LAMU DIARIES 2019 | KOFIA ZA VITO/LAMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2019
  • AL IHSAAN FOUNDATION BRINGS TO YOU LAMU DIARIES. PLEASE LIKE | SHARE | SUBSCRIBE
    LAMU DIARIES 2019 | KOFIA ZA VITO | WITH ENGLISH SUBTITLE
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 24

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan4956 4 года назад +2

    Ustadh musa ismail huyu alikuwa mwalimu wangu kitambo toka mwaka 2008 hadi kuhitimu madrasa tul munawarrah iliyoko majengo mombasa tulikuwa tunaheshimiana kama mtu na kakake mkubwa mwalimu alikuwa mpenda wanafunzi wake kweli alikuwa hapendi kuchapa wanafunzi wake hata kama ulisahau kufanya kazi ya nyumbani siku ya pili anakupa mda umalize darasani MashaAllah mm nilimpenda na mpaka leo sijui ntampataje huyu ustadh

  • @khadijahkhdoo6387
    @khadijahkhdoo6387 5 лет назад +5

    Love u home sweet home, nimeshashona kofia bt sai Niko kazini Iraq.Lamu Hoiyyyeeeeee

  • @user-id9wj8qz4c
    @user-id9wj8qz4c 4 года назад +3

    Shukran sana nimepata kujua baadhi ya majina ya kofia @al_ihsanfoundation

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +1

    Lamu na utamaduni wake ajaab,nakupenda amu nyumbani kutoka qatar

  • @AhmedAhmed-yo1xf
    @AhmedAhmed-yo1xf 3 года назад +2

    Mashallah

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 года назад +2

    Like zanzibar

  • @ismailsomobwana6161
    @ismailsomobwana6161 11 месяцев назад

    Ama ukihitajia mishadhari ama ukiwa na suala lolotte kuhusu kofia za Lamu basi waeza kutuuliza, Tawakkal kofia shop tuko tayari kukueleza

  • @franklinrosevelt758
    @franklinrosevelt758 5 лет назад +2

    masha alllah islam lamu

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 4 года назад

    Yesss history yenu lazima zanzibar itajwe ndoilivyoo ilivyo

  • @aishaabdalla4244
    @aishaabdalla4244 2 года назад

    Mashallah.... alhamdulillah.

  • @attoumanixtffyiadinanibaco7752
    @attoumanixtffyiadinanibaco7752 2 года назад

    Moiidi

  • @usongoali9201
    @usongoali9201 5 лет назад +1

    Mashallah sweet Home

  • @IslamSufism385
    @IslamSufism385 5 лет назад +2

    MaashaAllah

  • @Msambweni
    @Msambweni 3 года назад

    MashAllah

  • @hudhud2022
    @hudhud2022 5 лет назад +2

    Hunikumbusha mbali moyoni huingiwa na mayondhi kiona kwetu

    • @algulandaalsibani265
      @algulandaalsibani265 4 года назад

      Na mm naumia lakini sikujui kabisa nafarijika nikiona lamu ndiko alikotoka baba yangu huko nikiangalia sura yangu na hwa watu sura kopraity jamani

  • @Msambweni
    @Msambweni 3 года назад

    Historia yetu waSwahili

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 3 года назад

    🌴❤️🌴

  • @timaanwar7825
    @timaanwar7825 Год назад

    Aslm aleikm kiukweli tunaoshona hatufaidiki kma wanavyo faidika third party. Cz mtu ashone apewe 8k den mweneye ataichkua akaiuze 25 na zaidi. Musitunyanyase kiac hivyo jaman kaz yunayoifanya nikubwa kulko wenye tú kuchkuua kuuza

  • @abdulazizahmed1042
    @abdulazizahmed1042 5 лет назад +1

    Ma sha ALLAH

  • @Athman151
    @Athman151 4 года назад

    Msomaji nni

  • @munyesdavid3067
    @munyesdavid3067 Год назад

    Naomba kuuliza, mtu yeyote asiye muislamu anaruhusiwa kuvaa hiyo kofia na kanzu? Ninapendezwa sana na hayo mavazi.. mimi niko kwa dini la wakristo,lakini niko na kibarua Kiwayuu