"Naenjoy kile kiswahili kile..kina vionjo vingi," President Samia Suluhu makes fun of Kenyan MPs

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • #Kenya #KTNNews #KTNPrime
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
    Follow us on Twitter: / ktnnews
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
    std.co.ke/apps/...
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
    Watch KTN Live www.ktnnews.com...
    Watch KTN News www.ktnnews.com
    Follow us on / ktnnews
    Like us on / ktnnews

Комментарии • 76

  • @samwelombeni6850
    @samwelombeni6850 3 года назад +21

    "Kiswahili chenu kina vionjo": hajasema kiswahili kina vioja hahjaha

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 года назад +1

      Mwandishi nae kachemka hahaaaaaa 😆 vionjo eti vioja

  • @marywambui8340
    @marywambui8340 3 года назад +6

    Hahahahaha...kiswahili kina wenyewe nakwambia...kenya kenya🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️nihame mm

  • @safinakentan7552
    @safinakentan7552 3 года назад +1

    Tell them

  • @box5319
    @box5319 3 года назад +2

    Ndiyo

  • @shikufm9690
    @shikufm9690 3 года назад +8

    Kiswahili chetu ni burudani tosha😂😂😂😂😂

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 3 года назад +6

    GOD HAVE MERCY
    ON THIS WORLD.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад +3

    👌🏾

  • @mohamedmwandugu6627
    @mohamedmwandugu6627 3 года назад +11

    Kujinauwo,amekuliwo,tunaendanisha😂😂😂😂😂😂😂nani alituroga wakenya😂😂😂😂😂

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      @Xavier Chance continue until next December

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      @Miguel Deshawn try to all of them, not only "lots"

  • @philippuja8101
    @philippuja8101 3 года назад +12

    Nawe mtangazaji usikilize vizuri. Hakusema kiswahili cha waheshimiwa kina "vioja"; ila amesema kina "vionjo". Angalia kamusi utajua tofauti ya maana ya maneno hayo.

    • @nativeson1559
      @nativeson1559 3 года назад +1

      Zubeida os a very good Kiswahili speaker my friend

  • @kingcopper6401
    @kingcopper6401 3 года назад +6

    Mimi ni mtanzania lakin kiswahili cha kenya nakikubali kinavyo ongewa kina chekesha

  • @mohamudomar8577
    @mohamudomar8577 3 года назад

    Hi

  • @josephineariga438
    @josephineariga438 3 года назад +3

    I honestly don't see why everyone laughed.... What was so fun if l may ask ? God forbid.😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mwafrikahalisi2549
      @mwafrikahalisi2549 3 года назад +2

      We can't help you on that question, sister! I guess you have no sense of humor.

    • @chakubanga1
      @chakubanga1 Год назад +1

      Kiswahili ya Kenya ni nusu English

  • @pierrecelestinkorine7538
    @pierrecelestinkorine7538 3 года назад +6

    Kenya kuna uhuru wa vyashara Tanzania kuna suluhu pia 🤣🤣🤣🤣

    • @nsabimanajeanbaptiste9251
      @nsabimanajeanbaptiste9251 3 года назад

      Jambo la kuchekesha ni lipi mbona wacheka? Kenya kuna uhuru wa biashara na Tanzania kuna suluhu pia. Au wacheka matumizi ya majina ya wao marais kwa kutunga sentensi.

  • @andrewmashika3756
    @andrewmashika3756 3 года назад +8

    Matumizi ya kiswahili ndani na nje ya Bunge la Kenya 🇰🇪 yatadumisha mahusiano ndani ya Afrika Mashariki hususan kati ya 🇹🇿 🇰🇪 kupita matarajio.

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 3 года назад

      swahili ndani ya bunge la Kenya ita saidia mwana inchi alie chini zaidi kuelewa nini serekali yake na wa bunge wake wa naongelea maendeleo lataifa sio kizungu nyingi na wakati wa kuomba kura ulimuomba kwaki swahili bungeni kizungu aaaah sio ungwana

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 3 года назад +3

    Wakenya hawawezi kufikia Tanzania kwa kiswahili

    • @mosesmarendi3102
      @mosesmarendi3102 8 месяцев назад

      Kiswahi kinakusaidia vipi katika hiyo maisha yako ya upweke

  • @rachel-zj8of
    @rachel-zj8of 3 года назад +7

    Kiswahili kitukuzwe ....yawa...yes I mean praise the kiswahili

  • @ahmedibrahim-bg2uz
    @ahmedibrahim-bg2uz 3 года назад +2

    Jambo aibu kweli Mohamed Ali awape kubaru hawo wabunge bara.

  • @bensonmutunga4561
    @bensonmutunga4561 3 года назад +3

    Nigekuwa na kalembe ndile apo kwa bunge

  • @wambui4590
    @wambui4590 3 года назад +5

    Malikuja makaenda

  • @salimalrumhy2020
    @salimalrumhy2020 3 года назад +4

    Afande wa Kenya "Eti kaa kwa pande hii😂😂"

  • @danielypauly7687
    @danielypauly7687 3 года назад +5

    Tushaa mic mama yetu mpen nauli arud bhana

  • @osodonasur8690
    @osodonasur8690 3 года назад +7

    Vionjo vingi 🤣🤣🤣

  • @conrado.
    @conrado. 3 года назад +6

    Rather than focussing on the main issues, Kenyan media is also looking for comic bytes. A whole 2 day visit no media hse has adressed what the visit was all about. That aside, i am nt seeing anythn funny. Truly Ken Lusaka struggled with swahili.

    • @conrado.
      @conrado. 3 года назад

      @@mirandaal4541 I last watched TV when kina Belinda Obura n Tom Mboya were at Citizen. I quit watching after I realised most TV channels have a political inclinement hence no credible news. That aside, ths particular clip was recommended by youtube. I clicked thnking it will have somethng important. I further clicked on the main channel and didnt get any meaningful news about Suluhus visit. U cn share the link here so I can watch.

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew7343 3 года назад +1

    Mama leta tija katika ziara yako na sio vioja

  • @malobabukusi2966
    @malobabukusi2966 3 года назад +1

    Why people find this is a real shame. You have someone making fun of you yet you laugh.

  • @tamimtours6934
    @tamimtours6934 3 года назад

    KASEMA KINA VIONJO. NASIYO VIOJA

  • @mibaroimusungu8988
    @mibaroimusungu8988 3 года назад

    Wakenya Kiswahili yao ni ngumu sana hawajui Kiswahili wanamicx Kikuyu English Kiswahili lugha ingine

  • @francokamugisa296
    @francokamugisa296 3 года назад +3

    Wakenya wajanja Sana mmemnyenga rais wetu Hadi amekubali kuibiwa,mnatuibia Mali zetu,mama madhaifu Sana huyu,rip John magufuli

  • @abdulkareemchande7204
    @abdulkareemchande7204 3 года назад +2

    Ni vionjo sio vioja

  • @phoebemukhwana3058
    @phoebemukhwana3058 3 года назад +5

    😅😆😆😆

  • @allyramadhanimasimbira4637
    @allyramadhanimasimbira4637 3 года назад

    haya sasa mshindwe tu nyie majirani,ila hawajaturuhusu tu kuoana hapo ndio napata tabu kidogo

  • @winstonabamwesiga8276
    @winstonabamwesiga8276 3 года назад +1

    🤔🤔

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 3 года назад +3

    😄😄😄😄😄

  • @home9556kefr
    @home9556kefr 3 года назад +3

    😂😂

  • @رزانحسينعامرسعيدالدلهمية

    😂😂😂😂😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 3 года назад +2

    Kiswahili halisi na sanifu ni ya Tanzania

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад

    Katka ukanda wetu wa Afrika Kiswahili kiswahili fasaha kinapatkana Zanzibar peke yake

    • @simonkobero3601
      @simonkobero3601 3 года назад

      Acha uongo wewe Zanzibar imechaguliwa lahaja tu, haya sasa niambie Wakojani wana Kiswahili gani cha maana

    • @yolenimocheng8745
      @yolenimocheng8745 3 года назад

      Sema Tanzania coz Zanzibar iz part of Tanzania

  • @samymc9615
    @samymc9615 3 года назад

    Tunakpenda tunaomba utekeleze miradi mlioahidi mkaandika hadi kitabu cha ahadi kwa ilan ya ccm

  • @oracleofgod4097
    @oracleofgod4097 3 года назад +3

    😂😂😂

  • @juliasmwanza3467
    @juliasmwanza3467 3 года назад

    Mama wapekiswahili

  • @johnstoneolefa913
    @johnstoneolefa913 3 года назад +3

    🤣🤣😆

  • @salimkombora2742
    @salimkombora2742 3 года назад

    Vionjo sio vioja

  • @belito1270
    @belito1270 3 года назад +3

    What's funny btw???

  • @henrystanley4077
    @henrystanley4077 3 года назад +1

    😂😅

  • @abubakarially1709
    @abubakarially1709 3 года назад

    Mashindano ya kur,ani

  • @hamadinuru1450
    @hamadinuru1450 3 года назад

    Hehehehe

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 3 года назад

    Nyie wakenya ni lazima mjifunze kutoka tanzania, angalieni Tanzania change of leadership kutoka magufuli na samia hakuna damu iliyomwagika, ingekua nyie mgechapana hapo sana. Pia endeleeni kuacha kujigamba na lugha ya your colonial master remove slavery mentality in your mind, Russia China Iran Germany nk hawatumii kingereza infact wanataka waingereza watumie lugha zao.

  • @sagandandakilo6908
    @sagandandakilo6908 3 года назад

    :

  • @samwelombeni6850
    @samwelombeni6850 3 года назад +11

    "Kiswahili chenu kina vionjo": hajasema kiswahili kina vioja hahjaha