MGOGORO WA ELIMU. ISHARA ZA UNABII WA RAISI SAMIA WAZIDI KUTIMIA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 87

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 3 месяца назад +5

    HUDUMA YA KRISTO samahani naomba jina la huu mziki (instrument). Ni nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shadracktarimo2675
    @shadracktarimo2675 3 месяца назад +3

    NABII wa Mungu barikiwa sana ,kazi yako njema .kazi ya NABII Nikufikisha taarifa kazi iko kwa anaepewa taarifa Amen.

  • @loycep7785
    @loycep7785 3 месяца назад +2

    Amina
    Sema sababu ni nini kama umeambiwa na Mungu
    Changamoto za uongozi ni ngumu tunaelewa kama umetumwa waambie watu waombe Mungu anajua
    Yeye alichaguliwa kwa katiba hajaomba Mungu mwenyewe atajitwalia utukufu
    Soma Yeremia 28 10-17 uone habari ya Nabii Hanania yaliyompata

    • @vitalisantony239
      @vitalisantony239 3 месяца назад

      Si kila kitu kinahitaji mtu aombe mengine yanamhitaji mhusika achukue hatua mheshimiwa. Mfano Nabii Yona alipeleka unabii Ninawi, kwani alikuwa ameshindwa kumwambia Yona aombe kwa ajili ya ninawi?.

    • @JonasMathias-s6m
      @JonasMathias-s6m 2 месяца назад

      Mungu hahojiwi Babu akisha sema Kesha sema

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 месяца назад +2

    Amina Mtumishi,Mungu hataunyamazia utawala wa wakati huu ambao ni wa uharibifu,hatuna budi kuadhibiwa!

  • @norahfrank
    @norahfrank 3 месяца назад +2

    Mama.Samia
    Hawa TRA. Wana shida hawatembelei biashara za watu zaidi ya kukaa maofisini na kuandika madam ya kodi kwa simu.huku wakijua kuwa biashara zilishakufa siku nyingi.watembee ili kupata ukweli

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Месяц назад

    Aache king'ang'anizi aende kwa amani sio kwa vita,

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 2 месяца назад

    Amen! Breaking News: Rais Joe Biden wa Marekani amejitoa kwenye kunyang'anyiro cha urais!

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Месяц назад

    Anang'ang'ania maslahi yake sio ya wananchi

  • @billmkushi849
    @billmkushi849 3 месяца назад +2

    Sitakuelewa, namwelewa Mungu tuuu

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 2 месяца назад

    Mimi nafurahia sana maana hatujui tunaelekea wapi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад

    Mungu atawaonyesha kwa sababu Mungu adhihakii hata siku moja. Mungu azidi kukuonyesha zaidi

  • @HafidhMwinyi-fp2po
    @HafidhMwinyi-fp2po 2 месяца назад

    Nabii wa shetani

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 3 месяца назад +1

    Mbona kwa kagame hakuna mambo kama haya ya unabii hayapo tuseme kule hakuna MUNGU anae tumia unabii hawa manabii

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 3 месяца назад +1

    Mungu wako inaonesha kuwa ni mlevi akeshalewa ndipo anakupa unabii.

    • @hudumayakristo
      @hudumayakristo  3 месяца назад +1

      Huyu mungu aliye mlevi utamuona baada ya siku 7 akikutendea ulevi.

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 3 месяца назад

      @@hudumayakristo acha kutishia watu wenye akili huyo mlevi mwezako hana uwezo wowote.

    • @nenolauzima5281
      @nenolauzima5281 2 месяца назад

      ​@hudumayakristo
      Usimjibu mpuuzi

  • @OmbenOmary
    @OmbenOmary 2 месяца назад

    Sema tu mtumishi was MUNGU haijalishi watasikia au hawatasikia maana ni kizazi chenye shingo ngumu.

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 3 месяца назад

    MUNGU atusaidie Tz.Mziki wako huu mzuri.

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 3 месяца назад

      Halafu wapo Viongozi wa CCM wanamponda Raisi wa Kenya. Maajabu sana 😮

  • @saramss7262
    @saramss7262 3 месяца назад

    AMINAAA barikiwa shaloom

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 3 месяца назад

    JINA LA HIYO INSTRUMENT PLEASE

    • @upendoeliya9329
      @upendoeliya9329 3 месяца назад

      Instrument ni nzuri Yaani inaburudisha sana!! Imenipa kuutafakari Ukuu wa MUNGU Baba Muumba wetu . Naomba ukipata jina lake unipe. Asante

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 месяца назад +2

    TIME WILL TELL, Acha Wapuuze na Kudharau Unabii"

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka 2 месяца назад

    Haelewi sasa!

  • @rosekennedy2075
    @rosekennedy2075 2 месяца назад

    Ameeen

  • @AmAl-x9j
    @AmAl-x9j 3 месяца назад

    Mtumishi mie niombee my nina majanga

  • @MonicaBeni
    @MonicaBeni 3 месяца назад +1

    Ebu Muulize Mungu kua watanzania wanauliza maandamano rasmi rasimi lini? Alafu tuletee majibu sawa nabii wa samia.

    • @vitalisantony239
      @vitalisantony239 3 месяца назад

      Punguzeni mzaha mpendwa Mungu hadhihakiwi, ni vema kuamini Mungu yupo kuliko kutokuamini kuwa hayupo, ukamkuta.

  • @corporatethugsent7380
    @corporatethugsent7380 3 месяца назад

    Mtumishi samahani tupunguzie sauti ya back ground music.inakula sauti ya waongeaji.muombe unjinia wako wa aweketu tu sauti ya chini sanaa iskike kwa mbali yan itanoga tu sana maana kakinanda nako yah ni katam sana lakin kanaharibu kakiwa juu kupita kiasi maana sana kanaumiza na kukosesha sauti za waongeaji

  • @gladysdyamvunye1212
    @gladysdyamvunye1212 3 месяца назад +1

    Uko vizuri sana mtumishi wa Mungu. Nimekuwa nikifuatilia baadhi ya jumbe zako,nabarikiwa na nafurahi kuona nchi yetu Mungu anajishughulisha nayo kwa wema. Linalonisumbua tu mtumishi unisaidie au kama kuna wa kunisaidia,je mheshimiwa Rais wetu mama Samia, anaziona hizi jumbe zote zinazomhusu? Na hata wengine wanaopewa ujumbe huu wameusoma/umewafikia?

    • @hudumayakristo
      @hudumayakristo  3 месяца назад +1

      Jumbe zote anaziona100%

    • @HezronJeremia
      @HezronJeremia 3 месяца назад

      Shalom, mtumishi wa Mungu endelea kusema yote Mungu anakufunulia

    • @gladysdyamvunye1212
      @gladysdyamvunye1212 3 месяца назад +1

      @@hudumayakristo Afadhali kama anaziona. Ni yeye tu sasa aamue kuzingatia,madam ameziona hizo jumbe. Asante sana mtumishi kunijibu.🙏

    • @gladysdyamvunye1212
      @gladysdyamvunye1212 3 месяца назад

      @@HezronJeremia Kabisa, Mungu amtie nguvu na ujasiri,asiogope kusema ukweli ambao Mungu kamtuma auseme.

  • @kepharichard4183
    @kepharichard4183 3 месяца назад

    Hata mimi nimepata ndoto hii kuwa nchi inakuja kuwaka moto na nikaambiwa hayo unayoyaona ni kwamba Utawala wa Mussa na fimbo yake Umeisha Sasa utanakiwa Utawala wa David kijana mdogo. Kwahiyo anayetakiwa kutawala ni mtu mwenye maono ya vijana wa Millennium na Gen Z ndio atawale Tanzania

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 2 месяца назад

    Hivi kwa Nini watu wa system hawawashughulikii kanjanja kama hawa?
    Sasa mhusika ni Dr. Samia sisi wananchi wengine yanatuhusuni?
    Nyinyi watu wa kaskazini mtasumbuka sana, CCM iko imara.

  • @serapionmnenuka
    @serapionmnenuka 3 месяца назад

    Naona unachoongea no ukweli mtupu

  • @ramadhaniathumani1025
    @ramadhaniathumani1025 3 месяца назад

    Neno la Mungu litimie!

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m 2 месяца назад

    Hakika wewe nimtumishi wamungu nayote uliyo yaongea yatatimia kwakua mtumisjhi wamungu Rais magufuri walimzurumu nafsi yake damu yake inawalilia hakika hakuna kiongoz aliye fanya dhuruma atakaye pona

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 месяца назад +1

    Nisivyokuelewa ni pale tu unapodhani Magufuli amekufa kwa ajili ya kupisha hayo unayosema mama Samia kayamaliza. Wewe sema alipaswa akimalizia miaka ya Magufuli baada ya kifo chake, yeye Samia atoe nafasi ya ushindani huru kwa kugombea nafasi hiyo ya Urais na sio kudai kwamba jina linapita pasipo kushindaniwa kwenye chama chake. Huo ndio ibinafsi6na kunogewa na madaraka. Maana ni KWELI analazimisha nafasi hiyo pasipo uhalali.

  • @basilwamba2182
    @basilwamba2182 2 месяца назад

    Nabii hajawahi kulazimisha ujumbe wake ueleweke, huu sio unabii ni umbea tu

    • @JonasMathias-s6m
      @JonasMathias-s6m 2 месяца назад

      Nilazima tusisitize kwakua kizazi hiki nichaukaidi kizazi Cha nyoka

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Hao watu wameruhusiwa ni halali yao. Mbona wakati wa Magufuli hiyo haikuwepo? Nawambia wanaruhusia na watawala wa ccm.

  • @JosephLadisilaus
    @JosephLadisilaus 3 месяца назад

    Huyo anae jiita mama alisema yeye ni chura akipigwa teke ageuki au aukumsikia mtumishi

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 3 месяца назад

    Kwa hiyo ndio kituko ulichotabiri?😏

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 3 месяца назад

    Huu sio unabii hata kwa kutazama na macho nchi inavyoongoza haya hayaepukiki ( mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake)

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +1

    Abdul anapelekewa hizo pesa sasa kwa nini huyo mama yenu asiwemo?

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus8582 3 месяца назад

    Hata yeye anajua jukumu lake anelikamilisha.
    Ila Vatican ndiyo wanataka kulazinisha aendelee

  • @NechLove
    @NechLove 3 месяца назад

    Yote yote tukusaidie nini wakati mambo yako yamevilia damu tena yenye usaha

  • @ezrakaturitsaofficialtz7873
    @ezrakaturitsaofficialtz7873 3 месяца назад +1

    Ndio Mtumishi wa Mungu kabisa

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 3 месяца назад

    Wewe ni nabii wa Mungu wasiokuelewa sio waombaji

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +1

    Anang'ang'ania kwa nini? Basi arudishe Inchi yake Zanzibar katika Muungano bila kufanya hivyo Mungu pia atamfanyia kwa sababu hakuna haki yo yote.

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 3 месяца назад

    Mnayembebesha mizigo mabegan hana uwezo wa kuibeba!

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 месяца назад

    MWALIMU NYERERE AMBAYE NI BABA WA TAIFA ALISEMA MAENDELEO YA NCHI YAENDANE NA MAISHA BORA YA WANANCHI.
    FLY OVERS, DAT, TRNI ZA MWENDO KASI HAZITAKUWA NA MAANA KAMA WANANCHI UMASIKINI WAO UNAONGEZEKA

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 3 месяца назад

      @@nabiimgongolwa8728 kwani Nyerere ni nani muda wake umekwisha.

  • @OinotiMbessere
    @OinotiMbessere 3 месяца назад

    LAKINI HUYU MTUMISHI ANAONGEA, TUSIDHARAU, TUFWATILIYE

  • @DannySanga-gh1oj
    @DannySanga-gh1oj 3 месяца назад

    Vyombo vya habari vipi viko huru?

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 3 месяца назад

    mungu ni mwema kaka aendelee kukutumia wanaokupiga madongo hamjaitwa umu 😂

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 месяца назад

    Hakuna nabii baada ya nabii MOHAMMAD SAW eti nabii wa uongo mtupu

    • @clarencehilary5588
      @clarencehilary5588 2 месяца назад

      Mohard hakuwa nabii alikua jini lilitumwa na majini wenzie kuja kueneza ujjini hapa duniani

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 2 месяца назад +1

      @@clarencehilary5588 ina maana wewe ni mmoja wapo katika majini.

    • @KhadijaSaidi-bg6nc
      @KhadijaSaidi-bg6nc 2 месяца назад

      Wee ndio chizi kabisa Akili huna hujielewi🥹🥹

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 3 месяца назад

    Acha ujinga huo, umevurugwa akili na matamanio ya nafsi yako. Iko siku utajua kuma mboga ni kitoweleo ni dawa ya maumivu

  • @RyobaWambura-j8b
    @RyobaWambura-j8b 3 месяца назад

    😊

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 3 месяца назад

    KÈSHÒ ŸÀKÒ ĤUIJÙI ÙTAĴÙÀ

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 3 месяца назад

    Wajinga Tupo wengi sana Uta tudanga kadri una vyotaka Huyu Mwongo na Tapeli lakini wapo wengi wana Mkubali

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 месяца назад

      Ndiyo unaanza kumufatilia Leo sisi tulianza muda sana na anavyo visema vina tokea sijui ww ndiyo mugeni

  • @YOSHUANYAMAHANGA
    @YOSHUANYAMAHANGA 3 месяца назад

    Usiseme vitu kinyume na Maagizo ya Mungu, Au upo kwenye kampeni mbona unaongopa. Mungu yupi amekueleza.

  • @knight6757
    @knight6757 3 месяца назад

    🇹🇿😪

  • @AzaniKhamis-r3b
    @AzaniKhamis-r3b 3 месяца назад

    Oo

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 месяца назад

    Mm toka nyerere sijaona mtawala ninayemkubali zaidi ya huyu mama na ni no 2 ktk marais bora Afrika..kwa takwimu za mwezi huu

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 3 месяца назад

    WAKATI WA MJOMBA PALE NAMANGA NA HOLILI PIA MALORI YALIKWAMA SANA TU TENA ZAIDI YA WIKI.
    MNAJIBEBESHA KANISA MABEGANI ILI.MUONEKANE NI WATU WA MUNGU.

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 3 месяца назад

    Acha uzandiki

  • @RyobaWambura-j8b
    @RyobaWambura-j8b 3 месяца назад

    nyie mnaompinga huyu kijana mnauwelewa kweli manabii wote wanasema samia hana nafasi inayoonyesha kwa atakuwa Raisi 2025 tuompee nchi yetu mmeona nguvu ya uma iliotokea kenya mpaka Ruto ameomba pooom msichese na mda ukifika mimi kamanakuta na Rais samia nikapata nafasi ya kuongea nae na akataka ushauri kutoka kwangu.ningemshauri mambo matatu 1 awazikilize wanainchi 2 amwondoe mwigulu kwenye nafasi
    mwigilu ndie anaesababisha wananchi wachukie uongozi wa samia 3 Raisi akatae sifa .za machawa wanao sifa bira kukosowa hawa ndio wabaya wake babdae kama raisi ana washauri wake au mtu anaemshauri ajane nao hawa msaidi Raisi atumie akili yake na mungu wake nakumbuka hotuba alioitowa Raisi wakati anaingia madarakani angetembea mlemle pasi Rais wetu angekwa kipenzi cha wstanzania sisi tulio chini huku kila kona popote ukienda inchini watanzania wanalalamikia uongozi wa Rais wetu mimi hunitoka machoni nikiona mama ya kuonewa huruma anatakiwa asaidiwe wasaidizj wake hawamsaidie wanapaki kumsifia raisi kinafiki

  • @AzaniKhamis-r3b
    @AzaniKhamis-r3b 3 месяца назад

    Umelaanika chuki za kidini zimekutawala mungu Gani alokutuma wewe

    • @Ufalme1
      @Ufalme1 3 месяца назад

      Don't crash him, aske yourself. What new thing do you expect from Hon: this one being talked about?.

    • @JamesKanyenda-y9y
      @JamesKanyenda-y9y 3 месяца назад

      Utajuwa kama ujuwi