Mimi nina mtu wa karibu alikuwa akifanyiwa unyanyasaji kijinsia, nilimtumia sms mh waziri alifuatilia pamoja kwamba ni vijijini sana na hatua zikachukuliwa na sasa huyo ndugu anaishi maisha mazuri, Mh waziri anafanya kazi sana na ni mkali mno kwenye vitendo kuliko kuongea
Unajua nini,hii kazi ya kuwapa watu vyeo kisa eti jinsia huo ni upuuzi,huu mpango wa wazungu wa kutaka asilimia sijui 50 kwa 50 ni mpango ovu,inatakiwa vyeo kila mtu avipate kutokana na uwezo wake,na sio kutokana na jinsia yake
Nimeipenda sana amefikisha ujumbe kama agrey mwanry mzee wa toronto!!!hongera mh gwajima hongera sana wasomi wameelewa !!achen wivu wakijinga hakosea!!!!!!!
Sasa hapo Kuna wivu Gani na wewe Yani mambo ya hovyo yanayoweza kuleta maangamizi kwa taifa unataka yazungumzwe kwa masihara masihara kiongozi unapoitwa kutoa misimamo wa jambo flani hsijalishi wewe ni mwanamke lakini ukishakua kiongozi unaacha mambo ya jikoni unatoa misimamo wa serikali
Yaani hayo majibu ya mwenyekiti kizungumkuti anakela wamejaa mizaha kwa jambo kubwa mtu yoyote asiejali kilio cha watoto wanapozulumiwa mungu atamlipa na mungu atasimama na kuwatetea wanyonge
Mnafanya maigizo wallah na hekma alipaswa kumheshim mbunge mwenzak kwa kumjib ipasavy si kuonesh dharau. Inabid ajitathim na mwenyekiti wa kikao ww ndio umesababish ata hiyo scenario itokee cz ndio ulinza kuuliz maswal ya kejel na ulimuamur ajibu kwa kejel...Hivy ndivy ilivyo mfikie hatua mtuzian heshima
Katika hili mm ninawashukuru sana wabunge wote walio toa taarifa juu ya serikali Kwa kweri 2025had 2030 mungu awasaidie warudi Tena mana taifa linahitaji wabunge kama hawa
Pitisheni sheria hapo mnashindwa nini msitake kutufanya mazwazwa bana acheni ngonjera aisee we ngwajima ulienda ulaya kulishwa nyama ya masikiyo na mashoga ambao ni mabilionea wa dunia we kama serekali ungetoa nfasi bunge litunge sheria kuhusu farag'ha manake htuna kifungu cha kuwahkumu mashoga!!!
Tatizo hapa sio la mbunge, matatizo tunayo mitaani. Kila mbunge kwenye eneo lake, wakuu wote kwa maeneo yao na kila mtu kwenye jamii yake na familia yake. Waziri aachwe afanye kazi yake.
Mhe waziri gwajima kazi anafanya kwa bidii zake hatuwezi kumfananisha na wengine yeye nimama analia hapo bado mhe mwingine hamuelewi !!!! Nasiwana nchi hatumuelewi nayeye kwavile mhe hakuwa nabajeti hiyo peke yake tusaidiane wote tunajenga nyumba moja yeye hajaleta ushoga na usagaji hayanimatukio yaliotufika tusaidiane kuyakemea Tuu
Hapo kuna chawa wa lusfa wana mioyo migumu kama jiwe unapofanya komedi kwenye jambo linalogusa uhai ustawi na hatima ya watoto na kuleta mizaha kama mpo kilabuni ninyi ni wasaliti wa watanzania ni chawa wa malekani wanafki chawa
Mie mawazo yang yamenituma siwezi kuwa shoga wala siwezi kuoa naikitokea nimemzalisha binti akijifanya mjuaji anataka50kwa50 ataitumia kulea hilo toto lakekusudi wapeane huruma ya aki sawa huusiyomuda wakuzubaisha akili 😎🤬
Kuanzia mwenyekiti adi waziri gwajima mwenyez mungu awalaaani mnatufanya wa Tanzania kma mataila kwer 😭😭😭😭
Huyu mwenyekiti hafai inawezekana nalo ni lisagaji tu
Nmeshuhudia ushenzi apa
Kuna vitu vya ajabu sana vinaendelea bila kujua
Mimi nina mtu wa karibu alikuwa akifanyiwa unyanyasaji kijinsia, nilimtumia sms mh waziri alifuatilia pamoja kwamba ni vijijini sana na hatua zikachukuliwa na sasa huyo ndugu anaishi maisha mazuri, Mh waziri anafanya kazi sana na ni mkali mno kwenye vitendo kuliko kuongea
😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆🙌🙌🙌🙌
Tanzania inaweza kuongoza kwa ujinga duniani
Gwajima anafanya kazi kubwa sana watanzani punguzeni makasiliko
Hafai kuwa waziri
Unajua nini,hii kazi ya kuwapa watu vyeo kisa eti jinsia huo ni upuuzi,huu mpango wa wazungu wa kutaka asilimia sijui 50 kwa 50 ni mpango ovu,inatakiwa vyeo kila mtu avipate kutokana na uwezo wake,na sio kutokana na jinsia yake
Daaah kabsa yan inaturudisha nyuma sana
Sahihi ukimsikia mwenyekiti na waziri utabaini mapungufu makubwa ukizingatia hii ndio serikali wasemaji wa mwisho
Jmn kunawatu sijui wanataka wazir asemej au ndo mashoga wenyew haooo
Lo!Mungu wetu aturehemu kwa Shetani tuliye mkalibisha mioyoni mwetu.
TUMBUA UYU!
HANA USEREOUS
Nimeipenda sana amefikisha ujumbe kama agrey mwanry mzee wa toronto!!!hongera mh gwajima hongera sana wasomi wameelewa !!achen wivu wakijinga hakosea!!!!!!!
Sasa hapo Kuna wivu Gani na wewe Yani mambo ya hovyo yanayoweza kuleta maangamizi kwa taifa unataka yazungumzwe kwa masihara masihara kiongozi unapoitwa kutoa misimamo wa jambo flani hsijalishi wewe ni mwanamke lakini ukishakua kiongozi unaacha mambo ya jikoni unatoa misimamo wa serikali
😂😂😂😂Ila huyu waziri 😅😅😅
Yaani hayo majibu ya mwenyekiti kizungumkuti anakela wamejaa mizaha kwa jambo kubwa mtu yoyote asiejali kilio cha watoto wanapozulumiwa mungu atamlipa na mungu atasimama na kuwatetea wanyonge
Sema huyu mama analaana sana
Ndio maana waligombana Sana na gwajima wakati wa kolona huyo mama sijawahi kumwelewa kabisa
Usanii. Waziri is not serious ni usaniii tupu ni comedy
Mnafanya maigizo wallah na hekma alipaswa kumheshim mbunge mwenzak kwa kumjib ipasavy si kuonesh dharau. Inabid ajitathim na mwenyekiti wa kikao ww ndio umesababish ata hiyo scenario itokee cz ndio ulinza kuuliz maswal ya kejel na ulimuamur ajibu kwa kejel...Hivy ndivy ilivyo mfikie hatua mtuzian heshima
Msilaumu kwani Walewadudu arusha mnawalea mwenyewe mbona nyingi wabunge hamkemei? Mnamlaumu mawazili mwacheni huyu mama anapiga sn kz
Ushezi
Mungu awasamehe,,maana macho yao na akili zao ni Giza neneeee
Hahahaha hili bunge ni hatari
Kwaiyo mnamaanisha nyie ni bunge move
Ikiwa raisi mwenyewe haongeleii hili swala unategemea wazir atakuaje
Mbona kama utani
Commed in parliament
Hahaha hahahahahaha
Maigizo ya wabunge
Huyu mtu mnafiki sana. Leo nimejua kuwa ni mwanasiasa msanii pia.
Pombe mbaya
Wabunge wetu Tanzania comedy 🤣🤣🤣🤣
Is this a minister or a comedian
Katika hili mm ninawashukuru sana wabunge wote walio toa taarifa juu ya serikali Kwa kweri 2025had 2030 mungu awasaidie warudi Tena mana taifa linahitaji wabunge kama hawa
Ndo wazir
Huyu Waziri toka siku ya kwanza tu nilimuona anakatatizo…
Waziri yupi?
Unafiki wa kiongozi huyu hana lolote huyu mama
Swala sio kuwakamata , swala ni mkiwakamata mtawafanya nn ?? Mnaongea ujingaaa ujinga na michezoo michezo tu🚶
Ni jambo baya sana kuleta utani kwenye jambo la msingi kama hili tena bungeni
Pitisheni sheria hapo mnashindwa nini msitake kutufanya mazwazwa bana acheni ngonjera aisee we ngwajima ulienda ulaya kulishwa nyama ya masikiyo na mashoga ambao ni mabilionea wa dunia we kama serekali ungetoa nfasi bunge litunge sheria kuhusu farag'ha manake htuna kifungu cha kuwahkumu mashoga!!!
Wee na mwenyekiti wako wa sasa,ni vioja
Tatizo mama hayuko seriously kama allivyo tuchanganya kwenye corona😊
Duhhhhhhhhhh
waziri ni kituko analeta usanii bungeni
Maigizo
Wanacheka wabunge jamani mnalipwa nyie kodi zetu ...kweli kabisa
Waisa hapa tumepgwa wallah nawaambia
KWELI CHANJO YA KORONA INAWAFANYA WATU KUWA MAZOMBI
Gwajima arudishwe wizara ya afya alikomesja wizi wa madawa
Acheni drama nyie...tumewachoka wachumia tumbo nyie
Yani wabunge mnatufanya kama sisi watoto wadogo sio.mtajijua wenyewe
Waziri anafanya maigizo
Pole jamani mama mpaka machozi pole
Dah jamani kulia fake imo kumbe
Jesus
Hebu acheni ushenzi kuleta masihara kwenye mambo serious
Mama Samia huyu Gwajima umpeleke ulikompeleka Ndalichako
Rais ukemee hii kitu itanguka kwenye nyumba yako
Kusikiliza baadhi ya watu tanzania nikujuongezea stress za maisha tu
Huyu waziri elimu ndo inambeba hakuna kingine.
Ivi ndo bunge hili jamani
Na kwel hana point
Waisa day comedy ni Tarehe 26
Adhabu kal zitoleww mtu akilawit mtoto anyongwe bas
Mangiri hawa
washimiwa wabunge mbona kazindogo ira msiwape nafasi polisi watuwamadili mtupe sisi wagambo mhone kama vitaitakuwangum mnajichelewesha tunasubili maelekezo morogoro kamawote wamejaa mbaka kwenyevikao vyaserekari yamtaa tunakuwanao napolisi ndio maswaibawao wambie kusubodaboda vitaiyo ndio wanaiweza mashoga haaaaaa😁😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂
Mama unawatoto
Hii ni mizaa kabisa huyu sio waziri ni kitu cha ovyo
Yaani Watanganyika bhana mnaleta masihara kwenye mambo ya serious kweli dah!!!
Du
Gwajima nakutukana siyo muda😢😢 endelea kuigiza hapo bungeni
😂😂😂
Huyu mama balaa nae msanii
Tatizo hapa sio la mbunge, matatizo tunayo mitaani. Kila mbunge kwenye eneo lake, wakuu wote kwa maeneo yao na kila mtu kwenye jamii yake na familia yake. Waziri aachwe afanye kazi yake.
waziri ndo wamemwamsha toka usingizini, hayuko serious na kazi yake😂😂
Mhe waziri gwajima kazi anafanya kwa bidii zake hatuwezi kumfananisha na wengine yeye nimama analia hapo bado mhe mwingine hamuelewi !!!! Nasiwana nchi hatumuelewi nayeye kwavile mhe hakuwa nabajeti hiyo peke yake tusaidiane wote tunajenga nyumba moja yeye hajaleta ushoga na usagaji hayanimatukio yaliotufika tusaidiane kuyakemea Tuu
Amelia wapi mtu wa kilia analiaga hivyo
Hapo kuna chawa wa lusfa wana mioyo migumu kama jiwe unapofanya komedi kwenye jambo linalogusa uhai ustawi na hatima ya watoto na kuleta mizaha kama mpo kilabuni ninyi ni wasaliti wa watanzania ni chawa wa malekani wanafki chawa
Kwanini watu wasinyongwe tu
±255
Yani maigizo tu na mtu Mwenye akili akaongea ivi toa amli
Kuanzia raisi hatuna maamuzi
Acheni utani ndugu zanguni
huyu hajielewi mbona unafanya comedy tuu
Mie mawazo yang yamenituma siwezi kuwa shoga wala siwezi kuoa naikitokea nimemzalisha binti akijifanya mjuaji anataka50kwa50 ataitumia kulea hilo toto lakekusudi wapeane huruma ya aki sawa huusiyomuda wakuzubaisha akili 😎🤬
Dah...hii Nchi Aya bana...
Umeshatuona wajinga
Huyu Wanamtumbua soon
Ingenekuwa inafaa kukutukana ningekutukana gwajima pumbavu kuliko woote ila basi tu unabahati yako
Haaa tayari iyo imeenda
😂😂😂😂Ila huyu waziri 😅😅😅
Pombe mbaya
Hakuna wazir apooo
Huyu mama angekuwa Magu kashamtumbua maana hakuna anachofanya zaidi ya sifa tu mitandaoni
Pumbaku