❤❤❤ chado kaishiwa pozi baada ya kufika geto tuu 😅 ety we unaitwa najma au kidem jau ina maana alisahau kama yeye ndo umuita ivyo daaah sema iki kipande nimekiludia zaidi ya mala 3 like za kutosha kwa chado a. k .a baba najma😂😂 me alike iyo kapo ya kidem jau na muuni chado❤❤❤
Musiwe munaharakisha muendelezo jamani mambo mazuri hayatk harka inaweza kutengenezwa kw hataka lkn editor akakosea so ni lazma atulie ili alete kitu kizuri jamani kama unaniunga mkono gonga like hapa
KAKA ANGU CHADO MPAKA NIMEANDIKA KWA HERUFU KUBWA NAOMBA UWE UNATULETEA VIPANDE VIWILI VIWILI PLEASEEEEE🎉😂😂😂😂❤. Nakukubali sana
Safi sana kijana tena huyo dada atajua ajui 😅 SOMA MESEJI ZA MMEO
Leta kazi mzee baba🎉🎉🎉
Kaz nzur bro 👊
Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka, hanifa na mwanawe sasa...ila hii ndio nailike😂😂😂 👍 # chado mapenzi yanakuwehusha sasa
At nimechelewa lkn nimewai naomba like zangu chado master
Nimechelewa kidogo nipeni like zangu tafadhali naomba kwajili ya chado master mnyama saw
Kuomba like tu kuoga aaah
❤❤❤ chado kaishiwa pozi baada ya kufika geto tuu 😅 ety we unaitwa najma au kidem jau ina maana alisahau kama yeye ndo umuita ivyo daaah sema iki kipande nimekiludia zaidi ya mala 3 like za kutosha kwa chado a. k .a baba najma😂😂 me alike iyo kapo ya kidem jau na muuni chado❤❤❤
Mm mwenzio saii n mara y 5 😂😂😂yani hadi rahaa mapenzi bwana ❤😂
Na mi nimeludi kujazilia uzito wa komenti si 😂😂unajua mpaka kesho kutwa ndo inatoka😂😂
Umeonaeee mara anamuomba najma sigar😂😂tena jmn naj tokalin akatembea nasigat
Ukweli hii seen ya chado na najma hipo hot sana
@@IreneIsambiyaan me ndonataman kuwaona wao tu sjui nina nn mm😅😅
Anaeshauri watu vizur yy mwanae ndio kaharibikiwa kinoma😅😅
Halafu huyu chado ni mwamba nipeni like zangu jameni😂😂
Haya nimechelewa kidogo Leo nahitaji like jaman natokea ZANZIBAR
Chkuw mzenj mwenzang ❤❤
hata utokee kisarawe
@@dullasaomari1735 mhhh
Mzenji kwa kuomba like ila kuoga aah
Mzenji kwa kuomba like ila kuoga aah
Kama unamkubari chado master weka like hapo tujuane
Kuomba like tu kuoga aaah
Anajuwa mwamba
Kuomba like 2 kuogaa ahhhh
Kama umefurahi kumuona anipha weka like hapa 💪💪
Nakubali chado master 💪👍💪
Eeeeh hii movie nikali sana jamani.mbarikiwe wahuskia ❤❤❤❤🎉🎉🎉
chado masta unaweza dady pambana story yako ipo vzur kwa kila kipande hmna kilichobore
Musiwe munaharakisha muendelezo jamani mambo mazuri hayatk harka inaweza kutengenezwa kw hataka lkn editor akakosea so ni lazma atulie ili alete kitu kizuri jamani kama unaniunga mkono gonga like hapa
Alaf ikichelewa ndo wa kwnz kulalamika
Kimapunju chado na daddy lkn sio poa jmn 🎉🎉 maua yenu
Huchelewesh mzee 🎉 umetisha chado
Kumbe hanifa wimzigula kabisa mana siva ukagamba ooh nkondooo sifa mnyenu.
Hapo sasa, ambaye hakufurahsh pia anaekufahsha nae Kuna mtu anamfurahsha,
Jamani hivi hawa watu wa visiwani kwanini wanapenda vi2 line line 😅😅😅😅
Chadooo aiseee makofi yote yale kufika geto chado yuko hoii kaishiwa pozi aiseee broo nimecheka sana muhuni kaishiwa pozi
😂😂😂 nimecheka wala ila dk mnabania sana #chado mastar
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Anaemkubali kwamba hanifa mpelelezi gonga like apa
Nakubali chado master👍👍👍
Punguzeni ukali wa maneno, watoto nao wanaangaliaga.
PG
Chado saa hii yuwaanza kumuhelewa mwari
Imeanza kama mchezo, imekuwa ya moto.. Congratulations chado masta ❤❤
Nakubali sana kazi yako chado
Nakubali fundi chado master🛠️🛠️💥💥 big fan from🇰🇪🇰🇪+254
Oyaa mbona hivyo mabosii vipande vifupii na mnachelewa kutoka kazii japokua kazii nzuriii😢😢😢
Anifa nakupenda sana dada yangu 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
Muvi mzuli sana
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
Wee chado noma njeee ubabe lkn chumban Huna manenoo
😂😂😂😂😂chado chinz jmn eti anamuomba najma sigar jmn😂😂😂
Chado we apana 😂😂😂 umetoa mtoto wa watu mbio alafu kufika Kwa geto apo umenimaliza nguvu 😂😂chado kapoaaa kama maji mauwa yako 🎉🎉🎉🎉 nice
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Mi wa kwanza leo naombeni like
Panaishia patam leo ❤❤❤❤❤❤
Kama tuna kubali hihi movie like🎉
chado uwe unawai kutoa muendlezo maan unatukat utam
Chado akili huna wewe😂😂 eti kwanini wanakuitakaga kidem jau.... Wewe sindo unaniitaga.... Aaaaaaahhhh kumbe mimi😅😅😅😅
Chado jamnii watu wakipendaa awapigi madem zao 😂😇ila achorire kachora mwanang iyo ndo I like 😂😂
Msela kasanda 😅😅😅 mwenyewe kapoa
Ongezeni masaa jamni I'm from Kenya naipenda movie yenu ❤😂😂
KAZI safi chado masta napambika nikiwa Mombasa kenya
Kaaaaaaa jaman chado mbn mbabe hvyooooooo😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Chado unazingua mwanangu eti huna sigara hapo
Much love chado and your team congratulations ❤❤ Nice job from Kenya 🇰🇪
Kazi nzuli kaka
Hongereni
Kkkk mapenzi hayo from mozambiqui 🇲🇿
Like mother like son. Kumbe mama msela mvuta siga ndo mana dogo anaenda vijiweni kwakina chado😅😅
Aisee hii muvi inaendeshwa kisela sela😂😂😂😂😂😂
Katisha sna chado master.like nying kwenye comment
Nzurii Kaka kina mkojan awakukutiii❤ 14:33
Chado masta ili dude la kimataifa mzee ni 🔥🔥
Editor Kuna vitu kasha Anza kuzingua zile effect ka na ep 1 to 4
Kazi chapu huyu ndio chado masta
Anifa mwanao akwambii ukweli hadi umpe gongo😅😅😅
Malipo ni hapa hapa duniani dda alimdhilalisha mumewe kisa ni mchepuko ona xaxa😅😅😅
Nakukubali Chado Masta uko vzr ila tumemmis Baga
Hiii kituu ni tamuu hatarii mubarikiwe sana chado na nyote muloshirikiii ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
nice nimeona hanifa
Badala ya kufanya kweli linaulzia sigara daah sema iyo sekta😅😅😅
😂😂😂kmb huyu dogo michano mama yake dada yetu nifa much love chado❤🎉
aliskika mwamba akisema "em niache nikaongee na cm zang mimi"😂😂
Aisee hapa pamenifurahish😢😢 kaacha mmewake mchepuko hauna dhaman😂😂😂ndio faida yake
Ha😂😂😂😂😂mchele kutoka kiela elekea mtamu sana unabaya dad nifa😂😂😂
Mm nipo Kwa ngadaya TU nataka umpelekee moto uyo Demu aache zarau🤣🤣🤣
Nipha umetisha hapo kwenye kizigua
Jaman hii nyimbo inayo chombeza kaimba Nani?
uwakika xema muongeze dakika kidogo
Nyimbo kaimba nani😢
Mama Leo kaamua kula wali maharage na mwanayee😂😂😂
Chado we mwenyewe umpenda uyo binti ila ubabe wako ndo uficha uzaifu wako kwako
Masta vipi movie bila sauti lakini mziki inacheza
Daaaaaah chado unazingua siku nzima move moja unazingua mwanangu
😂😂chado kumbe Domo zege😂eti unaulizia sigara 😂
Chado uko vizuri kaka hucheleweshi mudaa wa kutoa kazi appreciate kaka
Tobaaa Tobaaa umenivunja kiuno 😂😂😂😂
Chado unampelekesha Kidem jau 😀😀😀
Kaz nzur
Chado na wenzio mnajua na mnajua tena
Chado umependa askari wangu 😂😂uhun ushaumaliza mwendo
Karim acha kuiba mpenzi wa chado🤣🤣🙌
Chado wivu nao😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kaanza kupenda kichangu😂😂
Ama kl malipo n hapa hapa duniani arhera kuhesabiwa😂😂😂
Eti Chado anamwambia mwenzie acha kutembea na mwanafunzi😂😂😂😂😂😂😂😂🔥
Chado jmn mi misemo yako npo hoi,,, duuu sema u a so attractive 🫣🤣
😂😂😂😂😂 ingogo igwe chado kuw romantic bas😂😂😂😂
😅😅😅😅Hii ngogo ibwe hahahaha mr chado nabambika 😂😂kweli
muvi nzuri kabisa
Mchele super wa kyela gonga like apa😅
😅
😂😂😂😂 Hanifa mziguaaaaaaaaaaaaa
Dahh ikiisha najutia Sana nataman iendelee
Haha sema chado wewe jau ase yani dem yupo ndani unauliza sigaraaa😮😂😂😂😂
Tamaa mbaya daa simu ymchipuko unashika nguvu umetoa wapi
Oya kitengo umetisha 💣💥
Apo kwenye kupoa sasa Safi sana chado masta kitengo tuletee mwendelezo
Nice chado boy
Ila huyu mshauri wa najima apewe mauwa yake🎉🎉🎉😂😂
Unaweza sana bwana chado pokea Maua yako 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤