Pausetv
Pausetv
  • Видео 78
  • Просмотров 46 939

Видео

KISUKARI,KANSA NA FIGO SIO TATIZO TENA WAGONJWA KUPATIWA CELL MPYA KUPITIA DAWA ZA ASILI/REVOOBIT
Просмотров 157День назад
Kampuni ya Revoobit iliyopo Mwanza ambayo inapambana na magonjwa yasiyoambukiza kupitia Mkurugenzi wakr wa Utafiti na Maendeleo Profesa Mwenda wameanza kutoa matibabu kwa watu wenye matatizo ya Figo,Kisukari na Kansa na kupata matokeo ya kushangaza kwa wagonjwa waliotumia dawa zao za asili
MBIO ZA CLIMATE CHANGE MARATHON 2024 KUTUMIKA KUIHAMASISHA JAMII KUTUMIA NISHATI SAFI/ZAMU YA TANGA
Просмотров 3528 дней назад
Mbio za Marathoni ya Mabadiliko ya Tabianchi Tanzania 2024 zinafanyika kwa mwaka wa pili mfululizo ambapo mwaka jana mbio hizi zilifanyika mkoani Iringa na Mwaka huu zinafanyika mkoani Tanga zikiwa na lengo la kuihamasisha jamii kutunza mazingira.
WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM MWANZA NA SAFARI YAO YA KUIPIGANIA ELIMU
Просмотров 70Месяц назад
Credit:Haki Elimu @ortamisemi Katika milima ya jiji inayolizunguka jiji la Mwanza na mandhari ya kuvutia jijini Mwanza, watoto wenye ulemavu wanakabiliwa na safari ngumu ya kufika shuleni kwaajili ya kupata elimu.
MWANZA WAFANIKIWA KUIMARISHA USALAMA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU
Просмотров 328Месяц назад
@gwajimagwajima5035dr @wizaramnn_tanzania @ortamisemi Serikali ya mkoa wa Mwanza imefanikiwa kuimarisha usalama kwa watoto wenye ualbino pamoja na watoto wenye mahitaji maalumu kwa kuimarisha ulinzi katika vituo wanavyoishi
HIVI NDIVYO MASHIRIKA YA WATOTO MWANZA YANAVYOTATUA CHANGAMOTO ZA WATOTO/RAS ATOA NENO LA MALEZI
Просмотров 65Месяц назад
@drgwajimaonlinetv6166 @tecdentz @MtotoKwanza @wizaramnn_tanzania @kitengochamalalamikowizara910 yanayotekeleza afua za watoto mkoani Mwanza yamekutana kwa lengo la kujadili utekelezaji wa mashirika hayo katika kutatua changamoto za watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
MAUAJI NA UTEKAJWI WA WATOTO WANACHAMA WA THRDC KANDA YA ZIWA WATOA TAMKO/WATOA MAPENDEKEZO
Просмотров 79Месяц назад
@WATETEZITV @wizaramnn_tanzania @drgwajimaonlinetv6166 @tecdentz Wanachama 55 wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu THRDC wameitaka Serikali kuchukua hatua kwa wale wote wanaofanya vitendo vya Utekaji na Mauaji ya Watoto kwa kuwataka viongozi kuanzia ngazi zote kuwajibika ili kuwalinda watoto na watu wote na matukio haya.
MWANZA WAPONGEZWA UTEKELEZAJI WA PROGRAM YA MMMAM/WATENDAJI WAOMBWA KUTATUA CHANGAMOTO ZILIZOPO
Просмотров 59Месяц назад
@tecdentz @drgwajimaonlinetv6166 @tamisemagalhaes3844@or-tamisemim_zanzibar@ortamisemi *Meneja mradi Christopher Peter kutoka TECDEN amewataka watekelezaji wa program ya MMMAM wazingatie malengo muhimu matano ambayo yanaubeba mpango huu wa MMMAM *katibu tawala msaidizi wa mkoa wa Mwanza Daniel Machunda amewataka wazazi na walezi kuwa makini katika malezi yao kwa kuwa ujio wa teknolojia umechang...
CAMERA ILIYOJIFICHA: KUTANA NA BODA BODA MWENYE MAPENZI NA WATOTO
Просмотров 114Месяц назад
@drgwajimaonlinetv6166 @wizaramnn_tanzania @ortamisemi Boda Boda huyu anahakikisha watoto wanavuka barabara kwa usalama,ulinzi wa mtoto ni wajamii nzima pia
VIJANA WATAKIWA KUJIAJIRI KUPITIA SARAFU MTANDAO/MKURUGENZI WA MEME BANK ATOA SIRI YA KUFANIKIWA
Просмотров 2142 месяца назад
@wizarayahabariutamadunisan339 @ElimikaFastaTV Vijana mkoani Mwanza wametakiwa kutumia fursa ya mfumo wa fedha wa kidigitali kwaajili ya kujiajiri na kujiingizia kipato binafsi na cha taifa kwa ujumla.
WANAFUNZI WAJENGEWA UWEZO WA NAMNA YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI/ TDI KUTOA ELIMU
Просмотров 572 месяца назад
@togetther development initiative@drgwajimaonlinetv6166 @ortamisemi @jumata_tanzania Shirika la Together Development Initiative limeanza utekelezaji wa mradi wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabia Nchi kwa kuwajengea uwezo baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Nyamiluma iliyopo wilayani Magu mkoani Mwanza
MKURUGENZI MKUU WA TCRA: WAZALISHA MAUDHUI HAKIKISHENI MNAWALINDA WATOTO NA JAMII KWA UJUMLA
Просмотров 343 месяца назад
@tcra_tanzania @wizarayahabariutamadunisan339 @watotowetutv751 @watoto MKURUGENZI MKUU WA TCRA DR JABIRI BAKARI AMEWATAKA WAANDISHI WA HABARI NA WATOA HUDUMA KUZINGATIA MAADILI ,KANUNI NA SHERIA ZA KUTOA HUDUMA KWANI INAMCHANGO MKUBWA WA KUIJENGA JAMII NA KUILETEA MAENDELEO LAKINI INAWEZA KULETA MADHARA MAKUBWA HASA KWA WATOTO
KAMISHINA JENERALI:HII NDIO MIPANGO YA JESHI LA MAGEREZA UPANDE WA KILIMO NA SUALA LA WEREDI
Просмотров 1153 месяца назад
@jeshilamagereza @kilimopesa27 @kilimobiasharakinalipa8062 @kilimotv1730 Jeshi la Magereza nchini limesema katika msimu ujao wa kilimo limejipanga kuzalisha mazao ya muhimu kwa asilimia isiopungua 100 ya mahitaji ya jeshi la magereza na ziada itakayopatikana itapelekwa kwenye vyuo na sekondari za serikali.
MWANZA NA JITIHADA ZA KUPAMBANA NA MAGONJWA YA WATOTO/KAMPENI MBALIMBALI ZATUMIKA
Просмотров 894 месяца назад
@DDDDani1@rafikidunia2144 @wizarayaafyatanzania458 @bugandohospitaltv9470 “Kwa mwaka 2009 watoto 50 waligundulika na saratani na Ufanisi wa kuwatibu ulikuwa chini ya asilimia 20 zaidi ya watoto 35 walikuwa wakifariki lakini kufikia mwaka 2023 watoto 300 waligundulika kuwa na saratani na ufafanisi wa matibabu umefikia zaidi ya asilimia 50 kwa hiyo kuna maendeleo mazuri”.
UZAZI WA MPANGO HAUNA UHUSIANO NA MTOTO KUZALIWA AKIWA NA KASORO/VIJANA KUPEWA ELIMU YA UZAZI
Просмотров 1624 месяца назад
Zaidi ya asilimia 95 ya vifo vya uzazi vinavyotokea katika nchi zinazoendelea viinasababishwa na ukosefu wa taarifa ya afya ya uzazi na ukosefu wa huduma bora wakati wa kujifungua hususani kwa vijana huku taarifa zikisema vijana wengi nchini wanakutwa na magonjwa ya afya na akili na mwili pale wanapopatwa na magonjwa ya zinaa,mimba za utotoni pamoja na mimba zisizotarajiwa.
CHANZO CHA WATOTO KUSHINDWA KUJISIMAMIA CHATAJWA/WADAU WAPENDEKEZA ELIMU YA STADI ZA MAISHA
Просмотров 464 месяца назад
CHANZO CHA WATOTO KUSHINDWA KUJISIMAMIA CHATAJWA/WADAU WAPENDEKEZA ELIMU YA STADI ZA MAISHA
ASILIMIA 80 YA WATOTO MWANZA HUFANYWISHWA KAZI ZA NYUMBANI/DC ASEMA DADA WA KAZI NI MLEZI NAMBA 1
Просмотров 975 месяцев назад
ASILIMIA 80 YA WATOTO MWANZA HUFANYWISHWA KAZI ZA NYUMBANI/DC ASEMA DADA WA KAZI NI MLEZI NAMBA 1
ASILIMIA KUBWA YA WATOTO WA MTAANI WALIOPO MWANZA WANATOKA GEITA/DC NYAMAGANA KUJA NA MKAKATI
Просмотров 795 месяцев назад
ASILIMIA KUBWA YA WATOTO WA MTAANI WALIOPO MWANZA WANATOKA GEITA/DC NYAMAGANA KUJA NA MKAKATI
SIMULIZI: MGANGA WA TIBA ASILI "NILIAMBUKIZWA UGONJWA WAKATI NAMUAGUA MTEJA WANGU"
Просмотров 915 месяцев назад
SIMULIZI: MGANGA WA TIBA ASILI "NILIAMBUKIZWA UGONJWA WAKATI NAMUAGUA MTEJA WANGU"
HIZI NDIO SABABU ZA KWANINI MTOTO ANAYENYONYA MAZIWA YA MAMA MWENYE VVU HAPATI MAAMBUKIZI
Просмотров 1945 месяцев назад
HIZI NDIO SABABU ZA KWANINI MTOTO ANAYENYONYA MAZIWA YA MAMA MWENYE VVU HAPATI MAAMBUKIZI
SEKTA ZINAZOHUDUMIA WATOTO ZATAKIWA KUUNGANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATOTO
Просмотров 545 месяцев назад
SEKTA ZINAZOHUDUMIA WATOTO ZATAKIWA KUUNGANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATOTO
VIONGOZI WA DINI NA WATIBA ASILI WAPEWA JUKUMU LA KUTOA ELIMU YA VVU NA UKIMWI/ WENYWE WAKUBALI
Просмотров 905 месяцев назад
VIONGOZI WA DINI NA WATIBA ASILI WAPEWA JUKUMU LA KUTOA ELIMU YA VVU NA UKIMWI/ WENYWE WAKUBALI
MAKUNDI YALIYOPO HATARINI KUPATWA NA VVU KUPATIWA ELIMU/MRADI WA DWWT KUSAIDIA WILAYA TATU ZA MWANZA
Просмотров 605 месяцев назад
MAKUNDI YALIYOPO HATARINI KUPATWA NA VVU KUPATIWA ELIMU/MRADI WA DWWT KUSAIDIA WILAYA TATU ZA MWANZA
SAUTI YA WANAWAKE UKEREWE NA WADADA WATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA WANAFUNZI WA MIPANGO MWANZA
Просмотров 706 месяцев назад
SAUTI YA WANAWAKE UKEREWE NA WADADA WATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA WANAFUNZI WA MIPANGO MWANZA
TECEC YAWAHIMIZA WAZAZI KUWEKEZA KWA WATOTO WA UMRI WA MWAKA 0-8/ UMRI HUO HUAMUA MTOTO AWE NANI
Просмотров 1256 месяцев назад
TECEC YAWAHIMIZA WAZAZI KUWEKEZA KWA WATOTO WA UMRI WA MWAKA 0-8/ UMRI HUO HUAMUA MTOTO AWE NANI
UMUHIMU WA UCHANGAMSHI NA UJIFUNZAJI KUPITIA ZANA KWA WATOTO/WAZAZI WAPEWA ELIMU UTENGENEZAJI ZANA
Просмотров 956 месяцев назад
UMUHIMU WA UCHANGAMSHI NA UJIFUNZAJI KUPITIA ZANA KWA WATOTO/WAZAZI WAPEWA ELIMU UTENGENEZAJI ZANA
UZINDUZI WA PJT-MMMAM SENGEREMA: PAMOJA NA KUONGOZA KWA KUZAA KILA MTOTO APATE MAHITAJI YAKE MUHIMU
Просмотров 686 месяцев назад
UZINDUZI WA PJT-MMMAM SENGEREMA: PAMOJA NA KUONGOZA KWA KUZAA KILA MTOTO APATE MAHITAJI YAKE MUHIMU
UZINDUZI PJT-MMMAM BUCHOSA WATUMISHI WAJAWA NA MATUMAINI MAKUBWA YA KUWASAIDIA WATOTO NA WAZAZI
Просмотров 346 месяцев назад
UZINDUZI PJT-MMMAM BUCHOSA WATUMISHI WAJAWA NA MATUMAINI MAKUBWA YA KUWASAIDIA WATOTO NA WAZAZI
SIMULIZI: UZINDUZI WA PJT-MMMAM HALMASHAURI YA MAGU/DC AZITAKA IDARA HUSIKA ZITEKELEZE KWA VITENDO
Просмотров 1037 месяцев назад
SIMULIZI: UZINDUZI WA PJT-MMMAM HALMASHAURI YA MAGU/DC AZITAKA IDARA HUSIKA ZITEKELEZE KWA VITENDO
MAKALA: MAKTABA YA WATOTO YA HOSPITALI YA SEKOU TOURE YAWAVUTIA WATOTO NA WAZAZI WANAOPATA MATIBABU
Просмотров 2547 месяцев назад
MAKALA: MAKTABA YA WATOTO YA HOSPITALI YA SEKOU TOURE YAWAVUTIA WATOTO NA WAZAZI WANAOPATA MATIBABU

Комментарии

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 6 дней назад

    Hakuna acha ayanywe yanayo mtairi kunywa kama avyo watakia wengine mabaya nae yamkute zaidi yahayo.

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 6 дней назад

    Ooo musiba pokea vidonge vyako.utibiwe loho mabaya

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 15 дней назад

    mhnnn

  • @HuseniMsumba
    @HuseniMsumba Месяц назад

    BADILISHENI HUDUMA ZENU HAO WAGONJWA WANAPOKWENDA KUCHUKUA DAWA WACHANGANYWE NA WAGONJWA WENGINE WANAPO INGIA KWA DAKTARI AENDE KAMA MGONJWA MWINGINE KUWATENGA KWENYE JENGO WANAONA WATAJULIKANA,

  • @benarcson-rc5iq
    @benarcson-rc5iq 2 месяца назад

    Nakula maokoto mdg mdg tu na meme bank,,, 😊😊🏊🏊

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww 3 месяца назад

    Umekaa.muda.mrefu.kwa.ajli.ya.imani

  • @ElizabethNdalahwa
    @ElizabethNdalahwa 3 месяца назад

    Waache kuona aibu waenda kwa tr msigwa wapone

  • @ElishaMwita-v2z
    @ElishaMwita-v2z 5 месяцев назад

    Msiba Kiko wapi Sasa

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 5 месяцев назад

    🙏🙏🙏🙏❤️

  • @MkJj-m7g
    @MkJj-m7g 5 месяцев назад

    Umeshalipa fidia ya membe?

  • @AminaMfinanga-nu6jl
    @AminaMfinanga-nu6jl 6 месяцев назад

    Hongera sana

  • @BernadetaNayingo
    @BernadetaNayingo 6 месяцев назад

    Safi sana rafiki yangu Nyanjige Nkwabi, Hongeraaa Sana.Kibondo 2002 ❤❤❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 месяцев назад

    Ninakuheshimu sa n a Msiba

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 8 месяцев назад

    Ubarikiwe Msi b a🎉

  • @user-ih5zj1kf7t
    @user-ih5zj1kf7t 10 месяцев назад

    Sebastian nakuona ukishusha nondo utafika mbali mtaalam

  • @user-ih5zj1kf7t
    @user-ih5zj1kf7t 10 месяцев назад

    Imekaa vzuri

  • @gracejoel354
    @gracejoel354 10 месяцев назад

    Mungu hakupe maisha marefu

  • @zulfahussein6356
    @zulfahussein6356 11 месяцев назад

    Hii ni nzuri sana Mungu awabariki

  • @happinessgozbert-kn5mn
    @happinessgozbert-kn5mn Год назад

    Naomba namba yako ili tuzungumze

  • @dianarichard1506
    @dianarichard1506 Год назад

    Mudogoang umependeza sanaaaa saivi

  • @pascalheri3009
    @pascalheri3009 Год назад

    Nakuombea mungu azidi kukupa maisha marefu na yabaraka ,,,dadangu 🙏🙏🙏 nakupenda sana from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bahatigeorge6155
    @bahatigeorge6155 Год назад

    Mambo mrembo mungu ni mwem san ahakika atakupa nguvu

  • @mwakilamwaki7308
    @mwakilamwaki7308 Год назад

    Jamani naombeni namba ya uyo dada

  • @mwakilamwaki7308
    @mwakilamwaki7308 Год назад

    Naombeni namba za uyu dada Jami we mwandishi nipe namba ya uyo dada

  • @robertmgogosi8448
    @robertmgogosi8448 2 года назад

    Mungu akubaliki dada..

  • @robbemanase9051
    @robbemanase9051 2 года назад

    Ila je, ali date huyo huyo au huko shuleni pia ali date wengine , waandaaji wa suala kufanya mapenzi sio wengi wan alijua , wangapi walikua hatarini au wame sha patwa na maambukizi?

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 года назад

    Asante mwandishi,kumtafuta na kumtia moyo,

  • @patriciasimon8039
    @patriciasimon8039 2 года назад

    Mauaji mwanza

  • @chikusaid52
    @chikusaid52 2 года назад

    Nimekupenda Sana mdogo wangu, mungu akujalie upate na watoto

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 2 года назад

    Yani wanaume kuwakataa yy tu

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 2 года назад

    Alivo mrembooo Sasa

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 2 года назад

    Kuna watu wana maambukizi ya ukimwi lakini hawajaamua kuanza kutumia dawa lakini wanaenda hospitali kuangalia afya zao kila mara

  • @annethsongwe6063
    @annethsongwe6063 2 года назад

    Mzuri mwenyewe😘😘

  • @kuluthummmetisha4630
    @kuluthummmetisha4630 2 года назад

    ruclips.net/video/-U1wytdW8xY/видео.html

  • @winniefrida3218
    @winniefrida3218 2 года назад

    Dr Tony mambo upooo?

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 2 года назад

    Kalamuyetu, uandishi ni upelelezi, Askofu akifanya aliijituma na akasifiwa vya kutosha, siku akikengeuka ule ukengeufu hufunika yoote aliofanya, usilazimishe watu wapende wasichotaka. Inawezekana ukapenda wimbo, chakula fulani, na ukasifia, wengine wakakuona eidha mwehu , ndo maana hata leo ukienda baa utakuta watu wanakunywa vinywaji tofauti tofauti,

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    UBALIKIWE SANA KAKA DAAA

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    MUNGU AKUSIMAMIE BROTHER. NA AKUANGAZIE KWA MOYO HUO

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 2 года назад

    Yaani ujinga uliokukaa kwa kufanya lolote ili umjengee mama yako ulienda kufeli kabisa .. kutengeneza uadui na watu wote ili tu wewe upate ..ni loooose

  • @omaryrashid4675
    @omaryrashid4675 2 года назад

    Huyu ni culterlist hamna mtu hapo mpenda sifa

  • @petermachambile3149
    @petermachambile3149 2 года назад

    Musiba nakukubali siku zote,ulijitoa sana kum-support jpm,mm nashangaa sana,baadhi ya watu wanaokushambulia wewe wanamuunga mkono jpm sasa tuwaiteje?,wewe ni mtu safi sana kwa ustawi wa nchi yetu,hata km unachokifanya kinalenga maslah binafs lakn angalau mm naona kinatutia matumain kuwa unaweza kuwa kiongoz wa watu km jpm

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 года назад

    Lilisha feli vibaya sana maskini wa mungu! Mtumishi gani anastaafu akiwa na miaka kumi na tano? Miaka kumi na tano ni mtoto bado hata la saba hazamaliza, Lione! Haya yoote ni baada ya Mungu wake kufariki!

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 2 года назад

    Unadanganya eti kumusemea raisi wewe ni nani kwanza

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 2 года назад

    Wewe ni mjinga kabisa tena wewe utaendelea kupata tabu sana unajinasifu tu eti mwanaharakati huru ,ulijipendekeza ili akupe kacheo

    • @danieljoseph1610
      @danieljoseph1610 2 года назад

      Fala sana huyu jamaa! Analia amejenga kijijini lakini wazazi wake hawapo, Kwa nini hakuwajengea bado wakiwa hai? Lijinga sana!

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 2 года назад

    Kumbe ndio sababu kwenye serikali iliyipita ya mwendazake mlikuwa mnasaport watu wenye mawazo tofauti na nyie wauliwe na kupotezwa ili mbaki nyie sasa kimeumana

  • @yusuphbura950
    @yusuphbura950 2 года назад

    Hakuwa mwanaharakati alikuwa anatumika kutetea uendawazimu

  • @kuluthummmetisha4630
    @kuluthummmetisha4630 2 года назад

    ruclips.net/video/tnoay1AgYbI/видео.html

  • @evaemil856
    @evaemil856 2 года назад

    Fisadi, mla rushwa na mwizi akinyongwa hadharani then nani atakuwa wa kwanza kunyongwa? Tutakuwa na viongozi gani? Ebu tusiende huko kabisa...

  • @evaemil856
    @evaemil856 2 года назад

    Hii clip ni nzuri sana aisee Musiba umejitolea sana sasa inakuwaje hao viongozi wanakuwa hawawezi kusaidia hizo shule? Inakuwaje hao viongozi wa serikali na wabunge hawafanyi mema walikotoka? Kwa nini haya makabila hawalearn kutoka kwa wachaga? Wachaga wanajitolea sana na pia makanisa na waumini wao wanajitolea sana. Naomba mazuri tucopy na sisi kujitolea zaidi.

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 2 года назад

    Mungu.awabaliki.sana.