Je, Unajua kwamba Biblia sio Kitabu cha Kanisa?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 12

  • @qr_boniface2333
    @qr_boniface2333 Год назад +4

    Nalikubali hilo

  • @qr_boniface2333
    @qr_boniface2333 Год назад +6

    Kabisa

  • @josephkenga5627
    @josephkenga5627 Год назад +4

    Ukweli Kabisa; na walio gizani kiakili waamke;

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  Год назад +4

      Gawanya video hii kwa wengine ili watazame na kuamuka.

  • @SoliKiluta
    @SoliKiluta Год назад +5

    Babu yangu aliaga akiwa na miaka 102 na alikuwa ni pastor. Alituambia ya kuwa ukiangalia kwa makini, mila zetu za kindani na za wana wa israeli zinaambatana.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  Год назад +5

      Waisraeli ndio mababu zetu. Jina hilo ni "Yisolele" ambalo liligeuzwa Israel na wazungu. Sisi "Bantu" ndio uzao teule maana mila zetu ni zile zile za biblia.

  • @qr_boniface2333
    @qr_boniface2333 Год назад +4

    Ni ukweli kabias

  • @renatustheophil4809
    @renatustheophil4809 9 месяцев назад +3

    Naomba ushahidi wa Biblia unaoelezea Musa ni mbantu

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  9 месяцев назад +3

      Sio kila kitu kimeandikwa kwenye biblia. Bantu = Wantu = people. Waisraeli walianza kujiita hivyo kipindi cha utumwa.

    • @smartActions1
      @smartActions1 5 месяцев назад +1

      Kumbuka pia biblia imeandikwa na watu. Na hii biblia tulio nayo ni tafsiri ya ile iliyoandikwa. Maneno mengi yaliongezwa na kupunguzwa kipindi cha utafsiri.
      Evidence kubwa ni maisha yako ya kila siku na vile watu weusi wanaendelea kugandamizwa dunia nzima. [...]