SIRI ADHIMU ZA SURAH HIZI KATIKA KUTIBU JINI WA MAPENZI - 2 | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 26

  • @laylatabdallah2796
    @laylatabdallah2796 Месяц назад +1

    Jazaakallahul-khayr darsa zko tunatupa mwanga wa matumaini allah akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Месяц назад +1

      Waiyyaak! Alhandu Lillah! Allah (SWT) Atuwafiqie kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @MohamedOmary-s9n
    @MohamedOmary-s9n 3 месяца назад +1

    MaashaAllah ustadhi mohamed Ali dini

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @Amina-c6j
    @Amina-c6j 3 месяца назад +2

    Assalam aleikum sheikh shukran sana jazakallah kheir aameen
    Swali langu ni ni chumvi ama maji unakunywa mwanzo as ulisema zote zafaa kuliwa before hujakula kitu shukran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +2

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Unaweza kuanza na chumvi kisha maji. Afwan!

  • @AesherWendo-pe1ol
    @AesherWendo-pe1ol 3 месяца назад +1

    Shukran, JazakaAllahu kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @shamisahmed4806
    @shamisahmed4806 3 месяца назад +1

    Shukran, Jazakka LLwahu khayra!!!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waiyyaak! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @RAHIMULEMU
    @RAHIMULEMU 3 месяца назад +5

    Assalamu alaikum tuko pamoja sheikh hii ndo tafsiri ya kuwa Quran imekamilika unaonyesha utukufu wa Allah kutumia Quran na Sunnah kuweza kutatua shida mbali mbali

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Bila shaka kakangu! Barakillahu Feek! 🤲🤲🤲🤲🤲

    • @furahajacqueline1339
      @furahajacqueline1339 3 месяца назад +1

      Naomba number yako please

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@furahajacqueline1339 Namba yangu ni hii: +254 700047708

    • @AmerAlamri-h7e
      @AmerAlamri-h7e 3 месяца назад

      Jazzakka Allahu khair

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад

      @@AmerAlamri-h7e Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe khri zote. Ameen!

  • @xhilingiibra3571
    @xhilingiibra3571 3 месяца назад +1

    Shukran🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Afwan! Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @xhilingiibra3571
    @xhilingiibra3571 3 месяца назад +1

    Mashaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Tabarakallah! Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @MohdAlly-zr2kf
    @MohdAlly-zr2kf 3 месяца назад +1

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته
    Jaman samahani sn kwenye hili ambalo nitalizungumza ,
    Shekhe wetu Allaah amlipe kheri kwavile amekusudia kutuelimisha lkn kwahili ambalo ametuelimisha (kitufundisha) sio sahihi kwa kua limetegemea msingi usio sahihi,
    (Nao ni kuweka utaratibu ambaosheria haijawahi kuweka utaratibu huu.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Utaratibu ni Ijtihadi za Wanavyuoni wetu kupitia Hadithi za Mtume (SWA). Inahitaji kupitia Hadithi na Qauli za wanavyuoni wetu. Afwan! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @bitiiahmad3769
    @bitiiahmad3769 3 месяца назад +1

    Asalam alaykum shekhe nauliza hivi vipi kama unamfanyia mtu unaweza kuchukua kama tembe 14 ukazisomea kwa pamoja kisha kila mmoja ukampa zake saba

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Masha Allah! Swali zuri sana. Bila shaka inawezekana. Namuomba Allah (SWT) Akuwafiqie Kheri zote na Akutimizie Matlaba yako yote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 3 месяца назад +1

    12:50