JEMEDARI: WATANZANIA WASHAMBA | NIMEKAA NA VIONGOZI SIMBA YANGA NA AZAM KUNA USHAMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 май 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 34

  • @user-mr9xp5mr7i
    @user-mr9xp5mr7i Месяц назад +2

    Huyo Mwenye kifaduro anaongelea Gift Fred Kwanini asimtaje Che Malone anayepata nafasi kama lawi?
    Huyo Kifaduro Sijui Teja mstaafu

  • @user-mr9xp5mr7i
    @user-mr9xp5mr7i Месяц назад +2

    We Ndio Mshamba Namba moja

  • @user-gg9np1hy2d
    @user-gg9np1hy2d Месяц назад +2

    Nenda ww kawe kiongozi muadilifu, mchambuzi unachambua majani au?

  • @johanesdeogratias5106
    @johanesdeogratias5106 Месяц назад +1

    Huyu jamaa, jana kalala baa anamkia leo kazin et!! Hiv lomarisa unamfananisha na kibabage,, kweel tumefkia huko, fei toto awe sawa na chama, pacome,au aziz key, aaah!! Sheeila elimon palangwiii

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Месяц назад +1

    Huo ni ukweli,tunateswa na ushamba,,achana na wanataka kusifiwa na hao unaozozana nao happy ndiyo kabisa,siku hizi wanajiita Chawa.Vijana wenye vipaji wamejazana hapa kinachotakiwa kuwezeshwa.Hawa mnaowashobokea leo wametengenezwa huko watokako.Usione kinaelea kimeundwa.Tuache ushamba.Hovyo sana.😊

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Месяц назад +2

    muache ujinga wao wakina kilwa na aucho ata kwa nchi zao unakuta awaimbwi sio tz tu mkome kusema ushamba wakienda nje wakafanya vizr watapendwa uko uko mkomeeeeeeeeeee

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Месяц назад +2

    Wachezaji wetu hawathaminiki Fesal anaimbwa na nani.
    Fesal alifunga timu ina wachezaji 7 acheni kuwapa nguvu wachezaji wazembe
    Wachezaji wa kawaida ni kina nani.?sasa hutaka tumtaje Aziz Key .
    Kibabaje na Lomalisa usifananishe kabisa.
    Unamtaja Engineer yeye ndie anaefuata wachezaji nje ni quality tu .Chirwa aliimbwa aana pia.yooote hayo ni Diara .Aziz key wasipate tuzo😂😂😂😂😂

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 Месяц назад +2

    Yani fei afanane na cham mh machambuz wetu hawa

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 Месяц назад +2

    Mshamba mwenyewe

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Месяц назад

    Kwa hio jemedari mama mzazi ni mahamba kweli na hata baba yako mmmh wewe ni mwendawazimu tena mjinga sana

  • @grasiuslongo6186
    @grasiuslongo6186 Месяц назад

    Mwamba anzisha team ili uwa promote wachezaji wako unaumia sana

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Месяц назад

    Si unaona hata mbwana samata wanamtukana badala ya kumpatia heshima kweli watanzania ni washamba

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Месяц назад +1

    Muulizeni anawachezaji wangapi anawasimamia mpaka sasa?

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Месяц назад

    Wachezaji wa ndani sio wazuri ndio maana akuna ofa yoyote kutoka nje ya nchi ikija ofa ni wale wachezaji wa nje tu wanahitajika tu,sasa tutaimba kitu ambacho hakipo wafanye vzuri nao waende nje wakaimbwe

  • @user-rc9oz9yi3o
    @user-rc9oz9yi3o Месяц назад +1

    Watu anaumwa na Yanga mpaka wanakosa La kuongea. Hatukatai wachezaji wetu ni wazuri Lakin mbona Hao mnaowataja haendi kucheza nje na hata offar kubwa zinazokuja ni za wachezaji wa njee

  • @allyahmed3726
    @allyahmed3726 Месяц назад +1

    Wewe na wachezaji wako wa ndani ndio washamba… tamaa za kuuza match ndio zinawaponza hizoo

    • @StoryTellersTZ
      @StoryTellersTZ  Месяц назад

      Duhh

    • @user-gc1ez1yv4k
      @user-gc1ez1yv4k Месяц назад

      Jemedari usikate tamaa,wape elimu vijana wenzio,ni washmba hadi huruma,hawa hata wakioa wanataka mke amfulie nguo ya ndani(boxer)Binafsi wachezaji wa nje siwapendi,wazururaji wanaopewa heshima kwenye nchi ya washamba.

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Месяц назад +1

    Acheni kuwaharibu Wachezaji wa ndani.
    Makocha wa ndani nao ni shida.
    Wachezaji wa ndani wananashine kutokana na muunganiko wa wachezaji wa nje.wachezaji wa nje wametuzidi
    Enzi za kina Said Mwamba viwango vilikuwa juu.kwa sasa hakuna viwango kabisa

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад

    Huyu ni mshamba sasa km Feisal ametusaliti yanga tunampendaje fala ww

  • @user-gp2kh5pe1x
    @user-gp2kh5pe1x Месяц назад +2

    Ushamba ni neno gumu sana kulitumia,, wachambuzi kuweni na lugha ya stara,, ni ukweli usiofichika hawa wachezaji wa kigeni wameleta chachu kubwa ktk mpira wetu,, kipindi hiki hatuna wachezaji wazawa wenye viwango vikubwa sana,, waambie simba au yanga wasajili wazawa tu na tuone kama tutafika popote . Ukweli ni kwamba hatuna wachezaji wazuri kama zamani kidog hapo nyuma

    • @idybwoytz8485
      @idybwoytz8485 Месяц назад

      Kaka huyuu jamaa na yeye ni mupumbavu huweziii kutu aminisha wakatii hawaendiii kucheza mbeleeeee

  • @user-gg9np1hy2d
    @user-gg9np1hy2d Месяц назад +2

    Chuki tu huna lolote

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Месяц назад +1

    Ningesha miwani asiitaje Yanga? Amemtaja Gift makusudi ili Yanga aitaje!

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 26 дней назад

    Hivi Wende radio zao wanawasikia ..maana hamna hata Shuler ya awali ya mpira.hivi ulivyokuwa unachezea Maribor danadana na wewe ulikuwa unajuwa.kaka mpira kazi..na kama wanaweza wangechukuliwa nje ya nchi.uwezi kuzungumzwa bila kujuwa mpira..anzisha yakwako tuwaone wazawa.

  • @chabwasimanyori924
    @chabwasimanyori924 Месяц назад

    Shida mnataka kupaisha wachezaji ambao hamna kitu. Kwani tungekua na good players wengi si hata team ya taifa ingekua inasogea mbele?
    Yaani wewe nenda nchi yoyote uone kama unakua treated the same, what Ronaldo is paid ni sawa na wazawa wa Saudia? Kama saudia hawakubali kuwa na mke bila ndoa but Ronaldo yupo na mchumba tu. Shida ni kwamba mna wachezaji viwango vidogo lakini mnakaa hapo mnawapaisha ili mpate pesa nyingi Yanga na Simba. Acheni ushamba, kama ni wazuri watafutieni team nje kwani hamna passport?

  • @browntv1119
    @browntv1119 Месяц назад

    Hawa ndo wakukamata

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga Месяц назад +1

    Avic Town na Yanga ni maendekeo.
    Sisi Yanga tukiimba wachezaji wetu nyie mtulie haiwahusu sana.
    Sio washamba wewe una shida sehemu .
    Hebu nipe History ya kina SAID MWAMBA kwenda Karikoo lindi

  • @ramadhaningoda3524
    @ramadhaningoda3524 Месяц назад +1

    Na mama yake na baba yake ni watanzania sasa huyu akili zake zinawatukana mpaka wazazi wake

  • @ramadhanseif4178
    @ramadhanseif4178 Месяц назад

    Washamba nyie

  • @Salumu-gs6rk
    @Salumu-gs6rk Месяц назад

    Hawa wachambuzi hovyo kabisa

  • @Dula707
    @Dula707 Месяц назад

    We upo efm anza kumsifia shaffih dauda wa clouds fm hapo hapo,washamba ni nyie ambao kila kitu nyie mnaona hamkosei