SHADOW OF THE OWNER - 9 NA 10/10, season II SIMULIZI ZA UPELELEZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 63

  • @MariamuSaid-z2e
    @MariamuSaid-z2e Год назад +1

    ❤❤❤

  • @جيهانسالم-ج3خ
    @جيهانسالم-ج3خ Год назад +2

    kidume awanyowoshe kabisa sana ekibal waoneshe

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +2

    Straight away to the state house baby gal Rahman Vs Iqbal

  • @hellenodhiambo4342
    @hellenodhiambo4342 Год назад +3

    The story was so interesting love it

  • @lindaanyango
    @lindaanyango Год назад +3

    Ilikuwa tamu sana nasubiri (NANIUKUMIWE TENA)

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Год назад +5

    Wow Maa Shaa ALLah AlhamduliLLah atleast mwisho umekuwa mwema sana shukran za dhati kwenu nyote Mwandishi, msimuliaji D'Oen na crew nzima ya Simulizi Mix JazakumuLLahu Khairan nyote kwa kutuburudisha, kutufurahisha na kutuelimisha we love you guys. 😍🥰

  • @ainsesseverest1136
    @ainsesseverest1136 Год назад +1

    Ahsante sana simuliz mix kwa lakn pia impindiselo tumeimiss malizien bas

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад +4

    Vipenzi wa simulizi mix ,hampotezi hata majira ,ikiwasili tu mumeidaka haaa😁😁

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +4

    ❤❤❤ tusonge mbele na msimuliaji wetu D,oen na mtunzi wetu MobyShine🔥🔥🔥🔥

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад +1

    Jumaaa limekishuka shuuu finally tumemalizia kwa mafunzo tele haswaa kwa michoro ya hao machachari hata km kuna mtu kweli hajaelewa tangia mwanzo wa simulizi hapo kweli hawezi toka bure,,, mbarikiwe sana mobyshine na Habibi wetu oen 🙏🙏🥰💞 tuko pamoja

  • @mariethamasika9125
    @mariethamasika9125 Год назад +2

    Nmecheka sana, ety wa mkoa anashuka tupige makofi,...alafu Ikibari anashuka😅😅

  • @hadijahkarine4658
    @hadijahkarine4658 Год назад +1

    Asante kwa simulizi nzuri🥰🥰🥰🥰🇧🇻🇧🇻

  • @rehemanifasha5524
    @rehemanifasha5524 Год назад +1

    Nime wahi leo Asante sana kwa simulizi zuri

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +3

    Owky! I'm no.1 thanks Smix kwa muendelezo 🙏🏻

  • @mkasijuma8970
    @mkasijuma8970 Год назад +1

    Shukran sanaa tumefurahiaa D'oen Mungu awabariki nyotee❤❤

  • @jamaaamina296
    @jamaaamina296 Год назад +1

    Asante sana MC

  • @جيهانسالم-ج3خ
    @جيهانسالم-ج3خ Год назад

    mwisho waziki ni furaha jamani pia na mwisho wa ubaye ni ayibu acha juma na husen ni kundi lake wakavune kile walicho kipanda asata sana simuliz mix kwa adisi zenye mafunzo shukurani sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nimetani isikwishe jamani

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Год назад

    Yes that's true 👍 Ishi kwa wema utayaone mema hadi mbele ya Mungu☝️ utayaona tu mema yako🙌Shukran sna mubarikiwe kwa sote 🙏

  • @عهُد-ب6ظ
    @عهُد-ب6ظ Год назад

    Daaah Shukrani za dhati ziwafikie na kuwarudia wote wahusika waandalizi wa simulizi hii ambayo imekuwa na mafundisho mbali mbali na kwa watu wa umri wo wote na kwa watu wahi mbali mbali bila kuwangalia , vipawa, utajiri ama umaskini ila imekuwa ikifundisha mafundisho kwa wote ila kweli apandacho mtu ndicho huvuna maana ukiwa mbinafsi na mwenye madharao utavuna hayo hayo ila ukipanda utu utavuna utu , hongera d oen kwa kazi safi na pia shirika lote la smix kwa ukarimu na juhudi zenu

  • @vero756
    @vero756 Год назад

    😂😂😂😂nimecheka kwa sauti watu wakimkaribisha Iqbal.rahma hongera kwa ķupata rafiki wa kweli 🥰D asante kwa simulizi nzuri tamu na yenye hichoshi na mafunzo niko nyuma yako step by step

  • @christinaalex8436
    @christinaalex8436 Год назад +1

    🥰🥰🥰nzuri sana

  • @omanal373
    @omanal373 Год назад +1

    Okay okay tupo tumetulia tu tunaenjoy na shadow of the owner

  • @elizabethbarasa5832
    @elizabethbarasa5832 Год назад +2

    I salute Heroes of mine, team simulizi,aki najivunia sana kuwajua, blessings.

  • @faustinnahayo1670
    @faustinnahayo1670 Год назад

    Hadithi nzuri sana, sasa tunaomba mututafutie Hadithi inaitwa Ambola ya Matayo Mulumbi

  • @sabrakhamis4585
    @sabrakhamis4585 Год назад +1

    Shukran saaaanaa😘😍😍😘😍😍😍😍

  • @christineimbwana9212
    @christineimbwana9212 Год назад

    Ahsanta kwa simulizi murua,it was soo interesting 🤔👏👏🙏

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Shukran sana simulizi mix hatimae tumemaliza Salama kazi nzuri sana

  • @bintdoman7752
    @bintdoman7752 Год назад

    Nimejifunza Aseee asante mtunzi asanteee msimuliaji 🙏

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 Год назад +1

    Nice

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 Год назад

    Nimefurah sn Asante sn simulizi mix love ❤️ ❤️ ❤️❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️

  • @mwanyemimohamed2191
    @mwanyemimohamed2191 Год назад +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @khadija725
    @khadija725 Год назад +1

    💞🙏💞

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Год назад +2

    Shukran sana Mr Director Oen kwa simulizi

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 Год назад +1

    Shukran smlz mx ❤❤🎉

  • @kezia5777
    @kezia5777 Год назад +1

    Asante tunasonga nayo 🥰🥰🥰😂

  • @saumurajab7542
    @saumurajab7542 Год назад

    😘😘👌👌👌💯💯💯

  • @haidabezuidenhout7896
    @haidabezuidenhout7896 Год назад +1

    Natamani isiyishe nimzuri Sana nikiyizikiliza sichoki kufanyakazi

  • @Galaxy-yu6bk
    @Galaxy-yu6bk Год назад

    Simuliz tam😘😘😘

  • @ziyadamubark1612
    @ziyadamubark1612 Год назад

    Wow

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 Год назад

    Thankyou 🙏

  • @Galaxy-yu6bk
    @Galaxy-yu6bk Год назад

    😘😘😘😘😘😘

  • @anwaritemalley9917
    @anwaritemalley9917 Год назад +1

    Hii simulizi ntarudia kuisikiliza mara kwa mara namwomba mungu anijalie uhai mwanangu pia akifikia miaka 10 kama atashindwa kuisikikiza bhc nitamsimulia sintoisahau hat siku moja

  • @msimhassan
    @msimhassan Год назад

    🙏🙏🔥

  • @mwanahawayunus3653
    @mwanahawayunus3653 Год назад

    Shukran Sana

  • @saumurajab7542
    @saumurajab7542 Год назад

    Thanks

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +1

    ❤️❤️❤️👌

  • @chantalmavandu4950
    @chantalmavandu4950 Год назад

    Thank you so much

  • @anwaritemalley9917
    @anwaritemalley9917 Год назад +1

    Mtunz wa hii simulizi na msimuliaji niombeeni siku moja ntawapa zawadi hat kama ni kidogo hii simulizi imenifundisha mengi mengi nawashukuru sana na mungu awape baraka zake awajalie afya njema siku zote. Mnatuelimesha sanaaah

  • @MaryBosibori-iw1yo
    @MaryBosibori-iw1yo 17 дней назад

    Jamani uyu juma..kaa

  • @euniceumazi5143
    @euniceumazi5143 Год назад

    Asanteee

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +1

    😂😂😂😂Juma juma loho baya imekupoza asate sana simlizi mix d oen Mbalikiwe sana jamani katam

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад +3

    Wapenzi mpo thank you so much simulizi mix love you 🇰🇪

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +3

    Asante kwa kutuelimisha nimepata funzo katika simulizi hii katika maisha haya usimdharau mtu usiye mjua❤ asante simulizi mix D’oen na mtunzi wetu Mogshine🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪

  • @bintimrope
    @bintimrope Год назад

    Ebwana ndiooo

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 Год назад

    Ndio waswahili husema ukipanda ubaya utavuna ubaya. Na ucdharau mtu kwa Hali duni alonaya la mwisho ni mwisho wa ubaya ni aibu

  • @جيهانسالم-ج3خ
    @جيهانسالم-ج3خ Год назад

    leo hiyi husen anajutiya kwamambo ambayo ameyafanya

  • @nathankatumba7868
    @nathankatumba7868 Год назад

    Nata mani kua mwana tchama weyu

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Год назад +2

    George dactony usituletee nusu kama impindiselo ulikataa kuimalizia😥

    • @halimashaib9102
      @halimashaib9102 Год назад

      Ndio mambo yake hata roho za mabinti Sita hakumaliza yutube.... Omba omba wa daraja la salenda pia Sasa hio nihukumiwe Tena inaogopesha kuianza

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Год назад +2

      @@halimashaib9102 hata sijuwi kwa nini

    • @ayubusalehehussenimrutu-ek2mh
      @ayubusalehehussenimrutu-ek2mh Год назад

      @@halimashaib9102 umesahau Ile tax ya mauaji

  • @lodybrown3045
    @lodybrown3045 Год назад

    Ikubali good bye bye

  • @christineimbwana9212
    @christineimbwana9212 Год назад

    Ahsanta kwa simulizi murua,it was soo interesting 🤔👏👏🙏