KABIRIGI-DUNIA
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Presenting "Dunia," a powerful gospel song by Kabirigi that speaks to the heart about the deteriorating state of the world. Through soulful lyrics and moving melodies, Kabirigi sheds light on the challenges and moral decay facing humanity today, while offering a message of hope and redemption.
Jomn jlmn we kabilig umevunja bhn bonge langoma 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
warawaraa umetishaa kinomaa kipaji unacho mdogoangu
Daaaaah hiiiii Ngoma tumeuwa Sana blood umetisha Sana ✌️✌️✌️
Juhudi ndo kitu kinachotakiwa na kumuomba mungu hongera warawara mtoto wa pangani
Kazi nzury kazi Moja uanzisha nyingine 🫡🫡🫡🫡kipaji toka udogo ni wara wara
Kazi nzuri imetulia warawara
Hakuna mwenye mafanikio historia yake ikawa nyepesi. Hakuna chakula kizuri bila kupitia kwenye moto 🔥. Ugumu wa mapishi mulize mpishi mlaji husifia chakula tu mpishi huja baadaye sana. Pambana uwe chakula kizuri wewe mpishi ndiyo unajua ugumu wa safari ya kuwa chakula kizuri na kitamu mbele ya walaji. neno langu lile lile tutafute njia ya kupata pesa TUTAFUTE PESA.
Kazi nzurii sana @ wara wara umeuwa Sana mdogo angu pambana hakuna kitamu bila jasho❤❤
Painamapo ndipo painukapo, ndege hiyo inainuka ✈️✈️✈️
Daah safi Sana warawaratz pambana pangani tunakutegemea ww kaka pambanaaa
Umeuwa sana mdogo wangu Warawara ... Unajuwa sana
Kaz nzuri warawara mung azid kukuongoza😊
Dua kjn
Kazi Nzuri warawara
Safi warawara pambana
Kazi nzur brother warawara j ongeza juhud
Umetisha
Warawaraaa🔥🔥
Upo vzr xan ndg yang pambn utafk unapohitj unajua xn dogo wara wara
Hongera mwanangu, mzigo uko safi, keep grinding 🔥🔥
Warawara umeuwa mwanangu good job i love you more and more ❤🥰
Ongeza juhud kijana
Ehee Job kumbe huku upo napo
Naombeni chama Cha wachungaji wamteue kabirigi awe mtumishi tuu 😅😅😅😅
Hongera sana warawara
Nice warawara
Oyaa big tumeuwaa 🙌
Mwanangu mwenyewe ngoja ni subscribe now
Hongera kijana wangu,hakuna kukata tamaa ni mwendo wa kupambana mpaka wasemee
Thanks sister fety
One love
Safi Sana warawaratz
Good Job Walawala J NAkuona mbaliiiiiiii🧐
Well done💪
👍
One day yes
Inshaallah mwanangu zuberi 🤝
Wara war j
Makalafat fc 😂😂😂😂Dunia
Keep going bro
Already
warawara😢
Safi dogo warawara
Hatar na nusu