QASWIDA -Johayna Abdallah ~ chuki uchafu wa nafsi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • hi ni moja qasida inayopatikana katika Album mpya ya Johayna Abdallah inayo itwa IMANI.

Комментарии • 128

  • @abuzainab9769
    @abuzainab9769 4 года назад +3

    Qaswida imebeba ujumbe mzuri mnoo

  • @nasraishaka265
    @nasraishaka265 4 года назад +2

    kaswida imebeba ujumbe mzur mashaallah

  • @MohamedAhmed-bp7ei
    @MohamedAhmed-bp7ei 6 лет назад +5

    dada yangu unajuwa kuimba sana na unajuwa kuelimisha watu sana ila mm nakuomba dada yangu usijihalibu hivyo usoni kwa mtume wetu swalallahu aliehi wasalama vitu kama hivyo hakuviluhusu kabisa sasa kwani ww wamtaja mtume wetu halafu umechafuka uso namna hivyo paka wanja tu yatosha dada angu nakupenda sana na pia huo ni ushauli tu akili kichwani mwako lnshaallaha naamini utabadilika

    • @user-fx9ty6ni7i
      @user-fx9ty6ni7i 6 лет назад

      Mohamed Ahmed mm npo oman nakuunga mkono habibty

  • @marimyussuf3374
    @marimyussuf3374 2 года назад +1

    Hongera yko kipenz 💕

  • @rahmakhamis111
    @rahmakhamis111 5 лет назад +7

    yaani humu kuna wanafiki balaa jaman acheni kha!!!!! siyo vzr mnahukumu nini

    • @rahmamabanila1478
      @rahmamabanila1478 5 лет назад +1

      Siyo hukumu,,, Ila ona kinachofanyika ni kipo wazi,,,,

  • @fatumafarah7425
    @fatumafarah7425 6 лет назад +1

    hii ni pepo ya mungu mashallah I love it💟💕

  • @abubakarishehe-up5zl
    @abubakarishehe-up5zl Год назад

    Wow qaswida safi kabisa naipenda na pia Ina ujumbe mkali kbisa wagwan

  • @salmaramadhani467
    @salmaramadhani467 Год назад

    Ww mdada nakupenda sanaaa kiukeli❤❤❤

  • @nyabzlaw5735
    @nyabzlaw5735 4 года назад +1

    Mashallah nice qaswida God bless you hayatim😘😘

  • @mohamedcherif4729
    @mohamedcherif4729 2 года назад

    J’aime beaucoup félicitations qu’Allah nous pardonne

  • @fauziakassim323
    @fauziakassim323 6 лет назад +3

    That's true musimponde kama waona si qaswida toa yako

  • @savimbimpiganiauhuruangola6328
    @savimbimpiganiauhuruangola6328 5 лет назад +1

    Duh inalilah waina ilayhi rajuun ..... Waislam mnajua kuwa mungu kakataza maziki

  • @issamohdi6896
    @issamohdi6896 5 лет назад +1

    Waoh...!!! Real like it,,,

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад

    Mashaallah 💓❤️

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @almashallahduacenter6885
    @almashallahduacenter6885 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @hanangmail.comehanan6473
    @hanangmail.comehanan6473 5 лет назад +2

    Really really nice nasheed 👭👭👭👭👭👭👭👭👬👬👬👬

  • @abdulwakilamani7626
    @abdulwakilamani7626 3 года назад +1

    Nzur

  • @nasirnassour4136
    @nasirnassour4136 6 лет назад +1

    mche Allah dada ynguu

  • @ayaanxaaji7014
    @ayaanxaaji7014 4 года назад +1

    M.a Johyna Abdallah Love uu my siz

  • @latifamsongo6877
    @latifamsongo6877 6 лет назад

    Mashaallah ujumbe mzuri sana

  • @khalidykhalidy7424
    @khalidykhalidy7424 3 года назад +1

    Nakapenda

  • @mariamuomary1146
    @mariamuomary1146 4 года назад +1

    Mashallah

  • @fatumaali5632
    @fatumaali5632 6 лет назад

    marshallah nice work keep it up and I love you're qaswida that I always listen to this one I love you johayna.

  • @aimanali8612
    @aimanali8612 6 лет назад

    iko njema mungu awasimamie

  • @halimamawlid609
    @halimamawlid609 6 лет назад

    Halima inshaaallah pepo yaala

  • @yusufomar1218
    @yusufomar1218 2 года назад

    Masha Allah

  • @swaumathuman4602
    @swaumathuman4602 3 года назад +1

    Mahallah

  • @chichiabdallah8911
    @chichiabdallah8911 6 лет назад +1

    Subhanallah ujumb mzr lakini mtihan

  • @sheikhjibril5830
    @sheikhjibril5830 Год назад

    Mashaallh

  • @aserasakison971
    @aserasakison971 6 лет назад

    Wewe Johayna unamatatizo sio bure. Tambua dunia inamwisho. Hiyo sio kaswida bali ni bongofleva. Ushukuru mambo hayako sawa vinginevyo tungekutanguliza kwa Mungu mnafiki mkubwa wewe. Hii ni nyimbo ya pili baada ya ile ya I love you Allah. Iv wewe kumchezea Allah (s. w) unamaanisha nini. Sikupendi sana wewe dada ni basi tu

  • @aminaziddin2611
    @aminaziddin2611 4 года назад +3

    Maahsallah

  • @fatumajuma689
    @fatumajuma689 6 лет назад +1

    Hizo mekap mnahalibu mnajipamba naaliyakua m najua nidhambi kuchanganya haki na batili

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 6 лет назад

    Qaswida nzuri..

  • @allysaid6742
    @allysaid6742 6 лет назад

    Masha Allah ujumbe mzuri

  • @nyau7186
    @nyau7186 6 лет назад

    Mashaallah nakukubali sana mumy

  • @Hassan-gu9eo
    @Hassan-gu9eo 5 лет назад

    ❤❤johayna

  • @rachellebahati6510
    @rachellebahati6510 6 лет назад

    mzuri sana

  • @rosekagwiriamugambi3717
    @rosekagwiriamugambi3717 4 года назад +1

    Awesome

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 5 лет назад

    Mashaa Allah

  • @jamo3204
    @jamo3204 5 лет назад

    Really Really nyc music

  • @fatmaabasi3107
    @fatmaabasi3107 6 лет назад +2

    Hii sio KASWIDA bali in kibao kata, jaman turudini kwa Allah, pepo hutoipata hata mkipatana ili hali mpo ktk hali hiyo ya uchi, kla KTU ktk mwli wa mwanamke ni uchi so jitahidin kujistri, na jipamben kwa ajili ya waume zenu

    • @abuuyusuf9434
      @abuuyusuf9434 4 года назад

      Fatma abasi.kwani we ndo unaufunguo was pepo .

  • @husseinmarusu4359
    @husseinmarusu4359 6 лет назад

    mashaallah

  • @latifahamisi3051
    @latifahamisi3051 6 лет назад +1

    toba ya raabiby sasa hiyo nikaswida au hmmm ama kweli nimtihan huu

  • @mwarially4176
    @mwarially4176 4 года назад

    Nakupendaga sana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 6 лет назад +1

    Nyie hamwishi msichana mzur ata akiwa hajapaka kitu mzur sasa mwenye anajipenda kwani katukana hapa mmm acheni

    • @rahmamabanila1478
      @rahmamabanila1478 5 лет назад

      Ni mzuri in nature lakin apaswa abaki na sura yake kama ilivyo akiwa katika hadhara ya watu,,,,,

  • @aishoubaby6189
    @aishoubaby6189 6 лет назад

    Dada jitaidi kwakuimba unaimba Quaswida kama tarabu jitaidi sana afu si sahihi kujipodoa mpaka unazidisha

  • @mwanaidathuman7727
    @mwanaidathuman7727 4 года назад

    Nakuelewa vizuri sana, masha allah

  • @ilhamswaleh1985
    @ilhamswaleh1985 6 лет назад +1

    Dania ipo mwisho

  • @ayubuayubu1165
    @ayubuayubu1165 6 лет назад

    ishalaha

  • @taturamzan8981
    @taturamzan8981 3 года назад

    I feel it

  • @maryamalbahry1387
    @maryamalbahry1387 6 лет назад +1

    Ningekushaur ni bora uelimishe kwa njia ya nasheed kuliko kuweka hivo vigoma.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Bass haya

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 6 лет назад

    penda sana Dada yangu johayna

  • @ahmedeaaahmedeaa7882
    @ahmedeaaahmedeaa7882 4 года назад +1

    Shukran sana

  • @mwajumamustapha3019
    @mwajumamustapha3019 6 лет назад

    dada umevuka mipaka mwanamke waihislamu aistaili kuvahaivo

  • @husseniidi
    @husseniidi Год назад

    Is very simple

  • @fatmmahally3612
    @fatmmahally3612 6 лет назад

    kasweda yenyewe mbaya

  • @suleymanrashidy6163
    @suleymanrashidy6163 5 лет назад

    Mbona kama kama music wa bongo

  • @rahmakhamis111
    @rahmakhamis111 6 лет назад +1

    msimkatishe tamaa atakama kujipamba haipendezi

  • @moman2541
    @moman2541 6 лет назад +2

    mwanamke wa kiislam haifai kujipodoa hivo watakiwa ujipodoe ivo ukiwa na mume wako dada hapo mwanaume akikutamani dhambi wajichumia dada angu usijipodoe ivo haifai kwa muumin

  • @desultansaid3647
    @desultansaid3647 6 лет назад

    Shukran

  • @fatumafarah7425
    @fatumafarah7425 6 лет назад

    hii no pepo ya mugu I love it💟💕💖

  • @batulianton767
    @batulianton767 5 лет назад

    Nic

  • @chizainazahrrey4397
    @chizainazahrrey4397 6 лет назад +1

    SSA iyoni qaswida au mbona mnaharibu mauzui ya qaswida

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +1

    Mbona taalabu

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani2412 6 лет назад

    Keep on nasheed sister

  • @sabitimoris5758
    @sabitimoris5758 6 лет назад +1

    napenda mwimbo wako

  • @zaharaomari3132
    @zaharaomari3132 6 лет назад

    makubwa

  • @naimaabuu2330
    @naimaabuu2330 6 лет назад +1

    Hii nyimbo t

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 6 лет назад +2

    Mavazi sio mabaya lakini hiyo sio qaswida dada badilika,na huo mpodoo pia hapo sio mahala pake

    • @marimyussuf3374
      @marimyussuf3374 2 года назад

      Mpodoo cio sehem yke n kwel kbs ila manen yke swadakt

  • @mussahassan8828
    @mussahassan8828 6 лет назад +2

    pumbav zenu kaimbin taalabu nawezenu

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 6 лет назад

    Shairi zuri masha allah kwanini unaifanya iwe kharam kwa music Na wewe kujipamba ukafhihirisha mapambo yako ?? Tu kumbukeni sisi wanawake mtume katuona wengi motoni kwanini tusijiokowe nafsi zetu ?? Kwavitendo? Dunia nimapito akhera ndio majuto

    • @bctshow613
      @bctshow613 6 лет назад

      Ummu Samira dada ummu naomba namba yako, mm fatma abuu

    • @bctshow613
      @bctshow613 6 лет назад

      Ummu Samira ya kwangu 0687781863

    • @user-hw2hm7nb3w
      @user-hw2hm7nb3w 6 лет назад

      UMESEMA kweli Ukhty wangu
      Wallah wantudhalilisha baadhi ya wanawake
      Sjui walisomea wapi dini zao
      Na waume zao nao sjui wako wapi mpaka hawa wenda jianika hivi

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +1

    Kaswida gani au chakacha

    • @safinaselemani4749
      @safinaselemani4749 6 лет назад

      Km umeona wivu na we si ujipondoe kwan nan kakukataza achen hy nyie anayehukumu ni Allah ni mangap mnayoyafanya nyie?

  • @lamlakihiyo6112
    @lamlakihiyo6112 5 лет назад

    Hii ni singel au

  • @abedahamad1610
    @abedahamad1610 5 лет назад

    Jumafak

  • @aserasakison971
    @aserasakison971 6 лет назад +2

    Uislam sio dini poa kama unavyodhani usilete mambo ya akina Rose Muhando kuvaa nusu uchi eti ni watakatifu. Pumbavu sana wewe dada akili zako zinawaza pesa tu huwazi majuto ya baadae mbele za Mungu. Unakamilisha matakwa yako kwa kivuli cha kaswida. Narudia tena sikupendi... nakuchukia sana.

    • @issasalumu5528
      @issasalumu5528 6 лет назад

      masshallah ,kupitia hii nimejifunza mengi

    • @bintibahari3396
      @bintibahari3396 5 лет назад

      amevaa uchi wapi

    • @aminashilinde4403
      @aminashilinde4403 5 лет назад

      Kama humpendi Achana nae kwani yeye kakutumia barua kwamba anakupenda? Mbona unakua mnafiki hivyo hadi unamtukana matusi makubwa hivyo si Bora ungemuelimisha alipokosea akajua kosa lake sio kumtukana

    • @bttnt5653
      @bttnt5653 5 лет назад

      Alihislam nazwifu saw👌👌

    • @abuuyusuf9434
      @abuuyusuf9434 4 года назад

      Ola! Ucimtukane huyo dada Hana makosa . amesema la kweli kabisa.dini yetu inakumbushana mema naku katazana maovu.niambi

  • @user-de7sl6sd1q
    @user-de7sl6sd1q 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @binthassan940
    @binthassan940 6 лет назад +1

    Mashaallah

  • @lucykanaga6734
    @lucykanaga6734 Год назад

    Mashallah

  • @oppathegreat2001
    @oppathegreat2001 6 лет назад

    Mashaaallah

  • @khadijapeter9336
    @khadijapeter9336 6 лет назад

    mashallah

  • @ruqaiyaibrahim1865
    @ruqaiyaibrahim1865 6 лет назад

    Mashaallah

  • @sofiashaban3738
    @sofiashaban3738 6 лет назад

    Mashallah

  • @fatumaali5632
    @fatumaali5632 6 лет назад

    mashallah

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 6 лет назад

    mashaallah

  • @khadijamashaallahnzrmbassa9641
    @khadijamashaallahnzrmbassa9641 6 лет назад

    mashaallah

    • @femidasaidi7460
      @femidasaidi7460 6 лет назад

      Khadija mashaallah nzr mbassa mashaallah

    • @yasminimohamedi6714
      @yasminimohamedi6714 6 лет назад

      Khadija mashaallah nzr mbassa

    • @anahnn3279
      @anahnn3279 6 лет назад

      ww. Dada hivi hii nitaarabu au kaswidaa mbona umejipodoa sana acha zako ww. mche mola wako