Umeshakua blind fury. Sheria namba moja vaa miwani za sunglasses mpaka usiku. Tena hakikisha hata zikiwa kubwa na zimekuchusha weee vaa tuu. Masikini weee hujakaa sawa bado , umechanganyikiwa mpaka leo. Ziangalie hizi interview zako baada ya mwaka mmoja ikiwa uhai upo. Inaonekana mlihaha kweli maana bado hamjiamini. Ila mwambie mamaako apunguze jeuri bado mapema sana. Kaonyesha jeuri day one na maringo. Kisa nini hasa? Wewe afadhali uko chini ya miguu bado BOSI ,BOSI,BOSI. Jiamini sauti unayo , mama kakukabidhi kwa domo hana shaka hata likitokea basi ni poa tuu muhimu anayo ya GOLD.
Team no makeup mkono juu shes very beautiful 😍😍😍😍
Yeah😍😍😍
HUYU AMENIFANYA KUAMINI KUWA MZIKI MZURI NA WA ASILI YETU BADO UPO...I LOVE ZUCHU
Nampenda sana zuchu mpole sana mungu akujaalie ufike mbal
ZUCHU una sauti ya mahaba kama yangu👌😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍😙😙😙
Nakapenda aka😍😍😍
bila makeup ni rosaree akiwa na makeup ni Zuchu like kama unakubaliana na mm ahaha ni utani tu...Zuchu unajua sana na unajielewa.
Uko na talent Zuchu..uko na sauti..lakini focus na muziki mzuri kuliko vedio nzuri!!!!Na pia usifanye ya wa bongo kubeef....Be you!!!!
Mungu mungu tuongozee sio kwakupotea huku na ustar wa dunia sasa narasta hizo kuna swala kweli mungu akipenda saum iko njiani nywele hiyo mtihani
Hawaa Saidi swala unayowew
astaghfiru llah
@@willyjulius4907 hahahahaah
Huyu msanii,unataka asuke twende kirion kama we🤣🤣🤣
acha kuhukumu ww kenge jike
Na mungu umjuee tuuu na ujue nn ulitendaloo mamaa
Mziki upo juu sana punguzeli.interviews nzuri
Is that Official zuchu without makeup? Oouwh, then she so cute than beautiful in makeups 🤔
😂😂😂
you right
exactly
Hell yeah👌😍
Yep
I guess I am kinda off topic but does anyone know of a good site to watch new movies online?
Nakubali sana sammisago tv
Masha Allah
Hicho kebeat mlichoingiza kimemeza sauti ya mahojiano,msirudie tena kuviweka kwenye interviews nyinginezo nikama uchafu😎
Kabisa Kuma make
Zuchu Your Time Is Now!! Warm Up!
Nn kwan nyie mnasura nzury zuchu mkakali sana
I love you somuch zuchu
Tanasha hajui kuvaa!
Ladan Adan binadam kaz mnayo wapangia m2 nguo yakuvaa na apa akujatajwa m2
Zuchu zuchu 🏃🏼♂️
Jamani izo nyimbo atusikiyi vizuri maneno
Pengine maskio yako yameziba
Amini yameziba hayo
6:05 mtangazaji umechemka huyu ni mwanamke unasemaje son hebu kueni makini tumieni kiswahili mwanzo mwisho ni kizuri ama kiingereza mwanzo mwisho
Hajajipanga kabisaaaaa
Msamee siunatujua wabongo😔😔😔😭
Exactly nimeskia hilo
Hyo ni slang mzee, acha ushamba
@@almasially6509 hata km
Slang inaflow naturally ye anaonkana alkwama kbsa😂😂😂👌
Yaaan mnakera Sana na hilo muziki lenu sasa muziki wa nini wakati wa interview ni kelele tu hakuna hata raha Wala utulivu.
Kwel
WASAFI WAZEE WA MIPANGO.
Eishh sura la dada nichitu
First kucomente goga like yangu
Zuchu kama zuchu
yaani zuchu hata usipoaka mekapu unapendeza tena ushauri wangu usipake kwani we mzur xanaaa
Ila mzuri jaman
SamMisagotv tuwasikize ama tusikize hizo beat‘s?🇩🇪
Duuuh zuchu napenda saut yako
Mtangazaji sio mzuri
Hii hair style ya Nywele 😘😘😘😘
😆😆😆😆😆😆unajiregelea mzee baba
Hair style ya nywele, sawa
😍😍😍
Don't worry your son or don't worry your daughter!? We mtangazaji vip
Huyu presenter anajua San yan hii ndomaana ya presenter
Mm mbaya bado hizo miwani zimeficha mengi mbovu 😟😤
Pamoja zuchuu
Jaman sisi wengine hatujui kingereza .mnapo ongea kiswahili uongeeni kiswahili tu😔😔
Pole😔
anaongea km kameza CD 😂😂😂mate hamezi😂😂😂
Ni yeyeeee
kumbe zuchu kwa x wangu x wangu mzuri.
😁😁😁
Kingono ngono tu, loooh
@@fatmafaki6163 eeh sijaelewa!
Wee hyo sio son ni daughter. ....kua makini
Zuchu mbaya kweli nayo mnywele aaaka
Roho mbaya tu🤔
@@asmanicolaus1328 roho mbaya ya nn mtu hupewa sifa yake zuchu mbaya kweli naiyo mnywele bas aaak
@@OmanOman-iu7jf mzuriiii
Utakua shoga ww
@@iammusic3404 mm mwamke mwezio lakini zuchu acha msihara m baya kweli sura nzito kweli kama zegèe
Basi kafirwe na baba yako Kama Una sura nzur mbona unadanga
Zuchu kama zuchu weweeeee ...
Don't worry my Son Zuchu
Son??
@@nice4really503 hujamsikia myangazaji akisema hivyo
Zuchu mrembo ila unakaa mkubwa mkubwa 😂😂
Mbona zuchu Mbaya Ivo😅😂😂
Kwenye vidéo nikazani kazuli Sana kumbe kama ebitoke tu 😅😂😂😂
Hahahah kumbe yupo ivyo
Mbona mkali tena hapo yuko real sio makeup
Kiazi wewe zaa wako umposti tuone
Utakua shoga
Km unaon si mzur hapo alvo
Kwenye uko wenu Kuna anayemfikia kwa uzuri we boya?😎
One love
Kweli Wasafi hawapoi Zuchu kiboko
I wanna know mbona nying jombaaaaaa
zuchu we mkali sana
You know
Hey
Mbona ni mbaya iv
Miwani ume haribu
Wcb washaaanza muharibu na miwani kubwa kubwa kma wolper 🏃♀️🏃♀️😂
😂
Wallahi tena 😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaha
😄😄😄😄
Mamiziki ya nn Sasa
Acheni ushamba sasa hilo limziki hapo la nini wakati sisi tunataka kumsikia
Kama unapenda tips za urembo asilia ama kupunguza uzito mpk kg 4.5 kwa week subscribe kwenye channel yangu
Duhh bila make up hauwezi kwenda sehemu yoyote mpaka upake make up
Uko vizur kwenye kujibu maswali
nimekubarriii
Ni yeye
wewe ulijaliwa, ila kuhusu Mavoko alikuwa mkali kwa kuimba, ila Mondi kamuuwia maisha 😏
Uswahili kingi
Tafuta maswali yako..mfatilie msanii msaniiii kunavitu kashaviongea
Iyo mizioi ya nn Sasa si angaliibtena imteview zenu
Bado tunataraji makubwa kutoka kwako
Bila makeup wakawaida kumbe hivi..
Kama ebitoke tu ana uzur wowte
@@evachriss5906 wivu au choyo
🌸
Mbona ka huyu demu wa ma pepe sana
Umeshakua blind fury. Sheria namba moja vaa miwani za sunglasses mpaka usiku. Tena hakikisha hata zikiwa kubwa na zimekuchusha weee vaa tuu. Masikini weee hujakaa sawa bado , umechanganyikiwa mpaka leo. Ziangalie hizi interview zako baada ya mwaka mmoja ikiwa uhai upo. Inaonekana mlihaha kweli maana bado hamjiamini. Ila mwambie mamaako apunguze jeuri bado mapema sana. Kaonyesha jeuri day one na maringo. Kisa nini hasa? Wewe afadhali uko chini ya miguu bado BOSI ,BOSI,BOSI. Jiamini sauti unayo , mama kakukabidhi kwa domo hana shaka hata likitokea basi ni poa tuu muhimu anayo ya GOLD.
Kwani unaugomvi na mama ake
@@asmanicolaus1328 no , na wewe
Utafirwa wew acha wivu
@@husseinremmy2834 kama unavyofirwa wewe au?
Nilimuomba mama akanitafutia band....Kama mama alivyomuomba Diamond akupe kiki bila kujua kuomba for sure unabebwa tu ila kaza may b utajua kuimba
Moris Collins ni wivu tu ndugu yangu
@@alonelyrics9061 wivu
Imba wewe
@@dulaxo77 afu zuchu Mbaya Ivo 😅😅😂 je suis un Tanzanien
Kunywa maji mengi alfu Relax utaacha roho mbaya
She is not zuchu huyu sio zuchuu
Bro you talk to much
Unaingia wcb uko no make up tutakushiba corona ikiisha.kumbuka ww nimtoto waki eslam
Ebu kapeleke maoni yako mabaya uko, Tutakushiba ama utamshiba ,? usiwaongeze wenzako , nkt
Kamshauri mamako au hauna dada ww wakumshauri?
Is this zuchu,mbona sielewi,ugly
She is beautiful she is not ugly because she is black many people think black is ugly she is beautiful and black is beautiful
She ain’t ugly.. be careful with what you say
No body ugly bro, duniani wote wa baba mmoja hivyo wote wazuri kwa mungu
Are u really not gay???
Go to hell bitch
zuchu kama zuchu