SWALA YA EID AL-HAJ_KINYASINI_SHEKH MSELEM BIN ALY

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 47

  • @warshysaid8564
    @warshysaid8564 16 дней назад

    Mashaallah Mashaallah haki imeanza kuenea imefika kinyasin sasa Allah akbar

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 22 дня назад +2

    Mwenyezi Mungu anatisha, hata ukataze vipi, waumini hawatokosekana kwenye jambo lenye kheri la Mwenyezi Mungu.

  • @MaulidHaji-ol1no
    @MaulidHaji-ol1no 22 дня назад +4

    Hakuna haja ya kutupiana maneno tushikamane ktk din ya mwenyezi mungu Wala tusifarakane

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224 22 дня назад +1

    Mashaalah

  • @drbalagomwatvonline4937
    @drbalagomwatvonline4937 20 дней назад

    Masha Allah, Allah akulipe kwa mawaidha mazuri na akuepushe na hasadi za watu wahaya na Allah atujalie mwisho mwema sote.

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 21 день назад

    Mashallah shekh wetu ,hazina yetu ,mpendwa wetu,
    Sheikh Msellem
    Allah sw akubariki, akulinde na akupe kila la kheri

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 21 день назад

    Mashallah

  • @huseinomary808
    @huseinomary808 22 дня назад

    Allahu Akbar Allahu Akbar Laila haila lwah Allahu Akbar Allahu Akbar walilah lihamdi

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 22 дня назад

    Allah akujaalie shekhe mselemu hii ndo haki haijawai dondoka itasimama kama upanga japo wanafiki wanachukia

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666 20 дней назад

    vijisenti vimewatoa katika dini sahihi

  • @athumanimawela3021
    @athumanimawela3021 22 дня назад

    Ma sha.hallah

  • @khadijaomar7096
    @khadijaomar7096 22 дня назад

    Mashaallah

  • @jafarmlawa9627
    @jafarmlawa9627 22 дня назад

    Hao sowatu we silay

  • @salimsalim-ut4jk
    @salimsalim-ut4jk 22 дня назад

    Kwanza kabla ya kujifanya munajua dini sana kwa angalieni uhusiano wenu na Allah ukoje ndo muje humu mutoe maoni. Kwanza hili ni jambo la suna kwa hiyo hakuna haja ya kulibishania

  • @mikidadiyusufu5666
    @mikidadiyusufu5666 20 дней назад

    lbilisi amewazingira hao jamaaaa

  • @hamisishirikisho2199
    @hamisishirikisho2199 22 дня назад

    Hii Eidil hajji ni mpya kama agano jipya. Eid ya kiislamu ni Eid Adh haa

  • @FarsiyBilali
    @FarsiyBilali 22 дня назад

    😮

  • @abdulkujaa866
    @abdulkujaa866 12 дней назад

    Eid Hajji heheheee hii Eid bidaa hii ameianzisha marehem shekh Nassor Bachu, ndio alosema kwenye membar Eid Hajji wakati kisheria hamna Eid hiyo kabisaaa ni Bidaa

  • @user-fi6hb3lp5y
    @user-fi6hb3lp5y 22 дня назад

    Hivi Kuna na idi l haji katika dini ya kiislam au ndipo mnapowapatia watu apo?

  • @JumaOmar-ku6cr
    @JumaOmar-ku6cr 22 дня назад

    Msiba uko kwako kichwa kibovu kwani wingi ndio haki hushangai kwamba kinyasini nako pia sunna inaenea haki ndivyo ilivyo haikaliwi juu

    • @vuaikitwana2752
      @vuaikitwana2752 21 день назад

      Nyie waislamu wa aina gani kwani mbona mnaanza kutoka kwenye sifa za waislamu wazuri." Maneno mabaya mnayitumia katika miamala yenu".

  • @vuaikitwana2752
    @vuaikitwana2752 21 день назад +1

    Naomba niseme kitu kwa waislamu wezangu!!
    Hivi kwani kuna ulazima gani
    wa kutoa comments kwenye masala haya ya Dini????
    Tusitoe comments wakati hatujaziweza nafsi zetu kuepuka kejeli,matusi na jeuri.
    Hizi zinaweza zikazidisha giza kwenye Dini yetu kupitia namna mbaya ya mazungumzo yetu.
    Allah atuongoze. Amiin

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 21 день назад

    Nahisi kaama kuna watu wamelazimishwa tu kuja japo kuswali maana si kwa watu waliopo Kinysini kisha hata watu 200 wasifike

  • @Silay1034
    @Silay1034 22 дня назад +1

    Msiba huo wa kufuata mkumbo watu hakuna kabisa ubishi tu

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 22 дня назад +4

      Inaonekanwa sio msomaji,ni mfuata mkumbo wewe,hujui kama maisha yote haki haifwati na wengi

    • @hazardmjeshi5200
      @hazardmjeshi5200 22 дня назад +4

      Watakaoo ingia peponi pia niwachache sana

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 22 дня назад

      @@hazardmjeshi5200 ndio maana yake,uko sahihi

    • @mohamedkuchengo9477
      @mohamedkuchengo9477 22 дня назад +4

      Ndugu yangu wataka watu wengi?
      Hiyo si hoja ndugu

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 22 дня назад +3

      Nabii nnuhu palikuwa na watu maelfu,kama sio malaki lkn walomfuata ktk haqqi hawakuzidi watu 93 tu,,unasemaje kwa hapo, alifuata mkumbo! Haya mambo yanaonwa kwa jicho la moyo sio hayo uloyaonea kuwa hapana watu wengi.

  • @makerebul3650
    @makerebul3650 22 дня назад

    Mashallah

  • @JumaMvungi-ot4ef
    @JumaMvungi-ot4ef 22 дня назад

    Mashallah