Katika Viumbe Vyote, Barabara 13 - Kwa Viumbe Vyote
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Katika Viumbe Vyote vilivyoumbwa, ni binadamu pekee ndio wameumbika. Wimbo huu ndio wimbo maharufu sana katika nyimbo zote zilizoimbwa na kwaya hii.Mara ya kwanza ilijulikana kama Barabara 13 lakini kwa sababu ya umaharufu wa wimbo huu waliamua kuitwa Kwa Viumbe Vyote!
2024 huu wimbo bado unanibariki!
Abarikiwe sana alieweka kumbukumbu za hizi nyimbo! Zinanitia nguvu yakusonga mbele❤️❤️
I love this choir i listened to them when i was six years im now 35
@@Ryan-ToneUGMe too, because of my father I used to listen to these song's, how I miss those days😢
May GOD bless anyone who is listening to this song. AMEN.
October 2024 Mungu mwema sanaaaaa Toka ningali mdogo Hadi sasa namshukur mungu kukua katoka kristo.
Wimbo mzuriii enzi na enzii bado unadumu mioyoni mwetu...2023
Wimbo huu haujachujaaaaa hadi leo hiii 2024
seam 2025
1:40 waimbaji hawa walimaanisha kabisa ktk kumsifu Mungu hata ukiangalia sura zao ni uchaji mtupu nawaombea nafasi mbinguni kwa Mungu baba baada ya maisha ya hapa duniani
Natamani utoto jamani,,,,,nakumbuka tukiekewa cassettes hizi na Mama,bibi,babu aiseee mnanikumbusha mbali..Beautiful music
Whenever I miss my dad I come here to listen to this ....I know this song because of him....he still plays the whole album to date
Me 2
Me too can't forget my late Dad through this
God bless.@@musayaqub3367
Wimbo huu unanikumbusha wakati nilikata kauli kumkubali Yesu kama Mwokozi wangu, mnamo mwaka 2000. Nimeutafuta sana .
Hakika wema wa Mungu ulikuwa kwa waimbaji Hawa, nakumbuka mwaka 97 kaka yangu alikuwa akiziweka hizi nyimbo Kila jioni baada ya kazi za kutwa, ukweli zimetufanya kuwa Neema mbele za Mungu. Mungu awabariki na kuwarehemu watumishi Hawa. Amina🙏
Hivi wako hai kweli. Aki nakumbuka mbali sana ❣️❣️❣️❣️
Wapo wapi Hawa waimbaji kwa Sasa? Mungu aliwajalia nyimbo zenye mvuto,za ujumbe Bora na hazichuji utadhani umetoka Leo asubuhi!♥️🇹🇿🙏
Wengine nafikili washa lala
Bado wapo etii tn wanaimba
Wote wako uhai bythaway,,
@@JacksonMutinda-jw5qw kweli???
Wapo jaman
This people did worship in true worship...am here 2024 bado nikiskiza nyimbo zao
SAUTI ZILIZOPANGWA KWELIKWELI NATAMANI SANA KUKUTANA NA KWAYA HII, HUWA NASIKILIZA NYIMBO HIZI ZAO JUMAPILI KATIKA KIPINDI CHA NYIMBO ZA ZAMA BHB STUDIO KENYA NA MCHUNGAJI FESTUS KIMUYU BARIKIWA SANA KIKUNDI NZIMA AMINA
The song reminds me of my childhood days. Be blessed brethren...☺
Nakumbuka 1999 nikiwa Mbeya city Tz
Christmas 🎄 Mama alikua ana tu wekea tuna angalia ili tu enjoy
Nasikia walikufa kwenye ajali ya Mv. Bukoba 97 😥😥😥😥. Miongoni mwa nyimbo za utotoni mwangu zilizonilea
Nakumbuka hii kwaya ilikuwa inanisababishia kugombezwa mara kwa mara kwa kosa la kumaliza bettri. Zilikuwa bettrii za bello na wakati mwingine National. Dah! Kitambo raha sana. Hizi kwaya leo hazipatikani.
Dah hatari sana betrii za national
Kwa kweli katika viumbe vyote binadamu kaumbika kuliko vyote....🎉🎉🎉
Nimebarikiwa zaidi since2004sijawahi kusikia huu wimbo tena Mungu awatende mema
My Mom's Gospel Jams Back Then❤️As A Millennial, I Had To Rewind These Nostalgic Memories 🔥
Nyimbo iliimbwa nikiwa chini ya miaka kumi,Sasa tunaona mambo yameanza kutimia nko zaidi ya miaka arobaini,bdo ujumbe uko hai na mpya,utukufu Kwa Yesu
Wowww lovely, reminds me of early 90s listening to Biblia Husema programme whilst growing up in Kericho
i really recommend who ever composed this song..its so spiritual and educative.May God bless this choir team
Amen
Nyimbo za nzama ever blessings my heart
Hakika MUNGU aliwapa macho ya rohoni katika kuieneza INJIRI watumishi wake, hakika maono yenu na upeo wenu Bado mnaendelea kutujenga daima nasi wa nyakati hizi kuendelea kutambua ya kuwa MUNGU ndiye asili ya vyote vionekanavyo na visivyoonekana. AMINA.
I can't forget these songs, I feel good and blessed.
Hakika yesu ni watofauti
Nyimbo za zama.....na mchungaji Festus.....❤
Wamama walipendeza sana umo
Mungu awabaliki popote mulipo
Yani acha MUNGU aitwe MUNGU kwaeli.MUNGU awawape kuishi katika ulimwengu wa roho amin
Nyimbo za hil kundi ki ukweli wamejaaliwa Sana, nyimbo zao ukizisikiliza kw makini zaweza kukutoa machozi, m'barikiwe sana
I love 2:24. This is God speaking in this song
When I hear flashback gospel songs my heart start beats slowly and steadily may God blesses you legends 👌
This choir has got good timeless Songs.. God bless these legends of Gospel industry
Hizi ndio zilikuwa nyimbo enzi zetu, hazichuji aloo❤
Hallelujah Mungu ni mwema. Waimbaji hawa walitubariki sana kwa nyimbo zao. Amina
Amen kubwa hallelujah I'm so happy to see you guys singing Lingala song ❤❤ ,may the Lord bless you
Wimbo wangu pendwa kwakweli nabalikiwa sana
Kwel yan mnajua mungu awabarik popote mlipo .
Wimbo mzuri wa enzi zile. Mungu awabariki waimbaji!
Asante sana waimbaji hawa sijui kwa sasaa wapo wapi
❤nazipenda sana Mungu awabariki sana hawa waimbaj
I give thanks to the Almighty for whoever composed this song for it is a blessing to many as it blessed my heart, and also made it known that human beings are special creatures before the Lord. May God Bless you "Maingi Mbai, Murang'a University"
This songs are very attractive you can even listen even from morning to night without getting tired
Ijapokuwa ni mpagani/athist lakini hapa ni pale talent,passion na originality vimekutana hizi zilikuwa good old days.
Hata leo nasikiliza tena hii wimbo
Kwa kweli waimbaji hawa walikuwa wakitumikishwa na Mungu, mubarikiwe tena kama mukingli hapa Duniani
Huu ni moja ya nyimbo iliyo na uwepo wa Mungu ndani yake kwa maana waimbaji hawakuwa mtazamo wa kibiashara
Huu wimbo nakumbuka miaka ya tisini na kitu nikiwa mdogo Kuna wapangaji walikuwa wanaupenda Sana
Glory be to GOD. This choir is so special. the songs reminds me of the preciours child memories and family members. The songs are purely bible words. God bless you dears so fearfully wonderfully a human was created. enjoying the songs from Italy
Hawa watu Mungu azidi kuwalinda myoyo yao waliyo jaliwa kumaliza vema tukutanie mbinguni ujumbe walio uacha kupitia hizi nyimbo Nina uhakika uta doom myaka yote
Mwaka wa1994 nilikuwa nasikiya iyi nyimbo wayimbaji wakingali paka sasa yivi nazani siyo wengi
Mungu awabariki sana. Nyimbo hazichuji kabisa. Mko wapi jamani. ❤
Nabarikiwa na Wimbledon huu azidi pewa sifa MUNGU
After asking myself endless questions because of the pain caused to me by people, God has brought this song to my mind. Glory to God
Wabarikiwe Sana huko waliko
Waimbaji wazuri sana nyimbo zenye ujumbe halisi. Wakina Habona
Wapi like za kufungua mwaka wa 2024
2023 pita na likes
Glory to God. He created me in His own image and the bible continues to say that his creation to subdue and gives names to His creation. What an honour He gave us.
This song reminds me 1980s Bibilia usema studio
2022 Bado inaishi maishani mwangu na inanibariki sana.
Ata mm aisee
Waimbaji wa sasa pia Mungu anawatumia warekebishe mambo madogo madogo
2024 nko uku in full force.i belong to tbt❤
Nimeupenda sana wimbo.walinizunguka kama nyuki st.veronika mko juu
nyimbo bora kwa wakati wote. kazi nzuri ibarkiwe daima.
Kwa kweli kwaya hii kwa viumbe vyote . mungu awabariki
Mungu awabariki sana waimbaji wa wimbo huu, na mtunzi wa wimbo huu.
Hizi ndo nyimbo tulizokua nazo❤
I will never ever forget a singe lyric in these songs
Mungu awabariki sana hawa waimbaji walinibariki ni kiwa mdogo.
Enzi hizo...hata kuzaliwa bhado.Nyimbo nzuri sana
1988 mpaka 2024 bado ni wimbo bora kwangu
Nyimbo zimetoka mwaka gani
Mungu awabariki sn Wana mwaya ya Ulyankulu❤❤
I wish one day any promoter to prepare an event where all the old choirs and singers will meet and perform their old hits
Huu wimbo hunibariki mno. Asante waimbaji.
Wow! My sist found it just today and shared it with me! We did grow listening to this. Thanks for sharing ❤
Amazing and touching
Mm ulibariki sana huu wimbo 1992
We used to listen to this song on a cassette back in 1995.
Nakumbuka mbali Sana miaka hyo
Namkumbuka enzi hizo walipatika Makazi ya Ulyankukulu Wilaya ya Urambo ambapo kwa Sasa Ni Wiliya ya Kaliua Mkoa wa Tabora ukweli walivuma sana
30 years on . This song is a great blessing]
Amina nikiwa namiaka kuminatatu.
Wonderful song. Blessed this 2024 listening and reflecting
Amen you still instill the blessings to me until today🌿🍀🌹🥀💐🌷🪷🌸💮🏵️
My favorite since 1990.. Touches heart so much. God bless them richly
Nice music ever🙏🙏may continue blessing them wherever they're 🙏
Hawa walikuwa ni waimbaji wa kipekee sana walikuwa wanaimba na kuweka picha za kile wanachokiimba siku hizi ni mastepu ndio yanayoonyeshwa:
Mulitumika vizuri mungu atawalipa
Bado tupo hapa 2020, nyimbo ni tamu sanaaa
Asante sana ...Nyimbo za zama zinabariki
One hundreds years coming it Will remain that's songs
Hongereni Sana waimbaji
Nyimbo ambazo hazichuji maishan mwangu
Mungu na hawabariki tu sana
this is very very old song, i bought this choir tape 18 years ago in Arusha
Barikiwa sana 🙏 🙌 👏 amen amen 🙏 🙌 👏 wimbo safi sana 🙏
Let us pray for the late Senator of Nimbia Co General Johnson was a decent human for Nimbian his death was shocking to many Liberian one of the greatest Senator of Liberia who represent nimbia con in the house and today is our last day of seen him but however, soldiers die another soldier take place, he actually a great soldier in Liberia. May his soul rest in perfect peace and let all perpetual light shine upon him.
Thanks brethren. You are a blessing. I hope the same faithful God who gave you that grace has kept you through all those years, for a lot has changed since that time.
Amen . Mungu atukuzwe kwa wimbo mzuri
Barikuwa aliye weka huu wimbo
Mbarikiw sana
Thank you Jesus for having created me the greatest product on earth