Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu) Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu) Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana Akosae (apande ukucha) x4 Hodi hodi naingia, naziregesha salamu Mlango walopitia kupita mimi kharamu Najua mna hamu, ugomvi kwenu tunu Mwenye akili timamu Kugombana kwake sumu (Maneno yenu wala hayamfanyi mtu kua Mwembaba eeh ndo kwanza azidi kunawiri Kama shina la mgomba) Mnapita pita pita kusema wasoyajua Mnazua zua zua mwishoni mutazomewa ×2 Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu) Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu) Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana Akosae (apande ukucha) x4 Mjumbe ulinambia nikabisha katukatu Katika hii dunia wengine majini watu ×2 (Mwanamke mbea utamjua tu mdomo wake, mweusii kama kunguru) Minaona bora mfanye yanowahusu Huo umbea wenu msopitwa kama kasuku ×2 (ndio) Nyinyi kama kasuku, mnanifata huku Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu) Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu) Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana Akosae (apande ukucha) x4 Wooriweeee Ahaaaa Uliona wapi nyumba ya udongo ikapigwa deki Ina huu Wee ndara tuu Thamani yako chooni, chumbani waishia mlangoni Huwa mbiiiiioo Kila mwenye chuki na mie Ujumbe huu umfikie Mtazidi kunichukia na dunia mtaiona moto Kindumbwe ndumbwe Kindumbwe ndumbwe Wanalia wanalia wanalia hoo Kumbe ni choyo Kumbe ni choyo Kumbe ni choyo Woooo Eehh unashangaa Mimi kula kwa mama nitilie eh? Watu tumeshakula maholu sasa wewe ushamba wako haha Eenh unataka nile kwa bi mkubwa wako? Lakini hajui kupika... Tena pole! Mashetani yamepanda yamekuja na mapanga Mashetani yamepanda yamekuja na mapanga Hata ukenda kwa mganga na mizimwi itaganda (Taire taire taire taire) Ukijipendekeza nakufyeka Ukijipendekeza nakukata ahh nakukata x2 Mashetani yamepanda (Taire taire taire taire) Mashetani yamepanda (Taire taire taire taire) Ehhh mwalimu hafeli mtihani ehh? Kwasababu yeye ndio aliouandika Wakanu hawawezi kazi. Wakanu hawawezi kazi, Wakanu mashuzi? Ahh poleni tena poleni sana Ehh msitie huruma eh, mara mmenuna nyie, wee Eeeh shauri zao, ehh unaonja moto kwa ulimi ehh? Aacha ukuunguze sasa....
Kama bado unaisikiliza hii ngoma 2024 nipe like apa
Kama unasikiliza hii ngoma 2024 naomba gonga like apa tujuwane
Tupoooo
Mimi hapa
Tupo 😂
Kama umsikilz hii ngom 2023 naomb gonga like yk hp legend
2024 twende sawa
Tuko 2024. Na ngoma Bado inashika kasi
@@derrickkiptoo1918anguka nayo
2024 niko hapa nasikiliza hiki kibao
Laidi kubwa leo 2024 sabufa langu nalionea huruma 😂
Wale wa 2024 mko wapi
Tupo
Kama umefka 2020 na hi ngoma ngonga like tuende sawa
.
y
.
y
.
y
Nani bado anaisikiliza 2019
Kama umefika 2019 na hii ngoma gonga like hapa
zishapitwa na wakati
Nice
Hii ngoma naipenda kinyama
Kila mwenye chuki na mie ujumbe huu uwafukie
Love,this,song,vary,so,much
Huu wimbo naupenda nauskiza kilasiku hadi leo....mashallah💕😘🙏hongera ndugu zetu wabongo mna vipaji. Kenya.
Sanaaaaa
Hii nyimbo wameimba kujibu ile ya kidudu mtu. Mimi huwa kawaida napenda bifu kaa hizi, ngoma kali. 2019 bado naisikiza
Awawatu mpk leo awaelewani wazanzibar wenzangu lkn dah😢😂😂
@@khadiyazerea3327 ukweli? 🤣🤣
Nani kaangalia 2019 nabado nyimbo tammmm
Mimi
Niko hapa haha
magreth james 2020 🙌🏾
Mimi!!!
Kama unauangalia huu Wimbo 2023 gonna 👍likes
❤
my love for this song
HODI HODI NAINGIA NAZIREJASHA SALAMU MLANGO WANAOPITIYA KUPITA MIMI HARAMU MNAJUA MNAHAMU UGOMVI KWENU TUNU MWENYE AKILI TIMAMU KUGOMBANA KWAKE SUMU:
Ngoma zk kali ila kupotea kwake amekosa broducer anae endana nae kwaiyoo BUUU zinkua nyingi,nameless sn😂
Kama unaangalia hii ngoma2021 ngoga like apaaaaa
My all time favorite,,,it's been my call back tune/skiza tune for seven years now💖💖💖💖💖🔥🔥🔥🙆🙆
It’s what language please?
@@Slowdary3839 Swahili Language based in East Africa especially in Tanzania it's a nation language and this artist is from Tanzania at Zanzibar Island
Someone should give you a feature already lmao
@ Ibrahim Baasal 😂😂😂 they need to .
Jamani At mm taaban
Weee ndala tuuuu thamani yako chooni Chumbani waishia mlangoni huhuhu A.T wee nipe rahaa miee
Tuletee kigoma kipya AT we love uuuu mwaaaaaah!
Ndo huyu Mimi hapa✋
Kwa kweli umenikosha wakijibu kweli watakuwa wasenge. Ahsante maana waliyataka
😂😂 kweli network haisahau huenda huyu aloandika hii coment keshakufa maan miaka 13 sio poa kipindi hicho wenye sim za smart ni chacje😂😂
Mwanamke mmbea utamjua , mdomo wake mweusi kama wa kunguru, na uliona wapi nyumba ya udongo ikipigwa deki. Haha mashairi yamelala.
Rebecca Robert aaahahahahahahhahahahahahahhahaahhahaha😀😀😀😀😀😀😀😀😀
big up at & mwa4 imetulia nyimbo kama kweli wajibu hahahaha
iziiii ndo za kalee
Hii Wimbo siuchoki!!..Asante sana ndugu yangu!!...
Wangapi tume muona Gabo mwigizaji wa bongo movie 0:53
Wow Nani unazikia Nov22/ 2018 Kama mimi
Wao...wimbo mzuri huyu dada ana sauti tamu🔥
Mwenye akili timamu kugombana kwake sumu💞💞😛 ujumbe mzuri saanaaa😍😍😍😍😍
2019
Kama umefika 2019 gonga like hapa
Jennifer Nduka ulikuwaga unawafatilia sna hawa watu dad
@@thabitnassoro2929 ndio kaka
@@rosejames9320 nipo bado tunaendeleza gurudumu
20/10/2018 nipo nazo nazipitia mzee, aise nlkuwa nkiinjoy sn bifu la offside na AT coz wote n wakali wa mduara ilkuwa miss sn enzi izi wallah....
kwer kbs hii aliijibu
Akiijibu ile kidudu mtu
Aweeee ❣️❣️🔥🔥🔥 1 August 2020 bado naiangalia hii ngoma
Tupo 2020 pamoja na korona. Hodi Afrika.
Jeshi la mtu mmoja 🔥🔥🔥🥀⚘🌹🌷♥️♥️♥️
AT nakupenda bure kaka
2020 iko hapa na Corona. Wapi hizo likes 🇰🇪
Tuko na hii nyimbo now 2020 /08/27 nyimbo bado tamu ❤️
Nani anaangalia huu wimbo 2020 tujuane
2023 tuko hapa tunarepresent 🇰🇪
At twamis miduara banaaa 2018 watching na bado iko moto
Kabisaa daa maryam
Hodi hodi naingiaaa🕺🕺🕺🕺
Nasikiliza leo 16… 3.-2019🏃🏃😍😍😍
Tuko ndani 2024
2020lockdown am enjoying in India❤️❤️
2021 and joining you in india 🇮🇳 Uttar Pradesh enjoying it
Good music nani anaenjoy mpaka leo 2021
The first in 2021 like hapo twende sawa
2020 bado twaskiza hii hit kali
NAC song 2019
2022 still hitting in my veins😊🥱napenda taarab😘🥰
Nan anaandalia huu wimbo 2019
What a song!! I've loved it since
2017
nilikiwa master wa huu ugomvi japo tulikuwa hatuna team mitandaoni
ila nilikuwa siko upande wa offtrick wala AT ila nilikuwa napenda mduara wao yaan
8/8/2019 gonga like kama bado unapenda hii nyimbo
Souze
His songs hit different 🎉❤
Kama umemuona gabo zigamba humu gonga like 😅 2022 .
Duh baba umewamaliza hhhhhh😂😂😂😂😂😂
Hahaaa waambie chei cheii
nan anaangalia huu wimbo2018
nice
Mm apa
@@evanovatys1224 nice to hear that 👏👌
Mm
ATI mkiongea nikona nyinyi na mkinyamaza ntajua mnaniogopa
Na hawajajibu mpka Leo 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃
Nani kautizama wimbo 2020 mwaga like Kama zote
jamni sijui kama nitaichoka hii video...!haswaaaa wajibu tuburudike!
2021 still playing 🔥🔥
Kama imetoka jan vile mpak xax nani nipo nae 2020
Hyy mtoto mswahili am serching
Huu wimbo unanikumbush mbali sn
Kindumbwe ndumbwe sharira
30/3/2019 Dah yan imenkumbusha mbali
Raha jmn,,,,A.T unanifurahisha
vifuu tundu nini tafadhali nielezeni na upenda hu wimbo sana
Its as relevant as it was 7 years ago.. KUDOS
walimuogopa ndomana wakakaa kimya
😂😂😂😂
Hilo dege ndo walimjibu
2021 still my favorite
Nice song Wapi likes za 2019
Mama Africa .
In Sudan salam
ابو طيف safi sana
I never stop loving this song 😁😁😁😁
Hahahaha😂😂😂😂
🔥
Si ukoment kwa kiswahili braza
@@davidandrew3481 Five years ago, nilikuwa bado mwanafunzi...so relax Bro😎
Hamna kurelax hapa, kwann usinge andika essay ya page 3
Wow mashallah I can't stop listening to this song in 2022 🤗❤
He he nani amemuona Gabo
Yaani leo nna mzuka na hili song kisenge
Duh 2019 .maisha haya
2019 like km vipi twende sawa
2020 tupo apa ❤️❤️
I love the song, have a good message in the societies.
To write this kind of song you need a lot of time , be shape and also have knowledge of swahili
Mbona simple tu..
I agree, I am relearning swahili because of these songs ❤️
@@RioIpo kwa wewe
@@mariajason3547 Sie waswahili wa Zenji tunaona kawaida tu
Hahahaa GABO ndani Ya msuLi
yumo
My best song ever❤
My love for this song grows day by day..
AT HIVI UPO KWELI DAAH 2019
Yupo zzbar uku nyumbn
uko juu sana at mbona ulinyamaza wajibu hao wajuaji hawakuwezi uko juu sana
Acholi video
wakali wahizi kazi😏😏😏 ...wakali izi kazi wakali wa mashuzii 😂😂😂😂
Wah nan acheza nami weh zuuh
i rly love u AT ndo watakoma udaku
Niko hapa 2020 lakini sijui lyrics zenyewe mtu anisaidie jameni
Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu)
Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu)
Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana
Akosae (apande ukucha) x4
Hodi hodi naingia, naziregesha salamu
Mlango walopitia kupita mimi kharamu
Najua mna hamu, ugomvi kwenu tunu
Mwenye akili timamu
Kugombana kwake sumu
(Maneno yenu wala hayamfanyi mtu kua
Mwembaba eeh ndo kwanza azidi kunawiri
Kama shina la mgomba)
Mnapita pita pita kusema wasoyajua
Mnazua zua zua mwishoni mutazomewa ×2
Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu)
Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu)
Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana
Akosae (apande ukucha) x4
Mjumbe ulinambia nikabisha katukatu
Katika hii dunia wengine majini watu ×2
(Mwanamke mbea utamjua tu mdomo wake, mweusii kama kunguru)
Minaona bora mfanye yanowahusu
Huo umbea wenu msopitwa kama kasuku ×2 (ndio)
Nyinyi kama kasuku, mnanifata huku
Wao wao wao wao wajuaji wa kusema (vifuu tundu)
Wao wao wao wao wanasema yaso maana (vijitu)
Ndo maana hawapokewi kwasababu wana laana
Akosae (apande ukucha) x4
Wooriweeee
Ahaaaa
Uliona wapi nyumba ya udongo ikapigwa deki
Ina huu
Wee ndara tuu
Thamani yako chooni, chumbani waishia mlangoni
Huwa mbiiiiioo
Kila mwenye chuki na mie
Ujumbe huu umfikie
Mtazidi kunichukia na dunia mtaiona moto
Kindumbwe ndumbwe
Kindumbwe ndumbwe
Wanalia wanalia wanalia hoo
Kumbe ni choyo
Kumbe ni choyo
Kumbe ni choyo
Woooo
Eehh unashangaa Mimi kula kwa mama nitilie eh?
Watu tumeshakula maholu
sasa wewe ushamba wako haha
Eenh unataka nile kwa bi mkubwa wako?
Lakini hajui kupika... Tena pole!
Mashetani yamepanda yamekuja na mapanga
Mashetani yamepanda yamekuja na mapanga
Hata ukenda kwa mganga na mizimwi itaganda (Taire taire taire taire)
Ukijipendekeza nakufyeka
Ukijipendekeza nakukata ahh nakukata x2
Mashetani yamepanda (Taire taire taire taire)
Mashetani yamepanda (Taire taire taire taire)
Ehhh mwalimu hafeli mtihani ehh? Kwasababu yeye ndio aliouandika
Wakanu hawawezi kazi. Wakanu hawawezi kazi, Wakanu mashuzi?
Ahh poleni tena poleni sana
Ehh msitie huruma eh, mara mmenuna nyie, wee
Eeeh shauri zao, ehh unaonja moto kwa ulimi ehh?
Aacha ukuunguze sasa....
lenny, mwanamkemmbea utamjua mdomo wake mweusi kama kunguru. heko kwa mtunzi.
Who is listening to this song in 2017, nime miss miduara balaaah
December typo
Fredrick Kajuna 😭 namiss pia
hata mimi nasikiliza na wewe japo nikombali
Lovely song great metaphors
AT ,Mwa4❤❤❤
Who is listening this song 2019?
🖐
at uko juu sana na utabaki kuwa juu
2020 tupo hapaaaa...😍😍😍