Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

UTACHEKA MBOTO ACHARUKA BALEKE KUTUA YANGA AZIZI KI ,CHAMA MASHINE YA KAZI, MBONA ATAMBULISHWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июл 2024

Комментарии • 33

  • @AlexMbagata
    @AlexMbagata Месяц назад +1

    Hongera mboto unajua kwenda na uhalisia wa mambo.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Месяц назад +11

    Nyie wachambuzi ni wajinga sana usajili wa Yanga 1 boka miaka 24, baleke miaka 23, Dube, miaka 27 Duke miaka 29, andambwile miaka 24 khomein miaka 25 ,ni chama TU miaka 32 wakati wao Kuna kagoma miaka 29, Awesu miaka 28 pia Banda ndie mchezaji ambae allkuwa na kipaji hakuna wa kufikia pale Simba lakini amefeli kindaaa

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e Месяц назад +2

      Makolo ni washamba tu, Ngoma ana miaka 43

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Месяц назад +2

      Mbona dube hujasema ana miaka mingapi 😂😂

    • @IddiSulaiman
      @IddiSulaiman Месяц назад

      ​@@laninjeje8290hujui kusoma ndugu😢 si umeandikiwa hapo miaka 27

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 Месяц назад +2

      ​@@laninjeje8290 Mbona amesema 27. Ulisoma comment kweli?!

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Месяц назад +1

      @@josephatn5040 dube ana 32 sio 27

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Месяц назад +1

    Wewe ndo Hamisa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 ila yanga ad mashabiki wa yanga mnaakili wandishi kama ao ndo majibu sahihi kwao

  • @user-wp9or7wh5s
    @user-wp9or7wh5s Месяц назад

    Uhakika botto upo sahihi kabsa kaka

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy Месяц назад

    Amisa ndio nani we vipi

  • @RashidiKuji
    @RashidiKuji 21 день назад

    Yes vp have 😅😅

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 Месяц назад +1

    Ligi ikianza ndio tutajua wazee ni Yanga au Simba

  • @irenemakundi-og9xg
    @irenemakundi-og9xg Месяц назад +3

    Tufanye wewe ndo hamisa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад

    Mie nasubiri dakika 90' zitaongea in'shaaAllaah

  • @daudmpemba5086
    @daudmpemba5086 Месяц назад

    Hao ndowalikuwa machawa wa yanga nahao ndowalio wapa Gori hizo sasa mtajua hamjui

  • @RashidiKuji
    @RashidiKuji 21 день назад

    Tupo 😂

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 Месяц назад

    Jibu safi kuhusu hamisa 😅

  • @MinkJoseph
    @MinkJoseph Месяц назад

    Ila bonto😂😂😂. Aya bhana baadae bingwa

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Месяц назад

    Mausiano ni mausiano na mpira ni mpira kwanini mchanganye mpira mausiano

  • @user-nm1jh3dy9n
    @user-nm1jh3dy9n Месяц назад

    Shambulio la aibuu😅😅😅😅

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 Месяц назад

    tunaomba mrekebisha vizuuri mic zenu maaan nikero iko hivi ukivaa headset au head phone kinacho tokea linasikika sikio moja

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Месяц назад

    Xavi mtupu

  • @Niika870
    @Niika870 Месяц назад +1

    Wewe Domo karai, Chama ,Baleke, Manura, Inonga, walikuwa maduka ndani ya Simba wameondka

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Месяц назад

      Sawa mkubwa

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 Месяц назад +1

      Mtasingizia sana wachezaji, mara baadhi ya viongozi walikazimisha kumweka Aishi. Sasa mkifungwa sijui mtasemaje?? Halafu hayo maneno wanawasikia, watawaonesha kama wazee.

    • @NunuKibene-mp2bu
      @NunuKibene-mp2bu Месяц назад +1

      By u

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Месяц назад

      @@kolosii4351 Ali Kamwe hana dogo ataenda akawaoneshe