LISIKIE TU! VUMBI LA KIBONDO, WENYE WILAYA YAO WAMEFUNGUKA FAIDA ZAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 124

  • @amankachira
    @amankachira 5 лет назад +16

    Sweet home nitafanya fujo mikoa tofauti tofauti lakini mwisho wasiku lazima nitue home

  • @stanjr1125
    @stanjr1125 5 лет назад +52

    Kibondo hoyeeee.....kama unaikubali kb gonga like twende sawa.

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 5 лет назад +6

    Ukweli mkoa wa kigoma naupenda xana maana hauna njaa pia mazao yanaiva kwa sana, big up kigoma,

  • @ladislausmilagiro9087
    @ladislausmilagiro9087 5 лет назад +5

    Ngo kayengeyenge Eeeee...! Ndakila ngende kumlabha. Karibuni Kasulu.👏🏿 Umulimyi ngo ntachagulîmbuto...👏🏿👏🏿👏🏿

    • @alexntahiraja2974
      @alexntahiraja2974 Год назад

      Mwimbaji wa nyimbo kayengeyenge anaitwa Christophe Matata. Anatokea kwenye inchi jirani ya Burundi. Na kwasababu lugha ya kiha na kirundi vina ukaribu sana, waha na warundi wanaelewana bila mkalimani. Mimi niliishi Tanzania nikiwa mkimbizi hadi mwaka 2005. Nilipenda sana lugha ya kiha. Cha kuchekesha shetani kwa kiha anaitwa kilanga. Na kilanga alikuwa mungu wa warundi wakati wa mababu.

  • @jonyojaote6589
    @jonyojaote6589 5 лет назад +5

    This is very good if food is available to eat and for sale,now the government should consider the place and construct a modern market for selling food and tarmac the road.

  • @festomishita3303
    @festomishita3303 5 лет назад +6

    Home sweet home ..... tuliho muhila iwachu ntanoma bhagabho mweee nikudya ibhiharage.....

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 5 лет назад

      Kigoma ewe kigoma leka tutigite wishavu ameneke huko ndo k wetu bhana

    • @jameschamenda8787
      @jameschamenda8787 3 года назад

      Tulikumwe chane ebhne wachu

  • @kiangotv3329
    @kiangotv3329 5 лет назад +25

    KAMA NA WEWE UNAJUA WATU WA KIGOMA KWA UBISHI GONGA LIKE.......MTABISHANA MPKA KESHO

  • @osbertkagoma5877
    @osbertkagoma5877 5 лет назад +10

    Pazuri kwetu huko. Ntibhoshobhola kulimimyumbati

  • @hitchhikers-m1i
    @hitchhikers-m1i 5 лет назад +7

    Nimewakubali sababu hakuna njaa.... Kama na wewe umewaelewa tupia like apa twende sawa

  • @felisterlutambi9064
    @felisterlutambi9064 5 лет назад +12

    Daah nakumbka enzi zile nasoma uko full kula mihogooo

    • @Nur10Mwal.waKitaa
      @Nur10Mwal.waKitaa 5 лет назад

      FELISTER LUTAMBI
      shule ipi.umesoma ferister0766772056

    • @felisterlutambi9064
      @felisterlutambi9064 5 лет назад

      @@Nur10Mwal.waKitaa
      Nimesoma shule moja inaitwa mkugwa secondary

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 5 лет назад

      🙈🙈🤣🤣🤣

    • @vaestkusten6041
      @vaestkusten6041 4 года назад +1

      @@felisterlutambi9064 Ayyyye, mimi nilikua mkimbizi Mkugwa, from 2000 until 2002, been living in Sweden ever since. But sitasahau kwenye nilitoka!

    • @MaryMary-df7eb
      @MaryMary-df7eb 4 года назад +1

      @@vaestkusten6041 mimi nilikua kibondo 2009 kabla ya kwenda canada

  • @zabronndoroba8215
    @zabronndoroba8215 5 лет назад +8

    uzuri Wa hapo kibondo wanawake hawakatai wanaume nakavuvuuuuuuuu

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 4 года назад +1

      Zabron Ndoroba “karibu kibondo ila FAHAMU kwamba UKIMWI UPO” kuna bango hapo linasemeka hivyo

  • @rebeccaevaristo3863
    @rebeccaevaristo3863 4 года назад +2

    Kwetu kibondo,Kumshindwi ila wazaza wangu walihamia Kilimanjaro miaka ya 1989 mpaka sasa,,ila napapenda mnooo Kibondo.

  • @zubedamrombo8792
    @zubedamrombo8792 5 лет назад +5

    Hatar jomon mmh cyo kwa wekundu huo but nimepapenda 😁

    • @hansbaruan3539
      @hansbaruan3539 Год назад

      Ukuje huku Chakula ni kama Uchafu tu 🥰

  • @firdausabdullah6315
    @firdausabdullah6315 5 лет назад +2

    Ma sha allah

  • @jamesngundateresia2600
    @jamesngundateresia2600 5 лет назад +8

    NAPENDA LAFUZI YA WATU WA KIGOMA SANA
    TUKO PAMOJA SANA

  • @danielelwin1778
    @danielelwin1778 5 лет назад +3

    waha ndio wanaongoza kwa ubishi nchi hii ,kama hutaki pasuka

  • @swaummihungo2269
    @swaummihungo2269 3 года назад +1

    Kama unapenda hm kibondoo weka like Twende home

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 5 лет назад +2

    Kibondo Safiii! Ahsante Sana.

  • @mwantumuthobias5091
    @mwantumuthobias5091 4 года назад +1

    Umetisha

  • @sarahmuna5503
    @sarahmuna5503 5 лет назад +2

    home sweet home

  • @Regnard999
    @Regnard999 3 года назад +1

    NAIPENDA KIBONDO MY HOMELAND,, MUNGU IBARIKI KIBONDO.

    • @GSELgodoni
      @GSELgodoni 9 месяцев назад

      Iko vizuri bwana,kibondo,kifura,Kakonko,kasanda,kabingo etc

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 5 лет назад +2

    Mbona wimbo wakwetu burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @danielelwin1778
      @danielelwin1778 5 лет назад

      The Boss Lady IPUPA kwahiyo unatakaje?

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 5 лет назад

      @@danielelwin1778 unibebe mgongoni kaka acha roho yakuchi wewe

    • @WAZIRISINAHERA
      @WAZIRISINAHERA 6 месяцев назад

      Tunaupenda

  • @swaummihungo2269
    @swaummihungo2269 3 года назад +1

    Weuweeeeee nyumban mix xanah homer sooon

  • @jennifermrope1577
    @jennifermrope1577 5 лет назад +3

    Subtitle ziusike kwenye watu kama hao wanao ongea kiluga me sjaelewa ata kmoja alicho zungumza uyo mze kwa luga ya kwao😩😩😩Fanyia kaz iloooh Ayo

  • @andersonbinige7789
    @andersonbinige7789 4 года назад

    I'am home boy from kibondo KIGOMA ndahakunda change muhila

  • @pastoryconrad6795
    @pastoryconrad6795 5 лет назад +1

    Watuwekee lami kwetu hapo mjini kibondo. Kanyamahela.

  • @husnamohamed8690
    @husnamohamed8690 5 лет назад +1

    asante xana miladyayo

  • @venancefredrick549
    @venancefredrick549 3 года назад

    Ooh jaman pamenikuza

  • @ladislausmilagiro9087
    @ladislausmilagiro9087 5 лет назад

    Abhantu bhakundîbhikogwa..!👏🏿👏🏿👏🏿

  • @Lova_artist
    @Lova_artist 3 года назад +1

    Leka dutigite, , , kibondo kitahana kwetu

  • @eyasitiayubu6271
    @eyasitiayubu6271 3 года назад

    Kayengee yengeee

  • @IbrahimuSadock
    @IbrahimuSadock 2 месяца назад

    iwachu umuhila. halabheleye

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 5 лет назад

    Iyo kweli mwisho wa reli

  • @bernakajoro4083
    @bernakajoro4083 4 года назад

    Ndo muhila,serikali ijitahidi Sana kurekebisha miundo mbinu,itakuwa juu zaidi ya hapo kibondo kwa maendeleo ya taifa.

  • @frankraphael3765
    @frankraphael3765 3 года назад

    Namuona jokel kaka jambaz

  • @bakarirashidi684
    @bakarirashidi684 Год назад

    Safi mambo mazur

  • @josej9888
    @josej9888 5 лет назад +8

    Asilimia kubwa yawatu wakigoma wanatoka Burundi Rwanda nacongo, wazawa niwachache.

    • @ramadhanrajab7604
      @ramadhanrajab7604 5 лет назад +1

      J. JOSE acha usenge we unauwakika gn

    • @danielbikora3357
      @danielbikora3357 5 лет назад

      Are u sure that is humiliation and violence, do u have evidence

    • @randvirvr882
      @randvirvr882 5 лет назад

      Kwaiyo ww umetoka wapi baba yako tumempokea alafu ww unaongea

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 5 лет назад

      Wewe hujitambui unachochea ubaguzi wa ukabila je wewe baba yako alikwambia alitokea wapi?

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 5 лет назад +2

      Nikweli bro gonga like twende mwana wane 🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @adilikanyoni303
    @adilikanyoni303 5 лет назад +1

    Nyumban kwetu pazur

  • @captaincarlue8431
    @captaincarlue8431 3 года назад

    aaaaaa awooote

  • @evelinachristopher1336
    @evelinachristopher1336 4 года назад

    Hooooome

  • @janetchiza3795
    @janetchiza3795 4 года назад

    Mepamis sana home kwetyuuuuuuuuuuuuu

  • @felixmuzambele9031
    @felixmuzambele9031 5 лет назад

    Imuhilaaa

  • @barakachambala9890
    @barakachambala9890 4 года назад

    MILLAD AYO. KUNA MTU UMEMSAHAU. MIKE T. TUNAHITAJI KUJUA YUKO WAPI, ANAFANYA NINI, MBONA KIMYA SANA, NGOMA YAKE MPYA NI IPI. NK

  • @simonbukuru1201
    @simonbukuru1201 5 лет назад

    daah nimemis huko kwel kibondo

  • @eledinamartin7258
    @eledinamartin7258 3 года назад

    Biturana kibondo niho mhila tulashashe chane nmepamis kweri

  • @pheninhojr5875
    @pheninhojr5875 4 года назад

    Hommieeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hydanadolf8311
    @hydanadolf8311 5 лет назад

    Kibondo ya Leo kweli cyo ya kipindi cha nyumaaa

  • @NonoNono-qp3zu
    @NonoNono-qp3zu 5 лет назад +2

    Wanaume wa kigoma wanatomba hao jmn kama ww ni mvivu usije ukakutana nae atakunyoosha ukimbie chupi mkononi

    • @janetrevocatus9586
      @janetrevocatus9586 5 лет назад

      Mtangazaji rudi shule kajifunze SILABI L na R zinatofauti

  • @kasianlinus4996
    @kasianlinus4996 5 лет назад

    Barabara hakuna

  • @doyjack95jack39
    @doyjack95jack39 5 лет назад

    daah ivo vyakula mpk rahaaa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад

    Umeonaee.

  • @egnonemes7008
    @egnonemes7008 5 лет назад

    Naikubali.

  • @dismasathanas8997
    @dismasathanas8997 5 лет назад

    Kailibu na wilaya ya buhigwe

  • @barakamarmo8104
    @barakamarmo8104 5 лет назад

    Kwa sumu na ubishi ni hatari sn!!😀😀😀

  • @hermanwabike2734
    @hermanwabike2734 5 лет назад

    Vumbi sasa, duuu!!!

  • @nicholausmanyanda8344
    @nicholausmanyanda8344 4 года назад

    Nchi jirani

  • @dismasathanas8997
    @dismasathanas8997 5 лет назад

    Nenda na buhigwe

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 5 лет назад

    Jaman nyumban

  • @kasianlinus4996
    @kasianlinus4996 5 лет назад

    Barbara hakuna hadi adivencha wamedoma kupitanjiahiyo kuja dare saalam

  • @Danny-yl8xi
    @Danny-yl8xi 5 лет назад

    daaa, millard ayo hatarrr

  • @rossmaryphases8509
    @rossmaryphases8509 2 года назад

    Nymbn kgm ila kibondo siwez ishi Mara 100 kasul ndo pazur

    • @deboramawazo-cq6dq
      @deboramawazo-cq6dq 3 месяца назад

      Acha.kwan umelazimishwa kama sio kihele hele chako kulopoka tu

  • @joakmtangawizi3033
    @joakmtangawizi3033 5 лет назад

    Ubishi sasa ndio shida

  • @RAUNATION
    @RAUNATION 5 лет назад +1

    Yemwe mulakose

  • @lyseniyurukundo6935
    @lyseniyurukundo6935 3 года назад

    Yurabumva. Markani

  • @azizalazri1283
    @azizalazri1283 5 лет назад

    Majanga uo ugali wamuogoo tuu mumeniachaa mdomo wazii mee sio kwaweusii uo

  • @ydisotzmusickilistofa5203
    @ydisotzmusickilistofa5203 4 года назад

    Amagambo yadyosheee

  • @MaryMary-df7eb
    @MaryMary-df7eb 4 года назад

    Kibondo..mara ya mwisho mwaka 2009 dah pazuri

  • @uriaamani7968
    @uriaamani7968 5 лет назад

    mhoza

  • @happynassboniface2749
    @happynassboniface2749 5 лет назад

    daaah jaman pamoja sana wanakibondo wenzangu,tulihamweee

  • @nyandwiziyada6451
    @nyandwiziyada6451 3 года назад

    Nyumbani

  • @kajjd40
    @kajjd40 5 лет назад

    vp funza wameisha uko 😀😀😀😀😀😀

  • @tuliahussen7229
    @tuliahussen7229 5 лет назад

    unyibhukije muhila

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Год назад

    Budunzu niho muhila

  • @maryamomary5479
    @maryamomary5479 5 лет назад

    Huyoo mzee anaongeaje kikabilaaa Kati anajua Anaonekana na watu wa makabila tofaut tutafsirien asiii jaman hata sisi tukijue kibondoo

    • @adrammadega5489
      @adrammadega5489 5 лет назад

      Unataka nikufundishe! Kiha

    • @maryamomary5479
      @maryamomary5479 5 лет назад

      @@adrammadega5489 itapendezaa zaid ukinifundishaa

    • @adrammadega5489
      @adrammadega5489 5 лет назад

      @maryam nikufndishie hapa hapa au private mfano whatsapp txt za kawaida 0624400002

  • @tonykizzy6179
    @tonykizzy6179 4 года назад

    Duh!! So poa

  • @gadielnkuye7559
    @gadielnkuye7559 4 года назад

    Kumbe kibondo ni ka mujii aisee na ishiaga kasulu tu safarii ntafika uko

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад

    Hahahaaaa

  • @maryamomary5479
    @maryamomary5479 5 лет назад

    Sasaaa watu wotee mnaongea kibondoo sisi tunawaelewajee lakiniiii kwann mnakua hivoo nyie wakibondoooo

    • @dinahbasemera4672
      @dinahbasemera4672 5 лет назад

      ndo uzuri wa Tz,angalau wameongea kwa kiswa...kongea kikwao,ni poa tu,ni kujivunia asili yao..ukija kwetu Bukoba je.kkkkk.lol

  • @karimmkejina980
    @karimmkejina980 4 года назад

    Kumbe ndio maana wakija dar hawarudi huko kwao cjui kama Tanzania huko