Ahmed Ally afunguka ishu ya Lawi “wamekula mpunga” atangaza balaa la wachezajii wapya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 8, 2024 kwenda Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 2024/25, huku Meneja wa Habari na Mawasiliano wa timu hiyo, Ahmed Ally amezungumza na wanahabari kuhusu sintofahamu ya usajili wa beki Lameck Lawi.
    Ahmed amesema sakata hilo litamalizwa na mabaraza ya kisheria ya soka lakini wao wanatambua kuwa ni mchezaji wao halali kwani pesa za usajili walitoa kwa mchezaji huyo pamoja na timu yake.
    #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj

Комментарии • 16

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 2 месяца назад

    Heshima kwako semaji la Caf 💪🦁

  • @Paul-n2r
    @Paul-n2r 3 месяца назад

    hongera chama langu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Lawi huyu ana tabia kama za chama. Sio mzuri sana.

  • @BonphaceOrihema-h7s
    @BonphaceOrihema-h7s 3 месяца назад

    Semaji letu nakukubali Sana!

  • @MadukwaAlphonce
    @MadukwaAlphonce 3 месяца назад

    Good❤

  • @sifedZadock-f1b
    @sifedZadock-f1b 3 месяца назад

    🎉

  • @RamsonAloyce
    @RamsonAloyce 3 месяца назад

    Sawa semaji 😂😂

  • @mishlay8164
    @mishlay8164 3 месяца назад

    Lameck lawi Yanga ndiyo wameingilia kati kwa sababu sikuhizi Coansti na yanga wako karibu sana , , kama ni urafiki na undugu ni consti na Yanga

  • @SheymaaMwandwi
    @SheymaaMwandwi 3 месяца назад

    Me nawaachia viongoz wetu Sina neno😂

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 3 месяца назад

    watani tutawaona watu wenu uwanjani hiyo timu ya wavulana tuko paleee

  • @PendoSanga-n2r
    @PendoSanga-n2r 3 месяца назад

    Onana mbona hayupo kwa msafara

  • @khalifasaidi4181
    @khalifasaidi4181 3 месяца назад +1

    Karaboo

  • @JulianaPatrice
    @JulianaPatrice 3 месяца назад

    Ila Simba ni bland kubwa sijawai ona waandishi wanaenda kutafuta content kwa nyuma mwiko

  • @BabumboyonimolellMolellk-ck7kc
    @BabumboyonimolellMolellk-ck7kc 3 месяца назад

    Hatuja mwona kibu

  • @AmosiSimbeye-ll8pg
    @AmosiSimbeye-ll8pg 3 месяца назад

    Simba nguvumonja

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 3 месяца назад

    Mbona hamtaki kuja kwny channel yangu jaman😢😮