NI KWELI NAKUELEWA SANA, NI WEWE ULIYETAKIWA KUUWAWA NA MTU MMOJA HIVI, NI WEWE ULIYEPIGWA SHOTI HADI UKAWA KWENYE WILI CHEA, LAKINI ULIPAMBANA HADI LEO TUNAKUONA WEWE NA HATIMA YAKO INAENDELEA. NAKUPENDA SANA HUWA UNANICHALENJI SANA BABA ASKOF
Baba umekuwa baraka toka mbinguni kwangu. Naomba uweke mtafsiri kwa ajili ya viziwi ili na wao wabarikiwe na kufunguliwa. Na ikiwezekana, naona ni vema mama Grâce, past Baraka, pst Amosi na yule past mwingine nimesahau jina lake, viti vyawo viwe pande ya kuliya ao kushoto ya mazabawu ili wawe wanakutizama vizuri. Usikilivu mwema.
Samahani, hivi hii rudisha tv inapatikana kwenye king'amuzi gani? Maana humu bado sina na napenda kufuatilia mafundiso kila siku, kama hamjaweka king'amuzini wekeni ili twende sawa.
Enda kwa lipa na mpesa paybill weka 255255 alafu account namba utaweka namba ya kutuma sadaka ya bishop ukianza na 255 usiweke + safaricom itakuletea msg
Mama Bishop, mke wa mtumishi Bishop Gwajima, Mungu akubariki sana, wewe ni mlezi mzuri
Bwana akuzidishiye mchungaji wetu gwajima, stay blessed forever
Amen Amen Baba.
Amen baba
Ameen MTUMISHI wa Mungu! Namwonea vivu sana mke wako!! Mungu amekupatia Mume mwema na mwenye akili ya Mungu!
Ameen Ameen baba na mama Mungu awape miali mingi
Amen from
NI KWELI NAKUELEWA SANA,
NI WEWE ULIYETAKIWA KUUWAWA NA MTU MMOJA HIVI, NI WEWE ULIYEPIGWA SHOTI HADI UKAWA KWENYE WILI CHEA,
LAKINI ULIPAMBANA HADI LEO TUNAKUONA WEWE NA HATIMA YAKO INAENDELEA.
NAKUPENDA SANA HUWA UNANICHALENJI SANA BABA ASKOF
Mungu mwema siku zote, nafarijika sana, jina la bwana lipewe sifa
Chuma katika kutimiza wajibu wake duniani
AMINAAAA KUBWAAA BABA 🙏🙏🙏
Amen amen amen!! nimevuka kwenda kwenye hatima yangu na hakuna atakayezuia tena! Halelujah!!
Amina babaa
AMINA AMINA AMINA
Mama yuko very humble,Nampenda sana
Ameni 🙏
Hallelujah
Very true Bishop
Mtumishi samahn naomba namba zako za cm naitaji mawasiliano na wew
Neno hili nilangu
Mungu akubariki na aendelee kukutumia apendavyo kutuletea ujumbe kutoka mbinguni
Amina
Amen amen
Amina 🙏 Umebarikiwa mtu wa MUNGU
Ilove baba
Amen, amen amen
Amina Mchungaji
Inakja next
Ameen baba ni kweli wangu wamejipanga watu Wayne kwa wake wanasema hawatalala hadi wanimalize hapa Saudia
Kisa nliomba kwao Mungu zao zikatawanyika.
Baba umekuwa baraka toka mbinguni kwangu. Naomba uweke mtafsiri kwa ajili ya viziwi ili na wao wabarikiwe na kufunguliwa. Na ikiwezekana, naona ni vema mama Grâce, past Baraka, pst Amosi na yule past mwingine nimesahau jina lake, viti vyawo viwe pande ya kuliya ao kushoto ya mazabawu ili wawe wanakutizama vizuri. Usikilivu mwema.
Amen 🙏
amen
Ameniiii my babaa ninapokeaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
So powerful sermon
Samahani, hivi hii rudisha tv inapatikana kwenye king'amuzi gani? Maana humu bado sina na napenda kufuatilia mafundiso kila siku, kama hamjaweka king'amuzini wekeni ili twende sawa.
Ubarikiwe baba.
Amen 🔥🔥
Nataka kuja ufufuo na uzima nitafikaje maana sipajui
Asante sana MTUMISHI wa MUNGU wa kweli
Amen baba kibaha kwa mathias tunakupenda
Ameeen dady
Saa zingine baba askofu unajua kuact kweli wasio na watoto watajua wenyewe
Ninaomba fundi mitambo atusaidie kuyapata mahubiri live Mungu atusaidie kuifikia hatima zetu kabla ya kuhamishwa ktk maisha haya.
Amen baba 🙏🌹
Amee
Mtumishi kamutamburishe mungu bungeni
Amen nimepokea kwa jina la Yesu sijui kutuma sadaka na number ya kenya help us
Our number is +254 urs +255 sending thru mpesa how do we do it
Enda kwa lipa na mpesa paybill weka 255255 alafu account namba utaweka namba ya kutuma sadaka ya bishop ukianza na 255 usiweke + safaricom itakuletea msg
Asante
Nice
Amen
Miye amikuwaka musukire
Ef
Amen Amen Amen.
Amen
Amen amen
Amen amen amen
Amen
Amen