Kwanza kabla ya kujifanya munajua dini sana kwa angalieni uhusiano wenu na Allah ukoje ndo muje humu mutoe maoni. Kwanza hili ni jambo la suna kwa hiyo hakuna haja ya kulibishania
Eid Hajji heheheee hii Eid bidaa hii ameianzisha marehem shekh Nassor Bachu, ndio alosema kwenye membar Eid Hajji wakati kisheria hamna Eid hiyo kabisaaa ni Bidaa
Naomba niseme kitu kwa waislamu wezangu!! Hivi kwani kuna ulazima gani wa kutoa comments kwenye masala haya ya Dini???? Tusitoe comments wakati hatujaziweza nafsi zetu kuepuka kejeli,matusi na jeuri. Hizi zinaweza zikazidisha giza kwenye Dini yetu kupitia namna mbaya ya mazungumzo yetu. Allah atuongoze. Amiin
Nabii nnuhu palikuwa na watu maelfu,kama sio malaki lkn walomfuata ktk haqqi hawakuzidi watu 93 tu,,unasemaje kwa hapo, alifuata mkumbo! Haya mambo yanaonwa kwa jicho la moyo sio hayo uloyaonea kuwa hapana watu wengi.
Mashaallah Mashaallah haki imeanza kuenea imefika kinyasin sasa Allah akbar
Mwenyezi Mungu anatisha, hata ukataze vipi, waumini hawatokosekana kwenye jambo lenye kheri la Mwenyezi Mungu.
Hakuna haja ya kutupiana maneno tushikamane ktk din ya mwenyezi mungu Wala tusifarakane
Mashaalah
Masha Allah, Allah akulipe kwa mawaidha mazuri na akuepushe na hasadi za watu wahaya na Allah atujalie mwisho mwema sote.
Mashallah shekh wetu ,hazina yetu ,mpendwa wetu,
Sheikh Msellem
Allah sw akubariki, akulinde na akupe kila la kheri
Mashallah
Allahu Akbar Allahu Akbar Laila haila lwah Allahu Akbar Allahu Akbar walilah lihamdi
Allah akujaalie shekhe mselemu hii ndo haki haijawai dondoka itasimama kama upanga japo wanafiki wanachukia
vijisenti vimewatoa katika dini sahihi
Ma sha.hallah
Mashaallah
Hao sowatu we silay
Kwanza kabla ya kujifanya munajua dini sana kwa angalieni uhusiano wenu na Allah ukoje ndo muje humu mutoe maoni. Kwanza hili ni jambo la suna kwa hiyo hakuna haja ya kulibishania
lbilisi amewazingira hao jamaaaa
Hii Eidil hajji ni mpya kama agano jipya. Eid ya kiislamu ni Eid Adh haa
😮
Eid Hajji heheheee hii Eid bidaa hii ameianzisha marehem shekh Nassor Bachu, ndio alosema kwenye membar Eid Hajji wakati kisheria hamna Eid hiyo kabisaaa ni Bidaa
Hivi Kuna na idi l haji katika dini ya kiislam au ndipo mnapowapatia watu apo?
Eid mpya hiyo🤣🤣🤣.ndio ubaya wa kufuata mkumbo .
Msiba uko kwako kichwa kibovu kwani wingi ndio haki hushangai kwamba kinyasini nako pia sunna inaenea haki ndivyo ilivyo haikaliwi juu
Nyie waislamu wa aina gani kwani mbona mnaanza kutoka kwenye sifa za waislamu wazuri." Maneno mabaya mnayitumia katika miamala yenu".
Naomba niseme kitu kwa waislamu wezangu!!
Hivi kwani kuna ulazima gani
wa kutoa comments kwenye masala haya ya Dini????
Tusitoe comments wakati hatujaziweza nafsi zetu kuepuka kejeli,matusi na jeuri.
Hizi zinaweza zikazidisha giza kwenye Dini yetu kupitia namna mbaya ya mazungumzo yetu.
Allah atuongoze. Amiin
Nahisi kaama kuna watu wamelazimishwa tu kuja japo kuswali maana si kwa watu waliopo Kinysini kisha hata watu 200 wasifike
Msiba huo wa kufuata mkumbo watu hakuna kabisa ubishi tu
Inaonekanwa sio msomaji,ni mfuata mkumbo wewe,hujui kama maisha yote haki haifwati na wengi
Watakaoo ingia peponi pia niwachache sana
@@hazardmjeshi5200 ndio maana yake,uko sahihi
Ndugu yangu wataka watu wengi?
Hiyo si hoja ndugu
Nabii nnuhu palikuwa na watu maelfu,kama sio malaki lkn walomfuata ktk haqqi hawakuzidi watu 93 tu,,unasemaje kwa hapo, alifuata mkumbo! Haya mambo yanaonwa kwa jicho la moyo sio hayo uloyaonea kuwa hapana watu wengi.
Mashallah
Mashallah