MCH ELIONA KIMARO - KAZI NA MUDA (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Mch Eliona Kimaro - Kazi Na Muda #africhamovies #africhaentertainment

Комментарии • 18

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 4 месяца назад

    Hili somo ni zuri sana,limeniokoA sana,Sasa ninaelekea viwango vingine

  • @EdinaChepkemboi-xd3yw
    @EdinaChepkemboi-xd3yw Год назад

    Nakushukuru kwa kunifunza kitu hapo.time limit..

  • @maryombenilyimo4325
    @maryombenilyimo4325 2 года назад

    Ninakushukuru Mch. E. Kimaro kwa somo hili la kazi na muda. Nina mwezi mmoja sasa nimehamia nyumba yangu nzuri, Mungu akubariki sana.

  • @dicksonkilupa6881
    @dicksonkilupa6881 2 года назад

    ASANTE BABA MCHUNGAJI BINAFSI NAJIVUNIWE WEWE UMENISAIDIA SANA HASA ULIPOTUHUDUMIA PALE KKOO. NINAO USHUHUDA WA MAMBO ULIYOFUNDISHA NIKAJIFUNGA MKANDA NA SASA NASEMA YESU NI EBENEZER. UBARIKIWE SANA BABA YAANI ULIPO SEMA NIWE NA VIATU AMA NISIWE NAVYO SAFARI INAPIGWA TU.

  • @paulinawilliam1159
    @paulinawilliam1159 Год назад

    Ameen

  • @richardwilliam4143
    @richardwilliam4143 2 года назад +1

    Kama watu wengi wangekua wanafuatilia mafundisho ya huyu baba kama/kuliko yale yanayo sisimua na
    kuchekesha nina imani wengi sana tungepiga hatua kubwa sana kimaisha na kiroho kwa ujumla. Ahsante baba, Mungu azidi kukutumia. Ubarikiwe.!

  • @irenemtenga6140
    @irenemtenga6140 4 года назад +2

    Amen mtumishiii

  • @tharisilamacha6359
    @tharisilamacha6359 5 лет назад +1

    Mtumishi tunapanga mipango ila hela ndio inakosekana na uzbe sina nifanyeje.

  • @happychimtembo3477
    @happychimtembo3477 4 года назад

    Amina mtumishi hayo yote Ni kweli

  • @sabinachimbuvu5409
    @sabinachimbuvu5409 2 года назад

    Amen Asante Sana Mtumishi Barikiwa Kwa Ujumbe Wa Neon La Bwana

  • @doryswai8801
    @doryswai8801 4 года назад +1

    Amen

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 3 года назад

    AMINA BARIKIWA MCHUNGAJI....

  • @user-sq8wn3ju6k
    @user-sq8wn3ju6k Год назад

    Namkubali sana pastor

  • @hildakigunga2590
    @hildakigunga2590 3 года назад

    Sema. Baba. Tupone

  • @sabrinakenya2353
    @sabrinakenya2353 5 лет назад +1

    Nitatimiza malengo yangu kwa neema ya MUNGU Amina.

  • @atwimikekyando1053
    @atwimikekyando1053 4 года назад

    Mungu nisaidie niweze kufkia malengo na kupanga malengo. Kwa kutumia tia asant mch kwa neno na mungu akubariki.

  • @doramkisi4575
    @doramkisi4575 5 лет назад

    Amina bb

  • @hajjihajji8587
    @hajjihajji8587 5 лет назад

    .