Golden Star Modern Taarab - Sege Sege (New Taarab Music 2018)
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Golden Star Modern Taarab - Sege Sege (New Taarab Music 2018)
The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Reminds me of bomani , Likoni in 1994
Huwezi sikia mziki huu wa mwambao msanii wa sasa akiimba.Nakumbuka mbali sana. like zote ziende kwao.
wimbo huu nadhani ulipigwa mwaka 1990
@@charlesmisango4624 yah ulipigwa mwaka huo
Bro usiseme mm zaniliza wallahi
Hata usiseme
Wallwahi hizi nyimbo zimeimbwa Kwa hisia Kali sana ..
Wale wa 1990s bado twa enjoy old is gold
Kabisa inanikumbusha enzi hizo niko darasa la sita Chumbageni Tanga. Ilikuwa ikifika wakati wa maharusi tu huo wimbo huukosi. Ulivuma sana
Back 90's with my beloved family enjoying listening to this magic. May The Almighty have mercy with my Mama and Baba and grant them paradise they deserve.
Nimepakumbuka nyumbani Tanga kweli Tanga Raha!
Mpaka leo 2054 hii nyimbo naikumbuka sana ikihiti sana hadi leo uzee wangu dah neno zuri huwa halisahauliki😢
Rest in Peace mum. Could not sleep.never appreciated the value of the song until I came across it now and all it's done is remind me of my beautiful mum. May Allah have mercy on your soul. Wow amazing feeling reminder of my mum. Sad yet overwhelming sensational feeling remembering her through this song.
Thank you for this song. Treasure!
May Allah have mercy on her soul,
🤲🏾
INNA LILLAHI WA INNA ILLAIHI RAJIUN 🤲🏼
she still a live
Pole sana. This is one of those old taarabu songs I used to listen to as a young boy. May your mother rest well.
She is still alive
She is alive here in Tanga Acha uchuro😂😂😂😂😂
Song konkiii kabisaa hilii😘😘
Shukran sana yani kama imetoka leo yani ,Segesege kweli kulishwa sahani 1 na mume mwenzio si kioja carne hizi.
Wakati kuna mziki unaitwa Taarabu
Heard it for the first time ... What a taarab!
We ni mushaaambaaa tumekuwa nayo kamma hii
hizi ndio zilikuwa taarabu,
Mama back again
Zanikumbusha hapo 90s my mom and dad walizipenda sanaaaa ,I miss those old golden days
Old is gold.... congratulation
Love this, takes me back to 1994 in Lamu
Nakumbuka mbali sana
October 2019 n am listening to this!!! ajjabs sana
Segesege...luv this....
Ni Segee Segeee. Ni neno la Kibondei/Kisambaa maanake ikimaanisha kucheza ngoma au mziki
Bariiidah..... 😍💖
I just could stop my tears drop full of joy and old memories 😍😐
Nikiwaa ndogoo chai maziwa natumbikizaa nkatee ndani waaa kithaambo joh
Listening to Mwanahela songs in 2019. She was truly a star!
Huu wimbo naupenda sana
Waaahhh, hapo basi, zanikumbusha zama nilikuwa huko miji ya wajir, Garissa na hadi ziarani huko Hola hadi malindi. Miziki ya mafunzo Kwa miendo ya ustaarabu. Mandera express, Garissa express, Zafanana express hata Wana sea line express hoyiiieee. Kati ya miaka ya 90- 2004. Inshallah bado tuko.
Leo na 2054
Happy 2020
Travelling back in times!!
😢nyie acheni tu iyo ngoma acheni izo comment zenu bora mngesikiliza na kukausha tu bila kuweka neno hapo
Segesege enzi hizo jamani dah!
Hizi ndo taarab original,so mind relaxing and emotional at times because of the special people it reminds us
Nilisikiliza mara ya mwisho mwaka 1998 leo 2020
Niliuskiza mwisho 1992 kwenye harusi ya Fauzia sistake Beka
Sautti tamu safi sana raha tupu
Noma
2022 and still listening to this song🔥🔥
Penda sana hili song
am really reminding my friends Bakar Mkufu in Arusha sometimes back he come back from Tanga he bring me this nice song that was currently song
So sensational.....one of the beautiful sons that define the beauty of the African woman. The African woman is no longer the woman in the kitchen. Behind every successful man is a beautiful strong soul of a woman. If as a man you want to be successful, walk side by side with you woman. You will never regret it
It is one of best taarab music i have ever listen to
Old will remain to gold
Yanikumbusha utotoni mwangu
Jamani pajero linanisumbua iko wapi ile nyimbo jamani
Hatari 👌👌
Great song by Bi Mwanahela
September 2022 nipo hapa
Nakumbuka zamaani,taarab siku hizi biashara tu!.
mashallah nyimbo kuntuuuu
Nakumbuka wakat huo nilikuw kijana mbichi nilikuw nilikozaliw Nghoboko Meatu
it's remind me very far
Nasi twatakaa pajeroooo
J.pilli ya Leo nimemisi nyimbo za home tanga raha
Umemiss 14 mwanahela 12 babloom kisauji hahaha
Wacha tu tanga raha
Usijar nakuretea nyingi tu najuwa nawakosha wengi sana mm mwenyewe zanikosha sana nakumbuka bara bara ya 13 stendi ya umba rivar Tower scania 81 bus hiyo tanga mlalo maaaashall kitambo sana
Tanga Raha sana haswa kukipata kitu roho inapenda. Wapi Lugendo?
Alhamdulillah nmeipata
Mara ya mwisho naisikia 2001 kumb imedizid hat umri hii nyimbo😂😂😂
Kwenye harusi ukiisikia tu huu wimbo basi jua mke kishaenda kwa mume kutumika
Hahahahhahahahh na pilau limeshaliwa jamvini kabisa 🤣🤣🤣🤣
mamb ni moto p/moja sana
Hii ni mix ya asiri mbili wasambaa na wapondei. Wale wakina tui wanaelewa na ware waboshazi wanajua hii
Hata sijui nlikua wapi wakati huo jaman
miaka ya 90 hy
Mwenyezi mungu amrehem kwakweli
Nimzima had leo nanguvu zake
Njoo tanga umuone labda useme shakila
nimkumbuka mbali
Santaaaa hapo taarabu hata iwe wapi waifata 🤣🤣! Mambo ya TA kweli nyumbani raha. Ulaya Ulaya kunani Ulaya
oyoooooooooo tanga rahaaaa
Saf
Pambee sana
Asante Bi mwanaela
2021 bado iko kwenye ladha
nakumbuka 1993 natokea korogwe naenda tanga mjini kwenye basi aina ya dcm basi niraha tupu
Hahhahaah
Enzi hizo hazirudi tena bro. Naukumbuka wimbo huo mwaka 1991 nikiwa darasa la 7 Chumbageni Tanga mjini
Love this song rip mwanahela
She Still Alive
Chonge hivi hi sio origanal au ni masikio yangu?
Ndiyo yenyewe
Kama sikosei ulirekodiwa mwaka 1990 mwezi Meu
1990 ndio nimeusikia
Uko sahihi maana kipindi hicho niko darasa la sita Chumbageni Tanga. Daaaaah machozi yanataka kunitoka maana namkumbuka sana marehemu wazee wangu (Baba yangu mzazi na Baba mdogo).....daaah enzi hazirudi aiseeee
Nakumbuka izaa ya kiswahili ya radio Rwanda Kigali zana za Kabendera Shinan
M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi bi mwanahela na ahsante sana kwa muziki mzuri
Kafariki mwaka gani dah inauma kwakweli
Ninachojua mm Bi Mwanahela bado yupo hai sijasikia taarifa ya msiba wake. I stand to.be corrected
Hivi kumbe Bi Mwanahela alifariki?
Yuko Hai jamani...yupo tanga
Santha hadi raha
love this
Raha ya zilipendwa hizi
hatar faya mwaka 93
Mambo hayoooo
Hatariiiiiiiii tupu Tanga rara
Inanikumbusha mwaka 1998 nipo mtwara natafuta maisha
Nakumbuka mapanda ya papa nikimkumbuka rafiki yangu anaitwa masika alikuwa anapenda sana nyimbo hizi
Nani anaskiliza nami July 2021?
July 2022
Aisee inanikumbusha mwaka 1986)nipo darasa la pili)mwenyezimungu akupunguzie adhabu ya kaburi.
kaimba nani wimbo huu?
Aboubakar Kisuju ni ya 1991
Aboubakar Kisuju.
Huyu ni bi Mwanahela
ni mzima wa afya buher
aliyetutoka ni bi Tatu Said
Bi Shakila Said
Salaam wapo hai wote hao Mwanahela na Hamza Bin Ally
Kumbe mhenga
mimi inanikumbusha mwaka 1987
Huu wimbo ulitoka mwaka 1990 ndio hasa ulihit sana.
I'm listening 2021 great song ever
tango Mona hiyo
Old is gold
❤❤❤❤
mussa.husseni
Mama wa kibondei kutoka tanga
nyimbo zawala majani izo
Dan sina chakusema hizi ndizo taarab
1990 rong time you goo
Danlod