"Naenjoy kile kiswahili kile..kina vionjo vingi," President Samia Suluhu makes fun of Kenyan MPs
HTML-код
- Опубликовано: 18 окт 2024
- #Kenya #KTNNews #KTNPrime
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
std.co.ke/apps/...
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live www.ktnnews.com...
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews
"Kiswahili chenu kina vionjo": hajasema kiswahili kina vioja hahjaha
Mwandishi nae kachemka hahaaaaaa 😆 vionjo eti vioja
Hahahahaha...kiswahili kina wenyewe nakwambia...kenya kenya🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️nihame mm
Tell them
Ndiyo
Kiswahili chetu ni burudani tosha😂😂😂😂😂
GOD HAVE MERCY
ON THIS WORLD.
👌🏾
Kujinauwo,amekuliwo,tunaendanisha😂😂😂😂😂😂😂nani alituroga wakenya😂😂😂😂😂
@Xavier Chance continue until next December
@Miguel Deshawn try to all of them, not only "lots"
Nawe mtangazaji usikilize vizuri. Hakusema kiswahili cha waheshimiwa kina "vioja"; ila amesema kina "vionjo". Angalia kamusi utajua tofauti ya maana ya maneno hayo.
Zubeida os a very good Kiswahili speaker my friend
Mimi ni mtanzania lakin kiswahili cha kenya nakikubali kinavyo ongewa kina chekesha
Wew ni mnafik
Hi
I honestly don't see why everyone laughed.... What was so fun if l may ask ? God forbid.😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We can't help you on that question, sister! I guess you have no sense of humor.
Kiswahili ya Kenya ni nusu English
Kenya kuna uhuru wa vyashara Tanzania kuna suluhu pia 🤣🤣🤣🤣
Jambo la kuchekesha ni lipi mbona wacheka? Kenya kuna uhuru wa biashara na Tanzania kuna suluhu pia. Au wacheka matumizi ya majina ya wao marais kwa kutunga sentensi.
Matumizi ya kiswahili ndani na nje ya Bunge la Kenya 🇰🇪 yatadumisha mahusiano ndani ya Afrika Mashariki hususan kati ya 🇹🇿 🇰🇪 kupita matarajio.
swahili ndani ya bunge la Kenya ita saidia mwana inchi alie chini zaidi kuelewa nini serekali yake na wa bunge wake wa naongelea maendeleo lataifa sio kizungu nyingi na wakati wa kuomba kura ulimuomba kwaki swahili bungeni kizungu aaaah sio ungwana
Wakenya hawawezi kufikia Tanzania kwa kiswahili
Kiswahi kinakusaidia vipi katika hiyo maisha yako ya upweke
Kiswahili kitukuzwe ....yawa...yes I mean praise the kiswahili
Jambo aibu kweli Mohamed Ali awape kubaru hawo wabunge bara.
Nigekuwa na kalembe ndile apo kwa bunge
Ama rais mstaafu kibaki
Malikuja makaenda
Afande wa Kenya "Eti kaa kwa pande hii😂😂"
Tushaa mic mama yetu mpen nauli arud bhana
Vionjo vingi 🤣🤣🤣
Rather than focussing on the main issues, Kenyan media is also looking for comic bytes. A whole 2 day visit no media hse has adressed what the visit was all about. That aside, i am nt seeing anythn funny. Truly Ken Lusaka struggled with swahili.
@@mirandaal4541 I last watched TV when kina Belinda Obura n Tom Mboya were at Citizen. I quit watching after I realised most TV channels have a political inclinement hence no credible news. That aside, ths particular clip was recommended by youtube. I clicked thnking it will have somethng important. I further clicked on the main channel and didnt get any meaningful news about Suluhus visit. U cn share the link here so I can watch.
Mama leta tija katika ziara yako na sio vioja
Why people find this is a real shame. You have someone making fun of you yet you laugh.
KASEMA KINA VIONJO. NASIYO VIOJA
Wakenya Kiswahili yao ni ngumu sana hawajui Kiswahili wanamicx Kikuyu English Kiswahili lugha ingine
Wakenya wajanja Sana mmemnyenga rais wetu Hadi amekubali kuibiwa,mnatuibia Mali zetu,mama madhaifu Sana huyu,rip John magufuli
Ni vionjo sio vioja
Mmmmmmmh
😅😆😆😆
haya sasa mshindwe tu nyie majirani,ila hawajaturuhusu tu kuoana hapo ndio napata tabu kidogo
🤔🤔
😄😄😄😄😄
😂😂
😂😂😂😂😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅
Kiswahili halisi na sanifu ni ya Tanzania
Katka ukanda wetu wa Afrika Kiswahili kiswahili fasaha kinapatkana Zanzibar peke yake
Acha uongo wewe Zanzibar imechaguliwa lahaja tu, haya sasa niambie Wakojani wana Kiswahili gani cha maana
Sema Tanzania coz Zanzibar iz part of Tanzania
Tunakpenda tunaomba utekeleze miradi mlioahidi mkaandika hadi kitabu cha ahadi kwa ilan ya ccm
😂😂😂
Mama wapekiswahili
🤣🤣😆
Vionjo sio vioja
What's funny btw???
Ongea kiswahili fala wewe
😂😅
Mashindano ya kur,ani
Hehehehe
Nyie wakenya ni lazima mjifunze kutoka tanzania, angalieni Tanzania change of leadership kutoka magufuli na samia hakuna damu iliyomwagika, ingekua nyie mgechapana hapo sana. Pia endeleeni kuacha kujigamba na lugha ya your colonial master remove slavery mentality in your mind, Russia China Iran Germany nk hawatumii kingereza infact wanataka waingereza watumie lugha zao.
:
"Kiswahili chenu kina vionjo": hajasema kiswahili kina vioja hahjaha
Hi sammy
Hawajui maana ya vionjo