungeuliza kwanza ... hatushindan na kina kiba harmo wala wa south now tunashindana na wanaigeria but wao wapo bzy kupiga hatua na kina Chris brown na Justin Berber alafu mondi anazingua na wasauth wee unazan tuzo za bet zitakuja lini
Anaweza ngoma izo tuuuuu ila ngoma za kawaida hawezi namaanisha ngoma za ujumbe za kueleweka hawezi ila kunamtuy mmoja tu ndo ana haaaaaa nazo ambae ni harmonize kama humjui namaanishaaa jeshiiiiiii la mtuy mmoja
Simbaa never gve up
Q
Simba waga sio msanii wakubaatisha iyi itakuwa balaa kubwaaa duniani so namwamini sana MHD ni rapper mkuu sana ,,😲😲 yaaaaap nipo zangu kwetu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩nasubiru tu kuona gisi duniya ita bambika 😁😁😁😁😁
Hatare canaa platnumz
Nembo ya mtaa,nembo ya Taifa 🦁🦁🦁🦁
Naimani itakuwa fireee kbs
Middle lion hunabaya ☺️
🔥🔥🔥🔥
Ametisha
Shariph tz
D anajua kipi anachofanya kuwa lengo la kuibeba to na soon kuonga gari na kutuzalilisha wanaume tusionazo
simbaaaa ila ufanye ubadilishe wasani wengine uku south Africa kuna wana mziki wengi kama zuma anajua amapiano sana watu waisha kuzoe na focalistic
Diamond ni master wa African 🔥🔥🔥🙏👇👇👇ruclips.net/video/Pla6c5WGotA/видео.html
Wcb
Deka imesimamisha RUclips masaa 14 ina milion 1.7 ni hatari,,na sio hizo nyimbo za kizaramo za diamond
kubabako kwenda kadanganye wayoto
@@ramadhanimwaita2659 alafu wewe itakuwa kumamamko au sio!!
Tuko bize na album ya burna boy kwasasa🤣🤣🤣🤣
Huna maana wew
@@amereciumfemium885 hahahah inahuma hiyoo 😂😂😂😂
Oy mnaitaji iyonyimbo inayo imba kpndi we unaongea
Hakuna Kitu hapo💔😂
Uenda uone ballaa la mhd ni rapa namba moja France
Mpaka leo mnatania amchoki simba wakubal tu yeye ni mkubwa tu huwezi kunshindanisha na takataka yoyote yule
Dawa ya makovu sugu
ruclips.net/video/7OOs2j5ahDw/видео.html
Nembo Ya taifa 💖✊ Simba 🦁
Ninooooma
Another benger from mutoto ya Tandale #Unpredictable
Pindi akianza kolabo na wasanii wa nje ya afrika nazani atakuah ni mtuy shida sanaa maana simba anajulikana uko nje kutokana na kolabo alizo fanya
Diamond platnumz star forever 🔥🔥🔥🔥
Mondi tupe burudani
Balaa la MHD km hamulijui njoon Paris 🚧⛔
Simba fire
🦁🦁...Simba yy popote kambii , Kiumbe Kizitoo always on top Simba 🦁🦁🔥🔥🇰🇪
Mhd ni rapa namba moja ufaransa middle Simba mhd balaa lake sioya kitoto uku cong🇨🇩🇨🇩 tunamkubali uyu
Noma sana simba
Kali sana
Let's go DIAMOND PLATNUMZ.
Genius of 🌍 diamond platnumz
Simba babalao 🔥🔥🔥🔥
Uyu mwamba mwachen jmn siiiimba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Huyu jamaa it's time aende international aachane na wasanii wa Afrika mwenzake burna boy amepiga na Ed- Sheeran.
Tuna subiri Amapiano ya diamond Simba Moçambique 🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊
Ko nazani nyota ya harmo ikifika uko nchi za nje utakuah noma sanaaaa ko kaen kwa kutulia mambo ni mdogo mdogo
Itafika kimataifa kwalipi kutumia juhudi iko anakimbizana na mapenzi ya wazee
Waze wana juwa kuleya .
Anamwiga baba yake lile penzi la Mondi n'a Zari.
Ange mwiga kwa njiya Zingine ana pita pale pale na kujikuta sikuyasiku amesha chelewa .
Vivany boy na zuchu na Mbosso wa takuwa juu zaïdi yake äta Anza kimbizana nå Mac voice mtoto wa chuyi apo patam baadaye ......
Ndoto za msaziii
mashabiki diamondy tagu mwaka 2020 sio wayonge tofauti hizi kudi mbili vua tabu jua shida awajui wachaguwe lipi
nae sasa aachane na huu upuuz wa kuimba na wanamuziki wa afrika kila cku
Ulitaka aimbe nawew acha makasiliko chuki hazina faida vunga tu
@@amereciumfemium885 basi ungejua kama mimi wasaf hata ucnge comment hivyo but ungeuliza kwanza ... hatushindan na kina kiba harmo wala wa south now tunashindana na wanaigeria but wao wapo bzy kupiga hatua na kina Chris brown na Justin Berber alafu mondi anazingua na wasauth wee unazan tuzo za bet zitakuja lini
Tunataka album ilitukashindane na burna boy
Unapoteza muda wako kushindanisha watu wew mwenyew unashindwa na maixha Yako acha utoto fanya vitu watu wakuheshimu milele
Mmmmmm🫣🫣🫣🫣???????????????
Nasubiriya Ngoma hiyo kwa Garama yoyote hile 😋😋😋😋😋
Maana wat hawalijui ilo kama yule ni upepo wa eastAFRIKA kwa sasa ndo namba chafu inayo chafua ila soon wataelewa tuy kuah tembo ni mkubwa wa msitu
Sisi tunasubiri tu
Wcb were are here for job not for joking mmmh let music speak now and not others 👍
Middle simbaaaa on air
🦁🦁🦁🦁🦁🦁KAKA MKUBWA🦁🦁
Hajiamini anasafiria nyota na wasanii wenzake go solo ndio maana tembo atabaki kuwa 🐐🐐🐐
Simba1
Simba 🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿
We chizi na diamond wako hauna jipya Kila cku
Just tired of these amapiano think. This is not your area
Nembo yataifa👹👹
Achia vtu bradha
Naitk hii
hamna kitu hapo
Simba lama Simba nomasana
Kumamayo middle Simba
Ngoja kali aaaa
Simbaa
nakubar ximba
uyo bala chibu tz
Mbwe mbwe nyingi
😄😄😎😎😎😎😎😎😎😎😎
Simbaaaa all the best
Mizik ya amapiano tumeichoka bhna
sio Tumeichoka,, ni Umeichoka
Simbaaaaaaaaaaaa🙋
English
Ok
brother fujo Tu harmonize ni mtunzi mzuri sasa hivi hapa bongo
Wapo weng watunzi but kimziki mond yupo juu kulee
@@williamkeita1519 huo ndo ukweli
Konde kwel ila kimziki diamond hatari sana no.1
Amna ktu
DIAMOND PL FOR LIFE
Anaweza ngoma izo tuuuuu ila ngoma za kawaida hawezi namaanisha ngoma za ujumbe za kueleweka hawezi ila kunamtuy mmoja tu ndo ana haaaaaa nazo ambae ni harmonize kama humjui namaanishaaa jeshiiiiiii la mtuy mmoja
unateseka sana kwakweli,,,, nikae kimya,, nimpende nani,, utanipenda n. k... sijui haujawahi kusziskia au vipiii.. au ndio roho ya chuki tu
Jamaa mpambanaji haswaa huyu ndie Nuru ya mungu 🔥🔥🔥🙏👇👇👇👇ruclips.net/video/Pla6c5WGotA/видео.html