Dogo Mfaume - Kazi Ya Dukani (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • East African Music

Комментарии • 387

  • @gwasadisimasi6422
    @gwasadisimasi6422 8 месяцев назад +138

    Wanao cheki huu wimbo mwaka huu 2024 gonga like twende sawa

  • @emanueldanstan8904
    @emanueldanstan8904 7 месяцев назад +77

    Any one still vibing in 2024 with this track gather here😊

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 3 месяца назад +18

    Ambao tuna tazama huu wimbo 2024 tujuane 🙏😪😪😪

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 Год назад +30

    Nimefika hapa 2023 kwa sasa natizama nikiwa usa 🇺🇸 ngonga like mwaka 2023 : to 2024.. R.I.P… Huu wimbo huwa una nikumbusha mbali sana ..

  • @swaleheyusuph1991
    @swaleheyusuph1991 6 месяцев назад +20

    2024 still listening to this classic, huwez amini hii ngoma nliimudu kiasi kwamba ikawa kitega uchumi mtaani kama vile m ndo dogo mfaume😂😂😂rest in peace mfaume😢😢😢

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 4 года назад +141

    Kama unaskiza 2020 weka like twende sawa. RIP Dogo Mfaume

    • @adamshoo8232
      @adamshoo8232 4 года назад

      RIP Dogo mfaume

    • @fatumaally3444
      @fatumaally3444 4 года назад +2

      R.I.P

    • @saviomgaya5381
      @saviomgaya5381 4 года назад +2

      Dah kwlei kizr hazidumu jaman😭😭😭😭

    • @daisyonbtd7892
      @daisyonbtd7892 4 года назад +1

      Noma

    •  4 года назад

      Sure 2020 Namtambua Sana Kaka Mfaume Rest in Peace

  • @drraizkidume867
    @drraizkidume867 4 года назад +65

    From Mozambique.... Leo ni tareh 07.09.2020.... R.I.P my BrO Mfaume... Kama umeuzunika na kifo cha kipenz chetu like apa..

    • @kiplarono8515
      @kiplarono8515 11 месяцев назад

      Kule Mozambique kuna watu uzungumza Swahili language?

  • @mwaminirwanda6120
    @mwaminirwanda6120 3 года назад +9

    Ee mungu mpe pumzi ya milele mwondolee adhabu ya kabur kipenz chetu "Amina"

  • @kiplarono8515
    @kiplarono8515 2 года назад +16

    Sikuwahilijua kama huyu kaka aliaga dunia ,Rip Dogo

  • @lighnessmrisho1525
    @lighnessmrisho1525 4 года назад +26

    kazi yangu ya Dukani ina niweka matatani 2020. RIP DG MFAUME maneno mazuri sana ktk huu mwimbo umetuachiaaa

  • @wemamtotochanelyusuphomari8262
    @wemamtotochanelyusuphomari8262 7 лет назад +45

    R.I.P. Mungu akulaze mahali pema peponi amen wewe umetangulia sisi tupo nyuma yako

  • @princemadramaz-254
    @princemadramaz-254 2 года назад +7

    All the way from MOI UNIVERSITY main campus Kenya,,,,,huu wimbo ulinibamba nkiwa mtoi,,,, kumbe kaka aliaga 😭 imagine ndo najua Leo 21/10/2022 RIP😭

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 Год назад +3

    R.I.P. broo,nimeona nisijizuie nije hapa baada yakukumis mnooooo,😭😭😭2023

  • @komboali8203
    @komboali8203 2 месяца назад +3

    Darasa la Saba 2008, Leo 2024 mwez wa 8

  • @mohamediramadhani3790
    @mohamediramadhani3790 4 года назад +30

    Wanaoangalia TWENTY TWENTY TUJUANE

  • @UziVert_SA
    @UziVert_SA 8 месяцев назад +2

    2024 February, rip dogo mfaume😢

  • @khamisishabani3155
    @khamisishabani3155 4 года назад +37

    2020 am still listening these delicious message from dogo mfaume...........rest easy brooh

  • @agneskandoro6629
    @agneskandoro6629 3 года назад +9

    Mungu akupe kauli thabiti dogo mfaume R l p 😭😭😍😍

  • @patrickmassawe8184
    @patrickmassawe8184 Год назад +20

    21/08/2023 Monday, the song is very classic and still the best. Rest In Peace dogo mfaume 🙏🏽

  • @MohamedZidadu
    @MohamedZidadu Год назад +8

    15/10/2023 kama na ww unasikiliza nipe like zangu

  • @RachelMdao
    @RachelMdao Месяц назад

    ❤❤❤hi nyimb ilitoka nikiwa mdogo sana

  • @diakissd8353
    @diakissd8353 5 месяцев назад +2

    Nakumbuka kweli utoto yangu Niko mu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩lakini napenda Sana wa tanzania

  • @kidumumungia1475
    @kidumumungia1475 Год назад +2

    Asante Dogo mfaume, ulitutendea haki hapa.

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Месяц назад +1

    R I P MY BROO!!! ULALE MAHALI MEMA NILIKUWA BADO NIPO PREIMAR NILIKALILI MISITALI YOTE YA HUU WIMBO SO NILIUMIA SANA KUSIKIA ALIFALIKI LEO 2024 BADO TUNA FRAIA KAZIYAKO

  • @mctallc-key2843
    @mctallc-key2843 Год назад +3

    R.I.P bro 2023 Bado tunakukumbuka

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 4 года назад +15

    Hii nyimbo kwangu haitakuja kuchuja 🙉🙉 R.I.P 😢

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

      Kwel jenifa haichuji tuliipendaga alikuwaga jiran yetu maskin da inasikitisha mfaume alale Pema pepon kipind icho ndo alikuwa Anaimba imba na brother yangu sema yeye ndo akawa hajatoka bado kama yangu alikuwa anavuma kitaa walikuwa wanamwitaga sana kwenye makepu sema yeye kaka yangu alikuwa Anaimba na kulapu

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад +1

      Nasikia msiba wake alipataga watu wengi lazima si alishakuwa star. Kwenye video yake kwanza mwenyew alitakaga tuwepo mimi na mtoto wa mama yangu mkubwa alimtumaga kaka mmoja aje kutuambiaga

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

      Nyimbo zake zote nzur hivi hii si ndo walikuwa wanaiwekaga kwenye kipind cha zembwela ndo ilizidi vuma kwenye kipind cha oswazi

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 года назад

      Enzi izo alikuwaga mzur sana alikuwaga Ana mwil kabla hajaanza imba

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 3 года назад +1

    Duuh siamini km umetutoka dogo .....pumzika kwa amani.....

  • @emilianmnyongo2408
    @emilianmnyongo2408 Год назад +3

    Punzika kwa amani br wimbo huu utaendelea kua darasa kwetu

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 2 года назад +3

    moja ya nyimbo zilisumbua sana hisia ya mapenzi kwenye misha yangu ya kupenda huu wimbo kuna watu walidhani nimemuimbia huyo Regina duuh

  • @TifaaIdda-le8ou
    @TifaaIdda-le8ou Год назад +3

    Rest in peace broo nausikiliza mwaka 2023 mwezi WA 10

  • @JoyceGasper-zv5ld
    @JoyceGasper-zv5ld 4 месяца назад +1

    Hizi ndo nyimbo za mafunzo sio mijimbo yetu ya mapenzi.rip mfaume

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 3 месяца назад +1

    Wimbo hauchuji Mpaka sasa 2024 bado upo ok

  • @faudhiarashidi3657
    @faudhiarashidi3657 3 года назад +7

    R i p dogo mfaume😭😭
    Tunaongalia ngoma hii 2020
    gonga like apa

  • @athumangodson8462
    @athumangodson8462 3 года назад +3

    Haipingwi kitambo xanaaa nakubalii
    R.I.P

  • @janneferisaya83
    @janneferisaya83 4 месяца назад +1

    Kama ww ni mhenga kama mm ndo tunaielewa hii ngoma 2024

  • @elizachota6361
    @elizachota6361 6 лет назад +7

    omar, dogo mfaume,pancho latino mungu awakutanishe 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @erickmloge1052
    @erickmloge1052 6 лет назад +9

    Maumivu ya moyo hayapoi kwa ganzi..Rest in Peace Brthr!

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 3 года назад +1

    Nani asikiza 22/10/2021 kam mm gonga like twende sawa daaah Allah akurehem kaka umetuachia maneno mazur Kazi yangu ya dukan ina niweka matatani dahh

  • @haronbakora7156
    @haronbakora7156 Год назад +2

    Hii wimbo inanikumbuza mbali sana nikija mjini and I was struggling, inafanya natoa machozi

  • @fatumayenzela6878
    @fatumayenzela6878 Год назад +3

    Za kitambo zinabamba sana

  • @mbasabillz7715
    @mbasabillz7715 5 месяцев назад +2

    2024 I am still listening to kazi ya Dukani

  • @fatumaali2493
    @fatumaali2493 5 месяцев назад +1

    Am planning to open ashop soon ,thiz will be my song evrymorning

  • @BTVBATTAWY
    @BTVBATTAWY Год назад +2

    nyimbo hii ilikuwa ikipigwa katiak redio au TV nyumba nzima wananiita sababu nilikuwa ninaipenda sana yote sababu tulikuwa tuna duka ja Jirani yetu alikuwa anazinguwa sana kwa kukopa

  • @tonnypaul3802
    @tonnypaul3802 3 года назад +2

    Nipo apa 2020, hii nyimbo itaishi milele, lala salama dogo mfaume🙏

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 3 года назад +1

    Nyimbo ina ujumbe mzuuri hasa kwa vjana....wawe makini na life

  • @ShijaHumbi
    @ShijaHumbi 2 месяца назад

    Pumzika Kwa Amani Dogo mfaume.Hakika ulikuwa unajua

  • @rnbtalburnke3078
    @rnbtalburnke3078 Год назад +3

    2023 Kazi yangu ya Dukani🔥🔥🔥

  • @HamiduKimbega
    @HamiduKimbega Год назад +1

    Nilikuwa mdogo xan

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 года назад +5

    R I P dogo mfaume unanikumbusha mbali sana

  • @saidynamkanda746
    @saidynamkanda746 Год назад +1

    2022 bad naikumbuk na kuiangalia vp wapo Kama mm R.I.P dog mfaume

  • @bensonamuli3796
    @bensonamuli3796 2 месяца назад

    Just remembered this song l used to listen to 9 years ago😂😂🎉🎉

  • @shakombomwangauri633
    @shakombomwangauri633 2 года назад +16

    It's 2022 but the message I still loud and clear. R.I.P Mfaume

  • @mejasonpeter1677
    @mejasonpeter1677 Год назад +1

    Ukiendekeza chupi utavuna ngoma

  • @komboali8203
    @komboali8203 2 года назад +1

    Nakumbuka nipo darasa la Saba, saiz nimeajiriwa, nackiliza tena June 2022

  • @shabanmanyama1694
    @shabanmanyama1694 4 года назад

    Haitakuja kuchuja hata kwa bahati mbaya kakaangu mwenyezi mungu akupe wepesi huko uriko nass niwaja wakesho

  • @thumamohamed7946
    @thumamohamed7946 7 лет назад +1

    Allah akueke mahal pema pepon...mbele yako nyuma yetu

  • @alexkelvin2427
    @alexkelvin2427 2 года назад +4

    2020 mpo tunaokubal ngoma hii mikonojuu

  • @AbdallahOmary-df4jc
    @AbdallahOmary-df4jc 10 месяцев назад +1

    Iv bado mna sikiliza jaman kam mm au?

  • @mosesosodhi8135
    @mosesosodhi8135 2 года назад +5

    What a song,what a song this is.Waaaaat!🙏🙏🙏👊👊

  • @minzamabula8552
    @minzamabula8552 7 лет назад +1

    masikini kaka yangu pumuzika kwa amani tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi

  • @mohamedkakuze8255
    @mohamedkakuze8255 3 месяца назад +1

    Song la maana sana ❤ 2024

  • @abdullmajengo260
    @abdullmajengo260 7 лет назад +6

    pumzika kwa amani dogo mfaume mbele yako nyuma yetu R. I. P

  • @leahngweta8219
    @leahngweta8219 5 лет назад +8

    R.I.P Kaka Ila Nyimbo zako bado zinatufunza 2019

  • @Jumaaalii-ju9hk
    @Jumaaalii-ju9hk Год назад +1

    2023 twende sawaaa

  • @azizi-ud3sj
    @azizi-ud3sj Год назад +1

    Moja ya kazi bola mika yote 2023

  • @mazegamer8909
    @mazegamer8909 4 месяца назад

    yamenijaa moyonii nashindwa hata kusema ningelikua nyoka sumu ningezitema

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 3 года назад +2

    Jaman nyimbo zili kuwa zaman dah saiz matus tu😥😥

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 5 лет назад +1

    Allah akupunguzie adhabu ya kabir dogo mfaume

    • @abdullihsomani8956
      @abdullihsomani8956 4 года назад

      We unajua anaadhibiwa?? Usimhukumu mtu, sema Allaah akurehemu siyo ampunguzie adhabu

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 11 месяцев назад

    Wimbo mzuri sana 19/11/2023

  • @recardoroman2192
    @recardoroman2192 3 года назад +5

    2021 who still listen this one like me
    Rest easy dogo mafume

  • @kelvinmbilinyi4682
    @kelvinmbilinyi4682 9 месяцев назад +1

    RIP Brother dogo mfaume

  • @saphiawazir8001
    @saphiawazir8001 5 лет назад +2

    innalillah waina ilaih rajiuna, mbele yako nyuma yetu

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 7 лет назад +45

    Nani anacheki hii song 2017 Bonge la nyimbo

  • @RAPHAELKALOLO
    @RAPHAELKALOLO Месяц назад

    Dar buteta ulitisha ujumbe umefika uliendaga wapi bwana miaka Sasa zimepita husikiki

  • @AllyIssya-cy9yg
    @AllyIssya-cy9yg 6 месяцев назад

    kazi bora sana ya dogo mfaume

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Год назад

    2023Yaan wateja leo wamenivuruga imebid nijilete mwenyewee humu yaan hawatak kunilipa majiran ndo kabisaaa ndugu nao wanataka vitu bure

  • @evelynodhiambo2818
    @evelynodhiambo2818 7 лет назад +11

    I loved this song and still loving it

  • @Chris-cb2dj
    @Chris-cb2dj 7 лет назад +1

    rip dogo mfaume sisi wote ni wa maulana na kwake tutarejea

  • @ismahanymahamoud9721
    @ismahanymahamoud9721 Год назад +2

    R I P bro nice song

  • @SuleiyahIbrahim-gc4lw
    @SuleiyahIbrahim-gc4lw 4 месяца назад

    EATV walitakiwa kumlipa huyu jamaa walitumia sana beat yake

  • @rajabumlau5911
    @rajabumlau5911 7 лет назад +1

    jaman mtu akishikwana unga anyongwe jaman rip dogo mfaume

  • @seinamador5474
    @seinamador5474 2 года назад +2

    2022 March Mwisho wetu daima ni ulele Jela, taasis au kifo. RIP bro

  • @idisoncavan7800
    @idisoncavan7800 5 лет назад +15

    2019 napenda sana

  • @HgiHg-i7t
    @HgiHg-i7t 5 месяцев назад

    Pumuzika kwa amani😭😭😭

  • @rahmaissa9914
    @rahmaissa9914 7 лет назад +3

    Allah akupunguzie adhabu ya kaburi kaka mfaume

    • @abdullihsomani8956
      @abdullihsomani8956 4 года назад

      Usiseme Allaah akupunguzie adhabu za kaburini, ina mana we unajua yupo anaadhibiwa?

  • @hassanabdul1260
    @hassanabdul1260 6 лет назад +1

    daa,kifo bn km utani,Pumzikaa xalama nasi tuko nyuma ykooo

  • @stanleyraphael714
    @stanleyraphael714 4 месяца назад

    Rest easy brother... Ur memory still alive

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 4 года назад

    Mungu akuweke mahali pema peponi

  • @AmourHaroub-lv8ll
    @AmourHaroub-lv8ll 5 месяцев назад

    Lkn hio song ili hiit lkn leo nimeichek Tena hamuna kitu alichoimba😅😅😅

  • @inshuyaboydan711
    @inshuyaboydan711 2 года назад

    kazii nzuri kaka tuko pamoja

  • @Muhamedwitty
    @Muhamedwitty Год назад +1

    2023/9 still watching

  • @faridaiddrashidhi7930
    @faridaiddrashidhi7930 7 лет назад

    jamani kifo hkina huruma wala ciamini dogo mfaume km haupo duniani pumnzka kwa amani mpendwa tulkupnda ila mungu amekpnda zaidi

  • @emmanuelkafuu9220
    @emmanuelkafuu9220 5 лет назад +6

    Love from Nairobi Kenya..13/8/2019

  • @lusakejackson1515
    @lusakejackson1515 2 месяца назад +2

    Any one in july 28 2024?

  • @mkojanielectricalsolution1195
    @mkojanielectricalsolution1195 Год назад +1

    Tia like kama unaskiliza 2023 R.i.p kakaaa

  • @ahmedjack4135
    @ahmedjack4135 3 года назад

    huu wimboo unanihusu asilimia miaa nimefilisika kupitia dukaa

  • @kenedysebastiani7070
    @kenedysebastiani7070 3 года назад

    Mungu amraze maharipema peponi

  • @JumaAbu-yv3kv
    @JumaAbu-yv3kv 2 месяца назад

    Jimson msunza from dodoma pamoja sana2024

  • @papafikiri
    @papafikiri 7 лет назад +3

    pumzika kwa amani dogo Mfaume

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 2 года назад +2

    2022 still enjoying the music 🎶 😌 🕺🕺🕺🕺