Familia moja Nakuru yalilia haki baada ya jamaa yao kufariki punde baada ya kuachiliwa na polisi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Idara ya polisi mjini Nakuru imetiwa lawamani na familia ya mtu mmoja aliyefariki punde alipoachiliwa na kufikishwa hospitalini na maafisa wa polisi kwa matibabu. Mtu huyo alikuwa amezuiliwa na polisi kwa kukiuka kuvalia maski alipokuwa katika shughuli zake mapema mwezi huu. Upasuaji wa maiti umeonyesha kuwa Peter Kamau alikuwa na jeraha lililosababishwa na silaha butu.

Комментарии • 95

  • @maulinegesare5106
    @maulinegesare5106 3 года назад +8

    Ifikapo siku ya kiama kunao watakao lia zaidi kuliko wengine,,God is really watching

  • @josephkimondo1315
    @josephkimondo1315 3 года назад +24

    Kazi ya police imelaniwa

  • @blessedkenya8640
    @blessedkenya8640 3 года назад +13

    Poleni sana police jamani bona hamna huruma kwa wenzenu

  • @alicembugua5246
    @alicembugua5246 3 года назад +6

    Mungu tu ndie ajuae poleni Sana

  • @oletip-tipmarion5463
    @oletip-tipmarion5463 3 года назад +10

    Alipigwa rungu na askari

  • @clemencianyaboga8946
    @clemencianyaboga8946 3 года назад +6

    Police mungu anawaona 😢😢

  • @mabyserolouchcraig2431
    @mabyserolouchcraig2431 3 года назад +5

    Mm siwezi shauri mtoto wangu awe police kenya Mola awaepushie hii kazi ina lana huku kenya...💔💔

    • @lucymwai7645
      @lucymwai7645 3 года назад

      Haki si uongo, kazi ya police haina radthaa.Kila siku maneno maneno

  • @carolinemwangi8248
    @carolinemwangi8248 3 года назад +1

    Some policeman are good.. they have humanity

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 3 года назад +6

    Woi uhai umetokana na mask tu woi

  • @karendikitchen8439
    @karendikitchen8439 3 года назад +16

    Polisi ni serial criminals!!

  • @mariahprettyvlogs
    @mariahprettyvlogs 3 года назад +3

    So sad 🥺🥺🥺

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 3 года назад +8

    Police majabazi watu bure kabisa

  • @adhiambosphenser9276
    @adhiambosphenser9276 3 года назад

    Poleni lakini itaisha hivo to stay in county without justice is very harder

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 3 года назад +7

    Mr kinoti come hapa ukatae si polisi

    • @lilylilian8729
      @lilylilian8729 3 года назад +1

      Huyo inspector amemuwakilisha akasema
      Police walimpeleka kama wasamaria wema😂😂😂

    • @dubabaxakatv2993
      @dubabaxakatv2993 3 года назад +1

      @@lilylilian8729 kesho watakataa si unawajua wakora

    • @catherinehusi-burge9426
      @catherinehusi-burge9426 3 года назад +3

      Mandamano kinoti must go 👈 ameshindwa na kazi yake kuzimamia usalama wa inchi 👈 kinoti must go 👈

    • @enockrotino3722
      @enockrotino3722 3 года назад

      Hello

    • @enockrotino3722
      @enockrotino3722 3 года назад

      Mapolisi wali mkill

  • @SSs-to7ju
    @SSs-to7ju 3 года назад +1

    Roga mtu akule nyasi akuna justice hii Kenya

  • @selectorterminal4502
    @selectorterminal4502 3 года назад

    Let GOD....

  • @lilylilian8729
    @lilylilian8729 3 года назад +5

    Police wanaua wanaume wanaume wanaua wanawake 😥

  • @suleimanmaxamed395
    @suleimanmaxamed395 3 года назад +3

    To be honest Kenya Police need proper scrutiny by an independent body right from the I.G downwards. Thorough investigation is necessary, an example like Kinei's death ,firearms handling and alot more. People like DCI are proper lies custodians

    • @davismate6999
      @davismate6999 3 года назад

      Wont solve anything since the problems in police are inherent right from recruitment to training. Entry to police is like D, once recruited they are just trained to handled firearms and beat pple, i doubt even many in the force knows about law especially bill of rights.

  • @bintrashid6967
    @bintrashid6967 3 года назад +1

    Mwenyewe anabangaiza kwaajili ya familia yake wewe unamueka ndani sasa kama hana mask na umeueka ndani nani akulipe na uko nae ndani. Sahii amekufa familia yalia hapo kunafaida gani mmepata. Officers hio yenu ni njaa mnaumuza wanyonge simjui huyo aliekufa ila inaniuma sana sana sana 😭😭😭😭

  • @andrewwangui7379
    @andrewwangui7379 3 года назад +2

    Hii kenya Mimi naogopa mambo najionea na macho, may he rest in peace

  • @cezzdankenya6812
    @cezzdankenya6812 3 года назад

    Malipo ni duniani tu....Mungu yupo😢😢😢

  • @wildahmwanza9969
    @wildahmwanza9969 3 года назад +1

    Mr kinoti kuja uniabie ka awa c polisi...
    Wangemuacha afe tu na corona
    Polisi 🚮🚮🚮

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад

    poleni sana

  • @julandakauri8751
    @julandakauri8751 3 года назад

    Kenya tuko wapi jamani police wanafaa kutulinda siu kutumaliza

  • @royaltymolly3197
    @royaltymolly3197 3 года назад +2

    Mapolisi wamelaaniwa

  • @mariegosset7482
    @mariegosset7482 3 года назад

    Kenya sio ya wanyonge tusibashane..period!

  • @jannyrose5367
    @jannyrose5367 3 года назад +5

    Rais please fungua inchi🙏🙏🙏🇰🇪

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 3 года назад

    Wooiyie Ngai mwathani, 😭😭😭🙏 mungu wangu kila siku mauanjii

  • @samwelobego5120
    @samwelobego5120 3 года назад

    Kwa dunia mko huru kusema..."kama msamaria mwema"...God knows it better

  • @hellenopiyo3391
    @hellenopiyo3391 3 года назад

    Nimeogopa navenye Niko na beste yangu polisi ama pia mm anaweza nigeuzia aniue unajua sahi wameharibika sana

  • @thevineyard7149
    @thevineyard7149 3 года назад +1

    Heri wangeacha afe corona. Aligongwa kwa nini? RIP

  • @cherotichsamoei6789
    @cherotichsamoei6789 3 года назад

    Kwani walikuwa wanampika mtoto wa mtu kama nyoka??eti alipikwa na rungu?? Kasia ya polisi walaaniwe kabisa

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 3 года назад

    Ila polisi muogopeni Mungu jamani mbona munapenda kuuwa watu jaman😭😭😭

  • @janekamau7169
    @janekamau7169 3 года назад

    Pole kwa Familia only God's know

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 3 года назад

    Police iko siku yenu ya mwisho mtajibu nn siku ya mwisho

  • @BG-gt1xy
    @BG-gt1xy 3 года назад

    I celebrate kapendo heroes. Hope they do it again.

  • @catherinehusi-burge9426
    @catherinehusi-burge9426 3 года назад

    Mandamano kinoti must go amekonganisha wakenya kuuwana kila wakati akisema atawashika wenye waliuzika mbaka wa leo ajawai kushika hawa wenye kuuwa watu..na mshahara anapokea kila mwezi.ameshindwa na kazi yake kuzimamia usalama wa inchi 👈 kinoti must go 👈

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 3 года назад

    Mnafikilia hii dunia mtakaa milele mkivaa hayo masale yenu mnafikilia kuua wenzenu tu

  • @sarahwaswa5819
    @sarahwaswa5819 3 года назад +2

    Sasa huu ndo usalama gani jaman serikali😭😭😭

    • @joycekarimi6070
      @joycekarimi6070 3 года назад

      May his soul rest in peace. Mungu anawaona mapolisi.

  • @bracoozito5461
    @bracoozito5461 3 года назад +1

    The Kenya Police have been so cruel ever since the pandemic...taking advantage of people not wearing masks and extort money and bribes....unlsee something is done by Matiangi, IG and IPoa they will be seen as enemies of the people

  • @sophiamacdonald2711
    @sophiamacdonald2711 3 года назад +1

    Ndio maana police cku hizi wanapigwa na wananchi

  • @edwardkinyua5091
    @edwardkinyua5091 3 года назад +1

    Police imegeuka kuwa wauaji Siku hizi sio uko tu tuombe mungu tu

  • @lenaosore6710
    @lenaosore6710 3 года назад

    Good Good what??? do you know you can be prosecuted for that

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 3 года назад

    Ipoa,mko wapi???

  • @shadrackmbogo4009
    @shadrackmbogo4009 3 года назад

    Kenya police imepadilika xaxa Ni Kenya police kuhua units ama?.

  • @bernardmuoki4241
    @bernardmuoki4241 3 года назад

    Polisi wa Kenya ni wapubafu tu,,,wanakuanga mafala wote,,,,,hawaelewangi ata kwa barabara wako ivo tu

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 3 года назад

    Njaa zimezidi uhuru fungua nchi watu wanaisha na kuuliwa na asikali

  • @kevohwapipelinetransami4351
    @kevohwapipelinetransami4351 3 года назад +4

    Police brutality

  • @fedilesfediles2183
    @fedilesfediles2183 3 года назад

    Sasa mafisa wapolisi hiyo ni haki kweli kumbuka ata nyinyi hua amuvai mask kwani mask ni tiba?ikiwa sindano sio tiba mbona mumeanza kujerubi watu na silaha yenu yeyote alie husika ya mungu ni mengi tarajia

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 3 года назад

    This is the government of UhuRuto serikali ya Uwizi na Mauaji.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 3 года назад

    It's high time now for kenya police force to dispense their duty responsible for the good and benefits to the country and citizens security at large hence this will improve security in our country coz citizens will see police performance in regards to policing in different counties of our Nation coz if their performance is ok and good interms of their intergrity as police officer, Loyalty to the government of the day , their superior in line of duty ,the president and citizens at large,also police officers must be honest among themselves in the line of duty ,superiors and the country at Large. Equal justice in regards of arresting a person during time of arrest, until taken to court in another words they should be obliged to criminal justice law equally to all suspects or arrested person regardless of their social status in our country and final our courts should also adhere to the constitution and any other laws of the country in order to achieve equal and fair justice to every Kenyan .

  • @lilchris5633
    @lilchris5633 3 года назад

    Can the word 'policeman' be on the same sentence with 'a good samaritan'? That can never be possible. I tried to write such, and my pen stopped at 'a good sam..................

  • @josephmwangi9556
    @josephmwangi9556 3 года назад

    So sad

  • @wanguibundi4017
    @wanguibundi4017 3 года назад

    Very sad situation where people take oath to protect civilians and instead they become their killers. Remember whatever you do in secret God will expose you at some point.Cursed you're with your generations good luck. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sarahmutsami5006
    @sarahmutsami5006 3 года назад +3

    Haki itendeke

    • @joemagige846
      @joemagige846 3 года назад

      No haki in this Kenya of murderer's. Haki itendeke is usually the end of the story.

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 3 года назад

    Lala Salama babaa 💔

  • @elizabethnganga
    @elizabethnganga 3 года назад

    Criminos. Wanamaliza kesho yetu. Wao ni macriminos. Mabiriri magagatu.

  • @marygithinji1310
    @marygithinji1310 3 года назад

    Polise tunajua venye mmefurahia kazi imekua rahisi sasa ya kushika na kuua wenye hawana mask dio mpate pesa, kahua kanyu ni keru but kuna mungu mbinguni nyinyi mmelaaniwa Rip kamau.

  • @bbyhoney300
    @bbyhoney300 3 года назад +2

    Mask?? Only

  • @ozzyjama145
    @ozzyjama145 3 года назад +1

    Killers...

  • @fatmamdigo1848
    @fatmamdigo1848 3 года назад

    Laana thuwahi serekali ya kenya yote jahannam inshaAllah..akuna kubaki mtu wewe mungu nisikize maombi yangu leo nimefunga...

  • @roseluhazo6709
    @roseluhazo6709 3 года назад

    Police

  • @purple4463
    @purple4463 3 года назад

    Polisi wacheni kuwauwa wakenya wenzenu.

  • @highflyer2547
    @highflyer2547 3 года назад +2

    So sad
    Fvck the popo

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 3 года назад

    Fear the police, keep away from the devil.

  • @polepoletutafika3
    @polepoletutafika3 3 года назад

    Matiangi saidia tafatali

  • @swabirali1276
    @swabirali1276 3 года назад

    Police itabidi iondolewe

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 3 года назад

    Hahaha kama wasamalia wema after kujua ako hali mahututi

  • @richardray2680
    @richardray2680 3 года назад

    Kenya is funny. You put rules in place to save lives then you start taking lives in order to enforce those rules. It's like sinking a ship in order to stop the ship from sinking. 🤷🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 3 года назад

    🙄🙄🙄🤔🤔🤔

  • @rahabwaseykarim1507
    @rahabwaseykarim1507 3 года назад

    My condolences to the family

  • @philiswanjiru2328
    @philiswanjiru2328 3 года назад +1

    Kama wasamalia wema, nonsence ma mbwa nyinyi.