dada yangu unajuwa kuimba sana na unajuwa kuelimisha watu sana ila mm nakuomba dada yangu usijihalibu hivyo usoni kwa mtume wetu swalallahu aliehi wasalama vitu kama hivyo hakuviluhusu kabisa sasa kwani ww wamtaja mtume wetu halafu umechafuka uso namna hivyo paka wanja tu yatosha dada angu nakupenda sana na pia huo ni ushauli tu akili kichwani mwako lnshaallaha naamini utabadilika
Wewe Johayna unamatatizo sio bure. Tambua dunia inamwisho. Hiyo sio kaswida bali ni bongofleva. Ushukuru mambo hayako sawa vinginevyo tungekutanguliza kwa Mungu mnafiki mkubwa wewe. Hii ni nyimbo ya pili baada ya ile ya I love you Allah. Iv wewe kumchezea Allah (s. w) unamaanisha nini. Sikupendi sana wewe dada ni basi tu
Hii sio KASWIDA bali in kibao kata, jaman turudini kwa Allah, pepo hutoipata hata mkipatana ili hali mpo ktk hali hiyo ya uchi, kla KTU ktk mwli wa mwanamke ni uchi so jitahidin kujistri, na jipamben kwa ajili ya waume zenu
mwanamke wa kiislam haifai kujipodoa hivo watakiwa ujipodoe ivo ukiwa na mume wako dada hapo mwanaume akikutamani dhambi wajichumia dada angu usijipodoe ivo haifai kwa muumin
Shairi zuri masha allah kwanini unaifanya iwe kharam kwa music Na wewe kujipamba ukafhihirisha mapambo yako ?? Tu kumbukeni sisi wanawake mtume katuona wengi motoni kwanini tusijiokowe nafsi zetu ?? Kwavitendo? Dunia nimapito akhera ndio majuto
UMESEMA kweli Ukhty wangu Wallah wantudhalilisha baadhi ya wanawake Sjui walisomea wapi dini zao Na waume zao nao sjui wako wapi mpaka hawa wenda jianika hivi
Uislam sio dini poa kama unavyodhani usilete mambo ya akina Rose Muhando kuvaa nusu uchi eti ni watakatifu. Pumbavu sana wewe dada akili zako zinawaza pesa tu huwazi majuto ya baadae mbele za Mungu. Unakamilisha matakwa yako kwa kivuli cha kaswida. Narudia tena sikupendi... nakuchukia sana.
Kama humpendi Achana nae kwani yeye kakutumia barua kwamba anakupenda? Mbona unakua mnafiki hivyo hadi unamtukana matusi makubwa hivyo si Bora ungemuelimisha alipokosea akajua kosa lake sio kumtukana
Qaswida imebeba ujumbe mzuri mnoo
kaswida imebeba ujumbe mzur mashaallah
dada yangu unajuwa kuimba sana na unajuwa kuelimisha watu sana ila mm nakuomba dada yangu usijihalibu hivyo usoni kwa mtume wetu swalallahu aliehi wasalama vitu kama hivyo hakuviluhusu kabisa sasa kwani ww wamtaja mtume wetu halafu umechafuka uso namna hivyo paka wanja tu yatosha dada angu nakupenda sana na pia huo ni ushauli tu akili kichwani mwako lnshaallaha naamini utabadilika
Mohamed Ahmed mm npo oman nakuunga mkono habibty
Hongera yko kipenz 💕
yaani humu kuna wanafiki balaa jaman acheni kha!!!!! siyo vzr mnahukumu nini
Siyo hukumu,,, Ila ona kinachofanyika ni kipo wazi,,,,
hii ni pepo ya mungu mashallah I love it💟💕
Wow qaswida safi kabisa naipenda na pia Ina ujumbe mkali kbisa wagwan
Ww mdada nakupenda sanaaa kiukeli❤❤❤
Mashallah nice qaswida God bless you hayatim😘😘
J’aime beaucoup félicitations qu’Allah nous pardonne
That's true musimponde kama waona si qaswida toa yako
Kwani kurebishana mmakosa ?
Duh inalilah waina ilayhi rajuun ..... Waislam mnajua kuwa mungu kakataza maziki
Waoh...!!! Real like it,,,
Mashaallah 💓❤️
❤❤❤❤❤
Mashaallah
Really really nice nasheed 👭👭👭👭👭👭👭👭👬👬👬👬
alla akufungulie milango ya fahamu
Nzur
mche Allah dada ynguu
M.a Johyna Abdallah Love uu my siz
Imependeza mashallah
Mashaallah ujumbe mzuri sana
Nakapenda
Mashallah
marshallah nice work keep it up and I love you're qaswida that I always listen to this one I love you johayna.
iko njema mungu awasimamie
Halima inshaaallah pepo yaala
Masha Allah
Mahallah
Subhanallah ujumb mzr lakini mtihan
Mashaallh
Wewe Johayna unamatatizo sio bure. Tambua dunia inamwisho. Hiyo sio kaswida bali ni bongofleva. Ushukuru mambo hayako sawa vinginevyo tungekutanguliza kwa Mungu mnafiki mkubwa wewe. Hii ni nyimbo ya pili baada ya ile ya I love you Allah. Iv wewe kumchezea Allah (s. w) unamaanisha nini. Sikupendi sana wewe dada ni basi tu
ni vizuri
@@rinaaty26muda71 kwel kabisa
Watu hurekebishana cio ktukanana
Maahsallah
Hizo mekap mnahalibu mnajipamba naaliyakua m najua nidhambi kuchanganya haki na batili
Qaswida nzuri..
Masha Allah ujumbe mzuri
Mashaallah nakukubali sana mumy
❤❤johayna
mzuri sana
Awesome
Mashaa Allah
Really Really nyc music
Hii sio KASWIDA bali in kibao kata, jaman turudini kwa Allah, pepo hutoipata hata mkipatana ili hali mpo ktk hali hiyo ya uchi, kla KTU ktk mwli wa mwanamke ni uchi so jitahidin kujistri, na jipamben kwa ajili ya waume zenu
Fatma abasi.kwani we ndo unaufunguo was pepo .
mashaallah
toba ya raabiby sasa hiyo nikaswida au hmmm ama kweli nimtihan huu
Nakupendaga sana
Nyie hamwishi msichana mzur ata akiwa hajapaka kitu mzur sasa mwenye anajipenda kwani katukana hapa mmm acheni
Ni mzuri in nature lakin apaswa abaki na sura yake kama ilivyo akiwa katika hadhara ya watu,,,,,
Dada jitaidi kwakuimba unaimba Quaswida kama tarabu jitaidi sana afu si sahihi kujipodoa mpaka unazidisha
Nakuelewa vizuri sana, masha allah
Dania ipo mwisho
ishalaha
I feel it
Ningekushaur ni bora uelimishe kwa njia ya nasheed kuliko kuweka hivo vigoma.
Bass haya
penda sana Dada yangu johayna
Shukran sana
dada umevuka mipaka mwanamke waihislamu aistaili kuvahaivo
Is very simple
kasweda yenyewe mbaya
Tunga ya kwak fatma 🙈
Mbona kama kama music wa bongo
msimkatishe tamaa atakama kujipamba haipendezi
Rahma Khamis umependeza
Ni ushauri tu hakatishwi tamaa kwa anachokifanya,,,,
mwanamke wa kiislam haifai kujipodoa hivo watakiwa ujipodoe ivo ukiwa na mume wako dada hapo mwanaume akikutamani dhambi wajichumia dada angu usijipodoe ivo haifai kwa muumin
Shukran
hii no pepo ya mugu I love it💟💕💖
Nic
SSA iyoni qaswida au mbona mnaharibu mauzui ya qaswida
Mbona taalabu
Acha tu,,, tunapotea wallah,,,,
Keep on nasheed sister
napenda mwimbo wako
makubwa
Hii nyimbo t
Mavazi sio mabaya lakini hiyo sio qaswida dada badilika,na huo mpodoo pia hapo sio mahala pake
Mpodoo cio sehem yke n kwel kbs ila manen yke swadakt
pumbav zenu kaimbin taalabu nawezenu
yan we unamatus
Masha Allah umentoa roho dadangu hongera
Munachekesha et kaimbe taarabu na wenzio
Shairi zuri masha allah kwanini unaifanya iwe kharam kwa music Na wewe kujipamba ukafhihirisha mapambo yako ?? Tu kumbukeni sisi wanawake mtume katuona wengi motoni kwanini tusijiokowe nafsi zetu ?? Kwavitendo? Dunia nimapito akhera ndio majuto
Ummu Samira dada ummu naomba namba yako, mm fatma abuu
Ummu Samira ya kwangu 0687781863
UMESEMA kweli Ukhty wangu
Wallah wantudhalilisha baadhi ya wanawake
Sjui walisomea wapi dini zao
Na waume zao nao sjui wako wapi mpaka hawa wenda jianika hivi
Kaswida gani au chakacha
Km umeona wivu na we si ujipondoe kwan nan kakukataza achen hy nyie anayehukumu ni Allah ni mangap mnayoyafanya nyie?
Hii ni singel au
Sebene hilo
Mbona msitoe yenu nyie acheni hivyo basi jaman
Jumafak
Uislam sio dini poa kama unavyodhani usilete mambo ya akina Rose Muhando kuvaa nusu uchi eti ni watakatifu. Pumbavu sana wewe dada akili zako zinawaza pesa tu huwazi majuto ya baadae mbele za Mungu. Unakamilisha matakwa yako kwa kivuli cha kaswida. Narudia tena sikupendi... nakuchukia sana.
masshallah ,kupitia hii nimejifunza mengi
amevaa uchi wapi
Kama humpendi Achana nae kwani yeye kakutumia barua kwamba anakupenda? Mbona unakua mnafiki hivyo hadi unamtukana matusi makubwa hivyo si Bora ungemuelimisha alipokosea akajua kosa lake sio kumtukana
Alihislam nazwifu saw👌👌
Ola! Ucimtukane huyo dada Hana makosa . amesema la kweli kabisa.dini yetu inakumbushana mema naku katazana maovu.niambi
❤❤❤❤
Mashaallah
Mashaallah
nice
Mashaallah
hiyo kaswida au nyimbo maana kajipamba mpaka balaa
Mashallah
Mashaaallah
mashallah
Mashaallah
Mashallah
mashallah
mashaallah
mashaallah
Khadija mashaallah nzr mbassa mashaallah
Khadija mashaallah nzr mbassa
ww. Dada hivi hii nitaarabu au kaswidaa mbona umejipodoa sana acha zako ww. mche mola wako