PRESENTER ALI COOKING EGGS FOR MUNGAI EVE INSIDE HER HOUSE! | I LOVE YOUR EGGS❤️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 413

  • @Kasweetie_254
    @Kasweetie_254 2 года назад +54

    I like your friendship ,so loyal guys .big up .urafiki wenu uzidi kudumu 💯🙏

  • @susanogutu821
    @susanogutu821 2 года назад +33

    Eve you can as well put tomatoes in hot water to peel off the ngozi
    It’s faster than what Ali doing
    But good job to Ali
    Luv u all!

  • @lovie231
    @lovie231 2 года назад +9

    Hizo ni mayai za warabu Maa shaaAllah, style safi sana

  • @wwjd3792
    @wwjd3792 2 года назад +6

    Presenter Ali is very clean...great! Hiyo food unakula bila wasiwasi.

  • @danielkiwia9012
    @danielkiwia9012 2 года назад +5

    Eve bana nizawadi na izo utensils ndio naanza life kwa bedsitter ki bachelor.... Nyumba isikue empty sana 🙏
    Kudos to Ali pia, I love cooking too

  • @humanhomesolutions9782
    @humanhomesolutions9782 2 года назад +20

    I think this is the best chemistry I have seen...the way u talk, respect, venye mnapiga stories...next time Ali atupikie kuku na mchele wa buriani...na muendelee hivyo hivyo. With such stories n that friendship...I like it when a man is cooking...mungai eve usisahau...invite Ali again atupikie kuku na mchele ya buriani

  • @Baraka_Ke
    @Baraka_Ke 2 года назад +5

    Presenter Ali I love your loyalty sana to mungaiEve and Trevor

  • @k34tv71
    @k34tv71 2 года назад +7

    Mungai na Ali perfect match

  • @aggynimo868
    @aggynimo868 2 года назад +5

    Bravo Ali! So wewe ni mpishi! You look good together.. napenda mkiwork pamoja

  • @laurenednewfo7997
    @laurenednewfo7997 2 года назад +3

    Who has noticed about Eve's body changes,,, she has become "kibonge"😄😄

  • @amorndirithi4135
    @amorndirithi4135 2 года назад +5

    Nawapenda sana watu wangu....nyanya blend @Eve kuliko uchonge

  • @chimumybae552
    @chimumybae552 2 года назад +7

    I love presenter Ali sana😍.. Mungai you are my mentors guys💕

  • @pennyjohnk2477
    @pennyjohnk2477 2 года назад +20

    @eve all you need to do is blend everything you need together and cook the sauce and you will enjoy it 👌

  • @benmutembeitv4953
    @benmutembeitv4953 2 года назад +37

    The best way on how to peal tomatoes is softening them in hot water and just pealing the epicarp. That simple

    • @marbymwangi
      @marbymwangi 2 года назад +1

      Eiiish you seem you know dis tings can I be your guest pliz😚

    • @stellahoyiellah454
      @stellahoyiellah454 2 года назад +2

      Exactly, daz the easiest way

    • @feihimani57
      @feihimani57 2 года назад +1

      Hahaha tunakuita chef who

    • @patiencemercy9011
      @patiencemercy9011 2 года назад +1

      Very true...

    • @lucywanjira4883
      @lucywanjira4883 2 года назад +3

      Its called branching hapo nilikuwa keen darasani 😄😄

  • @lucyberyl7482
    @lucyberyl7482 2 года назад +21

    I love this presenter Ali
    He has a good ❤️

  • @commentator254
    @commentator254 2 года назад +3

    Leo sijamskia boy fulani amazing Madubi and guess leo kwenye guest list tuko na Kaparo kwa jina la Presenter Ali😂😂😂👌

  • @gilfinfaith4987
    @gilfinfaith4987 2 года назад +2

    Eve and Ali look good together

  • @sheekenfamily5775
    @sheekenfamily5775 2 года назад +3

    Ali is so humble big up

  • @nancykamotho7019
    @nancykamotho7019 2 года назад +15

    Mungai Eve and presenter Ali, enjoyed your cooking session. You're both doing a good job. I love your channels.

  • @millicentakinyi9252
    @millicentakinyi9252 2 года назад +3

    For me its how they support each other,keep winning guys!!Ali ati umesema watoto sta saba huko...you've made my night acha nilale sasa

  • @ummiween1033
    @ummiween1033 2 года назад +2

    Presenter Ali makes his eggs like how I prepare mine.

  • @roaldavyFX
    @roaldavyFX 2 года назад +7

    The other way of peeling tomato and more simpler ni kuweka kwa warm water for some seconds and then unapeel

  • @josephatmwalugha6577
    @josephatmwalugha6577 2 года назад +1

    Mungai Eve na presenter Ali Trevor huona wivu sio njaa humununisha 😹😹😹 I like the vibe 💙

  • @wacekewakareithivlogs7269
    @wacekewakareithivlogs7269 2 года назад +1

    Aki simpitie kwangu ata mm niskie poa Aki... Kazi mzuri mungai na ali

  • @faithmuinde210
    @faithmuinde210 2 года назад +7

    Nimependa hiyo interview ilikuwa awesome

  • @robaisitatishow1607
    @robaisitatishow1607 2 года назад +4

    Hapo kwa husband material ndo am still concentrating anyway you guys are really great keep going my dear loved ones

  • @Vicenteeh
    @Vicenteeh 2 года назад +2

    Hello Eve..😊 Ali doing good oh eve pia apike siku moja tuone...

  • @awinojuju8522
    @awinojuju8522 2 года назад +7

    Kitchen ya Mungaii iko disorganised 😂😂😂😂 nipee kaziii ya usafi

  • @liliannyabs2331
    @liliannyabs2331 2 года назад +1

    Guys this friendship iko kwa level ingine noma Sana ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @alikibwana9417
    @alikibwana9417 2 года назад +3

    I love chicken biryani too...kudos presenter Ali...love Yu bro bi idhini LLAH

  • @strongmummy580
    @strongmummy580 2 года назад +2

    Eve please, nipe job apo kwako nikuwe house manager by the way.

  • @talishawambua6392
    @talishawambua6392 2 года назад

    Mungai Eve hako kabody kanakuja kukuja ....Naona bumbum zimeanza kutokelezea....big up kamum

  • @monicahkamuyu2371
    @monicahkamuyu2371 2 года назад +2

    Keep it up guys nimependa urafiki wenu....Hata mm nategea mayai

  • @annabelle226
    @annabelle226 2 года назад +1

    Ali u prepared it like arabs. I like it.

  • @nancyachieng2474
    @nancyachieng2474 2 года назад +17

    The easy way to peel 🍅🍅 tomatoes is to put inside hot water,that will be easier and faster than using a knife

  • @livingtestimony2023
    @livingtestimony2023 2 года назад +6

    Two amazing people 💪

  • @Magdalinewanjiru
    @Magdalinewanjiru Год назад

    Hey Eve l love you so so much and l love your chanel nakuwochingi sana tutaftane aky

  • @peter_didit
    @peter_didit 2 года назад +6

    easy way to peel nyanya, deep in hot water then skin hutoka yenyewe

  • @nymohmutahi4496
    @nymohmutahi4496 2 года назад +15

    Instead of peeling,boil the 🍅 like 3mints microwave it works 👌

  • @uwasesifaofficial4655
    @uwasesifaofficial4655 2 года назад +5

    Hata mimi uchonga nyanya much love From Rwanda

  • @brianmuimi
    @brianmuimi 2 года назад

    Ali venye wapika na venye napika hatuna utofauti kabisa. That's the best style of making delicious eggs🤤

  • @nimocate2095
    @nimocate2095 2 года назад +2

    Ali ukitaka ku peel haraka nyanya unazi chemsha kiasi then ngozi utoka virahisi

  • @estherzihuramye9995
    @estherzihuramye9995 2 года назад +2

    Yes Eve tomatoes are peeled by choice, especially if you want to make a good omelette because with skin on its irritating when you eat. You are true friends, It's good to bond over food.

  • @mwende2617
    @mwende2617 2 года назад +3

    Mungai naomba kazi ya kuosha vyombo

  • @elijahmwangale.8066
    @elijahmwangale.8066 2 года назад +1

    Appetizing eggs.... Inapendeza zana,,,great content,,, lovely kitchen.

  • @Otibla
    @Otibla 2 года назад +2

    Eve mimi naomba kukabidhiwa hivyo vifaa vya upishi kama mshindi_ ila hata sio bure, kwanza nipatane na Amazing presenter Ali alias 'Mwana' kwa Duel ya upishi, let him choose the place, time, and meal; ntampeleka mbio, ila mwana pia ni mkali kupika, skill kama zangu tu, ila nitamchoma.

  • @ayiechaanne6756
    @ayiechaanne6756 2 года назад +2

    I have encountered 2yorks many times😁😁iko,ambia present Ali

    • @fabyscarl
      @fabyscarl 2 года назад

      I have never encountered any twin yolks

  • @officialmmm2
    @officialmmm2 2 года назад +1

    Kunayo yai zaidi ya York 2,me I got 3 Yorks in 1 egg,, @Presenter Ali nakam unionyeshe kupika biriani

  • @vivivivi4995
    @vivivivi4995 2 года назад +1

    You guys are owesome, i like your creativity and connection, keep up.Beutifull Mungai and hansome Ali kisses and hugs , be blessed

  • @Steve.influencer
    @Steve.influencer 2 года назад +45

    I literally come to RUclips everyday to check the notification “someone liked your comment’’ and “you have a new subscriber’’ it’s always Make my day🎭

  • @tqueensempiretheeafroqueen2878
    @tqueensempiretheeafroqueen2878 2 года назад +1

    Eiiiish umetaja twins tukajikumbuka😅mungai eve tunakuja lini tuone kama unaeza tutofautisha, identical kabisaa?😂😂Mob love from T Queens. Ali kumbe you can cook ivo mwanaata kwako tutafika tukuconfuse😂

  • @maggiellicious6582
    @maggiellicious6582 2 года назад +2

    I do peal tomatoes too coz I don’t eat cooked tomatoes so I prefer pealing them ,but easy way to do so deep in hot water and the skin will come out .

  • @karendikitchen8439
    @karendikitchen8439 2 года назад +4

    Uki katakata kitunguuu weka maji na bakuli open hapo karibu....
    @eve utumiange mwiko aka vijiko za mti wakati wa hizo non stick thuburia🤣🤣🤣

    • @wellplatedmeals
      @wellplatedmeals 2 года назад

      nipitie unisupport pia mummy
      ruclips.net/video/Pl0fmjrWHOI/видео.html

  • @uniquechannelbyfrank7159
    @uniquechannelbyfrank7159 2 года назад +2

    Yea presenter Ali kuna mayai iko na yolk mbili,ni same tu vile mtu anaeza zaa twins but io hua hai hatch

  • @lucasyawa227
    @lucasyawa227 2 года назад +2

    Give away nipeni Mimi napenda kupika Sana,halafu pia my dream car ni Lexus lx570 kama Tu Eve.

  • @monictabby1858
    @monictabby1858 2 года назад +3

    I always get the skin off,not new depends on how you like it,as a kid sikuwai penda hio ngozi so never cooked with it

  • @janeshirokitchen1186
    @janeshirokitchen1186 2 года назад +3

    One of my favorite quick fix meal🥰.

  • @anitahlydia6634
    @anitahlydia6634 2 года назад +2

    There is an egg with two York's, Hope Eve hapei wageni mayai na mkate for supper.

  • @puriebambi9899
    @puriebambi9899 2 года назад +5

    Niko mtoi wa Ali😂😂😂😂....

  • @evalinekwamboka1896
    @evalinekwamboka1896 2 года назад +4

    Hata mm nakula Ali🤣🤣🤣

  • @willykaduka265
    @willykaduka265 2 года назад +6

    Keep it up Ali and eve 😍🥂

  • @wanzac542
    @wanzac542 2 года назад +8

    I love you guys....mnafanyanga mtu atake tu kuwawatch

    • @chenalus-theafricanprince9000
      @chenalus-theafricanprince9000 2 года назад +1

      ruclips.net/video/Hm-J_mjEkP4/видео.html cw

    • @proasiagosounds
      @proasiagosounds 2 года назад

      Pita kwangu
      ruclips.net/video/CPhOVxbwuhg/видео.html

    • @wanzac542
      @wanzac542 2 года назад

      @@chenalus-theafricanprince9000 ruclips.net/video/7-4b97axAew/видео.html fika kwangu pia

    • @wanzac542
      @wanzac542 2 года назад

      @@proasiagosounds kwangu pia ruclips.net/video/7-4b97axAew/видео.html

  • @anitahlydia6634
    @anitahlydia6634 2 года назад +2

    Wapi mandubi ndio tumezoea kwa insta fame,, lkn mwapendeza kweli, na hiyo interview umehostiwa na Ali we need part 2 of it.

  • @sashagal5683
    @sashagal5683 2 года назад +1

    Eve please host holy Dave muthengi that guy will not dissapoint you we will also eat from our data bundles...I eat tomatoes straight from the market I see a tomato I eat ...ata Ile kitu ya juu watu hutoa ...sijawahi toa ngozi Mimi jamani ...

  • @munadlebobo5234
    @munadlebobo5234 2 года назад +5

    Eazy way is to grate the tomatoes

  • @dianasheekenya2134
    @dianasheekenya2134 2 года назад +11

    I smell some chemistry btwn the two 👀👩‍🦯👩‍🦯

  • @rhodaojwang2961
    @rhodaojwang2961 2 года назад

    That hair cut ya presenter Ali iko fresh

  • @swesschao3095
    @swesschao3095 2 года назад

    Mungai ungekuwa ushamaliza kuosha vyombo time ali anapika omlet... Nawapenda

  • @Vinniebke
    @Vinniebke 2 года назад +15

    Mungai eve we need you in gilgil we need your support can't wait to see you in gilgil

  • @husnaabiero8477
    @husnaabiero8477 2 года назад +4

    Ali kwani ww ni wa mombasa ama Tanzania coz natokea mombasa

  • @nooor1120
    @nooor1120 2 года назад

    Makena kafaidi sana kwa Aly mmungu akulindeni ktk ndoa yenu.

  • @TripleG834
    @TripleG834 2 года назад

    Coool. To your Chanel Alf badla yakpll nyanya weka maji kwa sufuria Alf uweke nyanya itatoa iyo cva ya juu tu

  • @nivandalulaxy9376
    @nivandalulaxy9376 2 года назад +9

    Beautiful👐🏼

  • @favouredruth8432
    @favouredruth8432 2 года назад +3

    Wooow.... My amazing people

  • @francktv1004
    @francktv1004 2 года назад +8

    I love this

  • @gracekinyanjui3248
    @gracekinyanjui3248 2 года назад +6

    You guys are doing an amazing job... Keep up

  • @elizaelizabeth8988
    @elizaelizabeth8988 2 года назад +1

    😂 😂 😂 😂 Mungai niitie job ya kitchen cleaner.

  • @africangirllynn4696
    @africangirllynn4696 2 года назад +1

    Kupeel ni kazi azirushe kwa maji moto zinapeel mbio ama azigrate hazitakua na peels

  • @sheabouyarnie5733
    @sheabouyarnie5733 2 года назад

    Put the nyanya in hot water,zitapeel vi easy. Good job !!!!

  • @eunicemuthoni7597
    @eunicemuthoni7597 2 года назад +1

    Guys try to use plastic spoons or wooden spoons to avoid scratching masufurias(pots) Gd job👌

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 2 года назад

    Aki Eve niko hapa rounda Kasuku center nisambazie hudie ya white please....pia naweza tembea hadi hapo La cansa end floor.

  • @olivermusiq1758
    @olivermusiq1758 2 года назад +1

    Hawa watu wawili you really mentor me

  • @stellahgetuno837
    @stellahgetuno837 2 года назад

    I like ur cooking Ali
    But next time tumia mwiko kadogo kupika
    Then u can blend tomatoes au uweke kwa maji moto kiasi then itatoka maganda vizuri with no stragglers

  • @candycandy2780
    @candycandy2780 2 года назад

    ....badala ya kupitia agony ya kupeel tomatoes you just soak them in boiled water...hiyo ngozi hutoka effortlessly

  • @wachira_mo
    @wachira_mo 2 года назад +1

    Leo hakuna ule boy flani amazing😂😂😂😂

  • @miriamchiry4402
    @miriamchiry4402 2 года назад +7

    I love you guys, you are going far.

  • @74bosire
    @74bosire 2 года назад +1

    Mayai ya Ali tamu 😂

  • @venjablacks7497
    @venjablacks7497 2 года назад +1

    Mungai eve,mungai eve,mungai eve

  • @mariemkarama1811
    @mariemkarama1811 2 года назад

    Ali is Agood perspn hes very polite 😂

  • @karanjajane4322
    @karanjajane4322 2 года назад

    Premier gang 001..naomba mkate slice 4 tafasali😁😁

  • @Favouredking
    @Favouredking 2 года назад

    Presenter Ali acha nkupee hint,if you want to peel tomatoes zirushe kwa hot water for like 5 min na ngozi itajitoa yenyewe

  • @lilianmwende658
    @lilianmwende658 2 года назад +1

    Ali my crush

  • @susanndungu9744
    @susanndungu9744 2 года назад

    Bytha pia Mimi hupeal tomatoes....l love this...next time please mtupikie biryan

    • @wellplatedmeals
      @wellplatedmeals 2 года назад

      nipitie unisupport pia mummy kindly
      ruclips.net/video/Pl0fmjrWHOI/видео.html

  • @feycute
    @feycute 2 года назад +1

    Ali weka maji moto kwa kasufuria weka tomato like 5 mnt ni rahisi ngoxi kutoka🤣🤣🤣🍅🍅

  • @Anastacia334
    @Anastacia334 2 года назад +15

    This channel is so addictive

  • @timtanui
    @timtanui 2 года назад

    Pill nyanya ukitumia maji moto.... invite me to your show next time....niwapikie for free

  • @annabelsworld2573
    @annabelsworld2573 2 года назад

    My gal eve... nakupenda bure...presenter ali ulireply tu email moja hio ingine bado

  • @CHASINGSMILESKE
    @CHASINGSMILESKE 2 года назад +1

    Hii mwana ishatairi nyani😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @blackwater.1868
    @blackwater.1868 2 года назад

    30 min of cooking eggs yawah mm siwezi ngoja

  • @dianamwangi89
    @dianamwangi89 2 года назад

    Kazi safi Eva na Mwana,,