MBIO ZA CLIMATE CHANGE MARATHON 2024 KUTUMIKA KUIHAMASISHA JAMII KUTUMIA NISHATI SAFI/ZAMU YA TANGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Mbio za Marathoni ya Mabadiliko ya Tabianchi Tanzania 2024 zinafanyika kwa mwaka wa pili mfululizo ambapo mwaka jana mbio hizi zilifanyika mkoani Iringa na Mwaka huu zinafanyika mkoani Tanga zikiwa na lengo la kuihamasisha jamii kutunza mazingira.

Комментарии •