SHADOW OF THE OWNER - 7 NA 8 /10, SIMULIZI ZA UPELELEZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 48

  • @rabiaungando7487
    @rabiaungando7487 Год назад +2

    Babu ndio boss

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад +11

    Kumi bora naomba like zenu

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад +2

    Wazee wenzangu hamuoni mzee gwae ndiye mwenye mali

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 Год назад +2

    Msiniambie Leo nimeachwa mbali

  • @عهُد-ب6ظ
    @عهُد-ب6ظ Год назад +1

    Hogereni simulizi mix kwa kazi yenu nzuri na yenye kutupa mafunzo maana hapa nizaidi ya darasa heko D oen tupo pamoja usiupindishe usukani kwani macho na masikio yetu nikwako

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Год назад +1

    Pamoja sana mr Director Oen

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад +1

    Shukran sana simulizi mix

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад

    Babu gwae huyoooo,,,huku anawachora tu ila jmn mwishowe c watahaibika ndo maana inasemwa usimdharau usiye mjua thanks mobyshine na oen big up

  • @aishabakari7362
    @aishabakari7362 Год назад +1

    Babu ndio mwenyewe

  • @emilyadhiambo4540
    @emilyadhiambo4540 Год назад +1

    Asanteni kwa kutuletea mwendelezo 🇰🇪

  • @umisidi1816
    @umisidi1816 Год назад +1

    Babu ngwaya amekuja kuwajaribu wafanyikazi

  • @biambarak5298
    @biambarak5298 Год назад

    Babu babu pole ngoja siku wajue ukweli

  • @omanal373
    @omanal373 Год назад +1

    Nimewahi leo wallah😂😂😂

  • @harunmanura7900
    @harunmanura7900 Год назад +1

    Nafuatilia bega kwa bega

  • @bcutezxz9696
    @bcutezxz9696 Год назад

    Mzee gwaya

  • @vero756
    @vero756 Год назад +1

    Wa kwanza kulike wakwanza kuli View 👌👌👌👌👌

  • @msimhassan
    @msimhassan Год назад

    Babu ndiye boss

  • @THOMASWapali
    @THOMASWapali 11 месяцев назад

    Mi nahisi babu ndo boss 😊

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад

    Ki2 ❤️❤️❤️👌

  • @saraasatenisanasimlizimixc9232
    @saraasatenisanasimlizimixc9232 Год назад +1

    Asate sana simlizi mix d oen

  • @munalove450
    @munalove450 Год назад +3

    Habari zenu wanafamilia tupo pamoja😍😍

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Год назад +2

    Nimekaribia thanks Smix pamoja sana I'm no.1 👍🏻

  • @vero756
    @vero756 Год назад +1

    Done!Iqbal Macaristan si rafiki 😒thanks to all my best friends for being a good friends Salma quick Recovery mamaaaa❤ be good person coz you might be the one sorry for your actions. D GOOD JOB👍👌

  • @clinton4286
    @clinton4286 Год назад

    Asante sana simulizi mix

  • @chantalmavandu4950
    @chantalmavandu4950 Год назад +1

    Wow thank you 🙏

  • @جيهانسالم-ج3خ
    @جيهانسالم-ج3خ Год назад

    Ekibali jamani hawafuraishi nambiyeni

  • @elizabethbarasa5832
    @elizabethbarasa5832 Год назад +1

    I think 🤔🤔 ni Babu director

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад

    ❤️❤️❤️👌

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Год назад

    🤗🥰🥰

  • @AshaJuma-rg9bk
    @AshaJuma-rg9bk Год назад

    Mmilik atakua ni babu gwae

  • @kassimkibwe4614
    @kassimkibwe4614 Год назад

    Binafsi nahisi watu wawili, 1.Babu au Mama ikbar

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 Год назад

    Boss wa hiyo company ni babu gwai!!!

  • @bintimrope
    @bintimrope Год назад

    Shukrani sana

  • @yussrasalim3208
    @yussrasalim3208 Год назад

    Na me nahis babu ni mmilik

  • @halimamunga1681
    @halimamunga1681 Год назад +2

    Tupo pamoja

  • @عهُد-ب6ظ
    @عهُد-ب6ظ Год назад +1

    Ila mimi hujiuliza mbona matajiri hujiooona kuwa wao nizaidi ya wanadamu ama zaidi yakujiona sukari na sio chumvi huwa wananipa stress juu nikiwangalia wanashida nyingi kuliko maskini kwani maskini hulala popote na bila mashaka ama kujishitukia wala hofu na haijalishi niporini ama barabarani ama wapi maana wanaamani ya kuwatosha ila hao matajiri wanalala majengo ya mawe na matofali na walinzi kama wote ila bado wanameza dawa zakuutafuta usingizi na bado usingizi unagoma hata hivyo siyatamani maisha hayo ila maisha ya kadri

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад +1

    Nishalike mda tu sasa nimerudi kusikiliza ❤ asante simulizi mix kwa kutuletea mwendelezo, nasisitiza T-shirt yang mnitunzie🙏

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Год назад

    Kweli matajiri itakuwa ni vigumu kuingia ktk ufalme wa mbinguni

  • @beibzmerce9528
    @beibzmerce9528 Год назад +1

    Ukweli mwenye hii Mali ni nani?

  • @maryamanalisi197
    @maryamanalisi197 Год назад

    ❤❤❤😂🎉

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Год назад

    😂

  • @ghamlamohd9584
    @ghamlamohd9584 Год назад

    so