MO KUJIMILIKISHA SIMBA! | ANAWAKOPESHA FEDHA | SIMBA HAITOKALIKA | KUHUSU KUCHANGISHA UWANJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 27

  • @marrykashaga538
    @marrykashaga538 3 месяца назад +3

    Maestro huna hoja . Unavuruga tu. Cpa masoudi pamoja na usomi wake, katuonesha madhaifu yake, hakujipanga, kuanzia kuitisha mkutano bar, na yote aliyo ongea hayana mashiko. Inaonekana hata yeye hajui nini kinaendelea Simba sc. Maana yeye mwenyewe cpa masoudi ashawai kusema 20bilion imewekwa Simba sc bdae juzi anasema pesa haijawekwa! Kwakweli amezingua sana

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад +4

    LEO JEMEDARI MPAKA USEME,NA BADO HUJASEMA

  • @Ybrandytz
    @Ybrandytz 3 месяца назад +1

    Ukweli kabisa

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 3 месяца назад +1

    Mo katoa fedha yake, haijalishi imetumika vipi, achaneni lawama na visingizio. Hakun cha ku "rescue situation" wala Mo kuongea na trustee. Mwekezaji anatoa fedha, wajanja wanazichapa halfu watu wanaleta visingizio..!

  • @MichaelMagawa-xn2ht
    @MichaelMagawa-xn2ht 3 месяца назад

    Toweni ushaur wafanyaje nyie mnachambue gaps za watu tu

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq 3 месяца назад

    Mnaota huyo tajiri wenu anaangalia maslqhi zaidi kuliko maendeleo ya timu

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 3 месяца назад

    Maestro acha kumuingilia mtu akiwa anaongea...una haribu

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 3 месяца назад

    jamani tajiri anatoa pesa sana hila uwongozi wanapija pesa kwahiyo kinacho onekana kwasasa wanamtupia matatizo tajiri wetu hili walete mtu wao sisi tutabaki na tajiri wao sisi atuwataki Tena watuwachie timu yetu

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 3 месяца назад

    Washabiki wa simba sisi wanafiki tumekuwa kamati ya ufundi makocha Sisi

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 3 месяца назад +1

    Wanajadili HEAR SAY!

  • @hamidjuma2178
    @hamidjuma2178 3 месяца назад

    Hawa waandishi wengi no yanga na wanatumwa kuharibu

  • @williamreuben4866
    @williamreuben4866 3 месяца назад +1

    Hivi hawa wameajiriwa hapa au wamejiajir hapa,maana sijui kama wanaelewa wanachokisema,yaan hoja zao hazifiki mwisho,

  • @255kessy5
    @255kessy5 3 месяца назад +2

    Mo alifanya makusudi kuizuia Simba isiingie kwenye mikataba ya kibiashara Kama Yanga wanavyofanya ili Simba wazidi kumtegemea

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +1

    KWELI KABISA HATUTAWEZA KUMKABIZI TIMU MOJA KWA MOJA

  • @asifznz
    @asifznz 3 месяца назад

    Zungumzeni TRANSFORMATION, HAWA NDIO WATU WA MO

  • @meshacksamwel2335
    @meshacksamwel2335 3 месяца назад

    Ishu siyo kusajiliwa na mo au wajumbe kumkataa.. ishu ni huo usajili umefata utaratibu wa club waliojiwekea au katika katiba yao-?. Mbna mnazunguka zunguka asee..

  • @RichardAmosi-hz3nm
    @RichardAmosi-hz3nm 3 месяца назад

    Yani hii radio wote nyie ni mazwazwa sasa hapo mnapiga stori au mmeturetea taarifa hovyo

  • @icesue6613
    @icesue6613 3 месяца назад

    Mo alikabidhi hundi ya 21b,mbele ya waziri, kumbe ilikuwa uongo ? Simba wakienda mahakamani Mo Hana kitu. Ktk Simba, msanii tu.

    • @revocatuscharles934
      @revocatuscharles934 3 месяца назад

      Uelewe kuwa mchakato haujakamilika unaenda mahakamani kwa msingi upi?

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 3 месяца назад

    WAMEKAA MIAKA 4 HAWAJAONGEA.WAMEAMBIWA WAONDKE.WAMEONA WANAKOSA NOTI.WAMEANZA KELELE

    • @jumas.sendekwa2788
      @jumas.sendekwa2788 3 месяца назад +1

      Kamani kuwaambia waondoke? Mo hawezi kuwatoa wajumbe ambao hakuwaweka

  • @emlongetcha88
    @emlongetcha88 3 месяца назад

    WANDANGANYENI WAJINGA PEKE YAO..... NANI ASIUEJUA KAMA YANGA INAMILIKIWA NA MTU MMOJA aliyeJuficha nyuma ya makapuni ya familia (TWENDENI PWANI TUKAULIZE, Baba wa inJinia yuko wapi!!😅😅😅 TANZANIA matapeli kila sehemu

  • @MeksonyJoseph
    @MeksonyJoseph 3 месяца назад +1

    S wepend simba yaani waondoke kabisa watuachie miaka iliyobaki duniani

  • @akwilaisseri5312
    @akwilaisseri5312 3 месяца назад

    Mjitahid kuacha mmoja haonge huu ni upuhuz mnafanya mtazania mpo kwy genge la kushabikia term fulan

  • @ProudNative
    @ProudNative 3 месяца назад

    Pesa za muhindi zina masimango sana mamae😂😂😂😂