HII NDIO TIMU ILIYOVUNA PESA NYINGI KIMATAIFA • Je, wamebebwa?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • PATA MIKEKA YA USHINDI KILA SIKU KWA KUGUSA LINK HAPA CHINI:
    wa.me/message/...
    Gusa link hapo juu ili kujiunga vifurushi vyetu vya mikeka ya kila siku.
    Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi,
    Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku,
    Kuanzia:
    Saa 6:30 mchana : KIFURUSHI CHA PREMIUM
    Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P

Комментарии • 48

  • @tumlashaibu
    @tumlashaibu 17 дней назад +1

    Jitahidi kuwapa moyo migongo wazi, utateseka sana

  • @AndreaMrisho
    @AndreaMrisho 16 дней назад

    Wew kwelii n professor, big up!!!

  • @EmmanuelPeter-p8f
    @EmmanuelPeter-p8f 17 дней назад +1

    Pole salamba inakuumiza timu Yako kutolewa

  • @Vickydawi-g5k
    @Vickydawi-g5k 18 дней назад +4

    Kweli baba waambie waelewe

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 18 дней назад +2

    Usema ukweli walijituma sana bas tu mungu hakupenda

  • @allyabdi8804
    @allyabdi8804 16 дней назад

    😂😂😂😂 kweli wachambuzi wengine vichwani hakuna kitu unampongezaje mtu aliefeli

  • @sulemammgeveke6265
    @sulemammgeveke6265 18 дней назад +1

    Chawa.....sio mchambuzi!!!

  • @Vickydawi-g5k
    @Vickydawi-g5k 18 дней назад +2

    Safe sana😅😅😅

  • @farishfarish258
    @farishfarish258 17 дней назад +1

    Huyo salamba ndumila kuwili

  • @AssaKhamiss
    @AssaKhamiss 17 дней назад +1

    Maneno ya mkosaji hayo salamba

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 17 дней назад

    Ramadhan Mbwaduke ndiyo mchambuzi Makini Mzee wa data namkubali saana

  • @MwitaHassan-x2t
    @MwitaHassan-x2t 17 дней назад

    Endeleeni kuwapoza

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 13 дней назад

    Kunatofauti kubwa timu zinazokutana zikiwa nafasi ya tatu nayanne eti ulinganishe na timu zinazoongoza ligi kwenye nchi zao ukubali umkatae ukweli yanga ni tishio💚💛🙏🥎

  • @MjaryaToto
    @MjaryaToto 17 дней назад +1

    Huna jipy wew kwenye uchambuzi unaongea pumba tu

  • @MeshackMichael-xi1bn
    @MeshackMichael-xi1bn 18 дней назад

    Speech zako za nyuma hebu ziangalie

  • @AroniBruno-v2b
    @AroniBruno-v2b 16 дней назад

    Mmehamia kwenye pesa Tena? Mbn Hansem moo anapesa kuliko GSM ,hatun shda ya pesa ,hpa n HESHIMA YA TIMU NA NCHI ,WAJI.........WAPEN MOYO MAHAMUMA WENZENU.

  • @OmaryMwinjuma-x1i
    @OmaryMwinjuma-x1i 17 дней назад

    Dah makolo hamjui Mpira kipi msichojua hapo

  • @SerafiniAxweso
    @SerafiniAxweso 17 дней назад

    Acha uongo

  • @mgeningogomeloathuman7230
    @mgeningogomeloathuman7230 18 дней назад

    Chawa

  • @davisbwatwa115
    @davisbwatwa115 17 дней назад

    mashindano haya yanaviwango kadri unavyoshinda kitu kidogo tu kila mtu anacuambua kwa mapenzi ya timu yake

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 17 дней назад

    Mnaosema yanga hajafuzu kwan ninyi mlitaka yanga aishie wp

  • @saidtindwa5793
    @saidtindwa5793 15 дней назад

    Kama simba akiishia robo atapoteza point 14,na yanga alieishia makundi anapoteza point ngapi

  • @DanielJamesNgulo
    @DanielJamesNgulo 18 дней назад

    Waandishi mnamuonea Dominik salamba Hilo swali aulizwe bwaduke mzee wa data

  • @masudijuma-g1o
    @masudijuma-g1o 18 дней назад

    hajui hanachoongey

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 18 дней назад

    Piga kelele kwa Yanga oyooooooooooo😂😂😂

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 17 дней назад

    Uchawa huo

  • @AllyHussein-qc3vm
    @AllyHussein-qc3vm 17 дней назад

    Liongo hilo lichambuzi

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 16 дней назад

    Wewe mbovu na Yanga yako, hata kama Yanga watavuta mpunga mwingi, haituhusu, Simba wenyewe walishawahi kuchukua mkwanja mrefu, hiyo siyo mada

  • @respiciusmugezi8645
    @respiciusmugezi8645 17 дней назад

    Wewe siulikuwa unasema simba afiki maalipopote leo unabadilika unasemaea zawadi zakupata baadala ya kuonyesha uchambuzi wako kama ni mtu mueledi kwenye uchambuzi sio upenzi wako ugekuwa unaongelea hatua za timu zetu zipofikia sio kuongelea mambo ya pesa wewe ni mchumi?

  • @FarialaRokambele-n8w
    @FarialaRokambele-n8w 18 дней назад

    Hapa hatuzungumzi pesa.Tunazungumza kufuzu

    • @ototek8037
      @ototek8037 18 дней назад +1

      Kufuzu kwa waliofeli au kifuzu kwa mabingwa? We unazungumzia kufuzu ipi?

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 18 дней назад +1

      Mpuuz nn mbumbumbu fc huelewi unalazimisha tui la nazi kuwa maziwa

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 17 дней назад

      ​@@ototek8037 Sasa hao waliokuwa kwa Mabingwa mbona Wamefeli? Warudi utopoloni walikozoa

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv 17 дней назад

    UNAZINGUA SALAMA PUNGUZA MAHABA

  • @AnciscoKayombo
    @AnciscoKayombo 18 дней назад

    Halafu Tv hii ni ya MACHAWA WA 🐸🐸🐸🐸🐸🐸

  • @abdullahhashimu2380
    @abdullahhashimu2380 18 дней назад

    Wataelewa tuuuuuu wa upande ule

  • @FarialaRokambele-n8w
    @FarialaRokambele-n8w 18 дней назад

    Dominick jadili mpira.mbona unajihaibisha lkn?

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 18 дней назад

      Andika vizuri huko,unajihaibisha ndo nn,mkiambiwa ukweli mnatoa kauli zisizo na mashiko kolo wewe dunduka usiyejitambua

  • @bapetapo3997
    @bapetapo3997 17 дней назад

    Unajulikana wewe nichawa wa yanga nyumba mwiko kinachopiganiwa hapa ni kufuzu sio pesa wewe ni Ms...........

  • @RajjMohamed
    @RajjMohamed 17 дней назад

    Sasa chet unapewa ukihitimu au ukiwa katikati ya masomo mchambuzi mjinga mpira unasemewa na wajinga

  • @ownmpompo6299
    @ownmpompo6299 18 дней назад

    Waliwaze Salamba. Mpira tunaujua kuliko unavyodhani.Leo ukiwaambia Yanga, wachague fedha na kufuzu robo fainali,watatofautiana na wewe.Fedha baadae hadhi ya kushinda kwanza

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 18 дней назад

      Ukweli unauma sio,subirini kukatwa tu alama na robo yenu ya shirikisho hamuendi popote na hamuwezi kuvunja rekodi ya Yanga mnatamba Bure tu na robo ya waliofeli kwanza mmecheza na vibonde mechi zote,kama mnabisha,angalia timu zilizocheza na kolo zinashika nafasi ya ngapi kwao

    • @EkaristMande
      @EkaristMande 17 дней назад

      Wewe chawa wayanga chambua mpira maneno swara nikufuzu bwege acha uchawa

    • @ownmpompo6299
      @ownmpompo6299 17 дней назад

      Tuko gizani sana,
      1.Yanga/Simba zote zimewahi kucheza shirikisho
      2.timu zilizoko shirikisho mwaka huu zimewahi kutambua Champions CAF,ni kupishana tu Kwa kupumulia
      3.Ukisema Yule pale,wewe je uko wapi,unafanya nini?
      HILO TU

    • @allyabdi8804
      @allyabdi8804 16 дней назад

      Huyu mbona anaongea kama msemaji wa yanga na sio mchambuzi wa soka