@@Babyfaty-m3y kweli mapenzi konyo 🤣🤣🤣🤣🤣 unakuta mtu eti anataka kujitundika kwenye kitanzi kisa kaachwa sijui akifa ndo atarudiwa 🤣🤣🤣🤣🤣 ndiomana kama kupenda penda nusu ili ukiachwa uendelee na maisha🤣🤣🤣🤣
Watu kama tumerogwa vile juu ya simulizi 😂😂😂😂😂 ila Roy Mrembo ❤❤❤❤❤❤❤ kaka Lucas kwani hii ya Roy unaleta sangapi ili tujipange maana Roy hakiri yake anaijua mwenyewe eti atowe Moyo khaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Sijuwi niseme marahaba au hapana maana mimi sinaga marafiki sitaki kabisa mi naongea na kira mtu ila kusema eti mambo ya marafiki akuuuuu sitaki mie😂😂😂😂😂😂😂😂
Roy kicheche eti anataka ku proposal kwamwanaume ila wanawake wengine hawana mushipa wa aibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Roy hakili hana unapenda mtu kwa perfume tu chefu hivi kuna watu wanapenda kama Roy kweli harafu unauliza mtu kama ninguo zake na anafanya kazi gani 🤣🤣🤣🤣🤣
Leo nmewahi sana kazi nzuri kaka listening from Kenya much love
Wakwanza leo nipeni like🎉🎉🎉🎉
❤❤❤🎉🎉
Wakwaza like zang bila kunibania tyukiwa nakityu kipya Roy❤❤❤❤❤
Motooo🎉🎉🎉🎉
❤❤Asante kwa kitu kpyaaa mzingo wa🔥🔥 tuko pamoja🤝 wapenz wa Lucas lumbas🙏🙏 Haya Roy unasemaje💖💖
❤❤❤🎉🎉
Roy kapenda kwa perfume tu 😅😅😅
@@Babyfaty-m3y 🤩🤩🤩
@@Babyfaty-m3y upendo upofu me napendwa miguu 😁😁😁
@@TeklaNdekeja 🤣🤣🤣🤣🤣me napendw nyash
🎉🎉 Asnte
Ongeraaa❤❤👏
Hakika
Kitu kipya kimewasili Asante sana Kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
♥️♥️♥️🎉🎉
Ndio mida yake hii 🎉🎉🎉🎉karibuni members
❤❤❤🎉🎉
Nice story be blessed kaka Lucas kazi nzuri pamoja brooo Asante sana 😇😇😇😇❤❤❤🎉🎉🎉
No 3 Asante lucas
Asante sana sana luca kwa kutuletea simulizi hii mpyaa 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🍕 🇹🇿 ciao ciao
❤❤❤🙏🙏
Huyu mwaume ni mshenzi tu tena malaya mkubwa 😮😮😮😮
@zenahuyo si Lizikiathumani8144
Good job thanks brother ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Jamani leo lucas😂😂
Tnx ndugu Lucas ubarikiwe ❤❤❤🎉
Mbna umebadilisha jina la mwnmke lucas ila cyo mbaya ❤️❤️❤️
Kwani umesoma hii simulizi wapi?
Roy jamaniiiiiiiii 😊❤
❤❤❤🎉
Shukran kaka Lucas kwa simulizi mpya ❤❤❤🎉🎉🎉
Asante anko lucas ❤❤❤❤ bedroom 15
Jamani saahagapi roy2
Hisimuliz ndo nimetoka kuisoma hapa asnte lucas kwa kunirahisishia kaz😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Umeisoma wapi mwaya?
@@Evelynmoreen3655eti s atwambie😂😂
@@Evelynmoreen3655kwanza ndio narud kuisiklza😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤wa kwanzaaaaa
Asnte kwa mzigo kaka Lucas
Nilitaka kulia leo nilijuwa akuna simulizi ❤❤
Jamqni uyukakutwa na nini hadi asipedetena polemwaya❤❤❤
😊😊😊
wuuuueeeh ku proposia mwanaume
Binadam wabaya ndivyo walivyo roho mbya kaona mwenzake anafaidi roho ya kwanini mungu huwalipia wenye subira
Wacha walpwe kwa ubaya wao🎉
Wa kwanzaa leo nmewah jamaniiii mnipe likes zangu
Wa1
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤🎉
❤
Wa kwanza nipewe likes plse
❤❤❤🎉🎉
Roy unatak kutoa moyo wko upo vzr mama kwa kupenda ukipenda unapenda mazima🤣🤣🤣
Upendo wa Roy niwakiwango chaju😂😂😂😂😂😂😂 we huogopi mtu kupenda perfume 😂😂😂😂😂😂😂
@Evelynmoreen3655 ila inatokea iyo mtu unampenda mtu bila kmjuw inawek imagination zko tu ila yy kazd mpka atake kutoa moyo wke🤣🤣🤣
@Babyfaty-m3y 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 watu wameshindwa kuishi harafu hafikilii hata hafya ya mama yake.
@Evelynmoreen3655 mapenz konyo nasbr iyo sehem 2 nije nione tutazik au tutasafirisha🤣🤣🤣
@@Babyfaty-m3y kweli mapenzi konyo 🤣🤣🤣🤣🤣 unakuta mtu eti anataka kujitundika kwenye kitanzi kisa kaachwa sijui akifa ndo atarudiwa 🤣🤣🤣🤣🤣 ndiomana kama kupenda penda nusu ili ukiachwa uendelee na maisha🤣🤣🤣🤣
Nawapa nyote like wala msikonde kama kawa ❤❤❤❤🎉🎉 nawapenda pamoja na msimulizi wetu lucas lumbasi
Jamani sauti nzuri sana❤
Wa 3😂❤❤❤❤
Watu kama tumerogwa vile juu ya simulizi 😂😂😂😂😂 ila Roy Mrembo ❤❤❤❤❤❤❤ kaka Lucas kwani hii ya Roy unaleta sangapi ili tujipange maana Roy hakiri yake anaijua mwenyewe eti atowe Moyo khaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
❤❤❤🎉🎉😂😂😂
Hata mi nimemkubali
@@YasintaHongela-j4s kweli ni mzuli Roy.
😮😮😮 polesana roy🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮😊😊😊😢😢😢😢😢
pole Roy mausiano bwana yanachekesha sana 😂😂😂
Jamani nime wai au??
Lucas mbona mm napenda simulizi 🎉
Ki theee jamani ila lucas😂😂😂😂
Mi sikupata notification kwanini😢😢😢
Ila royiiii😅😅😅😅😅
❤❤❤❤❤
😮❤❤❤🎋🎋🎋🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀🥀🥀🎋🎋🥀🥀🥀😂😂😂😂😂 balaa la Roy ni kubwa jamani, ana fall in love na perfume tu 🤣🤣🤣 nimecheka😂😂
HakikA kila shetani ana mbuyu wake
😂😂😂😂😂Roy kajua kunichekesha😂😂😂😂😂
Uyu dada ananichekesha kweliii 😅
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ waoow
Usikute Nelson akipona hatamukubali Roy🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nitacheka.
Yaan alaaniwe pakubwa
@FatumaJumanne-p4d wanaume wanauma nawakikuuma sasa hadi utatokwa Jasho kwenye meno🤣🤣🤣🤣🤣
@Evelynmoreen3655 Nawaza mama Roy acende kujvesha mabomu il mwanae awe na furaha.
@FatumaJumanne-p4d najinsi anampenda mwanae lazima aende tu.
@@FatumaJumanne-p4d😂😂 ila napenda mwanae Mungu amsaidie Roy jamani
Shikamo marafikii kudadekii zaò popote mlipo na wanaumee kama deliki mfee wote do maana mm cpendi marafikii kwa kweli
Malaba dear🤣🤣 hatuko hv ote😁😁💖 nipende m pekeangu sio kigeu🤪
@TeklaNdekeja hhhhhh nimwendo wa kuhamaa 2 hhhhhhhh mm naongopa matukio yaani
Sijuwi niseme marahaba au hapana maana mimi sinaga marafiki sitaki kabisa mi naongea na kira mtu ila kusema eti mambo ya marafiki akuuuuu sitaki mie😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655Nikweli kwa hari iliopo nistorit zakawaida marafk ni nafkit😅
@@Evelynmoreen3655 umeonaa eeh yaani anakuua huku anakuchekeaa
Tuletee bed Room
Kaka lumbath 😄😄😄
Mwanamke Mzur ila kchekesho cjui lastborn 😂😂😂😂
@@FatumaJumanne-p4d hhhhhhhh
@@salmazwallo5920 Na ww lastborn nn🤣🤣🤣🏃♀️
Story inaonekana tam
Hy mbwa 😂😂
Lucas 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂 roy nimechek jaman siy kwa proposal hiy na ich kithemb me hoi 😂😂😂
Weeeee kunani tena uku keshapigwa tukio uyu😂
Natena anatafuta shida kwakutongoza wanaume🤣🤣🤣🤣
@Evelynmoreen3655 Thatha thi amehithi kama kumpenda 😂🙌
@LeeYanOm 🤣🤣🤣🤣🤣
@Evelynmoreen3655 Thatha wee uliona wapi mtu anapenda mtu kitha perfum tu 😂
@@LeeYanOm 🤣🤣🤣🤣🤣 unataka kunivunja mbavu na amependa thana.
Kwani siulisema Chichi inaendelea mbona atuiyoni kaka Lucas
Nimewahi jamani 68 nipeni like nimejitahidi 😢😢😢😢😂❤
❤❤❤😂😂🎉🎉😢😢7
❤❤🎉
Asante kaka Lucas nice story
😂😂😂😂❤❤❤❤
Roy kicheche eti anataka ku proposal kwamwanaume ila wanawake wengine hawana mushipa wa aibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Roy hakili hana unapenda mtu kwa perfume tu chefu hivi kuna watu wanapenda kama Roy kweli harafu unauliza mtu kama ninguo zake na anafanya kazi gani 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣labda ana mfadhaiko wa kuachwa na Derick lakini unapoanza mahusiano na mti tegemea lolote siyo kuchanganyikiwa ovyo ovyo kama Roy😂😂😂pole zake
@avelinabaluhya2804 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimemuvulia kofia Roy hata aibu hana kabisa.
Kuchelewa si kukosa ❤❤
Kwani muda bado kaka umesema utaturushia mzingo tuko kwa lango ila hakuna
Roy bwana 😂😂hata simwelewi i say,unapenda mtu usiemjua hata upende jini,haya bana yakimkuta
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kua na mtt km Roy nihasala walai 😂😂
Icho kisembe chako lukasi umezidisha jmn khaa 😂😂
Jamn sio kwa kisembe icho😅😅😅
Baadae ya saa ngap watu tunaisubur mwisho wa hii simulizi kama kitu gan sijui...
Jmn huy dad kanichekesha😆😆😚😚😚😚 san
❤❤❤❤❤❤❤🎉😅
Hao ndomarafiki wanafiki yani unajua umemchukulia mwezako furahaa yake halafuuu humwambii mwisho mnakuja kumwaibisha pole mwayaa utapata wako
❤❤❤
❤❤🎉🎉
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤