AT FEAT. MWA4 - VIFUU TUNDU [HQ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 522

  • @Ash_tz_one
    @Ash_tz_one 6 месяцев назад +42

    Kama bado unaisikiliza hii ngoma 2024 nipe like apa

  • @fansitzmwakasungu5355
    @fansitzmwakasungu5355 7 месяцев назад +62

    Kama unasikiliza hii ngoma 2024 naomba gonga like apa tujuwane

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw Год назад +103

    Kama umsikilz hii ngom 2023 naomb gonga like yk hp legend

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 5 месяцев назад +13

    2024 niko hapa nasikiliza hiki kibao

  • @Amisakate
    @Amisakate 2 месяца назад +10

    Laidi kubwa leo 2024 sabufa langu nalionea huruma 😂

  • @youngbnine
    @youngbnine 5 месяцев назад +19

    Wale wa 2024 mko wapi

  • @stevekanuya111
    @stevekanuya111 4 года назад +180

    Kama umefka 2020 na hi ngoma ngonga like tuende sawa

  • @petergebo8198
    @petergebo8198 5 лет назад +117

    Nani bado anaisikiliza 2019

  • @rashidyadam8215
    @rashidyadam8215 5 лет назад +165

    Kama umefika 2019 na hii ngoma gonga like hapa

  • @lorraineatieno6544
    @lorraineatieno6544 2 года назад +10

    Huu wimbo naupenda nauskiza kilasiku hadi leo....mashallah💕😘🙏hongera ndugu zetu wabongo mna vipaji. Kenya.

  • @gladiatortv3163
    @gladiatortv3163 5 лет назад +13

    Hii nyimbo wameimba kujibu ile ya kidudu mtu. Mimi huwa kawaida napenda bifu kaa hizi, ngoma kali. 2019 bado naisikiza

    • @khadiyazerea3327
      @khadiyazerea3327 6 месяцев назад

      Awawatu mpk leo awaelewani wazanzibar wenzangu lkn dah😢😂😂

    • @mjombaken2048
      @mjombaken2048 6 месяцев назад

      ​@@khadiyazerea3327 ukweli? 🤣🤣

  • @magrethjames6811
    @magrethjames6811 5 лет назад +169

    Nani kaangalia 2019 nabado nyimbo tammmm

  • @robinahandove6513
    @robinahandove6513 Год назад +15

    Kama unauangalia huu Wimbo 2023 gonna 👍likes

  • @yvonneajwang3810
    @yvonneajwang3810 6 месяцев назад +4

    my love for this song

  • @zakiya807
    @zakiya807 13 лет назад +7

    HODI HODI NAINGIA NAZIREJASHA SALAMU MLANGO WANAOPITIYA KUPITA MIMI HARAMU MNAJUA MNAHAMU UGOMVI KWENU TUNU MWENYE AKILI TIMAMU KUGOMBANA KWAKE SUMU:

  • @user-sz8ic2tm7n
    @user-sz8ic2tm7n 10 месяцев назад +5

    Ngoma zk kali ila kupotea kwake amekosa broducer anae endana nae kwaiyoo BUUU zinkua nyingi,nameless sn😂

  • @zawadikuliga9658
    @zawadikuliga9658 3 года назад +8

    Kama unaangalia hii ngoma2021 ngoga like apaaaaa

  • @zaitunmageto4204
    @zaitunmageto4204 4 года назад +43

    My all time favorite,,,it's been my call back tune/skiza tune for seven years now💖💖💖💖💖🔥🔥🔥🙆🙆

    • @Slowdary3839
      @Slowdary3839 4 года назад

      It’s what language please?

    • @josephmkaka5074
      @josephmkaka5074 4 года назад +1

      @@Slowdary3839 Swahili Language based in East Africa especially in Tanzania it's a nation language and this artist is from Tanzania at Zanzibar Island

    • @ibrahimbaasal3020
      @ibrahimbaasal3020 4 года назад

      Someone should give you a feature already lmao

    • @zaitunmageto4204
      @zaitunmageto4204 3 года назад

      @ Ibrahim Baasal 😂😂😂 they need to .

    • @swdaalii6892
      @swdaalii6892 3 года назад

      Jamani At mm taaban

  • @cieranmanuel7251
    @cieranmanuel7251 8 лет назад +33

    Weee ndala tuuuu thamani yako chooni Chumbani waishia mlangoni huhuhu A.T wee nipe rahaa miee

  • @agnesssanga2588
    @agnesssanga2588 4 года назад +3

    Tuletee kigoma kipya AT we love uuuu mwaaaaaah!

  • @jonahmwei3915
    @jonahmwei3915 25 дней назад

    Ndo huyu Mimi hapa✋

  • @Jamillahs1
    @Jamillahs1 13 лет назад +6

    Kwa kweli umenikosha wakijibu kweli watakuwa wasenge. Ahsante maana waliyataka

    • @macdemaxsamuel3987
      @macdemaxsamuel3987 14 дней назад

      😂😂 kweli network haisahau huenda huyu aloandika hii coment keshakufa maan miaka 13 sio poa kipindi hicho wenye sim za smart ni chacje😂😂

  • @sisi11122
    @sisi11122 12 лет назад +6

    Mwanamke mmbea utamjua , mdomo wake mweusi kama wa kunguru, na uliona wapi nyumba ya udongo ikipigwa deki. Haha mashairi yamelala.

    • @mabalachiyanda1189
      @mabalachiyanda1189 4 года назад

      Rebecca Robert aaahahahahahahhahahahahahahhahaahhahaha😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @zeroiezable
    @zeroiezable 13 лет назад +4

    big up at & mwa4 imetulia nyimbo kama kweli wajibu hahahaha

  • @FakiiAlii
    @FakiiAlii 4 месяца назад +2

    iziiii ndo za kalee

  • @mackmali5393
    @mackmali5393 8 лет назад +9

    Hii Wimbo siuchoki!!..Asante sana ndugu yangu!!...

  • @lovirinaa
    @lovirinaa 5 месяцев назад +3

    Wangapi tume muona Gabo mwigizaji wa bongo movie 0:53

  • @izamohamed4665
    @izamohamed4665 5 лет назад +14

    Wow Nani unazikia Nov22/ 2018 Kama mimi

  • @mwanahamaam8508
    @mwanahamaam8508 3 года назад +2

    Wao...wimbo mzuri huyu dada ana sauti tamu🔥

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 5 лет назад +17

    Mwenye akili timamu kugombana kwake sumu💞💞😛 ujumbe mzuri saanaaa😍😍😍😍😍

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 лет назад +14

    20/10/2018 nipo nazo nazipitia mzee, aise nlkuwa nkiinjoy sn bifu la offside na AT coz wote n wakali wa mduara ilkuwa miss sn enzi izi wallah....

  • @maryambailakhunani3360
    @maryambailakhunani3360 4 года назад +3

    Aweeee ❣️❣️🔥🔥🔥 1 August 2020 bado naiangalia hii ngoma

  • @gomakuu
    @gomakuu 4 года назад +3

    Tupo 2020 pamoja na korona. Hodi Afrika.

  • @didakalaule7840
    @didakalaule7840 10 месяцев назад +1

    Jeshi la mtu mmoja 🔥🔥🔥🥀⚘🌹🌷♥️♥️♥️

  • @winniejohns1626
    @winniejohns1626 6 лет назад +7

    AT nakupenda bure kaka

  • @mujigikabugi3927
    @mujigikabugi3927 4 года назад +3

    2020 iko hapa na Corona. Wapi hizo likes 🇰🇪

  • @daudidaniel7975
    @daudidaniel7975 4 года назад +2

    Tuko na hii nyimbo now 2020 /08/27 nyimbo bado tamu ❤️

  • @bulakeke8362
    @bulakeke8362 4 года назад +6

    Nani anaangalia huu wimbo 2020 tujuane

  • @k254bnn7
    @k254bnn7 Год назад +2

    2023 tuko hapa tunarepresent 🇰🇪

  • @machubaby2328
    @machubaby2328 6 лет назад +7

    At twamis miduara banaaa 2018 watching na bado iko moto

  • @Fidelfromthe14
    @Fidelfromthe14 Месяц назад

    Hodi hodi naingiaaa🕺🕺🕺🕺

  • @pendopendo3008
    @pendopendo3008 5 лет назад +10

    Nasikiliza leo 16… 3.-2019🏃🏃😍😍😍

  • @julzd2020
    @julzd2020 Месяц назад

    Tuko ndani 2024

  • @judynjeri5077
    @judynjeri5077 4 года назад +24

    2020lockdown am enjoying in India❤️❤️

    • @prospermassawe5345
      @prospermassawe5345 2 года назад

      2021 and joining you in india 🇮🇳 Uttar Pradesh enjoying it

  • @jikonishopping41
    @jikonishopping41 3 года назад +2

    Good music nani anaenjoy mpaka leo 2021

  • @chiefmicca7051
    @chiefmicca7051 3 года назад +1

    The first in 2021 like hapo twende sawa

  • @achiever3335
    @achiever3335 3 года назад +3

    2020 bado twaskiza hii hit kali

  • @dizokway5916
    @dizokway5916 5 лет назад +57

    NAC song 2019

  • @nancynasimiyu6439
    @nancynasimiyu6439 2 года назад +7

    2022 still hitting in my veins😊🥱napenda taarab😘🥰

  • @kibirashihabari6400
    @kibirashihabari6400 5 лет назад +11

    Nan anaandalia huu wimbo 2019

  • @adeshchilolo896
    @adeshchilolo896 2 года назад +6

    What a song!! I've loved it since
    2017

  • @ackshuba8679
    @ackshuba8679 5 лет назад +4

    nilikiwa master wa huu ugomvi japo tulikuwa hatuna team mitandaoni
    ila nilikuwa siko upande wa offtrick wala AT ila nilikuwa napenda mduara wao yaan

  • @mahirnassor3118
    @mahirnassor3118 5 лет назад +6

    8/8/2019 gonga like kama bado unapenda hii nyimbo

  • @iamfatmah5227
    @iamfatmah5227 6 месяцев назад +1

    His songs hit different 🎉❤

  • @KTMediatv
    @KTMediatv 2 года назад +4

    Kama umemuona gabo zigamba humu gonga like 😅 2022 .

  • @mohdhussein9749
    @mohdhussein9749 6 лет назад +8

    Duh baba umewamaliza hhhhhh😂😂😂😂😂😂

  • @machubaby2328
    @machubaby2328 6 лет назад +9

    Hahaaa waambie chei cheii

  • @vivianhance4760
    @vivianhance4760 6 лет назад +91

    nan anaangalia huu wimbo2018

  • @blacktulip4386
    @blacktulip4386 6 лет назад +12

    ATI mkiongea nikona nyinyi na mkinyamaza ntajua mnaniogopa

  • @veronicangwale7159
    @veronicangwale7159 Год назад +1

    Na hawajajibu mpka Leo 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @evancrjoseph8319
    @evancrjoseph8319 4 года назад +3

    Nani kautizama wimbo 2020 mwaga like Kama zote

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 13 лет назад +2

    jamni sijui kama nitaichoka hii video...!haswaaaa wajibu tuburudike!

  • @cranq2549
    @cranq2549 3 года назад +16

    2021 still playing 🔥🔥

  • @erickjery8884
    @erickjery8884 4 года назад +2

    Kama imetoka jan vile mpak xax nani nipo nae 2020

  • @alanochieng8643
    @alanochieng8643 4 года назад +1

    Hyy mtoto mswahili am serching

  • @ahmedzungu2465
    @ahmedzungu2465 4 года назад +2

    Huu wimbo unanikumbush mbali sn

  • @hadiyajuma3974
    @hadiyajuma3974 3 года назад

    Kindumbwe ndumbwe sharira

  • @hamidhamad4462
    @hamidhamad4462 5 лет назад +18

    30/3/2019 Dah yan imenkumbusha mbali

  • @shabanluogah3207
    @shabanluogah3207 5 лет назад +3

    Raha jmn,,,,A.T unanifurahisha

  • @pinpaul1
    @pinpaul1 9 лет назад +3

    vifuu tundu nini tafadhali nielezeni na upenda hu wimbo sana

  • @jamesmariga6531
    @jamesmariga6531 6 лет назад +9

    Its as relevant as it was 7 years ago.. KUDOS

  • @joharimohamed256
    @joharimohamed256 6 лет назад +7

    walimuogopa ndomana wakakaa kimya

  • @edwinkashindi825
    @edwinkashindi825 3 года назад +14

    2021 still my favorite

  • @judynjeri1341
    @judynjeri1341 5 лет назад +10

    Nice song Wapi likes za 2019

  • @user-xe7cc6bi3z
    @user-xe7cc6bi3z 6 лет назад +1

    Mama Africa .
    In Sudan salam

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 8 лет назад +51

    I never stop loving this song 😁😁😁😁

  • @zaribaeofficial6510
    @zaribaeofficial6510 Год назад +3

    Wow mashallah I can't stop listening to this song in 2022 🤗❤

  • @khalidsoud235
    @khalidsoud235 6 лет назад +2

    He he nani amemuona Gabo

  • @mrsochu7504
    @mrsochu7504 3 года назад +1

    Yaani leo nna mzuka na hili song kisenge

  • @aveirastephen9227
    @aveirastephen9227 5 лет назад +4

    Duh 2019 .maisha haya

  • @faidhakassim9477
    @faidhakassim9477 5 лет назад +5

    2019 like km vipi twende sawa

  • @Phina__Jk
    @Phina__Jk 3 года назад +2

    2020 tupo apa ❤️❤️

  • @shabanimarijani662
    @shabanimarijani662 5 лет назад +4

    I love the song, have a good message in the societies.

  • @kamauhsolea8246
    @kamauhsolea8246 4 года назад +40

    To write this kind of song you need a lot of time , be shape and also have knowledge of swahili

    • @RioIpo
      @RioIpo 3 года назад

      Mbona simple tu..

    • @katarinaaziza
      @katarinaaziza 2 года назад +1

      I agree, I am relearning swahili because of these songs ❤️

    • @mariajason3547
      @mariajason3547 Год назад

      @@RioIpo kwa wewe

    • @RioIpo
      @RioIpo Год назад

      @@mariajason3547 Sie waswahili wa Zenji tunaona kawaida tu

  • @daniikirunda7113
    @daniikirunda7113 6 лет назад +18

    Hahahaa GABO ndani Ya msuLi

  • @janechepchumba3128
    @janechepchumba3128 8 месяцев назад +1

    My best song ever❤

  • @lazizyssecretadmirer6599
    @lazizyssecretadmirer6599 5 лет назад +11

    My love for this song grows day by day..

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 5 лет назад +9

    AT HIVI UPO KWELI DAAH 2019

  • @josephkmuteti5234
    @josephkmuteti5234 9 лет назад +1

    uko juu sana at mbona ulinyamaza wajibu hao wajuaji hawakuwezi uko juu sana

  • @swalehfosi8911
    @swalehfosi8911 5 лет назад +1

    wakali wahizi kazi😏😏😏 ...wakali izi kazi wakali wa mashuzii 😂😂😂😂

  • @ladykeyterkipenzichababa1742
    @ladykeyterkipenzichababa1742 6 лет назад +1

    Wah nan acheza nami weh zuuh

  • @rahimahassan5808
    @rahimahassan5808 11 лет назад +4

    i rly love u AT ndo watakoma udaku

  • @joshuangei6967
    @joshuangei6967 4 года назад +1

    Niko hapa 2020 lakini sijui lyrics zenyewe mtu anisaidie jameni

    • @peacekeepermoe
      @peacekeepermoe 3 года назад

      Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu)
      Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu)
      Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana
      Akosae (apande ukucha) x4
      Hodi hodi naingia, naziregesha salamu
      Mlango walopitia kupita mimi kharamu
      Najua mna hamu, ugomvi kwenu tunu
      Mwenye akili timamu
      Kugombana kwake sumu
      (Maneno yenu wala hayamfanyi mtu kua
      Mwembaba eeh ndo kwanza azidi kunawiri
      Kama shina la mgomba)
      Mnapita pita pita kusema wasoyajua
      Mnazua zua zua mwishoni mutazomewa ×2
      Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu)
      Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu)
      Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana
      Akosae (apande ukucha) x4
      Mjumbe ulinambia nikabisha katukatu
      Katika hii dunia wengine majini watu ×2
      (Mwanamke mbea utamjua tu mdomo wake, mweusii kama kunguru)
      Minaona bora mfanye yanowahusu
      Huo umbea wenu msopitwa kama kasuku ×2 (ndio)
      Nyinyi kama kasuku, mnanifata huku
      Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu)
      Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu)
      Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana
      Akosae (apande ukucha) x4
      Wooriweeee
      Ahaaaa
      Uliona wapi nyumba ya udongo ikapigwa deki
      Ina huu
      Wee ndara tuu
      Thamani yako chooni, chumbani waishia mlangoni
      Huwa mbiiiiioo
      Kila mwenye chuki na mie
      Ujumbe huu umfikie
      Mtazidi kunichukia na dunia mtaiona moto
      Kindumbwe ndumbwe
      Kindumbwe ndumbwe
      Wanalia wanalia wanalia hoo
      Kumbe ni choyo
      Kumbe ni choyo
      Kumbe ni choyo
      Woooo
      Eehh unashangaa Mimi kula kwa mama nitilie eh?
      Watu tumeshakula maholu
      sasa wewe ushamba wako haha
      Eenh unataka nile kwa bi mkubwa wako?
      Lakini hajui kupika... Tena pole!
      Mashetani yamepanda yamekuja na mapanga
      Mashetani yamepanda yamekuja na mapanga
      Hata ukenda kwa mganga na mizimwi itaganda (Taire taire taire taire)
      Ukijipendekeza nakufyeka
      Ukijipendekeza nakukata ahh nakukata x2
      Mashetani yamepanda (Taire taire taire taire)
      Mashetani yamepanda (Taire taire taire taire)
      Ehhh mwalimu hafeli mtihani ehh? Kwasababu yeye ndio aliouandika
      Wakanu hawawezi kazi. Wakanu hawawezi kazi, Wakanu mashuzi?
      Ahh poleni tena poleni sana
      Ehh msitie huruma eh, mara mmenuna nyie, wee
      Eeeh shauri zao, ehh unaonja moto kwa ulimi ehh?
      Aacha ukuunguze sasa....

  • @wamadangure6976
    @wamadangure6976 11 лет назад +3

    lenny, mwanamkemmbea utamjua mdomo wake mweusi kama kunguru. heko kwa mtunzi.

  • @fredrickkajuna74
    @fredrickkajuna74 6 лет назад +6

    Who is listening to this song in 2017, nime miss miduara balaaah

  • @cannadaymsanii-imaginesquad
    @cannadaymsanii-imaginesquad 4 года назад +4

    Lovely song great metaphors

  • @user-df9lu9cf6r
    @user-df9lu9cf6r 4 месяца назад +1

    AT ,Mwa4❤❤❤

  • @aminakazogolo9914
    @aminakazogolo9914 5 лет назад +6

    Who is listening this song 2019?

  • @sarahnilla9266
    @sarahnilla9266 8 лет назад +10

    at uko juu sana na utabaki kuwa juu

  • @mulhatwarama9882
    @mulhatwarama9882 4 года назад +2

    2020 tupo hapaaaa...😍😍😍