Babu yangu aliaga akiwa na miaka 102 na alikuwa ni pastor. Alituambia ya kuwa ukiangalia kwa makini, mila zetu za kindani na za wana wa israeli zinaambatana.
Waisraeli ndio mababu zetu. Jina hilo ni "Yisolele" ambalo liligeuzwa Israel na wazungu. Sisi "Bantu" ndio uzao teule maana mila zetu ni zile zile za biblia.
Kumbuka pia biblia imeandikwa na watu. Na hii biblia tulio nayo ni tafsiri ya ile iliyoandikwa. Maneno mengi yaliongezwa na kupunguzwa kipindi cha utafsiri. Evidence kubwa ni maisha yako ya kila siku na vile watu weusi wanaendelea kugandamizwa dunia nzima. [...]
Nalikubali hilo
Ukweli ndio huo. Share na wengine ukweli huo
Kabisa
Ukweli Kabisa; na walio gizani kiakili waamke;
Gawanya video hii kwa wengine ili watazame na kuamuka.
Babu yangu aliaga akiwa na miaka 102 na alikuwa ni pastor. Alituambia ya kuwa ukiangalia kwa makini, mila zetu za kindani na za wana wa israeli zinaambatana.
Waisraeli ndio mababu zetu. Jina hilo ni "Yisolele" ambalo liligeuzwa Israel na wazungu. Sisi "Bantu" ndio uzao teule maana mila zetu ni zile zile za biblia.
Ni ukweli kabias
Kabisa, sana
Naomba ushahidi wa Biblia unaoelezea Musa ni mbantu
Sio kila kitu kimeandikwa kwenye biblia. Bantu = Wantu = people. Waisraeli walianza kujiita hivyo kipindi cha utumwa.
Kumbuka pia biblia imeandikwa na watu. Na hii biblia tulio nayo ni tafsiri ya ile iliyoandikwa. Maneno mengi yaliongezwa na kupunguzwa kipindi cha utafsiri.
Evidence kubwa ni maisha yako ya kila siku na vile watu weusi wanaendelea kugandamizwa dunia nzima. [...]