Mwimbaji wa nyimbo kayengeyenge anaitwa Christophe Matata. Anatokea kwenye inchi jirani ya Burundi. Na kwasababu lugha ya kiha na kirundi vina ukaribu sana, waha na warundi wanaelewana bila mkalimani. Mimi niliishi Tanzania nikiwa mkimbizi hadi mwaka 2005. Nilipenda sana lugha ya kiha. Cha kuchekesha shetani kwa kiha anaitwa kilanga. Na kilanga alikuwa mungu wa warundi wakati wa mababu.
This is very good if food is available to eat and for sale,now the government should consider the place and construct a modern market for selling food and tarmac the road.
Sweet home nitafanya fujo mikoa tofauti tofauti lakini mwisho wasiku lazima nitue home
Kibondo hoyeeee.....kama unaikubali kb gonga like twende sawa.
Unapakubali kwakua ni kwenu
@@mohameddamka922 ulitaka niikubali kwakuwa ni wapi????
Missyoouhoom
Ukweli mkoa wa kigoma naupenda xana maana hauna njaa pia mazao yanaiva kwa sana, big up kigoma,
Ngo kayengeyenge Eeeee...! Ndakila ngende kumlabha. Karibuni Kasulu.👏🏿 Umulimyi ngo ntachagulîmbuto...👏🏿👏🏿👏🏿
Mwimbaji wa nyimbo kayengeyenge anaitwa Christophe Matata. Anatokea kwenye inchi jirani ya Burundi. Na kwasababu lugha ya kiha na kirundi vina ukaribu sana, waha na warundi wanaelewana bila mkalimani. Mimi niliishi Tanzania nikiwa mkimbizi hadi mwaka 2005. Nilipenda sana lugha ya kiha. Cha kuchekesha shetani kwa kiha anaitwa kilanga. Na kilanga alikuwa mungu wa warundi wakati wa mababu.
This is very good if food is available to eat and for sale,now the government should consider the place and construct a modern market for selling food and tarmac the road.
Home sweet home ..... tuliho muhila iwachu ntanoma bhagabho mweee nikudya ibhiharage.....
Kigoma ewe kigoma leka tutigite wishavu ameneke huko ndo k wetu bhana
Tulikumwe chane ebhne wachu
KAMA NA WEWE UNAJUA WATU WA KIGOMA KWA UBISHI GONGA LIKE.......MTABISHANA MPKA KESHO
😁😁😁😁🤣🤣🤣
Khahhhhhhhhhhh
Pia na kusini kama wamwela na wamakonde nao kwa hubishi awajambo
Pazuri kwetu huko. Ntibhoshobhola kulimimyumbati
Nimewakubali sababu hakuna njaa.... Kama na wewe umewaelewa tupia like apa twende sawa
Daah nakumbka enzi zile nasoma uko full kula mihogooo
FELISTER LUTAMBI
shule ipi.umesoma ferister0766772056
@@Nur10Mwal.waKitaa
Nimesoma shule moja inaitwa mkugwa secondary
🙈🙈🤣🤣🤣
@@felisterlutambi9064 Ayyyye, mimi nilikua mkimbizi Mkugwa, from 2000 until 2002, been living in Sweden ever since. But sitasahau kwenye nilitoka!
@@vaestkusten6041 mimi nilikua kibondo 2009 kabla ya kwenda canada
uzuri Wa hapo kibondo wanawake hawakatai wanaume nakavuvuuuuuuuu
Zabron Ndoroba “karibu kibondo ila FAHAMU kwamba UKIMWI UPO” kuna bango hapo linasemeka hivyo
Kwetu kibondo,Kumshindwi ila wazaza wangu walihamia Kilimanjaro miaka ya 1989 mpaka sasa,,ila napapenda mnooo Kibondo.
Mtu wa Kigendeka upo
Hongera
Rudi nyumbani kumenoga
Hatar jomon mmh cyo kwa wekundu huo but nimepapenda 😁
Ukuje huku Chakula ni kama Uchafu tu 🥰
Ma sha allah
NAPENDA LAFUZI YA WATU WA KIGOMA SANA
TUKO PAMOJA SANA
waha ndio wanaongoza kwa ubishi nchi hii ,kama hutaki pasuka
Kama unapenda hm kibondoo weka like Twende home
Kibondo Safiii! Ahsante Sana.
Umetisha
home sweet home
NAIPENDA KIBONDO MY HOMELAND,, MUNGU IBARIKI KIBONDO.
Iko vizuri bwana,kibondo,kifura,Kakonko,kasanda,kabingo etc
Mbona wimbo wakwetu burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
The Boss Lady IPUPA kwahiyo unatakaje?
@@danielelwin1778 unibebe mgongoni kaka acha roho yakuchi wewe
Tunaupenda
Weuweeeeee nyumban mix xanah homer sooon
Subtitle ziusike kwenye watu kama hao wanao ongea kiluga me sjaelewa ata kmoja alicho zungumza uyo mze kwa luga ya kwao😩😩😩Fanyia kaz iloooh Ayo
I'am home boy from kibondo KIGOMA ndahakunda change muhila
Watuwekee lami kwetu hapo mjini kibondo. Kanyamahela.
asante xana miladyayo
Ooh jaman pamenikuza
Abhantu bhakundîbhikogwa..!👏🏿👏🏿👏🏿
Leka dutigite, , , kibondo kitahana kwetu
Kayengee yengeee
iwachu umuhila. halabheleye
Iyo kweli mwisho wa reli
Ndo muhila,serikali ijitahidi Sana kurekebisha miundo mbinu,itakuwa juu zaidi ya hapo kibondo kwa maendeleo ya taifa.
Namuona jokel kaka jambaz
Safi mambo mazur
Asilimia kubwa yawatu wakigoma wanatoka Burundi Rwanda nacongo, wazawa niwachache.
J. JOSE acha usenge we unauwakika gn
Are u sure that is humiliation and violence, do u have evidence
Kwaiyo ww umetoka wapi baba yako tumempokea alafu ww unaongea
Wewe hujitambui unachochea ubaguzi wa ukabila je wewe baba yako alikwambia alitokea wapi?
Nikweli bro gonga like twende mwana wane 🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Nyumban kwetu pazur
aaaaaa awooote
Hooooome
Mepamis sana home kwetyuuuuuuuuuuuuu
Imuhilaaa
MILLAD AYO. KUNA MTU UMEMSAHAU. MIKE T. TUNAHITAJI KUJUA YUKO WAPI, ANAFANYA NINI, MBONA KIMYA SANA, NGOMA YAKE MPYA NI IPI. NK
daah nimemis huko kwel kibondo
Biturana kibondo niho mhila tulashashe chane nmepamis kweri
Hommieeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣
Kibondo ya Leo kweli cyo ya kipindi cha nyumaaa
Wanaume wa kigoma wanatomba hao jmn kama ww ni mvivu usije ukakutana nae atakunyoosha ukimbie chupi mkononi
Mtangazaji rudi shule kajifunze SILABI L na R zinatofauti
Barabara hakuna
daah ivo vyakula mpk rahaaa
Umeonaee.
Naikubali.
Kailibu na wilaya ya buhigwe
Kwa sumu na ubishi ni hatari sn!!😀😀😀
Unauzibitisho na hicho unacho kisema
Vumbi sasa, duuu!!!
Nchi jirani
Nenda na buhigwe
Jaman nyumban
Barbara hakuna hadi adivencha wamedoma kupitanjiahiyo kuja dare saalam
daaa, millard ayo hatarrr
Nymbn kgm ila kibondo siwez ishi Mara 100 kasul ndo pazur
Acha.kwan umelazimishwa kama sio kihele hele chako kulopoka tu
Ubishi sasa ndio shida
Yemwe mulakose
Yurabumva. Markani
Majanga uo ugali wamuogoo tuu mumeniachaa mdomo wazii mee sio kwaweusii uo
Amagambo yadyosheee
Kibondo..mara ya mwisho mwaka 2009 dah pazuri
Ukuje tena
Yeap
mhoza
daaah jaman pamoja sana wanakibondo wenzangu,tulihamweee
Kibondo pazur nimepapendaa coz full mazaoo
Ego emwabaaa
Nyumbani
vp funza wameisha uko 😀😀😀😀😀😀
Hakuna funza wewe
unyibhukije muhila
Budunzu niho muhila
Huyoo mzee anaongeaje kikabilaaa Kati anajua Anaonekana na watu wa makabila tofaut tutafsirien asiii jaman hata sisi tukijue kibondoo
Unataka nikufundishe! Kiha
@@adrammadega5489 itapendezaa zaid ukinifundishaa
@maryam nikufndishie hapa hapa au private mfano whatsapp txt za kawaida 0624400002
Duh!! So poa
Kumbe kibondo ni ka mujii aisee na ishiaga kasulu tu safarii ntafika uko
Hahahaaaa
Sasaaa watu wotee mnaongea kibondoo sisi tunawaelewajee lakiniiii kwann mnakua hivoo nyie wakibondoooo
ndo uzuri wa Tz,angalau wameongea kwa kiswa...kongea kikwao,ni poa tu,ni kujivunia asili yao..ukija kwetu Bukoba je.kkkkk.lol
Kumbe ndio maana wakija dar hawarudi huko kwao cjui kama Tanzania huko
Yebhagamwe ahonihondakuliye ntawank'i wabhu ndahakumbuye chane
Kwann tusirud jaman wakat ndo nyumban
Wanarudi kuwekeza wewe.