Maestro huna hoja . Unavuruga tu. Cpa masoudi pamoja na usomi wake, katuonesha madhaifu yake, hakujipanga, kuanzia kuitisha mkutano bar, na yote aliyo ongea hayana mashiko. Inaonekana hata yeye hajui nini kinaendelea Simba sc. Maana yeye mwenyewe cpa masoudi ashawai kusema 20bilion imewekwa Simba sc bdae juzi anasema pesa haijawekwa! Kwakweli amezingua sana
Mo katoa fedha yake, haijalishi imetumika vipi, achaneni lawama na visingizio. Hakun cha ku "rescue situation" wala Mo kuongea na trustee. Mwekezaji anatoa fedha, wajanja wanazichapa halfu watu wanaleta visingizio..!
jamani tajiri anatoa pesa sana hila uwongozi wanapija pesa kwahiyo kinacho onekana kwasasa wanamtupia matatizo tajiri wetu hili walete mtu wao sisi tutabaki na tajiri wao sisi atuwataki Tena watuwachie timu yetu
Ishu siyo kusajiliwa na mo au wajumbe kumkataa.. ishu ni huo usajili umefata utaratibu wa club waliojiwekea au katika katiba yao-?. Mbna mnazunguka zunguka asee..
WANDANGANYENI WAJINGA PEKE YAO..... NANI ASIUEJUA KAMA YANGA INAMILIKIWA NA MTU MMOJA aliyeJuficha nyuma ya makapuni ya familia (TWENDENI PWANI TUKAULIZE, Baba wa inJinia yuko wapi!!😅😅😅 TANZANIA matapeli kila sehemu
Maestro huna hoja . Unavuruga tu. Cpa masoudi pamoja na usomi wake, katuonesha madhaifu yake, hakujipanga, kuanzia kuitisha mkutano bar, na yote aliyo ongea hayana mashiko. Inaonekana hata yeye hajui nini kinaendelea Simba sc. Maana yeye mwenyewe cpa masoudi ashawai kusema 20bilion imewekwa Simba sc bdae juzi anasema pesa haijawekwa! Kwakweli amezingua sana
LEO JEMEDARI MPAKA USEME,NA BADO HUJASEMA
Ukweli kabisa
Mo katoa fedha yake, haijalishi imetumika vipi, achaneni lawama na visingizio. Hakun cha ku "rescue situation" wala Mo kuongea na trustee. Mwekezaji anatoa fedha, wajanja wanazichapa halfu watu wanaleta visingizio..!
Toweni ushaur wafanyaje nyie mnachambue gaps za watu tu
Mnaota huyo tajiri wenu anaangalia maslqhi zaidi kuliko maendeleo ya timu
Maestro acha kumuingilia mtu akiwa anaongea...una haribu
jamani tajiri anatoa pesa sana hila uwongozi wanapija pesa kwahiyo kinacho onekana kwasasa wanamtupia matatizo tajiri wetu hili walete mtu wao sisi tutabaki na tajiri wao sisi atuwataki Tena watuwachie timu yetu
Washabiki wa simba sisi wanafiki tumekuwa kamati ya ufundi makocha Sisi
Wanajadili HEAR SAY!
Hawa waandishi wengi no yanga na wanatumwa kuharibu
Hivi hawa wameajiriwa hapa au wamejiajir hapa,maana sijui kama wanaelewa wanachokisema,yaan hoja zao hazifiki mwisho,
Mo alifanya makusudi kuizuia Simba isiingie kwenye mikataba ya kibiashara Kama Yanga wanavyofanya ili Simba wazidi kumtegemea
KWELI KABISA HATUTAWEZA KUMKABIZI TIMU MOJA KWA MOJA
Zungumzeni TRANSFORMATION, HAWA NDIO WATU WA MO
Ishu siyo kusajiliwa na mo au wajumbe kumkataa.. ishu ni huo usajili umefata utaratibu wa club waliojiwekea au katika katiba yao-?. Mbna mnazunguka zunguka asee..
Yani hii radio wote nyie ni mazwazwa sasa hapo mnapiga stori au mmeturetea taarifa hovyo
Mo alikabidhi hundi ya 21b,mbele ya waziri, kumbe ilikuwa uongo ? Simba wakienda mahakamani Mo Hana kitu. Ktk Simba, msanii tu.
Uelewe kuwa mchakato haujakamilika unaenda mahakamani kwa msingi upi?
WAMEKAA MIAKA 4 HAWAJAONGEA.WAMEAMBIWA WAONDKE.WAMEONA WANAKOSA NOTI.WAMEANZA KELELE
Kamani kuwaambia waondoke? Mo hawezi kuwatoa wajumbe ambao hakuwaweka
WANDANGANYENI WAJINGA PEKE YAO..... NANI ASIUEJUA KAMA YANGA INAMILIKIWA NA MTU MMOJA aliyeJuficha nyuma ya makapuni ya familia (TWENDENI PWANI TUKAULIZE, Baba wa inJinia yuko wapi!!😅😅😅 TANZANIA matapeli kila sehemu
S wepend simba yaani waondoke kabisa watuachie miaka iliyobaki duniani
Mjitahid kuacha mmoja haonge huu ni upuhuz mnafanya mtazania mpo kwy genge la kushabikia term fulan
Pesa za muhindi zina masimango sana mamae😂😂😂😂