Waziri jafo nakukubali hats off Nimeona unavyofuatilia Muheza Moshi nduruma najua roho inakuuma kwa namna wasaidizi wako wanavyo kuangusha mungu atakusimamia na insha ALLAH utashinda na kuwa saidia wananchi wote.
Nafurahi sana napoona haya mambo yanaendelea nchini, hii technique ya kuwajibisha viongozi mheshimiwa rais ameanzisha, inasababisha uwajibikaji ngazi ya juu , na kuhamishia tabia hii chini
Mkiweka mifumo miepes jiandaaeni upuuzi kama huo Hivi nguvu kaz ipo vijana Jkt Jwtz wapo wananidham na hamasa ya hari ya juu wapo iyo ela si ingeongeza mavaz yao na vyakula matunda na mengineyo makambini kuliko kutupa pesa kisha leo ziandikwe barua na huo uovyo upo kila kona et mnajua leo🙌🙌🙌
Mh jafo yaan hii halmashaur inahitaj renovation na zaid kweny afya coz CHMT hawajielew takriban wote mkuu mfano sis tokea tuajiriwe 2018 had Leo hii hatujapewa ela yetu ya kujikimu, mh umejionea mwenyew madhaifu ya viongoz wetu hap halmshaur ya longido
Waziri jafo nakukubali hats off
Nimeona unavyofuatilia Muheza Moshi nduruma najua roho inakuuma kwa namna wasaidizi wako wanavyo kuangusha mungu atakusimamia na insha ALLAH utashinda na kuwa saidia wananchi wote.
Tunahitaji viongozi Kama Kina jafo wengi. Bravo baba Aluta continua 🙌
Asante waziri jafo big up kazi kazii
Jafo safi sana hapa kazi tu!. JPM JEMBE GOD bless you
Safi mhe.kiukweli una uadilifu mkubwa,mapungufu yako yapo ila unatoa maelezo kwa uchungu.i feel to learn from u
Jafo upo vizur, safi sana natamani rais asikutoe kwenye wizara hiyo, big up jafo
Waambie kabisaa hii Ni awamu mpyaaaa. Barikiwa sana
Safi kazi kazi waache uzembe ule wa hawamu ya 4
Timua hao!Ndo wanakwamisha,wao maofisini tu na kujisifia kwenye mabaa..oh mimi mkurugenzi..shit
Kaz kaz..jafo safi
Kazi mkuu...
Piga chini wote ao Wachapa kazi nchini tuko wengi sana
Nafurahi sana napoona haya mambo yanaendelea nchini, hii technique ya kuwajibisha viongozi mheshimiwa rais ameanzisha, inasababisha uwajibikaji ngazi ya juu , na kuhamishia tabia hii chini
Mkiweka mifumo miepes jiandaaeni upuuzi kama huo
Hivi nguvu kaz ipo vijana Jkt Jwtz wapo wananidham na hamasa ya hari ya juu wapo iyo ela si ingeongeza mavaz yao na vyakula matunda na mengineyo makambini kuliko kutupa pesa kisha leo ziandikwe barua na huo uovyo upo kila kona et mnajua leo🙌🙌🙌
Safi mheshmiwa
Mh Jafo Shkamoo, wewe n kiongoz
Safiiii
Waziri Jafo tumbua tumbua hao wasituhalibie utendaji wa kazi
Sukuma ndani kisha timua awawezi Kazi hao
Mh jafo yaan hii halmashaur inahitaj renovation na zaid kweny afya coz CHMT hawajielew takriban wote mkuu mfano sis tokea tuajiriwe 2018 had Leo hii hatujapewa ela yetu ya kujikimu, mh umejionea mwenyew madhaifu ya viongoz wetu hap halmshaur ya longido
Pole sn boss mim npo Ngorongoro ila tulipata
Niatari kweli ukila nawewe utaliwa😂😂
Daah
tungepata watatu kama huyu hapa Kenya ,,tungukuwa kama ulaya
Safi Jafo nchi hii uzembe mwingi sn
Mkurugenzii mpigajii huyoo alizoea kupiga bia Kibo huyoo
Wanashindwa kwenda na kasi ya serikali ya awamu ya tano ..Kama hawawezi mheshimiwa waziri wapige chini
Safi jembe
Kazi hipo nchi hii ilikuwa imekufa ona upumbavu huu milioni miasaba ni ujinga upumbavu fukuza hawa kazi
Jafo pamepigwa apoo jafoo oyee
Ehee!
naona mabati yenyewe feki, yana kutu au macho yangu
Hekima na busara kwa zako kauri Jaffo, tunataka maendeleo, shida kubwa ni kila boss na boss wake, mkurugenzi komaa,
Kula nao
Fagia hao mzee kuna shida
Timua timuaaaa
Fukuza... Wezi
Longidooooo
Piga chini wote wanaleana tu Mambo yakipumbavu tu mbona wenzao wameweza
Kwanin kaskazin wamevurunda ivo kila mahali waziri analalamika.
Fyekelea mbali sukuma ndani watazitapika fedha za wananchi wanyonge masikini walipa kodi
Jafo na majaliwa hakuna kuomba nikunyoosha tu
Fukuza awo wanazarau
Mkurugenx wa wapi huyu jamani
Wanakwamisha maendeleo hao washenzi
Mmm
Ondoa wote
Fukuza Kazi wote na angalia account zao za benk hatutaki wez na wazembei... Hovyo kabisa...
Fukuza hao mafisadi wakubwa
Watazimia
🤣🤣🤣🤣
Wote akuna meulizo peleka mkuu toa wote wanachelesha tukufika haraka.
Walipe hizo pesa
Kivuruge alikuwa Mrisho Gambo sasa waache wapumue wafanye kazi