MBUNGE NGORONGORO PM "KAMA ZOEZI LA KUHAMA NGORONGORO NI HIARI KWANINI MNAWEKA VIKWAZO "
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Hongera sana Kaka upo kweny point
Nakukubali sana mh. Big up mkuu
hongera Sana mbunge wetu
Congratulations mh mbunge Kila la kheri mwamba mungu akutangulie
Hongera sana Mh. Unapambana sana Mungu azidi kukulinda
Mbaya zaidi hoja Kama hizi zinapigwa rungu
OMbi langu mungu akulinde kaka kweli tumepata mubunge ila wamasai tupo kwenye wakati mungum san
Hongera sana
Mungu akubari sana mbunge wetu wa ngorongoro oleshangay na familia yako
Trusting
Pambana to kaka Niko njiani kwa lengo la kuhakikisha wananchi au wamasai watapata ukweli wao .....
Hongera nyingi San mubunge wetu mungu akusadie maana ukweli lakn auna nafas ya kufisha seriekali ni ya matapeli
Nakupenda San ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ww ongeatu najua hawata pokea ila mungu anasikia kiliyo chako na kilio cha wanaichi wa ngorngor
Waeleze ukweli watoto wao wanateseka hivyo
upo sahihi kiongozi Mungu akulinde popote. kwa kuwatetea wananchi wako simama hadi dakika mwicho
Kwa hili halisubiri ushawishi wwt kuiaacga na kuikataa ccm
Hiyo ndiyo sisiem..wanashida yakuwa madarakani..hawana shida na wanainchi baada ya uchaguzi..
Kule kushauzwa nahisi yetu macho twende kazi unauzwa ukiwa kwako kudadeki walai
MBUNGE UMESEMA UKWELI, ILA WATAWALA WATAKUSHUGHUKIKIA. KWA7BU UNAPINGANA NAO
Kuhama ni amri kutoka wa bunge la ulaya serikali ilikubali kuuza hizo hifadhi kuna mwingereza, mwarabu na mmarekani serikali imetuuza , raisi akanushe kama sio kweli atupe majibu kama kuhama ni hiyari kwanini wamewafima juduma mihimu?
Tunaomba utusaidie na kikokotoo
uyu ni mzarendo aisee
Huduma ya maji Kwa wanafun,zi..naomba pia Mb unge wa maeneo ya KILINDI Girls Sec. Scholl Kuna shida kubwa sana ya maji. Hebu serekali iangalie hili swala.
Umefikisha ujumbe
Ccm oyee
Dah mbona inauma
Shangai hicho cha ni mashetani wako kipesa zaidi kama vile watazikwa nazo wamekula pesa za waarabu na waarabu wanataka ngorongoro imezwa mkuu hiyo ndo ccm
Ndy oleshangai
Bongo hii
Ww ongeatu najua hawata pokea ila mungu anasikia kiliyo chako na kilio cha wanaichi wa ngorngor