MAPIGANO ULYANKULU SIKU YA KUTAABIKA OFFICIAL VIDEO
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Napenda Sana huu wimbo mpaka mwaka 2024 namshukuru Mungu kwa uzima
Sauti, unyenyekevu, mavazi, uchezaji wa vyombo na maneno ya wimbo zinabariki mioyo yetu kweli kweli. Ni nyimbo zilizotungwa katika uongozi wa Roho Mtakatifu. Mungu awabariki sana Mapigano Ulyankulu kwaya.
Mimi pia nawaombea baraka za bwana
sanaaaa
Bado tunabarikiwa na kwaya zetu, ya kale ni dhahabu, je? Waimbaji wa sasaivi watafikia tunzi hizi??? Like kama tuko pamoja
Jefta Trilion
Shadraka Jefta ndio mwanangu
Iko nauwepo mkubwa
Mim nazipend sana kazi za kitambo
Mwaka 1997 nikiwa bado mdogo ndio nyimbo tulikuwa tukitizama kupitia VHS
Wapendwa nani tuko pamoja 2024 kusikiliza hij injili? Mbarikiwe sana..
Am here from kenya
Dah! Kiukwel nabarikiwa sana na hii kwaya ulyankulu, sijui wako wapi. Those were the days when choirs praised God in spirit and truth. Mungu awabariki sana na na Mungu awatunze wasipotee hata mmoja
Siku hizi kuna mastedishow kama nyimbo za kidunia jmn,
Shetani ameharibu gospel jmn
Kweli kabisaa
Leo 01/01/2021 nasikiliza wimbo huu siku ya kutaabika. Jina la YESU lipewe sifa. Nabarikiwa.
Amen Amen
2023 mbarikiwe Sana Watumishi , Mungu Asiwaache🙏
This song remind me of my late daddy, he used to listen this song using his wooden radio those days....
For sure I can not tell it all how awesome this choir was..till now I am enjoying.
All de way from Arusha Tanzania. Nassary Max
My dad Kaaya also loved it so much❤
My daddy too,is late now.
This song reminds me of myself young.It must be my fav hit ever.
My late dad also had this album USA's in Moshi line police how awesome those days was
Anyone still watching and listening in 2019.
Safi sana
Together watching the same comrade
Actually 2020
Leo ni 2021
August 2021
Eeh Mungu nihurumie mimi mwanadamu maana siku hiyo hakuna atakayekuwa na jeuri.
gabriella isack Miaka hiyo waimbaji walikua wanaimba kwa moyo walicho jua wamuimbia Mungu na malupo watapata kwa Mungu
Kabisa
Those days when gospel songs message was clear and understanding
Ni roho mtakatifu aliwaongoza kuimba hizi nyimbo
Honestly, I cannot understand how a normal person can despise this song and gives it a dislike. Some human beings are something else
Hahaha....the world is full of wonders my dear
Emungu uibaliki Tanzania kwamazuli yote iliyowa tendea watuhawa hakika enzizao utukufuwamungu ulikuwa juu yawatuhawa nasisi wazaliwa watanzania tubaliki katika kazizetu tunaostahili kulipa kodi tulipe ilitanzania izidi kuneemeka hatimae nasisi tujaliwe navipawa Kama vyahawanduguzetu amahakika tuki.tumainia yy aliyeumbambingu nanchi kupitia Tanzania yet tutapata balaka na amani asanteni ulyankulu ama hakika mnanikumbusha mbali wakati nilipokuwa kijana mdogo nilikuwana ziskiliza nyimbo zenu mubalikiwe sana huko mliko nawaliobaki wabalikiwe pia natanzania ya amani asanteni sana
I haven't heard of the same voices in songs till now...these ppl were so blessed 🙏
2021 still here, watching! Very powerful indeed
Amen Amen love this songs, God bless this churches.
Very nice dressing codes...no miniskirts, no make up...no models ...no skin tight ...and the message is delivered
Sure very natural
That true
Very talented people!!! Jesus within them
😘
True
Aliyepo nami kwa hii kwaya 2019 gonga like
Nimeangalia hii nyimbo mpak machozi yananilenga maana nikiangalia kizaz chetu tunaboimba,hatuna ustaarabu tumejaa udunia,angalia Hawa watu walivokua jaman mpaka raha,kwakweli hiz n nyakat za mwisho nataman watu wote tuige mfano wawatu waliopita nasio kuiga kizazi kipya hiki kilichojaa zinaa na uchiuchi,eeee Mungu tusaidie
Sasa hivi wanasema Mungu haangalii mavazi bali moyo wanasahau kuwa kama kweli umempokea Bwana Yesu na kumfata kweli matendo yako pia yatabadilika na kuwa tofauti na dunia!
@@ibrahimmsangi8161 yaan Ila naamn wanaoitaka mbingu kweli watalifuata neno LA Mungu nasio maneno ya watu
Mungu azidi kuwaonekania watumishi wake. Ata June 2024 nazidi kusikiza nyimbo zenu tamu mno
Daaaaah passed like a shadow, kweli kizuri hakidumu nyimbo nzuri zenye maadili kuanzia maneno mavazi Mungu atubalishie kizazi kije kama hiki
Kweli yakale ni dhahabu,bado tunazid kubarikiwa.
Sana
Eliud Enock wimbo ni wa mwaka ngani?, ningependa nijibiwe.
.loydCguoplknnm bnvbxz
Miaka hiyo 88 nilikuwa Form One, Ya kale dhahabu
Miaka ya 1994 huu wimbo, nakumbuka nilikuwa sijaanza hata shule tena ulikuwa kwa audio, video yake miaka ya 2000
Nahisi nyakati za nyimbo hz shetani alikuwa hajaitembelea dunia hii.
What a songs! Well organized, instruments plus a great message. Be blessed mpaka mshangae
Hahaha kabisa
Tanzania Best choir ever!
Utukufu ni kwa Mungu ,barikiwa sana!
Hawa waimbaji wali kuwa waki muimbiya Mungu kutoka Rohoni kbs, kutoka myaka yawao hadi sasa hizi nyimbo zina hit tu. SiJuwi kama kuki ngali hata umoja wao ambaye yuko haii
Wimbo huu unanikumbusha nikiwa mtoto, Wimbo nzuri sana wenye ujumbe.
Nimeumiss sana uimbaji wa namna hii kwenye miaka ya sasa. Na tunakoelekea utapotea kabisa
Heri wenye moyo safi maana hao watamuona Mungu,.
Ndiyooo
Wimbo wa zamani, 1984,zilizovuma saana
MUNGU tangulia mapito yetu ....nyimbo inanikumbusha miaka iyo mzee na mama nawapenda sana mmenikuza kidink
Nduku ambae umeongoza wimbo uko na kipaji.
Papa Igii wamapendo kabisa
Niseme haipashwi kuwa laumu waimbaji wetu wa sasa jinsi wanaovyoimba bali tunatakiwa sisi wachungaji tujilaumu au tulaumiwe kwani wanaimba hivo makanisani na sisi tupo na tunawapongeza na kuwapigia makofi na vigelegele badala ya kuwa kemea na kuwa rudisha kwenye uimbaji wa kumwimbia Mungu na si wanadamu.
Mungu nisaidie nihurumie makosa yang
In 2024 am listening my wonderful songs I ever listen in my life a song like this one 😍
Nyimbo zilizonikuza hizi.Nakumbuka miaka ya 90.. ,old is gold.
Hii kwaya inanikumbusha mbali sana mungu awabari udyankuru kwaya
Kama wapo hawa watu mungu awaongezee miaka ya kuishi wanabariki Sana hakika nakama kunawaliokufa mungu awapokee na waishimahali pema peponi maana nondo ambazo zimesukwa ndani ya nyimbo hi sidhani Kama kunawakuzibomoa shetani mwenyewetu anaogopa
Hizi ndizo nyimbo za kusikiliza acha hao wanaoimba ns kuruka ruka hawaeleweki na nyimbo zao za biashara
Rahabu John hiz nyimbo c mchezo nabalikiwa sana kuliko za sas kweli wazee wetu walifaid vingi duuh
Rahabu umesema Kweli...Hizi Ndo nyimbo Mkuu.....
Hawa watu sijui wako wapi saa hii? Si muungane tena jamani muendelee kumtumikia Mungu kwa uimbaji ❤
Moyo Wangu unapata faraja halisi hapaaa
Burudika
my best song ever🙏na best kwaya yangu,God keep blessing me through this song na unikumbushe you are coming back soon.Amen
2020 blessed
Sauti za asili kabisaaaaa.
Ukopowa
YESU bado anatupenda. Still 2020 bado tunawatch hizi nyimbo.nimekumbuka mbali sana
Ni kwaya ambayo nilikuwa sichoki kusikiliza nyimbo zake 1990's mpaka leo 2019 huwa nabarikiwa sana hadi machozi Mungu azidi kutubariki🙏
Hawa ndio waimbaji kamili wachana na hizo burukenge Siku hizi ziko kwa baishara sio wokovu
And where are this singer's nowadays?? We love Brothers and sisters in christ. Amen
Tulio sikiliza hiz ngoma utotoni jaman tuna raha .... Kwanza Mungu anatupenda sana wale wazazi wetu walio kuwa wanatuwekea hiz ngoma Mungu awabariki sana ....hahaha raha mnooo
Yan hii kwaya Mungu aendelee kuwalinda hawa watu walitoa ujumbe ambao kweli walipewa na Roho Mtakatifu, Mungu aendelee kuwatunza wote wafike MBINGUNI maana walimuimbia Mungu ktk Roho na kweli,Mimi najiconnect na upako wao huo nimuimbie Mungu km hvo daaa! Kutoka rohon ili na wengne wapone
hii kwaya nataman nmwone hata mmoja wao vyombo vinautulivu pamoja na waimbaji vema
Nawapenda jamn,Elphazi Habona ulikuwa unaujua sana muziki,may almighty god bless you
Bado leo 2020 nabarikiwa na Hawa wapendwa
I remember those days. Life was so good. Mwanjelwa Mbeya Town
Mile age, Mungu awabariki sana waimbaji hawa popote walipo nakumbuka mengi sana
Barikiweni sana babu na bibi zetu sijui bado mpo nasi kimwi??nakumbuka zamani
Hakika Hawa watu walibarikiwa sauti
The voices are super nice,,, music that's meets you at the right spot,,hongera
Hizi ndo nyimbo zinagonga myoyo yetu ni nyimbo za hekima za kumtukuza mungu
Wimbo wa baraka kweli naiskiza kila sikuu it blesses me alot....God bless you
Hallelujah,, kheri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu
Mungu alikuwa ndani yenu ndomana hazichuji mpka kristo atakaporudi
I miss my family.... aisee shetani what u did to our family 👪 😢 😪
Leo 17/09/2023 nimebarikiwa sana kusikiliza wimbo huu . Good memories 1990-1995 Mungu angaza mapito yangu AHMEN
Mungu awabarika sana watumishi mliimba zamani lakin bado zinagusa miyoyo ya watu
Listening from Kenya 🇰🇪 in 2021
Tazama Bwana anakujaa, kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu wakaao Duniani
Until now you still love Jesus and accomplish his target? I'm burundian and I don't know Kiswahili very well but I tried to understand what you sing so I love you so much and I like your songs since I listened the first one until now your songs are so favorites to me.
2021
Mbarkiwe sn, utumishi uliotukuka
ahsante kwa nyimbo hizilakini kuna Album ya SISI NI BARUA je inapatikana wapi kama unazo nyimbo tuwekeeni tafadhali kuna NYIMBO2 TUU
1.HATAASUBUHI
2.SISI NI BARUA sasa zingine sasa ziko wapi jamani
Bruh si you can still find them on music shops if they are any near you ,or still you can go on their RUclips channel
Yaan Huwa nafurahishwa sanaaa ninapo sikiliza hizi nyimbo Huwa naona roho mtakatifu anashuka pia Huwa zinanipa faraja nakuona mungu Yuko hapa napata Raha ndani ya roho yangu yaan nikiwa nasikiliza hizi nyimbo kiujumla Huwa nasahau Kila kitu cha dunian
Mwanikumbusha mbali ! Kwenye harusi yangu 1995
Ubarikiwe sana
Ni n’a wa pendant sana wana wa Mungu Amen
Tanzania is a blessed country many gosiple singer and choirs still are not comping seculer music code and wearing styl.this song remaind me 90s
One of my favorites back in 90s 93, 94, 95..... I'm glad to have found you once again 👏👏👏👋👋😘🥰💯
Tulikua tunasikiliza kama masihara tuuh utotoni Kumbe Mungu ndio anatuokoa hivyo .....raha sana God is so amaising
Enzi hizo tulikua kama tunapapasa kwenye giza sahiv tumekuwa wakubwa tunaelewa na tunaendelea kujitakasa tukimsubiri Bwana Yesu mambo ni matamu Bwana
Leo 25/4/2022 bado nasikiliza nabarikiwa Sana na huu uimbaji mavaz yao yananibariki Yesu aendelee kuwa tunza
20/07/2021 im still listening this beautiful song, god is good.
Napenda na ninabarikiwa sana na nyimbo zilizoimbwa na watu wa zamani.
Back to my younger Days...was so blessing Then, Now and Forever
Siku hizi ni umaarufu tu hakuna nyimbo kama hizi mungu awabariki
nyimbo hizi za zamani hunivuta sana kihisia hadi machozi Kwa jinsi zilivyopangiliwa lkn zikipigwa hizi za Sasa mmmh
Ndiyo nyimbo hizi huwez kuzipata maana hawa wliimba kuptia roho mtakatifu
Ninamshukuru MUNGU sana kwa wimbo lakini waimbaji MUNGU anawaona mkiona wimbo mzuri Mara nyingi mnabrock hakuna kudownlod
Mungu awabariki waimbaji sana waimbaji kwa kweli nyimbo inasikika rohon kabisa
Mutazame Baba WA Imani kamili huyu hapa andika MITO YA BARAKA TV DAVOICE akiimba live wimbo huu nimelia juu ya furaha na wewe pia utafurahi utakapo muona na watu jinsi wamefurahi zaidi
Ulyankuru hakika mliimba mkiwa rohoni mavazi yenu mazuri MUNGU awabarki mkaingie mbinguni mkapate thawabu yenu
Indeed 2020 covid 19 was siku za kutabika for humanity
06/09/2021 Yesu ni mwema sana , bado nasisimkwa na ujumbe kupitia kipawa walichopewa watumishi hawa kupitia sauti zao ujumbe umefika....Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu
2020 we here👌
Nabarikiwa sana💕 waliotangulia mbele za haki Yes awapumzishe kwa amani
@@giftswai4432 Amen
Hii ndio kwaya sasa waimbaji wanaojielewa sijui bado wapo jamani ningependa kujua
Wapo ndg...Tabora. Tuwaombee waendelee kuimba na kutoa album zao zitufikie.
Kumjua Bwana kutokea kwake no yakiniii.....,penda sana
Tazamaaaa Bwana anakuja...! Nani yupo kuangalia Dec 2019
Emungu nakumbuka urambo nikiwa ndogo mzee alipenda sana nyimbo hizi
Hakuna kwaya utakuja kutokea kama hii kiukweli, na hii ingekuaga wametoa hii album miaka hii ya plat form hii kwaya ingekuaga tajir mno tz, dah, hainiishag hamu kuisikiliza
Still watching this powerful song
Nabarikiwa Sana , uwe na Mwaka mpya 2021 mwema wenye baraka na mafanikio Mengi
Nilisikia huu wimbo kadri miaka 16 iliyopita. Nimeungukia tu leo! Barka tele!
Keep it up, your songs blesses many,may the Lord bless you so much
God bless this gosepl music
Daah!!! Naenjoy sana nyimbo hii!!!! Jamani Bwana Yesu anakuja
mbarikiwe Sana mungu awe juu yenu
wanipeleka miaka ya '90s niliposikia mara ya kwanza.mungu awabariki Sana.
Vraiment avec cette chanson je suis toujours dans la présence de Dieu
Who is watching and listening 🎧 song with me 2022 woow those days this was the impressive dressing Cort