CHRISTINA SHUSHO Feat DREAMERS SINGERS - TETA NAO (Remix) SMS SKIZA 7635815 TO 811
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- #ChristinaShusho #Gospel
(C) Relax Investment
Christina Shusho Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/christi...
Written & Performed by Christina Shusho
For Bookings: cshusho@gmail.com
Follow Christina Shusho on:
/ christinashusho
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Psalms 35 :6 may their path be dark and slippery while the angel of God strike them down 🔥🔥💪☝️
Ndiyo maadui zetu wapigwe malufuko ju hawana uwezo juyetu
Zaburi 35
1 Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami.
2 Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie.
Amen
❤️❤️😍
Amen
Mungu tusaidae kwa hii safari ya mbinguni tunakuhitaji kila dakika
Yes, the battle is no longer mine, I was so badly hurt last year, but they are now paying one by one. Nitetee Bwana Yesu
Amen🙏
Amen
@@zurysuleiman3893 .
Kikwe ii nyimbo nzur sana
Amina amina aminaaaa
Kama umesikia sauti ya atosha kasava gonga like 💃💃💃everyday hii nyimbo mpka nisikie good work be blessed
Nami nimeisikia sauti ya Atoshaa..yaani ni fireee...
Amen
Z@@kilimobiashara6762
Same too me,let God be our vengeance all the time 🙏🏻
Same to me.
Nakupenda sana mtumishi,, huwa ninakuombea ninamshukuru Mungu unaendelea kufanya vzr,,huduma yako na hasa wimbo huu umefanyika msaada mkubwa maishani mwangu kwa mapitio nilopita ulifanya huduma bila ya wewe kujua.WIMBO HUU VERY POWERFUL ENOUGH TO FIGHT AGAINST SATAN AND HIS angels.much blessinngs cute sister TINA!!!! LOVE YOUIII
kama unatazama June 2020 like nying kwa shusho💪
Umeniokoa na mm nabarikiwa sana na wimbo huu wapendeza bwana wapendeza katika hili najua utatenda nitetee bwana nitete e bwana nitete katika hili najua utatenda
It's not a song but a solid prayer for a miserable heart may God be praised for ever
woooooi i will not imagine to stop listening it good message GOD bless you christine.
So true,it's keep up whenever am down
@@wilfredobutu5017 ya-0009
G ulys R
@@redemtahongele6785 pp
@@wilfredobutu5017 kkjmu
Kusema kweli nikisiliza wimbo huu napona hatakama nilikuwa nimevunjika moyo napata nguvu kwaupya.Cristina Mungu Akuinue Tena na Tena Kama unavyotuinua mioyo yetu inapoanguka.
Kweri mungunimwema ninaposikia huu wimbo na falijika
Andrew William x
Nimeukubali sana mungu akubariki sana
Amena ubarikiwe san
Wimbo unabariki huu
Yani huyu Dada nampendaga bure tu Mungu azidi kukupandisha viwango!!!Ee Bwana utete nao pigana nao
Riziki Tito nc
TETA NAO BABA
@@lydiakanah4478 AaawaaaàaaaÀ AA AWWAwAw
Teta nami Bwana
Kwa kweli nikisikia hii nyimbo moyo wangu unakuwa huru 😁😁😁😂
Ee bwana teta nao wanao teta nami.❤
Naipenda sana wimbo huuu tena sana
Teta nao unanigusa sana kumwachia Mungu yote
Bwana teta nami pamoja na muimbaj wangu nakupenda
Shusho, you are God's instrumunt
Eeh Bwana utete nao wanao teta nao.Asante YESU gonga like kama unamkubali Dada shusho
February 2021 . Teta nao pigana nao wanaopiga nami. Wananilipa mabaya nilinde Eeh Mungu🙏🙏🙏
niteteee Bwana nitetee katikahili najua utatendaa
Sometimes it's hurts so much to know the people your helping are the ones speaking evil about your life
Yes my dear that's true it really hurt for sure.
That's %100 true
Waaibishwe.....wafedheheshwe warudishwe nyuma..
Wapendeza bwana wapendeza katika hili najua utatenda🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯
Mungu akubariki Sana , vitendo vyako mungu akuongoze
MUNGU ATUPIGANIE DAIMA ... BILA YEYE HATUWEZI KABISA.... BARIKIWA SANA NIMETIWA MOYO WA KUENDELEA MBELE MAANA SHUJAA WA IMANI ..YESU MWENYEWE HAWEZI KUNIACHA... ANAISHI NDANI YANGU. AMEN . BARIKIWA SANA WATU WA MUNGU.
Mungu Akupe maisha marefu "émein"
Mm nimshabiki wako na huwa nabarikiwa na uimbaji wako bakia hapa hapa kwenye uinjilisti wa nyimbo ubarikiwe
Dada shusho mimi nakupendaga sana huduma yako inanibariki sana Mungu akuinue zaid na zaidi kama unabarikiwa kama mimi gonga like kulitukuza jina la Yesu kupitia mtumishi wake
This was my song when i passing through hell. But God heard me and fought my battles. I'm happy Christina you sang this song. It became my prayer.
Nakupenda sanaaa Christina shusho MUNGU akujalie sanaaa katika kazii yakoo akutete
Jamani huu wimbo umekuwa faraja kubwaaa sana kwangu kwani navita yandugu eemungu, mimi ninani nisikusifuuuu,,,, waaaabishwe
Njia yao iwe giza na utelezi nitetee bwana nitetee bwana nitetee katika ili najua bwana utatenda barikwa sana mtumishi wa mungu shusho nyimbo zako huwa nikisiliza nabarikwa sana
Alirud kusiliza zaid ya mara moja kama mm gonga like
zaburi 35 teta nao bwana ni tetee eeee
Bwana pigana nao, Baba nitetee, may God help me and my siblings set me free from power of witchcraft, God set us free from evil altar.
Wafungishe midomo yesu💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Na lazima watafunga midomo yao tu,,mwaka huu lazima wataelewa tu
Asante mungu Kwa ajili ya Dada Christine,Nyimbo zina ponya,Nyimbo zinafariji,mungu akulinde akubari.
😂😂😂😂😂😂eeh mungu simama unitetee 'waaibishwe wafedheheshwe na warudishwe nyuma.ifeel the spirit of God doing for me
Naiipenda sana iyi nyimbo, ishi milele Sawa océan Indien mamangu
second verse, sautiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️THE DREAMERS MNAJUA SANAAAA AISEEE
Aliye Juu teta nao kabisa. Ajabu ni kuwa siku zote Huwa hauna ubaya nao Wala hata hufuatilii maisha Yao, lakini wao Kila mara wanakupiga vita. Pigana nao Mfalme wa wafalme.
God fight with my enemies I have no power on my own hata wenye waliniwekea uchawi kwa mlango yangu ya damu nyama na nywele ya mnyama naamini huo uchawi utawarudia in Jesus Name
Wapendeza bwana wapendeza eeee bwana wapendeza katika hili najua utatendaaaa nitetee bwana nitetee eeebwana nitetee ktk hili najua utatendaaaa napapenda Sana sehem hii mungu ukubaliki dada ktk uimbaji wako
Nitetee Bwana ktk hili najua utatenda.... AMEN
Elineema Sarwat
@@spinhoespanyol7260 yes
Sweet song
I cant compare her with anybody.shes a true gospel singer,God bless you more and more shusho..
Who else feels this song like I do, my defender continue fighting my battles Lord,Thank you Jesus
Niko hapa kwa sababu ya mtiririko wa Zaburi 35, rohoni🔥🔥🔥
Nakupenda pia napenda nyimbo zako sana
Wapendwa katika.kristo huduma zenu ni.nzr zinatubariki sana but huwa kuna hatari ya kupotea kadri.mnavyobarikiwa. Dada yangu shushu kwa sasa unaonekana MZUNGU.hukuwa hivi dada. Tafakari.ulikotoka dada yangu.
Wapendeza bwana, wapendeza eee bwana wapendeza,,nitetee bwana nitetee katika hili najua utatendaa aaaaah AMEN
Hapa ndipo kwenye uwepo wako @Christina Shusho yan kati ya nyimbo zako za hiv karibuni huu umeimba katika uwepo wako tunao barikiwa kwao tokea awali. Hakika ukikaa katika uwepo huu tutazidi kubarikiwa nawe #shusho
I'm blessed totally by this song I can't stop listening to it in the house or inside my car it's teta nao song. Nitetee bwana nitetee katika hili najua utatendaaaaa.barikiweni sana
Eeeee bwana uishike ngao na kinga unisaidie uutoe mkuki uwapige uwaambie ....... Amen barikiwa sana mtu wa mungu
Nitetee bwana niteteeeee eeeeeee bwana nitetee katika hili najua utatenda
Mungu wangu simamaa leo hii pingana nao wanao pingana nami ni tete bwana Mungu wangu njia yao iwe giza na utelizi uto mkuki u wapinge wanao ni tesa moyo wangu uharibu uwapate kwa Gafla mimi bure wasi ni semange malaika wako waka wafukuza na gao waka ingiea kwa shimo walio ni tengea katika jina la yesu christo Mungu wangu ni tende wapendeza bwana wa pendeza katika hìi na Juwaa nita shinda ni tatenda nitete Bwana nitete katika hii najuwaa ni ta shinda mimi bure wasi ni semange uharibufu uwapate kwa ngafala katika hii najuwaa utatenda wapendeza Bwana wa pendeza katika majuwaa utatenda wakahabisha na kuhabika uovu wao u waa nase wenyewe moto wako ukaa waa choma kwa kunitakia mabaya nitete MUNGU WANGU NIPE USHINDI katika hii na jua utatenda Katika Jina la yesu bwana uwabie nafi yangu itulie wewe ndio mokozi wangu
Viganjani mwako niwekee Ee Mungu wangu Thank you Good Thank you so much
May the Lord fight my battles. Currently I'm so stressed. Dono what's going on in my life...graduated in 2019 and until to date I haven't even secured an internship leave alone a job. GOD HAVE MERCY ON ME
Bwana teta nao wanao teta nami upigane nao wanao nifuatia🙏🙏
Ebwa'nitetenyekatikailinajuwautatanda
Wapendeza bwana katika hili najua utatenda nitetee bwana nitee katika hili najua utatenda
I don't know why I've heard of this song this late! Keep up the good work dear. Your songs has forever ministered to me, you are such a blessing and may God Almighty keep you
your song has anice message wacha mungu haitwe mungu , GOd of blessing.
J aime trop ça vraiment j n écoute pas explique moi j aime chris.depuis Republic of congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🖐🖐
Wapendeza bwana wapendeza, katika hili na jua utatenda.. my favorite party🙌🏾 asante sana dada CHRISTINA🙏🏾 watching from 🇺🇸🇺🇸❤️
Mama nyimbo zako in dawa yangu at a nimechukia nikisikia nyimbo zako hufurahi. Naomba nikuone raivu nitafurahi sana ubarikiwe
Nice song my sister
Shusho fundi safi
Ooooh my God I'm so happy Christina shushu kweli nakubali sana pia nyimbo zako zinanijenga sana asanti kwahii nyimbo kweli Lord Atetenao Thnks so much.
Huu wimbo cjawahi uchoka kuuckiliza Mungu awainue katika kiwango cha juu.💖💖💖💖
This song is like a prayer to me am blessed by this song
Pigana nao bwana mm nipone baba naamini ntafanikiwa kuwa salama tena wateketeze kabsa baba nifiche kwako bwana yesu kristo na nena na mme wang mtarajiwa acrukeruke bwana naomba untetee baba
Amennnnnn end amennn it true we trust in jesus end u depend on him 🙏🙏🙏 glory be to jesus 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nyimbo nzuri sana , inafariji pia inatimoyo pale unapotaka kukata tamaa. Mungu awabariki wote waimbaji wa injili.
I can say that.. this song sounds great, it touches my heart and i promise to go to church on Sunday🙏✊
Lydia saisi. blessing and touching love you
Njia yao iwe giza na telezi, Pigana nao na unitetee Bwana🙏🙏
Ameeen bwana pigana nao wanaoteta nami
Kwa kweli, Yesu awe kinga
hapo umenishika cristina shusho
Yesu awasaaheye
charles lumumba ubarikiwe
That is my prayer today and forever to you God. Nitee siku zote adui zangu waabike.
This song though,,, love from Nairobi❤️❤️❤️
Wimbo bora sana tena sana mungu wambinguni akubariki sana dada yangu kwa kazi yake . you tube nyota balolane dancing Christina shusho song
god bless you my beloved sister
Nitetee Bwana niteteee Ee Bwana niteee katika hili najua utatenda.... Wapendeza Bwana wapendeza Ee Bwana wapendeza katika hili najua utatendaa love uuu mama
I'm not getting enough of this song. I'm blessed moving my soul near to God. Shusho and the team may God uplift you glory to glory.
Winnie Ngesa 890
@@yvettekongolo6901 .. 890 ?????
Good bless you
@@nicolelaurent823 Aamen dear
Am in love with this song
Bwana atatenda na kulinda waja wake
we really love your songs mom!! from Rwanda
I love this song, teta nao wanao teta nami
Mungu akubariki dada. Nyimbo hii kila muda natamani kuisikiliza napata faraja. Acha mungu akatende na hao adui zetu. Peke yangu swz
uko vzr mama daaah
Mamaa nakupenda sana...you never disappoint 💓💓💓💓💓
Nyimbo zako ni za baraka kila ninapo zisikiza huwa zinanipa matumaini kwamba Mungu wetu anatuwazia mema kila wakati.Asante bwana Yesu .
Bwana pinganao mwaono pinganao aaa mwahabishe
Shusho u are so beautiful from the outside to the inside.I pray I get a wife who's just like u.God bless you
Nimerudia Mara kumi na walivyoniuzi Leo hakika Mungu teta nao wanaoteta nao uzidi kubarikwa Dada angu I love you🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
Hahhahahahahaha mtumish uombe BC msamaha kwa walio kukela😂😂😂
Mungu yupo atanitetea kila wakati wa maisha yangu n kunilinda nikombatie eeh mwenyezi mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God blessing me in the US, with all your songs and beautiful videos. Hope to introduce African American children to Swahili gospel from Tanzania.
Dada shush nakupenda,sana hunifariji wakati wamajonzi nandini Mungu hataniacha ubarikiwe
Isaiah 49:24-26 wow Shushoo God really bless you servant of God. I love your spirit never waiver from God, this one thank too Sana'a you don't how much you have touched raw nerve of Christians battle Oo God hear our cry gracious Lord The Judge of all... Judge them...in Jesus name
..
Eeeeeish can't wait for her performance on 31st here in kenya🥳🤩😇🫶🏾... her songs are just a blessing😊... tunakungoja sanaa mamaaaah
Wimbo mzuri ambao umebeba ujumbe kwa kutumia maandio( Neno la Mungu)
A time like now i needed to hear this song. People i once loved are fighting me and using lies to rob/ benefit from me. God fight for me😢😢😢
pole sana. mwamini MUNGU
I can relate to that coz I've been though that. My closest friend whom i really helped turned and fought against me but after the battle God took me away from them and gave me a good job in China. God is good
Mwamini mungu
Mara ya kwanza kuusikia wimbo huu nilikuombea maombi mazito mnoo ya baraka,,umebarikiwa mnoo dada mrembooo.maana ni wimbo wa vita ambao ulisaidia sana.unaweza kuwekwa kwenye kikaango umenwa kila angle silaha inayobaki ni kusifu na kuabudu lkn kwa maneno na melody sahihihii.ULIHUDUMIA MTU HUKU.I WASH ONE DAY NITAKUONA USO KWA USO PASTOR CHRISTINA.always prya for you and yr ministry.amen
Hii nyimbo inanibariki sana kwakwel be blessed shusho
Dada nyimbo sa 2020 ni nyimbo zina kumbusha album '' nikwa neema tu'' asante sana. Namna hizo njo haja zetu. Kweli nyimbo zina upako. Ina onekana y'a kwamba Mungu alisikia kilio changu. Nyimbo sa hapa nyuma zilikua aime kauka sana. Hizi na zakwanza ndizo. À santé kwa Mungu kurusilia asili za Roho ndani y'a huduma yako. Jules Uzima RDCongo/ Goma.
This one got me crying 😭
Me too... May God fight our battles 😥
God is Faithful and Real.
Uo wimbo wako dada Shusho umenibariki sana 😇😇😇😇😇 Mungu aendelee kukuinua,,
❤️❤️I love everything about Christina Shusho you sang well ma love 🌹 may God grant you many years to live 🤲🙏
E mungu utete nao wanao teta nami upigane nao wanao pigana nami ..amina
I love your songs shusho , may God bless you.
''Uambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako'' 🕊️🙏
Nitetee eeh Bwana nitetee.
Wimbo safi, wacheza vyombo wameiva!
Nakupenda sana mamy Christina. Nyimbo zako zinauburudisha sana moyo wangu
Amina niteteebwana nitetee katika hili najua utatenda.mungu awabariki
Bwana pigana na adui zangu, nimekutumainia wewe kristo nisiangamie.
Mungu akubaliki kwa nyimbo nzuri dada yagu,❤️❤️❤️