Da shena Asante Kwa kutuletea watu wanatupa idea nzuri sana ila pia nilikuwa naomba ututafutie fursa za nchi zenye free visa ili tuanzie huko af pia ututafutie watanzania walioko Brazil pia naona wako na fursa sana za kazi ubunifu tukipata watu itatusaidia kutusanua vip tupite na tufikie ndoto jmn nakuomba dada angu please
black singapore ananfunguka vizuri sana, dada umetisha sana kwa platform nzuri ya kutuelimisha ila basi tuwe na platform ya kutujumuisha na sisi tuliopo nyumbani ili tuweze kushirikishana fursa za namna ya kufika huko.
Hi darling, where can I find the link for the interview that you did with Tanzanian lady who is married to a Spanish man living in Barcelona?. A friend of mine is insisted in watching it and learning something from it but she can't find it on you videos
Sio wanawaogopa ni lugha...na alafu wanaigeria ni wezi waliobobea katika mapenzi...ndo mana South afrika wanaigeria hawapendwi wanawatapeli sana wadada
asante sana dada angu kwa kutukutanisha na huyo ndugu yetu kikubwa naomba namba yake atupatie account zake tuzidi kujulishana mengi ntashukuru sana nataka kwenda kusoma marekani nina mengi ya kuzungumza na kaka angu
Habari dada napenda chanel yako, unavyo wahoji wenzetu wakiofanikuwa kutangulia huko, so for me naomba connections Ili nieze kuja huko America Ili nieze kuja kupanbania maisha tafadhali sana dada
Instagram ya black Singapore ni @blacksingapore
Hi
Hi
Je mimi nina elimu ya dalasa lasaba 2 naweza nikapata kazi
Namukubali sana mutoto wa singida na wewe dada enderea kutupa madini watu wa timeze ndoto mungu awabaliki asanteni💪💪🙏🙏🇹🇿🇹🇿
Nakuwa wakwanza naomba like 😂
👍👍
Da shena Asante Kwa kutuletea watu wanatupa idea nzuri sana ila pia nilikuwa naomba ututafutie fursa za nchi zenye free visa ili tuanzie huko af pia ututafutie watanzania walioko Brazil pia naona wako na fursa sana za kazi ubunifu tukipata watu itatusaidia kutusanua vip tupite na tufikie ndoto jmn nakuomba dada angu please
black singapore ananfunguka vizuri sana, dada umetisha sana kwa platform nzuri ya kutuelimisha ila basi tuwe na platform ya kutujumuisha na sisi tuliopo nyumbani ili tuweze kushirikishana fursa za namna ya kufika huko.
Seriously jmn
Duh Kaka umeongea ukweli mtupu na umeshauri vijana wenzako vizuri wenye masikio wakusikie!!!!!
Asante kwa elimu nzuri kaka, kwahiyo ujumbe muhimu ni SOMENI na TONGOZENI 😂🎉
Hi darling, where can I find the link for the interview that you did with Tanzanian lady who is married to a Spanish man living in Barcelona?. A friend of mine is insisted in watching it and learning something from it but she can't find it on you videos
will you please send the us the link as you explained thanks in advance
Black Singapore Tz mwanangu naangaika na dating ili nivuke states
Sio wanawaogopa ni lugha...na alafu wanaigeria ni wezi waliobobea katika mapenzi...ndo mana South afrika wanaigeria hawapendwi wanawatapeli sana wadada
@lylm4147 tafuta namna ya kufanya tuje kujifunza mimi ntakuwa mwanafunzi wako namba moja
asante sana dada angu kwa kutukutanisha na huyo ndugu yetu kikubwa naomba namba yake atupatie account zake tuzidi kujulishana mengi ntashukuru sana nataka kwenda kusoma marekani nina mengi ya kuzungumza na kaka angu
Sister nashauri hiyo bantu uweke Link hapa kila mtu angie moja kwa moja
Hizo website au hao maagents angewataja
Safi Sana Shena,kazi nzuri sana,kutupa michongo ndugu zako
😂😂 mana atali sana
❤❤❤❤❤❤
Mie nimempenda kaka yetu atupe dili sasa zakuja huko
Fanya chaou shena ,tusikiliza huyu kaka anayefanya shambani pls pls haraka tumecuoka sana hii Tz .
Habari zenu.jamani naomba mniunganishie mimi kazi za mashambani paspot ninayo niko tayari kwa safari mda wowote mnisaidie
Da shena, naoomba Link ya kaka , kuusu kazi za mashamba marekani.
Naomba link mpendwa
Ni yule yule kijana mwenzako from Zanzibar kaka nishike mkono pia ndoto yangu ilikua kuishi uko
Yaaan kwa maelezo yako inaonesha kila sampli umepitia😂😂
Broo naomba hiyo link
Naomba namba Yako boss
Naomba namba yako pia
Dada .nakufuatilia sana mi mama na familia yangu tupo south Africa sasa naomba no ya daJasimin wa German🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Habari dada napenda chanel yako, unavyo wahoji wenzetu wakiofanikuwa kutangulia huko, so for me naomba connections Ili nieze kuja huko America Ili nieze kuja kupanbania maisha tafadhali sana dada
Asante sana dada kwa madini
Leo nimewahi ama?
Dada mimi naishi marekani naomba kaka yetu anisaidiye na number yake .kwa ajili ya ku usiyana naye i am interested.
Duh apo kweli wadada wengi wapo kwa ajili ya kitu flni....... Ila apo kwenye wivu ndio penyewe jmni mtu ambae hna wivu n wew hkupnd bhna
Dada Asante kwa kutuleteya uyu kaka .na mimi katakana link ya iyo kazi kaka yangu
Nimependa
Madini yakutosha kaka💐
Good Job Guys.
Kutoka mabwepande bunju b police department daresalam Tanzania Africa nakupata live I nifike hapo ulipo
Shukran kaka,nakupata vema 😁🙏
Dada namimi nataka kaz huko je naipataje
Naomba Link hiyo ndugu yangu
Please help me interested
tunaomba tuwekee hiyo link hapa
Hi Shena hope uko poa naomba niunganishe na huyo kaka tafadhali.
Nicheki
@@jovovichmedia9424bro
Habari dadaangu naweza kupata njia yaku mpata bwana black mana haja toa datels anapatikana vp ,?
Ww tupe namba
Shena tuletee Rukia Laltia
😂😂Maji mama yanii😂😂
Dada uyoo
Webongo ukiwambia kuhusu kazi km hivyo wanakwambia kuibiwa . Hawaamini. Km ni za ukweli .
Mbona hamtujibu Jamani kwenye message
Majina anayotumia mitandao ya kijamii huyo kaka
Kaka tu saidiye na number yako
Shena tunawasiloanaje na huyu mdogo wetu tunataka kwenda hatujui cha kufanya jamani, jibu msg basi shena pls
Kweli
Mcheck Instagram yake black Singapore
TUNASHUKURU SANA DADA SHENA@@OfficialDatingAssistance
@@OfficialDatingAssistanceWhatsapp number yake naiomba pliz
Viza ya mwaka mzima ipoje
Shena niko Columbus Ohio naomba niunganishe na huyu msingampore
Instagram yake ni black Singapore utampata
Nipe link na number yako mjomba
Dada mm natafuta kazi marekani.nina paspoti kabisa nafanyaje dadaangu
nahitaji kazi,hiyo ya matunda
Nimfrah apo ety nipack gar langu
Je ndugu niajent gani wa huwa kika asie tapeli watanzania mtaje tujue
Kumbe Bora Nije. Kudeit na mzungu hahah wabongo tuache woga
Ujui kingereza 😅😅😅😅😅😅😅
Hizo za kujitolea nazitaka
Mimi nataka kazi ya shambani jamani msaada
Hello Sheba
Unge pin link ya msingapore tuweze ku follow
Ipo kwa Description hapo
Hello Sheba tafa zali ambiya kaka yetu atupe number yake.
Asalaam Aleykhum. Naomba mawasiliano ya huyo jamaa. Ramadhani Kareem.
Black Singapore
TUNASHUKURU SANA KAKAYETU PIA TUMEFURAHI KUKUONA TENA
Mamb vp natafut Kaz ichi yaij
Tupe number
black singapoli punguza spead ya kuongea hili watu waelewe
Tunaomba huyu kaka atupe username yake tuweze kumdm
Black Singapore
Whatsapp number ya huyu kijana naiomba tuyajenge.
@@OfficialDatingAssistanceblack Singapore
China hakuna freedom , human rights and democracy ndio maana
Kaka katoa madeni yakutongozesha😂😂
😁
Whatsapp number ya huyu kaka naiomba tuyajenge.