Alilipa Deni zangu | Song: Pendo Kuu | Mamajusi Choir | Lyrics
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Song: Pendo Kuu
Artist: Mamajusi Choir
Song Lyrics:
Verse 1
Pendo kuu la Yesu
lilitosha Kalvari
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alinipenda Yesu
Akaingia gharama
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Verse 2
Yesu Atuchunga,
Mchunga Wetu
Naye Atufuta
machozi yetu
Mkononi Mwake
hatuna hofu
Daima twapata
kwake wokovu
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Verse 3
Namtolea Yesu
Nampa moyo wote
Ntampenda Yesu namwandama kila saa
Chini ya msalaba
nataka simama
Ndiye mwamba safarini
Kwa kivuli chema
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
Verse 4
Nataka nifahamu
nizidi kupambanua
Mapenzi Yake nifanye
yanayompendeza
Nataka nikae naye
kwa mazungumzo
Nizidi kuwaonyesha
wengine wokovu Wake
Chorus:
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi
niliupata Kalvari
Alilipa deni zangu,
kwa gharama ya mauti
Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari Msamaha wa dhambi niliupata Kalvari
wale tunasikiliza wimbo huu Bila kuchoka 2024 tujikusanye hapa❤❤
Nipo hapa acheni tu jamani
❤❤❤.ninapousikiliza Wimbo huu nafarijika sana
Amen
amen upo
vizuri
Tupo wengi
Wale bado tuko hapa 23/8/2024 weka Tick ili niweze kurudi hapa na kuusikiliza huu wimbo tena
Team 15th May 2024 wapy likes za Yesu Christu kutufilia msalabani
ati likes za yesu🤣
AMEN UBARIKIWE SANA
Kuna nyimbo wanadamu tunatunga na humpendeza Mungu saana. Ila kuna nyimbo pia Roho mtakatifu huziandaa na kutufundisha ili kumwimbia Mungu wetu, huu wmbo mtunzi naweza sema alishushiwa direct na Roho mtakatifu. ♥️ huu wimbo ukiusikia utaogopa kabisa kutenda dhambi
Huu wimbo una hisia kali sana na unapenya mpaka rohoni
❤p@@moseskirimbay1791
Jmn kwel huu wimbo yaan ad unatamn kuacha mabay yote🙏😢
Najikuta nalia ety😭
😊😊😊
Eee MUNGU ni wa milele nyimbo hii imenikumbosha mbali sana hivyo ubarikiwe sana na MUNGU wa mbinguni atukumbuke soteni wenye imani ya kuamini ijili BWANA atutie nguvu ili tuushinde ulimwengu amen .
Mungu wangu 2024, ni mwaka wangu I need marriage family and blessing family........hakika bwana utatenda❤.....I believe and I trust Mungu wangu halali wala hachoki, pita kwangu bwana
Nabarikiwa sana na huu wimbo nasikiliza mara 10 zaidi kwa siku na sioni kutosheka Asante sana Yesu kwakunilipia Deni
❤❤ nabalikiwa sana na nyimbo hii
Amen team 2024 bado mpo it's still fresh
Ameen. The song is as fresh as always. 👏 👏
Amin amni
Amen
Aki hii wimbo ni kama malaika ndio waliimba❤❤❤❤❤❤❤❤
Yohana 19:30
"Baada ya kuipokea hiyo siki, Yesu akasema 'imekwisha' akainamisha kichwa akakata roho."❤❤ Amen
Kwa hakika yote yalikwisha msalabani mateso, laana, mashida, umaskini, mahaangaioko, chuki, visirani yote hayo alisena Yesu yamekwisha
Don't give
Keep praying
"For our Lord God is mercyful and forgiving ". Daniel 9:9
Be blessed God loves us 🤍🤍
Nilikuwa nautafuta sana huu wimbo.Namshukuru Mungu ninausikiliza sasa hapa.Nampenda sana Yesu
Na upendasana
Ø
😊😊
Lip
Naupenda Sana huu wimbo na unanibariki mno
Alilipa deni zangu nimebarikiwa sana ❤❤❤
🙏🙏🙏🙏 ooh ooh ooh YESU YESU wangu...............hakika ingelikua sio wewe kunifia msalabani ningelikua wapi sasa hivi😭😭😭😭😭 Nikulipe nini Bwana Yesu wangu?????? Asante asante asante asante😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yesu alinilipia dhambi kweli ningekua wapi kama si yeye
Here on Good Friday 2024 oh Lord have mercy on us 😭
Me too listening to this song on good Friday as I pray
Really love this song
Me too
Moi usi
Mimi pia
Kabisa pendo la MUNGU NI KUU
Alilipa deni zangu. Msamaha wa dhambi zangu niliupata Kalvari. Kwa gharama ya mauti. Thank you Jesus
😊😊😊 g.
Alilipa deni zangu. Msamaha wa dhambi zangu niliupata kalvari. Kwa gharama ya mauti Thanks you jesus
Ythyyguuhuih uhghhhuhuur6 kiihuv y uh CC y hyy. -0=55606
@@JacklineMsalangi uuuyuuhuuhghuhuyyuhhh
O
Msalaba kwetu ni ukombozi tunautazama huo tu
Msamaha wa dhambi niliipata calvary kwa Neema TU, 🙌🙌🙌🙌 alilipa deni zangu 😭😭😭😭🙇🙇, Asante Yesu.
Mama yngu anapenda Sana wimbo huu, umejaa Sana baraka kila mda nikiieka mama huwa ana furahia❤🤍💖 nakupenda sana mama 🫶🫶
+q❤+++❤
Nimechelewa sana kuufahamu huu wimbo, nmebarikiwa 31/3/2024. Alilipa deni zangu kwa gharama ya mauti🙏
We did on same day
Yesu anakupenda sana mwanahamisi.Alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi.Problem is Muslims don't understand that Jesus is God alikuja duniani kama binadamu kutufia msalabani ili aweze kutusamehe tuweze kuenda mbinguni tuwe na yeye hujo milele.He died for you mpee moyo wako na utubu dhambi zako akusamehe.Yeye ni wa huruma mwingi.Be blessed kwa kuuskia huu wimbo
Yani Kila ninapo usikiliza najikuta natikwa na machozi ya furaha hakika uu wimbo umeletwa kukutia faraja na amanin ya. Moyo❤️🙏
YESU nakupenda sana nimejikana nimekuja kwako usiniache YESU
🎉hongera kwa kujua ukweli .
Hakika wimbo huu unanigusa sana.Asante Yesu
Msamaha wa dhambi tuliupata kalvali coz ya Upendo wa YESU kristo kwetu alikubali kudharauliwa kukataliwa na kutemewa mate...jamn! Tumsifu na kumtumikia na kumtukiza huyu YESU aliyetupenda na kuchukua makosa yetu 😢😢...❤ I love you Jesus
Tulipata msamaha Kalvari.Asante sana YESU🙏🙏🙏
Msamaha wa dhambi niliupata calvary nakupenda YESU ❤
Wimbo huu unagusa sn moyo wangu nampenda Yesu Kwa sababu ananipenda
Asante Yesu kwa kutupenda jana leo na hata milele.Kama si wewe Yesu ningekuwa wapi mimi?🙏🙏🙏🤣
Kabisa pastor yaani Sina la kusema
Angalia Garai neni Zimpraise kitu Cha Zimbabwe wamekopi Mamajusi wanafeli wapi?
Alilipa deni zangu kwa gharama ya mauti msamaha wa dhambi niliupata kalvari ❤. Jesus Christ is the way the truth and the light.
I love listening to this song as it Blesses my heart.. Listening on 30/03/2024 at 12:05am
Jaman MUNGU awabaliki watu wote walio imba huu wimbo una nguv za mungu
Hakika wimbo huu ni Roho Mtakatifu kiongozi amefurika
Mm naupependa huu wimbo Sanaa
Wimbo unanikumbusha kuacha dhambi,🙏🙏🙏🙏
Moyo wangu wa kupenda yesu,,,, Asante kwa Kila kitu,, I bless you jesus
This song reminds me how God delivered me from alcohol and drug addiction. He transformed me to a healthy person ready to serve him. He indeed paid all my debts. I will serve him every single day of my life.
Same here 🙏fr God is good and sweet
Amen
Words me too.
Praised be Lord Jesus, He fails at nothing when pursues someone. Praise Him, praise Him until it hurts.
I too love Him so tenderly and am looking forward to obtain my healing that I need badly now. Thank You Jesus, thank You Holy Spirit, thank you Eternal Father. Blessed be Holy Trinity.
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏
Asanteee yesu kwa kulipa Deni zangu zotee asanteee Sana 💓
Nampenda Yesu
Alilipa deni zangu msamaha wa dhambi niliupata karvari
Asante Bwana 👏👏👏
Huu wimbo umeja upako Mungu tuone
Wimbo huu ni baraka kwangu siku zote
♥️♥️♥️♥️ ASANTE YESU KWA KULIPA DENI LANGU 2024 🙏
2023 Who else is here
I will come back with a testimony
Pendo kuu la Yesu lilitosha kalvari.
Ilove jesus❤❤
Mungu anisaidie 🙏nifike Mbinguni🌫️
Asante Yesu kwa Nguvu zako sina cha kukulipa🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amen Amen nikweli kabisa apewesifa baba wa rehema Yesu Christ ni bwana.....
Wimbo huu umejaa upako na roho mtakatifu anazungumza kupitia wimbo huu. Ubarikiwe sana nimepata utulivu moyoni mwangu
Naupenda sana huu Wimbo na barikiwa sana,asante yesu
❤❤Asante sana Mokozi Yesu mpe kila Mwenye huzuni furaha bwana. Kupitia wimbo huu
Kwa kweli Yesu ametulipia Kwa gharama kuu,nasikia kumpenda zaidi huyu Yesu ninaposikiza wimbo huu
🎉kweli
Sichoki kusikiliza huu wimbo siku miezi na miaka nakupenda sana
Haleluyaa, msamaha tumeupata Kalvary hakika! Barikiweni wote mliouimba wimbo huu!
Mlio tunga wimbo huu barikiwa sana unanikumbusha mbali sana huyu MUNGU aliko nitoa
Kwa kweli wimbo huu unanigusa sana
Naupenda huu wimbo Sana. Kaa si mungu singekua hapanilipo ❤❤ amen
🙏🙏nabarikiwa sana , thanks Jesus for all you have done for me, nakumbuka mengi sana nikiusikiliza huu wimbo hakika Mungu mwema kwa kila jambo🥹🥹
Kweli wokovu ni dhihilisho la pendo kuu la Yesu, kuamua kuwafia wenye dhambi. Tusichezee wokovu bali tuutunze
Ee Mungu wangu unisamehe baba yangu kwadhambi zangu zilizo kufanya uteseke mateso makali baba u2be roho yauruma hata 2kumbuke uliteseka kwajili yangu me naomba uruma yako baba
nmekuwa nikitafuta huu wimbo sana thanks to God nimeupata
Amen hakika alinipenda akalipia gharama😢😢😢😢😢😢
Hakika wimbo mzuri sana, Mtunzi Mungu akubariki. Hapa ulitumika kwa viwango vya kimungu kabisa.
Asante Yesu wangu Kwa kunipenda na kuchukua dhambi zangu na kunipa msamaha wa dhambi
Baba yangu Danford Mbilinyi wakati wa uhai wake wake aliupenda sana huu wimbo na wakati wote aliuimba kwa ufundi mkubwa akishirikiana na marehemu bibi yangu daima ili nimkumbuke vyema hutumia wimbo huu kufanya meditation
Mungu awabariki sana na yesu awaone kwenye huduma yenu
Amen Mutumishi wa Mungu tume bariki sana tena sana na wimbo
Nllitafuta huu wimbo sana wimbo mtamu sana asante mungu kwa hekima ulio wafunulia hawa wana choir
Napata amani sana ninaposikiliza huu wimbo Mungu awabariki
I love this song because Jesus died for me
Nikupe nn bwana wangu💞
Asante sana Bwana Yesu. Tumepata ukombozi.
Huu Wimbo unanibariki sana
Naupenda san huu wimbo❤
Haleluya sifana utukufu kwa BwanaYesu. Kazi uliyoifanya pale salabani imenifanya niwepo leo baba. I can'ttake it for granted it's by grace.
nikisikiliza wimbo huu nafalijika sana mungu asante kwa kunips pumzi hii ambayo silipii hata mia mweche mungu aitwe mungu
Namshukuru mungu nikiwa nausikiliza wimbo huu nasikia kuwa na upendo na kuzidii kumtumkiamungu aliye mbinguni,🎉
Napata bubujiko ndani ya Msamaha wa Yesu, nipe kibali chako Yesu kukujua zaidi kuliko wanadamu
Huu wimbo unipa faraja Sana ktk Hali zote .najikuta kuwa jasili Yesu Mwema Sana
Yaaaani naaamka nao nashinda nao hauishi kichwani mwangu
Mwenyezi Mungu ni mwema sana kumtoa mwanawe Yetu kristo kutufia msalabani kwa gharama kwa gharama ya kubwa ya mauti❤😅😅😅
Kama sio kazi ya msalaba sijui ningekua wapi😢 Alilipa deni yangu 😭
Thank you for this song
Asante yesu kwa gharama ulioingia kwa ajili yangu sina la kukulipa ila kufungua roho yangu ukae ndani mwangu 🙏🙏
Everytime I feel like I'm about to give this songs 🎵 reminds me alot and gives me strength ❤❤❤❤❤
Msamaha....
Gharama yangu ililipwa kwa Damu iliyo ya thamani🙏🙏
Ahsante sana Kristo🙏
Nabarikiwa sana naposikiliza wimbo huu nazidi kufunguliwa kupitia wimbo huu🙏🙏
Asante Yesu Kristo kwa kulipa dhambi zetu
Amina Amina Amina
Na mimi nausikiliza bila kuchoka ,,nakupenda yeah
Nabarikiwa sana nahuu wimbo Mungu awabariki sana
nabalikiwa sana kuusikia uuh wimbo asante yesu kwaajili ya wimbo uuh
Alilipa deni zangu Bwana .
So humbling to me ,my God is fairhful i beleive a testimony is being prepared for me God.
You have been fairhful in my life and i thank you always❤
Msamaha wa thambi kabisa,Mume wangu aliokoka baada ya kusikiza huu wimbo ..he cries every time he listens n sing along..thank you Holy Spirit for coming through this choir
Amen and Amen. Lovely song
Amen
Nakupend yesu umenitua mbali kunamzigo alinitua nilikuwa nakufa lkn mungu amenifanya nionekane mpaya Tena asant yesu
Mungu akubari kwa wimbo mzur
Asante YESU kwa neema ya wokovu , Kama sio wewe YESU ningekuwa wa jehanam, Asante YESU,siwezi kukuchukuru ya kutosha , Asante YESU,.
Nabarikiwa sana kuusikiliza huu wimbo roho mtakatifu mzima mzima
Huu wimbo n ujumbe mkuu na pia una ukombozi Dani yetu sisi
Nausikiza muda huu! Bwana wetu Yesu Kristo atukuzwe kwa pendo ili kubwa kwetu
Baba yangu mwema nisamehe dhambi zangu.Ulikufa msalabani kwa ajili yangu mimi.Nakupenda sana Yesu.Asante Yesu mwema😭😭😭😭😭😭😭
The first time i had this song i was in a matatu and it really touched me till i cried. Such a powerful song indeed ❤. Glory to God forever
Kila siku asubui hiiii ndio alaam yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤