MISSION IMPOSSIBLE [11]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 424

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 2 месяца назад +19

    KAKA ANGU CHADO MPAKA NIMEANDIKA KWA HERUFU KUBWA NAOMBA UWE UNATULETEA VIPANDE VIWILI VIWILI PLEASEEEEE🎉😂😂😂😂❤. Nakukubali sana

  • @azizajuhudi1410
    @azizajuhudi1410 2 месяца назад +12

    Safi sana kijana tena huyo dada atajua ajui 😅 SOMA MESEJI ZA MMEO

  • @khido_tz
    @khido_tz 2 месяца назад +13

    Leta kazi mzee baba🎉🎉🎉
    Kaz nzur bro 👊

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 2 месяца назад +4

    Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka, hanifa na mwanawe sasa...ila hii ndio nailike😂😂😂 👍 # chado mapenzi yanakuwehusha sasa

  • @MohammedDhidha-gi2pu
    @MohammedDhidha-gi2pu 2 месяца назад +13

    At nimechelewa lkn nimewai naomba like zangu chado master

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o 2 месяца назад +21

    Nimechelewa kidogo nipeni like zangu tafadhali naomba kwajili ya chado master mnyama saw

  • @Mrsmick712
    @Mrsmick712 2 месяца назад +29

    ❤❤❤ chado kaishiwa pozi baada ya kufika geto tuu 😅 ety we unaitwa najma au kidem jau ina maana alisahau kama yeye ndo umuita ivyo daaah sema iki kipande nimekiludia zaidi ya mala 3 like za kutosha kwa chado a. k .a baba najma😂😂 me alike iyo kapo ya kidem jau na muuni chado❤❤❤

    • @SalmaYusufu-u3e
      @SalmaYusufu-u3e 2 месяца назад +5

      Mm mwenzio saii n mara y 5 😂😂😂yani hadi rahaa mapenzi bwana ❤😂

    • @Mrsmick712
      @Mrsmick712 2 месяца назад +1

      Na mi nimeludi kujazilia uzito wa komenti si 😂😂unajua mpaka kesho kutwa ndo inatoka😂😂

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 2 месяца назад +1

      Umeonaeee mara anamuomba najma sigar😂😂tena jmn naj tokalin akatembea nasigat

    • @IreneIsambi
      @IreneIsambi 2 месяца назад

      Ukweli hii seen ya chado na najma hipo hot sana

    • @HusnaSaidi-cf1ig
      @HusnaSaidi-cf1ig Месяц назад

      ​@@IreneIsambiyaan me ndonataman kuwaona wao tu sjui nina nn mm😅😅

  • @Dee_ano
    @Dee_ano 2 месяца назад +3

    Anaeshauri watu vizur yy mwanae ndio kaharibikiwa kinoma😅😅

  • @AugustinEtungano
    @AugustinEtungano 2 месяца назад +17

    Halafu huyu chado ni mwamba nipeni like zangu jameni😂😂

  • @francksmpole1044
    @francksmpole1044 2 месяца назад +68

    Haya nimechelewa kidogo Leo nahitaji like jaman natokea ZANZIBAR

  • @Mzalendotanzania
    @Mzalendotanzania 2 месяца назад +48

    Kama unamkubari chado master weka like hapo tujuane

    • @AllyMkola-u7e
      @AllyMkola-u7e 2 месяца назад +2

      Kuomba like tu kuoga aaah

    • @JumaMuya-r8d
      @JumaMuya-r8d 2 месяца назад

      Anajuwa mwamba

    • @Mubrack
      @Mubrack Месяц назад

      Kuomba like 2 kuogaa ahhhh

  • @AgnesyMakongo
    @AgnesyMakongo 2 месяца назад +31

    Kama umefurahi kumuona anipha weka like hapa 💪💪

  • @HassanCoyo
    @HassanCoyo 2 месяца назад +10

    Nakubali chado master 💪👍💪

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Месяц назад +2

    Eeeeh hii movie nikali sana jamani.mbarikiwe wahuskia ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MirzafastLogisticslimited
    @MirzafastLogisticslimited 2 месяца назад +2

    chado masta unaweza dady pambana story yako ipo vzur kwa kila kipande hmna kilichobore

  • @HusseinBizzy
    @HusseinBizzy 2 месяца назад +11

    Musiwe munaharakisha muendelezo jamani mambo mazuri hayatk harka inaweza kutengenezwa kw hataka lkn editor akakosea so ni lazma atulie ili alete kitu kizuri jamani kama unaniunga mkono gonga like hapa

  • @Norah-dee
    @Norah-dee 2 месяца назад +6

    Kimapunju chado na daddy lkn sio poa jmn 🎉🎉 maua yenu

  • @abdullatifkhamis3787
    @abdullatifkhamis3787 2 месяца назад +8

    Huchelewesh mzee 🎉 umetisha chado

  • @AllyMkola-u7e
    @AllyMkola-u7e 2 месяца назад +1

    Kumbe hanifa wimzigula kabisa mana siva ukagamba ooh nkondooo sifa mnyenu.

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 месяца назад +4

    Hapo sasa, ambaye hakufurahsh pia anaekufahsha nae Kuna mtu anamfurahsha,

  • @SaidiZahoro-kz1xu
    @SaidiZahoro-kz1xu 7 дней назад +1

    Jamani hivi hawa watu wa visiwani kwanini wanapenda vi2 line line 😅😅😅😅

  • @samsonmpangala1481
    @samsonmpangala1481 2 месяца назад +2

    Chadooo aiseee makofi yote yale kufika geto chado yuko hoii kaishiwa pozi aiseee broo nimecheka sana muhuni kaishiwa pozi

    • @directorjetliner2722
      @directorjetliner2722 2 месяца назад +1

      😂😂😂 nimecheka wala ila dk mnabania sana #chado mastar

    • @salmamsopole6947
      @salmamsopole6947 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @francksylvester7844
    @francksylvester7844 2 месяца назад +14

    Anaemkubali kwamba hanifa mpelelezi gonga like apa

  • @HussenmoamedeMoamede
    @HussenmoamedeMoamede 2 месяца назад +4

    Nakubali chado master👍👍👍

  • @melkizedekiromani2918
    @melkizedekiromani2918 2 месяца назад +5

    Punguzeni ukali wa maneno, watoto nao wanaangaliaga.

  • @amam2211-
    @amam2211- 2 месяца назад +7

    Chado saa hii yuwaanza kumuhelewa mwari

  • @abelmweri8744
    @abelmweri8744 2 месяца назад +1

    Imeanza kama mchezo, imekuwa ya moto.. Congratulations chado masta ❤❤

  • @omarkhamis6912
    @omarkhamis6912 2 месяца назад +5

    Nakubali sana kazi yako chado

  • @KiduBoyJr.
    @KiduBoyJr. 2 месяца назад +1

    Nakubali fundi chado master🛠️🛠️💥💥 big fan from🇰🇪🇰🇪+254

  • @MalisaDaniel-pw7mg
    @MalisaDaniel-pw7mg 2 месяца назад +3

    Oyaa mbona hivyo mabosii vipande vifupii na mnachelewa kutoka kazii japokua kazii nzuriii😢😢😢

  • @TantineZuzu
    @TantineZuzu 2 месяца назад +1

    Anifa nakupenda sana dada yangu 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮

  • @salamaslaim6678
    @salamaslaim6678 2 месяца назад +7

    Muvi mzuli sana

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 2 месяца назад +2

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤

  • @KiduBoy-t5o
    @KiduBoy-t5o Месяц назад

    Wee chado noma njeee ubabe lkn chumban Huna manenoo

  • @Realme-xm3sh
    @Realme-xm3sh 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂😂chado chinz jmn eti anamuomba najma sigar jmn😂😂😂

  • @jacklineteresia2629
    @jacklineteresia2629 2 месяца назад +2

    Chado we apana 😂😂😂 umetoa mtoto wa watu mbio alafu kufika Kwa geto apo umenimaliza nguvu 😂😂chado kapoaaa kama maji mauwa yako 🎉🎉🎉🎉 nice

  • @MbarakaidiIdirisa
    @MbarakaidiIdirisa 2 месяца назад +6

    Mi wa kwanza leo naombeni like

  • @ShafiaAli-y1r
    @ShafiaAli-y1r 2 месяца назад +4

    Panaishia patam leo ❤❤❤❤❤❤

  • @martinoiddi-mc6yh
    @martinoiddi-mc6yh 2 месяца назад +18

    Kama tuna kubali hihi movie like🎉

  • @RahimU-n9t
    @RahimU-n9t 2 месяца назад +7

    chado uwe unawai kutoa muendlezo maan unatukat utam

  • @baiyatwaha8824
    @baiyatwaha8824 2 месяца назад +1

    Chado akili huna wewe😂😂 eti kwanini wanakuitakaga kidem jau.... Wewe sindo unaniitaga.... Aaaaaaahhhh kumbe mimi😅😅😅😅

  • @FammyHamis-bi9hq
    @FammyHamis-bi9hq 2 месяца назад +1

    Chado jamnii watu wakipendaa awapigi madem zao 😂😇ila achorire kachora mwanang iyo ndo I like 😂😂

  • @azizajuhudi1410
    @azizajuhudi1410 2 месяца назад +4

    Msela kasanda 😅😅😅 mwenyewe kapoa

  • @SalmaYusufu-u3e
    @SalmaYusufu-u3e 2 месяца назад

    Ongezeni masaa jamni I'm from Kenya naipenda movie yenu ❤😂😂

  • @VincentChangamu
    @VincentChangamu 2 месяца назад +1

    KAZI safi chado masta napambika nikiwa Mombasa kenya

  • @WaziriKibado
    @WaziriKibado Месяц назад

    Kaaaaaaa jaman chado mbn mbabe hvyooooooo😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 2 месяца назад +1

    Chado unazingua mwanangu eti huna sigara hapo

  • @SuleimanBati
    @SuleimanBati 2 месяца назад +1

    Much love chado and your team congratulations ❤❤ Nice job from Kenya 🇰🇪

  • @RiziwaniAlly-d1n
    @RiziwaniAlly-d1n 28 дней назад

    Kazi nzuli kaka
    Hongereni

  • @FazendajrArafate
    @FazendajrArafate Месяц назад

    Kkkk mapenzi hayo from mozambiqui 🇲🇿

  • @NancyMalisho
    @NancyMalisho 2 месяца назад

    Like mother like son. Kumbe mama msela mvuta siga ndo mana dogo anaenda vijiweni kwakina chado😅😅

  • @NyenjeNdeu-u6p
    @NyenjeNdeu-u6p 2 месяца назад +2

    Aisee hii muvi inaendeshwa kisela sela😂😂😂😂😂😂

  • @Hdtattoe
    @Hdtattoe 2 месяца назад +2

    Katisha sna chado master.like nying kwenye comment

  • @ShabaniGodwin
    @ShabaniGodwin 2 месяца назад +1

    Nzurii Kaka kina mkojan awakukutiii❤ 14:33

  • @mohamednoriega-iy1mf
    @mohamednoriega-iy1mf 2 месяца назад +1

    Chado masta ili dude la kimataifa mzee ni 🔥🔥

  • @Dullant5
    @Dullant5 Месяц назад +1

    Editor Kuna vitu kasha Anza kuzingua zile effect ka na ep 1 to 4

  • @MbatiazakariambatiaMbatia
    @MbatiazakariambatiaMbatia 2 месяца назад +2

    Kazi chapu huyu ndio chado masta

  • @Shakila-pq2gv
    @Shakila-pq2gv 2 месяца назад +2

    Anifa mwanao akwambii ukweli hadi umpe gongo😅😅😅

  • @eshamohd7268
    @eshamohd7268 27 дней назад

    Malipo ni hapa hapa duniani dda alimdhilalisha mumewe kisa ni mchepuko ona xaxa😅😅😅

  • @azizajuhudi1410
    @azizajuhudi1410 2 месяца назад +2

    Nakukubali Chado Masta uko vzr ila tumemmis Baga

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Месяц назад

    Hiii kituu ni tamuu hatarii mubarikiwe sana chado na nyote muloshirikiii ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @DerickShikomere
    @DerickShikomere 2 месяца назад +3

    nice nimeona hanifa

  • @midudehammy5877
    @midudehammy5877 2 месяца назад +1

    Badala ya kufanya kweli linaulzia sigara daah sema iyo sekta😅😅😅

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад

    😂😂😂kmb huyu dogo michano mama yake dada yetu nifa much love chado❤🎉

  • @joshuanyaulingo4109
    @joshuanyaulingo4109 2 месяца назад +2

    aliskika mwamba akisema "em niache nikaongee na cm zang mimi"😂😂

    • @ZulekhaIssa-o3x
      @ZulekhaIssa-o3x 2 месяца назад

      Aisee hapa pamenifurahish😢😢 kaacha mmewake mchepuko hauna dhaman😂😂😂ndio faida yake

  • @AminaAmina1-jp6vr
    @AminaAmina1-jp6vr 27 дней назад

    Ha😂😂😂😂😂mchele kutoka kiela elekea mtamu sana unabaya dad nifa😂😂😂

  • @TumaMwinyi-sk6dw
    @TumaMwinyi-sk6dw 2 месяца назад +1

    Mm nipo Kwa ngadaya TU nataka umpelekee moto uyo Demu aache zarau🤣🤣🤣

  • @AbdillahGwiji
    @AbdillahGwiji 2 месяца назад +1

    Nipha umetisha hapo kwenye kizigua

  • @NasriRamadhani-po1lz
    @NasriRamadhani-po1lz 2 месяца назад +2

    Jaman hii nyimbo inayo chombeza kaimba Nani?

  • @elishageorge3980
    @elishageorge3980 2 месяца назад +5

    uwakika xema muongeze dakika kidogo

  • @muddyhamza9606
    @muddyhamza9606 2 месяца назад +3

    Nyimbo kaimba nani😢

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 2 месяца назад +1

    Mama Leo kaamua kula wali maharage na mwanayee😂😂😂

  • @ZaiLilanje
    @ZaiLilanje 4 дня назад

    Chado we mwenyewe umpenda uyo binti ila ubabe wako ndo uficha uzaifu wako kwako

  • @simonmachuka
    @simonmachuka 2 месяца назад +1

    Masta vipi movie bila sauti lakini mziki inacheza

  • @jimmymwanisawa6684
    @jimmymwanisawa6684 2 месяца назад

    Daaaaaah chado unazingua siku nzima move moja unazingua mwanangu

  • @kingmrume
    @kingmrume 2 месяца назад +1

    😂😂chado kumbe Domo zege😂eti unaulizia sigara 😂

  • @kenethlungwa464
    @kenethlungwa464 2 месяца назад

    Chado uko vizuri kaka hucheleweshi mudaa wa kutoa kazi appreciate kaka

  • @SalmaAli-jn1gh
    @SalmaAli-jn1gh 2 месяца назад +2

    Tobaaa Tobaaa umenivunja kiuno 😂😂😂😂

  • @BintJamal-zf4hr
    @BintJamal-zf4hr 2 месяца назад +2

    Chado unampelekesha Kidem jau 😀😀😀

  • @Ayshapafyum
    @Ayshapafyum 2 месяца назад +4

    Kaz nzur

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 2 месяца назад +2

    Chado na wenzio mnajua na mnajua tena

  • @NasmaAbas-p6o
    @NasmaAbas-p6o Месяц назад

    Chado umependa askari wangu 😂😂uhun ushaumaliza mwendo

  • @MariamuOmary-n4d
    @MariamuOmary-n4d Месяц назад

    Karim acha kuiba mpenzi wa chado🤣🤣🙌

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Месяц назад

    Chado wivu nao😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kaanza kupenda kichangu😂😂

  • @Hawaabdoudjuma012
    @Hawaabdoudjuma012 Месяц назад

    Ama kl malipo n hapa hapa duniani arhera kuhesabiwa😂😂😂

  • @fatmaalghafri6087
    @fatmaalghafri6087 2 месяца назад

    Eti Chado anamwambia mwenzie acha kutembea na mwanafunzi😂😂😂😂😂😂😂😂🔥

  • @seciliamanda
    @seciliamanda Месяц назад

    Chado jmn mi misemo yako npo hoi,,, duuu sema u a so attractive 🫣🤣

  • @FausterBoniface
    @FausterBoniface 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 ingogo igwe chado kuw romantic bas😂😂😂😂

  • @YeriKahindi
    @YeriKahindi 2 месяца назад

    😅😅😅😅Hii ngogo ibwe hahahaha mr chado nabambika 😂😂kweli

  • @joliemuhimuzi-2005
    @joliemuhimuzi-2005 Месяц назад +1

    muvi nzuri kabisa

  • @haruniblackson1318
    @haruniblackson1318 2 месяца назад +1

    Mchele super wa kyela gonga like apa😅

  • @bakarisalimu7798
    @bakarisalimu7798 2 месяца назад +1

    😂😂😂😂 Hanifa mziguaaaaaaaaaaaaa

  • @B_class_mabawa
    @B_class_mabawa 2 месяца назад +1

    Dahh ikiisha najutia Sana nataman iendelee

  • @JohnJohn-e1o
    @JohnJohn-e1o 2 месяца назад

    Haha sema chado wewe jau ase yani dem yupo ndani unauliza sigaraaa😮😂😂😂😂

  • @Beatrice-kp7uw
    @Beatrice-kp7uw 2 месяца назад

    Tamaa mbaya daa simu ymchipuko unashika nguvu umetoa wapi

  • @JohnJohn-e1o
    @JohnJohn-e1o 2 месяца назад +1

    Oya kitengo umetisha 💣💥

  • @ErickLyanga
    @ErickLyanga 2 месяца назад +1

    Apo kwenye kupoa sasa Safi sana chado masta kitengo tuletee mwendelezo

  • @iddrisanyange8175
    @iddrisanyange8175 2 месяца назад +2

    Nice chado boy

  • @patriciachangawa1754
    @patriciachangawa1754 4 часа назад

    Ila huyu mshauri wa najima apewe mauwa yake🎉🎉🎉😂😂

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 2 месяца назад

    Unaweza sana bwana chado pokea Maua yako 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤