Ni balaa! DIAMOND ameachia kionjo cha ngoma mpya ya Amapiano akiwa na FOCALISTIC wa Afrika kusini.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 92

  • @mgeyahnyanga3574
    @mgeyahnyanga3574 2 года назад +17

    Simbaa never gve up

  • @aruna-bmwanamboka5482
    @aruna-bmwanamboka5482 2 года назад +14

    Simba waga sio msanii wakubaatisha iyi itakuwa balaa kubwaaa duniani so namwamini sana MHD ni rapper mkuu sana ,,😲😲 yaaaaap nipo zangu kwetu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩nasubiru tu kuona gisi duniya ita bambika 😁😁😁😁😁

  • @mozespatinam9296
    @mozespatinam9296 2 года назад +3

    Hatare canaa platnumz

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 2 года назад +6

    Nembo ya mtaa,nembo ya Taifa 🦁🦁🦁🦁

  • @kingfireofficial9002
    @kingfireofficial9002 2 года назад

    Naimani itakuwa fireee kbs

  • @hushiesty
    @hushiesty 2 года назад +3

    Middle lion hunabaya ☺️

  • @rahmajuma5828
    @rahmajuma5828 2 года назад

    🔥🔥🔥🔥

  • @beatuskihwelo6663
    @beatuskihwelo6663 2 года назад +1

    Ametisha

  • @shariphmahalim5045
    @shariphmahalim5045 2 года назад

    Shariph tz

  • @imanigaspery5935
    @imanigaspery5935 2 года назад +2

    D anajua kipi anachofanya kuwa lengo la kuibeba to na soon kuonga gari na kutuzalilisha wanaume tusionazo

  • @michaelbenson1802
    @michaelbenson1802 2 года назад

    simbaaaa ila ufanye ubadilishe wasani wengine uku south Africa kuna wana mziki wengi kama zuma anajua amapiano sana watu waisha kuzoe na focalistic

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 2 года назад +3

    Diamond ni master wa African 🔥🔥🔥🙏👇👇👇ruclips.net/video/Pla6c5WGotA/видео.html

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 2 года назад

    Wcb

  • @allenkwaya8594
    @allenkwaya8594 2 года назад +1

    Deka imesimamisha RUclips masaa 14 ina milion 1.7 ni hatari,,na sio hizo nyimbo za kizaramo za diamond

    • @ramadhanimwaita2659
      @ramadhanimwaita2659 2 года назад +1

      kubabako kwenda kadanganye wayoto

    • @allenkwaya8594
      @allenkwaya8594 2 года назад

      @@ramadhanimwaita2659 alafu wewe itakuwa kumamamko au sio!!

  • @kobolabalebanga4576
    @kobolabalebanga4576 2 года назад +1

    Tuko bize na album ya burna boy kwasasa🤣🤣🤣🤣

  • @shariphmahalim5045
    @shariphmahalim5045 2 года назад

    Oy mnaitaji iyonyimbo inayo imba kpndi we unaongea

  • @brianowinyi1834
    @brianowinyi1834 2 года назад

    Hakuna Kitu hapo💔😂

    • @euniceminosa7398
      @euniceminosa7398 2 года назад +3

      Uenda uone ballaa la mhd ni rapa namba moja France

    • @miguelabdulabdul5797
      @miguelabdulabdul5797 2 года назад

      Mpaka leo mnatania amchoki simba wakubal tu yeye ni mkubwa tu huwezi kunshindanisha na takataka yoyote yule

  • @ladysasty
    @ladysasty 2 года назад

    Dawa ya makovu sugu
    ruclips.net/video/7OOs2j5ahDw/видео.html

  • @livingstone9505
    @livingstone9505 2 года назад +19

    Nembo Ya taifa 💖✊ Simba 🦁

  • @reubenjoseph98
    @reubenjoseph98 2 года назад +11

    Ninooooma

  • @dicksonkamugumya6924
    @dicksonkamugumya6924 2 года назад +8

    Another benger from mutoto ya Tandale #Unpredictable

  • @asnatsultan5714
    @asnatsultan5714 2 года назад +4

    Pindi akianza kolabo na wasanii wa nje ya afrika nazani atakuah ni mtuy shida sanaa maana simba anajulikana uko nje kutokana na kolabo alizo fanya

  • @amereciumfemium885
    @amereciumfemium885 2 года назад +5

    Diamond platnumz star forever 🔥🔥🔥🔥

  • @vicentimhemeji6389
    @vicentimhemeji6389 2 года назад +3

    Mondi tupe burudani

  • @priska4310
    @priska4310 2 года назад +2

    Balaa la MHD km hamulijui njoon Paris 🚧⛔

  • @Vincent555montegro
    @Vincent555montegro 2 года назад +8

    Simba fire

  • @bablee0016
    @bablee0016 2 года назад +3

    🦁🦁...Simba yy popote kambii , Kiumbe Kizitoo always on top Simba 🦁🦁🔥🔥🇰🇪

  • @euniceminosa7398
    @euniceminosa7398 2 года назад +3

    Mhd ni rapa namba moja ufaransa middle Simba mhd balaa lake sioya kitoto uku cong🇨🇩🇨🇩 tunamkubali uyu

  • @assab3167
    @assab3167 2 года назад +3

    Noma sana simba

  • @makambosafari2746
    @makambosafari2746 2 года назад +3

    Kali sana

  • @chizashungu1236
    @chizashungu1236 2 года назад +6

    Let's go DIAMOND PLATNUMZ.

  • @seifkhan9519
    @seifkhan9519 2 года назад +4

    Genius of 🌍 diamond platnumz

  • @alainmuhindo2137
    @alainmuhindo2137 2 года назад +5

    Simba babalao 🔥🔥🔥🔥

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +2

    Uyu mwamba mwachen jmn siiiimba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mr.telkom.4909
    @mr.telkom.4909 2 года назад +1

    Huyu jamaa it's time aende international aachane na wasanii wa Afrika mwenzake burna boy amepiga na Ed- Sheeran.

  • @marcoseusebioluis9639
    @marcoseusebioluis9639 2 года назад +1

    Tuna subiri Amapiano ya diamond Simba Moçambique 🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊

  • @asnatsultan5714
    @asnatsultan5714 2 года назад +2

    Ko nazani nyota ya harmo ikifika uko nchi za nje utakuah noma sanaaaa ko kaen kwa kutulia mambo ni mdogo mdogo

    • @kharunakhalid2739
      @kharunakhalid2739 2 года назад +1

      Itafika kimataifa kwalipi kutumia juhudi iko anakimbizana na mapenzi ya wazee

    • @allyciza
      @allyciza 2 года назад +1

      Waze wana juwa kuleya .
      Anamwiga baba yake lile penzi la Mondi n'a Zari.
      Ange mwiga kwa njiya Zingine ana pita pale pale na kujikuta sikuyasiku amesha chelewa .
      Vivany boy na zuchu na Mbosso wa takuwa juu zaïdi yake äta Anza kimbizana nå Mac voice mtoto wa chuyi apo patam baadaye ......

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 2 года назад

      Ndoto za msaziii

  • @msafirisaidi7465
    @msafirisaidi7465 2 года назад +1

    mashabiki diamondy tagu mwaka 2020 sio wayonge tofauti hizi kudi mbili vua tabu jua shida awajui wachaguwe lipi

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 2 года назад +2

    nae sasa aachane na huu upuuz wa kuimba na wanamuziki wa afrika kila cku

    • @amereciumfemium885
      @amereciumfemium885 2 года назад

      Ulitaka aimbe nawew acha makasiliko chuki hazina faida vunga tu

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 2 года назад

      @@amereciumfemium885 basi ungejua kama mimi wasaf hata ucnge comment hivyo but ungeuliza kwanza ... hatushindan na kina kiba harmo wala wa south now tunashindana na wanaigeria but wao wapo bzy kupiga hatua na kina Chris brown na Justin Berber alafu mondi anazingua na wasauth wee unazan tuzo za bet zitakuja lini

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 года назад +1

    Tunataka album ilitukashindane na burna boy

    • @amereciumfemium885
      @amereciumfemium885 2 года назад +3

      Unapoteza muda wako kushindanisha watu wew mwenyew unashindwa na maixha Yako acha utoto fanya vitu watu wakuheshimu milele

  • @ecadiesel2155
    @ecadiesel2155 2 года назад

    Mmmmmm🫣🫣🫣🫣???????????????
    Nasubiriya Ngoma hiyo kwa Garama yoyote hile 😋😋😋😋😋

  • @asnatsultan5714
    @asnatsultan5714 2 года назад +2

    Maana wat hawalijui ilo kama yule ni upepo wa eastAFRIKA kwa sasa ndo namba chafu inayo chafua ila soon wataelewa tuy kuah tembo ni mkubwa wa msitu

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 2 года назад +1

    Sisi tunasubiri tu

  • @BonMaro
    @BonMaro 2 года назад +1

    Wcb were are here for job not for joking mmmh let music speak now and not others 👍
    Middle simbaaaa on air

  • @peterjdesign8055
    @peterjdesign8055 2 года назад +1

    🦁🦁🦁🦁🦁🦁KAKA MKUBWA🦁🦁

  • @badisalim4250
    @badisalim4250 2 года назад

    Hajiamini anasafiria nyota na wasanii wenzake go solo ndio maana tembo atabaki kuwa 🐐🐐🐐

  • @lucasmsangalawe4254
    @lucasmsangalawe4254 2 года назад +1

    Simba1

  • @mohamedefranciscoxavier4440
    @mohamedefranciscoxavier4440 2 года назад +1

    Simba 🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @saideabdala277
    @saideabdala277 2 года назад

    We chizi na diamond wako hauna jipya Kila cku

  • @moztransform9108
    @moztransform9108 2 года назад

    Just tired of these amapiano think. This is not your area

  • @kobe2846
    @kobe2846 2 года назад

    Nembo yataifa👹👹

  • @dgokahungo9855
    @dgokahungo9855 2 года назад

    Achia vtu bradha

  • @EdibayoBayo-ck7ty
    @EdibayoBayo-ck7ty 6 месяцев назад

    Naitk hii

  • @sharafinamtaya9788
    @sharafinamtaya9788 2 года назад

    hamna kitu hapo

  • @EllyRojass
    @EllyRojass 8 месяцев назад

    Simba lama Simba nomasana

  • @mussaabdillah9537
    @mussaabdillah9537 2 года назад

    Kumamayo middle Simba

  • @jazbaa7601
    @jazbaa7601 2 года назад

    Ngoja kali aaaa

  • @dichemerinyo5210
    @dichemerinyo5210 2 года назад

    Simbaa

  • @juliucbahath4567
    @juliucbahath4567 2 года назад

    nakubar ximba

  • @gwestywgsobreskimby2184
    @gwestywgsobreskimby2184 2 года назад

    uyo bala chibu tz

  • @samuelmasabo7102
    @samuelmasabo7102 2 года назад

    Mbwe mbwe nyingi

  • @mezualimasi3808
    @mezualimasi3808 2 года назад

    😄😄😎😎😎😎😎😎😎😎😎

  • @nelsonkibatcha5759
    @nelsonkibatcha5759 2 года назад

    Simbaaaa all the best

  • @edwinekatundu6844
    @edwinekatundu6844 2 года назад

    Mizik ya amapiano tumeichoka bhna

  • @kamsfaraja5704
    @kamsfaraja5704 Год назад

    Simbaaaaaaaaaaaa🙋

  • @thabisoalexkevincavanimara4342
    @thabisoalexkevincavanimara4342 2 года назад

    English

  • @shamakisimba7991
    @shamakisimba7991 2 года назад

    Ok

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 2 года назад +1

    brother fujo Tu harmonize ni mtunzi mzuri sasa hivi hapa bongo

    • @williamkeita1519
      @williamkeita1519 2 года назад +4

      Wapo weng watunzi but kimziki mond yupo juu kulee

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 2 года назад +1

      @@williamkeita1519 huo ndo ukweli

    • @kdf1246
      @kdf1246 2 года назад +1

      Konde kwel ila kimziki diamond hatari sana no.1

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 2 года назад

    Amna ktu

  • @umrashaibu2626
    @umrashaibu2626 2 года назад

    DIAMOND PL FOR LIFE

  • @asnatsultan5714
    @asnatsultan5714 2 года назад

    Anaweza ngoma izo tuuuuu ila ngoma za kawaida hawezi namaanisha ngoma za ujumbe za kueleweka hawezi ila kunamtuy mmoja tu ndo ana haaaaaa nazo ambae ni harmonize kama humjui namaanishaaa jeshiiiiiii la mtuy mmoja

    • @yussufritzy7684
      @yussufritzy7684 2 года назад +4

      unateseka sana kwakweli,,,, nikae kimya,, nimpende nani,, utanipenda n. k... sijui haujawahi kusziskia au vipiii.. au ndio roho ya chuki tu

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 2 года назад +1

    Jamaa mpambanaji haswaa huyu ndie Nuru ya mungu 🔥🔥🔥🙏👇👇👇👇ruclips.net/video/Pla6c5WGotA/видео.html