Amina Sema sababu ni nini kama umeambiwa na Mungu Changamoto za uongozi ni ngumu tunaelewa kama umetumwa waambie watu waombe Mungu anajua Yeye alichaguliwa kwa katiba hajaomba Mungu mwenyewe atajitwalia utukufu Soma Yeremia 28 10-17 uone habari ya Nabii Hanania yaliyompata
Si kila kitu kinahitaji mtu aombe mengine yanamhitaji mhusika achukue hatua mheshimiwa. Mfano Nabii Yona alipeleka unabii Ninawi, kwani alikuwa ameshindwa kumwambia Yona aombe kwa ajili ya ninawi?.
Mama.Samia Hawa TRA. Wana shida hawatembelei biashara za watu zaidi ya kukaa maofisini na kuandika madam ya kodi kwa simu.huku wakijua kuwa biashara zilishakufa siku nyingi.watembee ili kupata ukweli
Mtumishi samahani tupunguzie sauti ya back ground music.inakula sauti ya waongeaji.muombe unjinia wako wa aweketu tu sauti ya chini sanaa iskike kwa mbali yan itanoga tu sana maana kakinanda nako yah ni katam sana lakin kanaharibu kakiwa juu kupita kiasi maana sana kanaumiza na kukosesha sauti za waongeaji
Uko vizuri sana mtumishi wa Mungu. Nimekuwa nikifuatilia baadhi ya jumbe zako,nabarikiwa na nafurahi kuona nchi yetu Mungu anajishughulisha nayo kwa wema. Linalonisumbua tu mtumishi unisaidie au kama kuna wa kunisaidia,je mheshimiwa Rais wetu mama Samia, anaziona hizi jumbe zote zinazomhusu? Na hata wengine wanaopewa ujumbe huu wameusoma/umewafikia?
Hata mimi nimepata ndoto hii kuwa nchi inakuja kuwaka moto na nikaambiwa hayo unayoyaona ni kwamba Utawala wa Mussa na fimbo yake Umeisha Sasa utanakiwa Utawala wa David kijana mdogo. Kwahiyo anayetakiwa kutawala ni mtu mwenye maono ya vijana wa Millennium na Gen Z ndio atawale Tanzania
Hivi kwa Nini watu wa system hawawashughulikii kanjanja kama hawa? Sasa mhusika ni Dr. Samia sisi wananchi wengine yanatuhusuni? Nyinyi watu wa kaskazini mtasumbuka sana, CCM iko imara.
Nisivyokuelewa ni pale tu unapodhani Magufuli amekufa kwa ajili ya kupisha hayo unayosema mama Samia kayamaliza. Wewe sema alipaswa akimalizia miaka ya Magufuli baada ya kifo chake, yeye Samia atoe nafasi ya ushindani huru kwa kugombea nafasi hiyo ya Urais na sio kudai kwamba jina linapita pasipo kushindaniwa kwenye chama chake. Huo ndio ibinafsi6na kunogewa na madaraka. Maana ni KWELI analazimisha nafasi hiyo pasipo uhalali.
MWALIMU NYERERE AMBAYE NI BABA WA TAIFA ALISEMA MAENDELEO YA NCHI YAENDANE NA MAISHA BORA YA WANANCHI. FLY OVERS, DAT, TRNI ZA MWENDO KASI HAZITAKUWA NA MAANA KAMA WANANCHI UMASIKINI WAO UNAONGEZEKA
nyie mnaompinga huyu kijana mnauwelewa kweli manabii wote wanasema samia hana nafasi inayoonyesha kwa atakuwa Raisi 2025 tuompee nchi yetu mmeona nguvu ya uma iliotokea kenya mpaka Ruto ameomba pooom msichese na mda ukifika mimi kamanakuta na Rais samia nikapata nafasi ya kuongea nae na akataka ushauri kutoka kwangu.ningemshauri mambo matatu 1 awazikilize wanainchi 2 amwondoe mwigulu kwenye nafasi mwigilu ndie anaesababisha wananchi wachukie uongozi wa samia 3 Raisi akatae sifa .za machawa wanao sifa bira kukosowa hawa ndio wabaya wake babdae kama raisi ana washauri wake au mtu anaemshauri ajane nao hawa msaidi Raisi atumie akili yake na mungu wake nakumbuka hotuba alioitowa Raisi wakati anaingia madarakani angetembea mlemle pasi Rais wetu angekwa kipenzi cha wstanzania sisi tulio chini huku kila kona popote ukienda inchini watanzania wanalalamikia uongozi wa Rais wetu mimi hunitoka machoni nikiona mama ya kuonewa huruma anatakiwa asaidiwe wasaidizj wake hawamsaidie wanapaki kumsifia raisi kinafiki
HUDUMA YA KRISTO samahani naomba jina la huu mziki (instrument). Ni nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
NABII wa Mungu barikiwa sana ,kazi yako njema .kazi ya NABII Nikufikisha taarifa kazi iko kwa anaepewa taarifa Amen.
Amina
Sema sababu ni nini kama umeambiwa na Mungu
Changamoto za uongozi ni ngumu tunaelewa kama umetumwa waambie watu waombe Mungu anajua
Yeye alichaguliwa kwa katiba hajaomba Mungu mwenyewe atajitwalia utukufu
Soma Yeremia 28 10-17 uone habari ya Nabii Hanania yaliyompata
Si kila kitu kinahitaji mtu aombe mengine yanamhitaji mhusika achukue hatua mheshimiwa. Mfano Nabii Yona alipeleka unabii Ninawi, kwani alikuwa ameshindwa kumwambia Yona aombe kwa ajili ya ninawi?.
Mungu hahojiwi Babu akisha sema Kesha sema
Amina Mtumishi,Mungu hataunyamazia utawala wa wakati huu ambao ni wa uharibifu,hatuna budi kuadhibiwa!
Mama.Samia
Hawa TRA. Wana shida hawatembelei biashara za watu zaidi ya kukaa maofisini na kuandika madam ya kodi kwa simu.huku wakijua kuwa biashara zilishakufa siku nyingi.watembee ili kupata ukweli
Aache king'ang'anizi aende kwa amani sio kwa vita,
Amen! Breaking News: Rais Joe Biden wa Marekani amejitoa kwenye kunyang'anyiro cha urais!
Anang'ang'ania maslahi yake sio ya wananchi
Sitakuelewa, namwelewa Mungu tuuu
Mimi nafurahia sana maana hatujui tunaelekea wapi
Mungu atawaonyesha kwa sababu Mungu adhihakii hata siku moja. Mungu azidi kukuonyesha zaidi
Hakulazimishwa nahakuchaguliwa asubiri apigiwe kula
Nabii wa shetani
Mbona kwa kagame hakuna mambo kama haya ya unabii hayapo tuseme kule hakuna MUNGU anae tumia unabii hawa manabii
Mungu wako inaonesha kuwa ni mlevi akeshalewa ndipo anakupa unabii.
Huyu mungu aliye mlevi utamuona baada ya siku 7 akikutendea ulevi.
@@hudumayakristo acha kutishia watu wenye akili huyo mlevi mwezako hana uwezo wowote.
@hudumayakristo
Usimjibu mpuuzi
Sema tu mtumishi was MUNGU haijalishi watasikia au hawatasikia maana ni kizazi chenye shingo ngumu.
MUNGU atusaidie Tz.Mziki wako huu mzuri.
Halafu wapo Viongozi wa CCM wanamponda Raisi wa Kenya. Maajabu sana 😮
AMINAAA barikiwa shaloom
JINA LA HIYO INSTRUMENT PLEASE
Instrument ni nzuri Yaani inaburudisha sana!! Imenipa kuutafakari Ukuu wa MUNGU Baba Muumba wetu . Naomba ukipata jina lake unipe. Asante
TIME WILL TELL, Acha Wapuuze na Kudharau Unabii"
Haelewi sasa!
Ameeen
Mtumishi mie niombee my nina majanga
Ebu Muulize Mungu kua watanzania wanauliza maandamano rasmi rasimi lini? Alafu tuletee majibu sawa nabii wa samia.
Punguzeni mzaha mpendwa Mungu hadhihakiwi, ni vema kuamini Mungu yupo kuliko kutokuamini kuwa hayupo, ukamkuta.
Mtumishi samahani tupunguzie sauti ya back ground music.inakula sauti ya waongeaji.muombe unjinia wako wa aweketu tu sauti ya chini sanaa iskike kwa mbali yan itanoga tu sana maana kakinanda nako yah ni katam sana lakin kanaharibu kakiwa juu kupita kiasi maana sana kanaumiza na kukosesha sauti za waongeaji
Uko vizuri sana mtumishi wa Mungu. Nimekuwa nikifuatilia baadhi ya jumbe zako,nabarikiwa na nafurahi kuona nchi yetu Mungu anajishughulisha nayo kwa wema. Linalonisumbua tu mtumishi unisaidie au kama kuna wa kunisaidia,je mheshimiwa Rais wetu mama Samia, anaziona hizi jumbe zote zinazomhusu? Na hata wengine wanaopewa ujumbe huu wameusoma/umewafikia?
Jumbe zote anaziona100%
Shalom, mtumishi wa Mungu endelea kusema yote Mungu anakufunulia
@@hudumayakristo Afadhali kama anaziona. Ni yeye tu sasa aamue kuzingatia,madam ameziona hizo jumbe. Asante sana mtumishi kunijibu.🙏
@@HezronJeremia Kabisa, Mungu amtie nguvu na ujasiri,asiogope kusema ukweli ambao Mungu kamtuma auseme.
Hata mimi nimepata ndoto hii kuwa nchi inakuja kuwaka moto na nikaambiwa hayo unayoyaona ni kwamba Utawala wa Mussa na fimbo yake Umeisha Sasa utanakiwa Utawala wa David kijana mdogo. Kwahiyo anayetakiwa kutawala ni mtu mwenye maono ya vijana wa Millennium na Gen Z ndio atawale Tanzania
Hivi kwa Nini watu wa system hawawashughulikii kanjanja kama hawa?
Sasa mhusika ni Dr. Samia sisi wananchi wengine yanatuhusuni?
Nyinyi watu wa kaskazini mtasumbuka sana, CCM iko imara.
Kalale Kaskazini ndiyo nini?
Naona unachoongea no ukweli mtupu
Neno la Mungu litimie!
Hakika wewe nimtumishi wamungu nayote uliyo yaongea yatatimia kwakua mtumisjhi wamungu Rais magufuri walimzurumu nafsi yake damu yake inawalilia hakika hakuna kiongoz aliye fanya dhuruma atakaye pona
Nisivyokuelewa ni pale tu unapodhani Magufuli amekufa kwa ajili ya kupisha hayo unayosema mama Samia kayamaliza. Wewe sema alipaswa akimalizia miaka ya Magufuli baada ya kifo chake, yeye Samia atoe nafasi ya ushindani huru kwa kugombea nafasi hiyo ya Urais na sio kudai kwamba jina linapita pasipo kushindaniwa kwenye chama chake. Huo ndio ibinafsi6na kunogewa na madaraka. Maana ni KWELI analazimisha nafasi hiyo pasipo uhalali.
Nabii hajawahi kulazimisha ujumbe wake ueleweke, huu sio unabii ni umbea tu
Nilazima tusisitize kwakua kizazi hiki nichaukaidi kizazi Cha nyoka
Hao watu wameruhusiwa ni halali yao. Mbona wakati wa Magufuli hiyo haikuwepo? Nawambia wanaruhusia na watawala wa ccm.
Huyo anae jiita mama alisema yeye ni chura akipigwa teke ageuki au aukumsikia mtumishi
Kwa hiyo ndio kituko ulichotabiri?😏
Huu sio unabii hata kwa kutazama na macho nchi inavyoongoza haya hayaepukiki ( mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake)
Abdul anapelekewa hizo pesa sasa kwa nini huyo mama yenu asiwemo?
Hata yeye anajua jukumu lake anelikamilisha.
Ila Vatican ndiyo wanataka kulazinisha aendelee
Yote yote tukusaidie nini wakati mambo yako yamevilia damu tena yenye usaha
Ndio Mtumishi wa Mungu kabisa
Wewe ni nabii wa Mungu wasiokuelewa sio waombaji
Huyo tapeli nabii nani huyo mchawi
Anang'ang'ania kwa nini? Basi arudishe Inchi yake Zanzibar katika Muungano bila kufanya hivyo Mungu pia atamfanyia kwa sababu hakuna haki yo yote.
Mnayembebesha mizigo mabegan hana uwezo wa kuibeba!
MWALIMU NYERERE AMBAYE NI BABA WA TAIFA ALISEMA MAENDELEO YA NCHI YAENDANE NA MAISHA BORA YA WANANCHI.
FLY OVERS, DAT, TRNI ZA MWENDO KASI HAZITAKUWA NA MAANA KAMA WANANCHI UMASIKINI WAO UNAONGEZEKA
@@nabiimgongolwa8728 kwani Nyerere ni nani muda wake umekwisha.
LAKINI HUYU MTUMISHI ANAONGEA, TUSIDHARAU, TUFWATILIYE
Vyombo vya habari vipi viko huru?
mungu ni mwema kaka aendelee kukutumia wanaokupiga madongo hamjaitwa umu 😂
Hakuna nabii baada ya nabii MOHAMMAD SAW eti nabii wa uongo mtupu
Mohard hakuwa nabii alikua jini lilitumwa na majini wenzie kuja kueneza ujjini hapa duniani
@@clarencehilary5588 ina maana wewe ni mmoja wapo katika majini.
Wee ndio chizi kabisa Akili huna hujielewi🥹🥹
Acha ujinga huo, umevurugwa akili na matamanio ya nafsi yako. Iko siku utajua kuma mboga ni kitoweleo ni dawa ya maumivu
😊
KÈSHÒ ŸÀKÒ ĤUIJÙI ÙTAĴÙÀ
Wajinga Tupo wengi sana Uta tudanga kadri una vyotaka Huyu Mwongo na Tapeli lakini wapo wengi wana Mkubali
Ndiyo unaanza kumufatilia Leo sisi tulianza muda sana na anavyo visema vina tokea sijui ww ndiyo mugeni
Usiseme vitu kinyume na Maagizo ya Mungu, Au upo kwenye kampeni mbona unaongopa. Mungu yupi amekueleza.
🇹🇿😪
Oo
Mm toka nyerere sijaona mtawala ninayemkubali zaidi ya huyu mama na ni no 2 ktk marais bora Afrika..kwa takwimu za mwezi huu
Ukizoea kukuaa chooni hutaona shida ya harufu mavi
Kabisa
Hakika ww ni mjinga sijapata kuona Nyerere aliuza bandali usituchokonoe Kuma la mama yako
WAKATI WA MJOMBA PALE NAMANGA NA HOLILI PIA MALORI YALIKWAMA SANA TU TENA ZAIDI YA WIKI.
MNAJIBEBESHA KANISA MABEGANI ILI.MUONEKANE NI WATU WA MUNGU.
Acha uzandiki
nyie mnaompinga huyu kijana mnauwelewa kweli manabii wote wanasema samia hana nafasi inayoonyesha kwa atakuwa Raisi 2025 tuompee nchi yetu mmeona nguvu ya uma iliotokea kenya mpaka Ruto ameomba pooom msichese na mda ukifika mimi kamanakuta na Rais samia nikapata nafasi ya kuongea nae na akataka ushauri kutoka kwangu.ningemshauri mambo matatu 1 awazikilize wanainchi 2 amwondoe mwigulu kwenye nafasi
mwigilu ndie anaesababisha wananchi wachukie uongozi wa samia 3 Raisi akatae sifa .za machawa wanao sifa bira kukosowa hawa ndio wabaya wake babdae kama raisi ana washauri wake au mtu anaemshauri ajane nao hawa msaidi Raisi atumie akili yake na mungu wake nakumbuka hotuba alioitowa Raisi wakati anaingia madarakani angetembea mlemle pasi Rais wetu angekwa kipenzi cha wstanzania sisi tulio chini huku kila kona popote ukienda inchini watanzania wanalalamikia uongozi wa Rais wetu mimi hunitoka machoni nikiona mama ya kuonewa huruma anatakiwa asaidiwe wasaidizj wake hawamsaidie wanapaki kumsifia raisi kinafiki
Umelaanika chuki za kidini zimekutawala mungu Gani alokutuma wewe
Don't crash him, aske yourself. What new thing do you expect from Hon: this one being talked about?.
Utajuwa kama ujuwi