ujumbe wangu kwa huyu ndugu yetu na raisi wa zanzibar ivi sasa amuogope ALLAH na ajitahidi sana kujua hali haswa za wajane na mayatima na maskini walionashida uongozi sio jambo la masihara lina majukumu makubwa sana na wallahi watu hata watano wakija siku ya kiyama na wakalalamika kwa ALLAH hawakupata msaada wakati wa utawala wa kiongozi aliyewatawala basi inamtosha kwa uyo kiongozi kupata adhabu na kuingia pabaya kwa iyo watu wanaofukuzia uongozi bado hawajawa na taqwa hata chembe kidogo kwani una mtihani mkubwa sana. huo ujumbe wangu tuu na wala sio mshabiki wa chama chochote cha kisiasi izi zilizoletwa na watu wa maghribi ilioipotezea zanzibar Noor ya dini na kuwa katika hali ya fitnah bali mimi ni mshabiki wa kitabu chake ALLAH na mjumbe wake [s.a.w.]. Na ninamuombea kwa ALLAH huyu ndugu yetu ambaye ndiye kiongozi wa zanzibar sasa awe na juhudi kwenda kujua hali za anaowaongoza haswa wajane na mayatima na maskini huko mashamba na unguja na pemba na awe mfano wa kiugwa na wengine inshaAllah.
Shukran jaziyla sheikh, Allah akubarik
MashaAllah sheikh
Mashaallah
❤
Alhamdulillah tumepata ilmu jazaka llahu khayr
ujumbe wangu kwa huyu ndugu yetu na raisi wa zanzibar ivi sasa amuogope ALLAH na ajitahidi sana kujua hali haswa za wajane na mayatima na maskini walionashida uongozi sio jambo la masihara lina majukumu makubwa sana na wallahi watu hata watano wakija siku ya kiyama na wakalalamika kwa ALLAH hawakupata msaada wakati wa utawala wa kiongozi aliyewatawala basi inamtosha kwa uyo kiongozi kupata adhabu na kuingia pabaya kwa iyo watu wanaofukuzia uongozi bado hawajawa na taqwa hata chembe kidogo kwani una mtihani mkubwa sana. huo ujumbe wangu tuu na wala sio mshabiki wa chama chochote cha kisiasi izi zilizoletwa na watu wa maghribi ilioipotezea zanzibar Noor ya dini na kuwa katika hali ya fitnah bali mimi ni mshabiki wa kitabu chake ALLAH na mjumbe wake [s.a.w.]. Na ninamuombea kwa ALLAH huyu ndugu yetu ambaye ndiye kiongozi wa zanzibar sasa awe na juhudi kwenda kujua hali za anaowaongoza haswa wajane na mayatima na maskini huko mashamba na unguja na pemba na awe mfano wa kiugwa na wengine inshaAllah.