Familia moja Nakuru yalilia haki baada ya jamaa yao kufariki punde baada ya kuachiliwa na polisi
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Idara ya polisi mjini Nakuru imetiwa lawamani na familia ya mtu mmoja aliyefariki punde alipoachiliwa na kufikishwa hospitalini na maafisa wa polisi kwa matibabu. Mtu huyo alikuwa amezuiliwa na polisi kwa kukiuka kuvalia maski alipokuwa katika shughuli zake mapema mwezi huu. Upasuaji wa maiti umeonyesha kuwa Peter Kamau alikuwa na jeraha lililosababishwa na silaha butu.
Ifikapo siku ya kiama kunao watakao lia zaidi kuliko wengine,,God is really watching
Kazi ya police imelaniwa
Haki si uongo,
😂😂😂😂
Poleni sana police jamani bona hamna huruma kwa wenzenu
Mungu tu ndie ajuae poleni Sana
Alipigwa rungu na askari
Police mungu anawaona 😢😢
Mm siwezi shauri mtoto wangu awe police kenya Mola awaepushie hii kazi ina lana huku kenya...💔💔
Haki si uongo, kazi ya police haina radthaa.Kila siku maneno maneno
Some policeman are good.. they have humanity
Woi uhai umetokana na mask tu woi
Polisi ni serial criminals!!
So sad 🥺🥺🥺
Police majabazi watu bure kabisa
Poleni lakini itaisha hivo to stay in county without justice is very harder
Mr kinoti come hapa ukatae si polisi
Huyo inspector amemuwakilisha akasema
Police walimpeleka kama wasamaria wema😂😂😂
@@lilylilian8729 kesho watakataa si unawajua wakora
Mandamano kinoti must go 👈 ameshindwa na kazi yake kuzimamia usalama wa inchi 👈 kinoti must go 👈
Hello
Mapolisi wali mkill
Roga mtu akule nyasi akuna justice hii Kenya
Let GOD....
Police wanaua wanaume wanaume wanaua wanawake 😥
To be honest Kenya Police need proper scrutiny by an independent body right from the I.G downwards. Thorough investigation is necessary, an example like Kinei's death ,firearms handling and alot more. People like DCI are proper lies custodians
Wont solve anything since the problems in police are inherent right from recruitment to training. Entry to police is like D, once recruited they are just trained to handled firearms and beat pple, i doubt even many in the force knows about law especially bill of rights.
Mwenyewe anabangaiza kwaajili ya familia yake wewe unamueka ndani sasa kama hana mask na umeueka ndani nani akulipe na uko nae ndani. Sahii amekufa familia yalia hapo kunafaida gani mmepata. Officers hio yenu ni njaa mnaumuza wanyonge simjui huyo aliekufa ila inaniuma sana sana sana 😭😭😭😭
Hii kenya Mimi naogopa mambo najionea na macho, may he rest in peace
Malipo ni duniani tu....Mungu yupo😢😢😢
Mr kinoti kuja uniabie ka awa c polisi...
Wangemuacha afe tu na corona
Polisi 🚮🚮🚮
poleni sana
Kenya tuko wapi jamani police wanafaa kutulinda siu kutumaliza
Mapolisi wamelaaniwa
Kenya sio ya wanyonge tusibashane..period!
Rais please fungua inchi🙏🙏🙏🇰🇪
Kabisa
Wooiyie Ngai mwathani, 😭😭😭🙏 mungu wangu kila siku mauanjii
Mwathani ehakuhe goka
Kwa dunia mko huru kusema..."kama msamaria mwema"...God knows it better
Nimeogopa navenye Niko na beste yangu polisi ama pia mm anaweza nigeuzia aniue unajua sahi wameharibika sana
Heri wangeacha afe corona. Aligongwa kwa nini? RIP
Kwani walikuwa wanampika mtoto wa mtu kama nyoka??eti alipikwa na rungu?? Kasia ya polisi walaaniwe kabisa
Ila polisi muogopeni Mungu jamani mbona munapenda kuuwa watu jaman😭😭😭
Pole kwa Familia only God's know
Police iko siku yenu ya mwisho mtajibu nn siku ya mwisho
I celebrate kapendo heroes. Hope they do it again.
Mandamano kinoti must go amekonganisha wakenya kuuwana kila wakati akisema atawashika wenye waliuzika mbaka wa leo ajawai kushika hawa wenye kuuwa watu..na mshahara anapokea kila mwezi.ameshindwa na kazi yake kuzimamia usalama wa inchi 👈 kinoti must go 👈
Mnafikilia hii dunia mtakaa milele mkivaa hayo masale yenu mnafikilia kuua wenzenu tu
Sasa huu ndo usalama gani jaman serikali😭😭😭
May his soul rest in peace. Mungu anawaona mapolisi.
The Kenya Police have been so cruel ever since the pandemic...taking advantage of people not wearing masks and extort money and bribes....unlsee something is done by Matiangi, IG and IPoa they will be seen as enemies of the people
Ndio maana police cku hizi wanapigwa na wananchi
Police imegeuka kuwa wauaji Siku hizi sio uko tu tuombe mungu tu
Good Good what??? do you know you can be prosecuted for that
Ipoa,mko wapi???
Kenya police imepadilika xaxa Ni Kenya police kuhua units ama?.
Polisi wa Kenya ni wapubafu tu,,,wanakuanga mafala wote,,,,,hawaelewangi ata kwa barabara wako ivo tu
Njaa zimezidi uhuru fungua nchi watu wanaisha na kuuliwa na asikali
Police brutality
Brathy ile movie isha toka ama bado?
@@wincute4306 bado we are waiting
@@kevohwapipelinetransami4351 utu alert kwa utube chanel yako
@@wincute4306 safi i will
Sasa mafisa wapolisi hiyo ni haki kweli kumbuka ata nyinyi hua amuvai mask kwani mask ni tiba?ikiwa sindano sio tiba mbona mumeanza kujerubi watu na silaha yenu yeyote alie husika ya mungu ni mengi tarajia
This is the government of UhuRuto serikali ya Uwizi na Mauaji.
It's high time now for kenya police force to dispense their duty responsible for the good and benefits to the country and citizens security at large hence this will improve security in our country coz citizens will see police performance in regards to policing in different counties of our Nation coz if their performance is ok and good interms of their intergrity as police officer, Loyalty to the government of the day , their superior in line of duty ,the president and citizens at large,also police officers must be honest among themselves in the line of duty ,superiors and the country at Large. Equal justice in regards of arresting a person during time of arrest, until taken to court in another words they should be obliged to criminal justice law equally to all suspects or arrested person regardless of their social status in our country and final our courts should also adhere to the constitution and any other laws of the country in order to achieve equal and fair justice to every Kenyan .
Can the word 'policeman' be on the same sentence with 'a good samaritan'? That can never be possible. I tried to write such, and my pen stopped at 'a good sam..................
So sad
Very sad situation where people take oath to protect civilians and instead they become their killers. Remember whatever you do in secret God will expose you at some point.Cursed you're with your generations good luck. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Haki itendeke
No haki in this Kenya of murderer's. Haki itendeke is usually the end of the story.
Lala Salama babaa 💔
Criminos. Wanamaliza kesho yetu. Wao ni macriminos. Mabiriri magagatu.
Polise tunajua venye mmefurahia kazi imekua rahisi sasa ya kushika na kuua wenye hawana mask dio mpate pesa, kahua kanyu ni keru but kuna mungu mbinguni nyinyi mmelaaniwa Rip kamau.
Mask?? Only
Killers...
Laana thuwahi serekali ya kenya yote jahannam inshaAllah..akuna kubaki mtu wewe mungu nisikize maombi yangu leo nimefunga...
Police
Polisi wacheni kuwauwa wakenya wenzenu.
So sad
Fvck the popo
Fear the police, keep away from the devil.
Matiangi saidia tafatali
Police itabidi iondolewe
Hahaha kama wasamalia wema after kujua ako hali mahututi
Kenya is funny. You put rules in place to save lives then you start taking lives in order to enforce those rules. It's like sinking a ship in order to stop the ship from sinking. 🤷🏽♂️🤦🏽♂️
🙄🙄🙄🤔🤔🤔
My condolences to the family
Kama wasamalia wema, nonsence ma mbwa nyinyi.
😃