CHRISTINA SHUSHO Feat DREAMERS SINGERS - TETA NAO (Remix) SMS SKIZA 7635815 TO 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024
  • #ChristinaShusho #Gospel
    (C) Relax Investment
    Christina Shusho Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/christi...
    Written & Performed by Christina Shusho
    For Bookings: cshusho@gmail.com
    Follow Christina Shusho on:
    / christinashusho​
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Комментарии • 1 тыс.

  • @ireneligare3687
    @ireneligare3687 2 года назад +10

    Psalms 35 :6 may their path be dark and slippery while the angel of God strike them down 🔥🔥💪☝️

  • @JeanTumainiNsengiyumva
    @JeanTumainiNsengiyumva 6 месяцев назад +1

    Ndiyo maadui zetu wapigwe malufuko ju hawana uwezo juyetu

  • @vickymilingita9236
    @vickymilingita9236 4 года назад +21

    Zaburi 35
    1 Ee Bwana, utete nao wanaoteta nami, Upigane nao wanaopigana nami.
    2 Uishike ngao na kigao, Usimame unisaidie.
    Amen
    ❤️❤️😍

  • @julietabdalla2338
    @julietabdalla2338 3 года назад +2

    Mungu tusaidae kwa hii safari ya mbinguni tunakuhitaji kila dakika

  • @evelisa1745
    @evelisa1745 4 года назад +27

    Yes, the battle is no longer mine, I was so badly hurt last year, but they are now paying one by one. Nitetee Bwana Yesu

  • @elvinangumbao9745
    @elvinangumbao9745 2 года назад +1

    Amina amina aminaaaa

  • @maggymshay7666
    @maggymshay7666 5 лет назад +123

    Kama umesikia sauti ya atosha kasava gonga like 💃💃💃everyday hii nyimbo mpka nisikie good work be blessed

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 года назад +2

    Nakupenda sana mtumishi,, huwa ninakuombea ninamshukuru Mungu unaendelea kufanya vzr,,huduma yako na hasa wimbo huu umefanyika msaada mkubwa maishani mwangu kwa mapitio nilopita ulifanya huduma bila ya wewe kujua.WIMBO HUU VERY POWERFUL ENOUGH TO FIGHT AGAINST SATAN AND HIS angels.much blessinngs cute sister TINA!!!! LOVE YOUIII

  • @innocentssamuel4110
    @innocentssamuel4110 4 года назад +48

    kama unatazama June 2020 like nying kwa shusho💪

  • @bonyfacefrenk4877
    @bonyfacefrenk4877 4 года назад +2

    Umeniokoa na mm nabarikiwa sana na wimbo huu wapendeza bwana wapendeza katika hili najua utatenda nitetee bwana nitete e bwana nitete katika hili najua utatenda

  • @carolynechepchumba2688
    @carolynechepchumba2688 3 года назад +19

    It's not a song but a solid prayer for a miserable heart may God be praised for ever

  • @andrewwilliam4950
    @andrewwilliam4950 5 лет назад +89

    Kusema kweli nikisiliza wimbo huu napona hatakama nilikuwa nimevunjika moyo napata nguvu kwaupya.Cristina Mungu Akuinue Tena na Tena Kama unavyotuinua mioyo yetu inapoanguka.

  • @rizikitito3024
    @rizikitito3024 5 лет назад +57

    Yani huyu Dada nampendaga bure tu Mungu azidi kukupandisha viwango!!!Ee Bwana utete nao pigana nao

  • @domitildabaltazar2740
    @domitildabaltazar2740 3 года назад +2

    Kwa kweli nikisikia hii nyimbo moyo wangu unakuwa huru 😁😁😁😂

  • @rachealmwanje7012
    @rachealmwanje7012 5 лет назад +50

    Ee bwana teta nao wanao teta nami.❤

  • @jacklinsalim2654
    @jacklinsalim2654 3 года назад

    Bwana teta nami pamoja na muimbaj wangu nakupenda

  • @justinakitua3519
    @justinakitua3519 4 года назад +12

    Shusho, you are God's instrumunt

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 5 лет назад +2

    Eeh Bwana utete nao wanao teta nao.Asante YESU gonga like kama unamkubali Dada shusho

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 3 года назад +3

    February 2021 . Teta nao pigana nao wanaopiga nami. Wananilipa mabaya nilinde Eeh Mungu🙏🙏🙏

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 4 года назад +1

    niteteee Bwana nitetee katikahili najua utatendaa

  • @eleanorahchao9407
    @eleanorahchao9407 4 года назад +10

    Sometimes it's hurts so much to know the people your helping are the ones speaking evil about your life

  • @sarahmutoka286
    @sarahmutoka286 3 года назад +1

    Waaibishwe.....wafedheheshwe warudishwe nyuma..

  • @mahunadechannel8142
    @mahunadechannel8142 3 года назад +3

    Wapendeza bwana wapendeza katika hili najua utatenda🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯

  • @mrfixit7927
    @mrfixit7927 3 года назад +1

    Mungu akubariki Sana , vitendo vyako mungu akuongoze

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 5 лет назад +15

    MUNGU ATUPIGANIE DAIMA ... BILA YEYE HATUWEZI KABISA.... BARIKIWA SANA NIMETIWA MOYO WA KUENDELEA MBELE MAANA SHUJAA WA IMANI ..YESU MWENYEWE HAWEZI KUNIACHA... ANAISHI NDANI YANGU. AMEN . BARIKIWA SANA WATU WA MUNGU.

    • @shedioy841
      @shedioy841 4 года назад +1

      Mungu Akupe maisha marefu "émein"

    • @graceyalomba8015
      @graceyalomba8015 3 года назад +1

      Mm nimshabiki wako na huwa nabarikiwa na uimbaji wako bakia hapa hapa kwenye uinjilisti wa nyimbo ubarikiwe

  • @gladnessthomas6363
    @gladnessthomas6363 4 года назад +1

    Dada shusho mimi nakupendaga sana huduma yako inanibariki sana Mungu akuinue zaid na zaidi kama unabarikiwa kama mimi gonga like kulitukuza jina la Yesu kupitia mtumishi wake

  • @debbiethekenyan3274
    @debbiethekenyan3274 4 года назад +28

    This was my song when i passing through hell. But God heard me and fought my battles. I'm happy Christina you sang this song. It became my prayer.

  • @paskaligabriel6014
    @paskaligabriel6014 3 года назад +2

    Nakupenda sanaaa Christina shusho MUNGU akujalie sanaaa katika kazii yakoo akutete

  • @dottoirene4839
    @dottoirene4839 4 года назад +6

    Jamani huu wimbo umekuwa faraja kubwaaa sana kwangu kwani navita yandugu eemungu, mimi ninani nisikusifuuuu,,,, waaaabishwe

  • @ajuayemwalongo3437
    @ajuayemwalongo3437 4 года назад

    Njia yao iwe giza na utelezi nitetee bwana nitetee bwana nitetee katika ili najua bwana utatenda barikwa sana mtumishi wa mungu shusho nyimbo zako huwa nikisiliza nabarikwa sana

  • @justinaninga135
    @justinaninga135 4 года назад +15

    Alirud kusiliza zaid ya mara moja kama mm gonga like

  • @marynguta6063
    @marynguta6063 3 года назад

    Bwana pigana nao, Baba nitetee, may God help me and my siblings set me free from power of witchcraft, God set us free from evil altar.

  • @blessedwambui8949
    @blessedwambui8949 4 года назад +4

    Wafungishe midomo yesu💃💃💃💃💃💃💃💃💃

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 4 года назад

      Na lazima watafunga midomo yao tu,,mwaka huu lazima wataelewa tu

  • @adamchambo12
    @adamchambo12 3 года назад

    Asante mungu Kwa ajili ya Dada Christine,Nyimbo zina ponya,Nyimbo zinafariji,mungu akulinde akubari.

  • @calebndiema8595
    @calebndiema8595 5 лет назад +8

    😂😂😂😂😂😂eeh mungu simama unitetee 'waaibishwe wafedheheshwe na warudishwe nyuma.ifeel the spirit of God doing for me

  • @barackbithale3979
    @barackbithale3979 3 года назад

    Naiipenda sana iyi nyimbo, ishi milele Sawa océan Indien mamangu

  • @kaymsafi
    @kaymsafi 3 года назад +3

    second verse, sautiiiiiiiiii🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️THE DREAMERS MNAJUA SANAAAA AISEEE

  • @jecintaowino1846
    @jecintaowino1846 Год назад

    Aliye Juu teta nao kabisa. Ajabu ni kuwa siku zote Huwa hauna ubaya nao Wala hata hufuatilii maisha Yao, lakini wao Kila mara wanakupiga vita. Pigana nao Mfalme wa wafalme.

  • @lizaqui2419
    @lizaqui2419 4 года назад +3

    God fight with my enemies I have no power on my own hata wenye waliniwekea uchawi kwa mlango yangu ya damu nyama na nywele ya mnyama naamini huo uchawi utawarudia in Jesus Name

  • @jemaalphonce9213
    @jemaalphonce9213 3 года назад +1

    Wapendeza bwana wapendeza eeee bwana wapendeza katika hili najua utatendaaaa nitetee bwana nitetee eeebwana nitetee ktk hili najua utatendaaaa napapenda Sana sehem hii mungu ukubaliki dada ktk uimbaji wako

  • @elineemasarwat9867
    @elineemasarwat9867 5 лет назад +7

    Nitetee Bwana ktk hili najua utatenda.... AMEN

  • @faithpatra2816
    @faithpatra2816 2 года назад +1

    Who else feels this song like I do, my defender continue fighting my battles Lord,Thank you Jesus

  • @preciouspam9118
    @preciouspam9118 5 лет назад +24

    Niko hapa kwa sababu ya mtiririko wa Zaburi 35, rohoni🔥🔥🔥

  • @esthermsegu5017
    @esthermsegu5017 3 года назад

    Wapendwa katika.kristo huduma zenu ni.nzr zinatubariki sana but huwa kuna hatari ya kupotea kadri.mnavyobarikiwa. Dada yangu shushu kwa sasa unaonekana MZUNGU.hukuwa hivi dada. Tafakari.ulikotoka dada yangu.

  • @joyjilien5432
    @joyjilien5432 5 лет назад +4

    Wapendeza bwana, wapendeza eee bwana wapendeza,,nitetee bwana nitetee katika hili najua utatendaa aaaaah AMEN

  • @amidumselle5659
    @amidumselle5659 5 лет назад +2

    Hapa ndipo kwenye uwepo wako @Christina Shusho yan kati ya nyimbo zako za hiv karibuni huu umeimba katika uwepo wako tunao barikiwa kwao tokea awali. Hakika ukikaa katika uwepo huu tutazidi kubarikiwa nawe #shusho

  • @evansmasinde6761
    @evansmasinde6761 4 года назад +13

    I'm blessed totally by this song I can't stop listening to it in the house or inside my car it's teta nao song. Nitetee bwana nitetee katika hili najua utatendaaaaa.barikiweni sana

  • @jescamassawe2519
    @jescamassawe2519 3 года назад

    Eeeee bwana uishike ngao na kinga unisaidie uutoe mkuki uwapige uwaambie ....... Amen barikiwa sana mtu wa mungu

  • @nurumwakipesile9090
    @nurumwakipesile9090 5 лет назад +3

    Nitetee bwana niteteeeee eeeeeee bwana nitetee katika hili najua utatenda

  • @munayaish8675
    @munayaish8675 4 года назад

    Mungu wangu simamaa leo hii pingana nao wanao pingana nami ni tete bwana Mungu wangu njia yao iwe giza na utelizi uto mkuki u wapinge wanao ni tesa moyo wangu uharibu uwapate kwa Gafla mimi bure wasi ni semange malaika wako waka wafukuza na gao waka ingiea kwa shimo walio ni tengea katika jina la yesu christo Mungu wangu ni tende wapendeza bwana wa pendeza katika hìi na Juwaa nita shinda ni tatenda nitete Bwana nitete katika hii najuwaa ni ta shinda mimi bure wasi ni semange uharibufu uwapate kwa ngafala katika hii najuwaa utatenda wapendeza Bwana wa pendeza katika majuwaa utatenda wakahabisha na kuhabika uovu wao u waa nase wenyewe moto wako ukaa waa choma kwa kunitakia mabaya nitete MUNGU WANGU NIPE USHINDI katika hii na jua utatenda Katika Jina la yesu bwana uwabie nafi yangu itulie wewe ndio mokozi wangu

  • @graceglory3038
    @graceglory3038 5 лет назад +5

    Viganjani mwako niwekee Ee Mungu wangu Thank you Good Thank you so much

  • @andersonndarawe3594
    @andersonndarawe3594 Год назад

    May the Lord fight my battles. Currently I'm so stressed. Dono what's going on in my life...graduated in 2019 and until to date I haven't even secured an internship leave alone a job. GOD HAVE MERCY ON ME

  • @scoviadaniel4122
    @scoviadaniel4122 5 лет назад +4

    Bwana teta nao wanao teta nami upigane nao wanao nifuatia🙏🙏

  • @rosarosa4298
    @rosarosa4298 5 лет назад

    Wapendeza bwana katika hili najua utatenda nitetee bwana nitee katika hili najua utatenda

  • @linetynanjala5
    @linetynanjala5 3 года назад +11

    I don't know why I've heard of this song this late! Keep up the good work dear. Your songs has forever ministered to me, you are such a blessing and may God Almighty keep you

    • @wilfredobutu5017
      @wilfredobutu5017 3 года назад

      your song has anice message wacha mungu haitwe mungu , GOd of blessing.

  • @paradoxe.patrick.mbayingoy6406
    @paradoxe.patrick.mbayingoy6406 3 года назад

    J aime trop ça vraiment j n écoute pas explique moi j aime chris.depuis Republic of congo 🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🖐🖐

  • @meredouble9897
    @meredouble9897 5 лет назад +6

    Wapendeza bwana wapendeza, katika hili na jua utatenda.. my favorite party🙌🏾 asante sana dada CHRISTINA🙏🏾 watching from 🇺🇸🇺🇸❤️

    • @michaelndilima6210
      @michaelndilima6210 5 лет назад +1

      Mama nyimbo zako in dawa yangu at a nimechukia nikisikia nyimbo zako hufurahi. Naomba nikuone raivu nitafurahi sana ubarikiwe

    • @hoglermshoki2317
      @hoglermshoki2317 5 лет назад

      Nice song my sister

    • @lamsnshiga892
      @lamsnshiga892 5 лет назад

      Shusho fundi safi

    • @niyonyishusamuel8983
      @niyonyishusamuel8983 5 лет назад

      Ooooh my God I'm so happy Christina shushu kweli nakubali sana pia nyimbo zako zinanijenga sana asanti kwahii nyimbo kweli Lord Atetenao Thnks so much.

  • @evanzobonaliba2075
    @evanzobonaliba2075 4 года назад +2

    Huu wimbo cjawahi uchoka kuuckiliza Mungu awainue katika kiwango cha juu.💖💖💖💖

  • @janeasili8012
    @janeasili8012 2 года назад +3

    This song is like a prayer to me am blessed by this song

  • @olivieraugustino2877
    @olivieraugustino2877 5 лет назад

    Pigana nao bwana mm nipone baba naamini ntafanikiwa kuwa salama tena wateketeze kabsa baba nifiche kwako bwana yesu kristo na nena na mme wang mtarajiwa acrukeruke bwana naomba untetee baba

  • @fideliekibambelusalobe4367
    @fideliekibambelusalobe4367 4 года назад +10

    Amennnnnn end amennn it true we trust in jesus end u depend on him 🙏🙏🙏 glory be to jesus 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @jescerkiswaga2148
    @jescerkiswaga2148 5 лет назад +2

    Nyimbo nzuri sana , inafariji pia inatimoyo pale unapotaka kukata tamaa. Mungu awabariki wote waimbaji wa injili.

  • @jamesmhema8077
    @jamesmhema8077 5 лет назад +18

    I can say that.. this song sounds great, it touches my heart and i promise to go to church on Sunday🙏✊

  • @mokuatimes
    @mokuatimes 3 года назад +1

    Lydia saisi. blessing and touching love you

  • @charleslumumba1024
    @charleslumumba1024 5 лет назад +77

    Njia yao iwe giza na telezi, Pigana nao na unitetee Bwana🙏🙏

  • @johnwanyoike5686
    @johnwanyoike5686 2 года назад

    That is my prayer today and forever to you God. Nitee siku zote adui zangu waabike.

  • @dennischimano6131
    @dennischimano6131 3 года назад +4

    This song though,,, love from Nairobi❤️❤️❤️

  • @NyotaBalolane.
    @NyotaBalolane. 4 года назад

    Wimbo bora sana tena sana mungu wambinguni akubariki sana dada yangu kwa kazi yake . you tube nyota balolane dancing Christina shusho song

  • @MikeflormulumbaMinistries
    @MikeflormulumbaMinistries 5 лет назад +8

    god bless you my beloved sister

  • @mwengeangomwile5155
    @mwengeangomwile5155 5 лет назад +2

    Nitetee Bwana niteteee Ee Bwana niteee katika hili najua utatenda.... Wapendeza Bwana wapendeza Ee Bwana wapendeza katika hili najua utatendaa love uuu mama

  • @winniengesa9421
    @winniengesa9421 5 лет назад +19

    I'm not getting enough of this song. I'm blessed moving my soul near to God. Shusho and the team may God uplift you glory to glory.

  • @wafootytv9141
    @wafootytv9141 4 года назад +1

    Bwana atatenda na kulinda waja wake

  • @HealNations_Rwanda
    @HealNations_Rwanda 5 лет назад +7

    we really love your songs mom!! from Rwanda

  • @reginamutune5383
    @reginamutune5383 2 года назад +1

    I love this song, teta nao wanao teta nami

  • @lindachuwa6894
    @lindachuwa6894 5 лет назад +5

    Mungu akubariki dada. Nyimbo hii kila muda natamani kuisikiliza napata faraja. Acha mungu akatende na hao adui zetu. Peke yangu swz

  • @samuelabisai9575
    @samuelabisai9575 4 года назад +1

    uko vzr mama daaah

  • @marlenekhakoni1404
    @marlenekhakoni1404 5 лет назад +29

    Mamaa nakupenda sana...you never disappoint 💓💓💓💓💓

    • @benedictkiilu6552
      @benedictkiilu6552 4 года назад

      Nyimbo zako ni za baraka kila ninapo zisikiza huwa zinanipa matumaini kwamba Mungu wetu anatuwazia mema kila wakati.Asante bwana Yesu .

    • @happynesmchele3693
      @happynesmchele3693 3 года назад

      Bwana pinganao mwaono pinganao aaa mwahabishe

  • @davjoh1667
    @davjoh1667 2 года назад

    Shusho u are so beautiful from the outside to the inside.I pray I get a wife who's just like u.God bless you

  • @upendolyimo8178
    @upendolyimo8178 5 лет назад +3

    Nimerudia Mara kumi na walivyoniuzi Leo hakika Mungu teta nao wanaoteta nao uzidi kubarikwa Dada angu I love you🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥

    • @barakaqngu
      @barakaqngu 5 лет назад

      Hahhahahahahaha mtumish uombe BC msamaha kwa walio kukela😂😂😂

  • @beatriceloveness3793
    @beatriceloveness3793 4 года назад

    Mungu yupo atanitetea kila wakati wa maisha yangu n kunilinda nikombatie eeh mwenyezi mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @stephenozolua5988
    @stephenozolua5988 5 лет назад +5

    God blessing me in the US, with all your songs and beautiful videos. Hope to introduce African American children to Swahili gospel from Tanzania.

  • @esterkauga4842
    @esterkauga4842 3 года назад

    Dada shush nakupenda,sana hunifariji wakati wamajonzi nandini Mungu hataniacha ubarikiwe

  • @AgatestoneCrystal8439
    @AgatestoneCrystal8439 5 лет назад +6

    Isaiah 49:24-26 wow Shushoo God really bless you servant of God. I love your spirit never waiver from God, this one thank too Sana'a you don't how much you have touched raw nerve of Christians battle Oo God hear our cry gracious Lord The Judge of all... Judge them...in Jesus name
    ..

  • @lucykuria249
    @lucykuria249 10 месяцев назад

    Eeeeeish can't wait for her performance on 31st here in kenya🥳🤩😇🫶🏾... her songs are just a blessing😊... tunakungoja sanaa mamaaaah

  • @danielntandudanielintandu7451
    @danielntandudanielintandu7451 4 года назад +2

    Wimbo mzuri ambao umebeba ujumbe kwa kutumia maandio( Neno la Mungu)

  • @mamareyna5000
    @mamareyna5000 5 лет назад +12

    A time like now i needed to hear this song. People i once loved are fighting me and using lies to rob/ benefit from me. God fight for me😢😢😢

    • @petronilakimario8533
      @petronilakimario8533 5 лет назад +2

      pole sana. mwamini MUNGU

    • @marymillicent6425
      @marymillicent6425 5 лет назад +4

      I can relate to that coz I've been though that. My closest friend whom i really helped turned and fought against me but after the battle God took me away from them and gave me a good job in China. God is good

    • @catherinenjoroge2100
      @catherinenjoroge2100 4 года назад +2

      Mwamini mungu

  • @doricesamwel7785
    @doricesamwel7785 2 года назад

    Mara ya kwanza kuusikia wimbo huu nilikuombea maombi mazito mnoo ya baraka,,umebarikiwa mnoo dada mrembooo.maana ni wimbo wa vita ambao ulisaidia sana.unaweza kuwekwa kwenye kikaango umenwa kila angle silaha inayobaki ni kusifu na kuabudu lkn kwa maneno na melody sahihihii.ULIHUDUMIA MTU HUKU.I WASH ONE DAY NITAKUONA USO KWA USO PASTOR CHRISTINA.always prya for you and yr ministry.amen

  • @mbumifriday721
    @mbumifriday721 5 лет назад +6

    Hii nyimbo inanibariki sana kwakwel be blessed shusho

  • @ndurauzimapaluku7390
    @ndurauzimapaluku7390 4 года назад +1

    Dada nyimbo sa 2020 ni nyimbo zina kumbusha album '' nikwa neema tu'' asante sana. Namna hizo njo haja zetu. Kweli nyimbo zina upako. Ina onekana y'a kwamba Mungu alisikia kilio changu. Nyimbo sa hapa nyuma zilikua aime kauka sana. Hizi na zakwanza ndizo. À santé kwa Mungu kurusilia asili za Roho ndani y'a huduma yako. Jules Uzima RDCongo/ Goma.

  • @raffmello6732
    @raffmello6732 4 года назад +8

    This one got me crying 😭

  • @wekesanelson5075
    @wekesanelson5075 4 года назад +2

    Uo wimbo wako dada Shusho umenibariki sana 😇😇😇😇😇 Mungu aendelee kukuinua,,

  • @ashamsangi2661
    @ashamsangi2661 3 года назад +5

    ❤️❤️I love everything about Christina Shusho you sang well ma love 🌹 may God grant you many years to live 🤲🙏

  • @frankngilangwa4518
    @frankngilangwa4518 4 года назад

    E mungu utete nao wanao teta nami upigane nao wanao pigana nami ..amina

  • @ejidiahkoech8857
    @ejidiahkoech8857 3 года назад +5

    I love your songs shusho , may God bless you.

  • @perpetuaomare6588
    @perpetuaomare6588 2 года назад

    ''Uambie nafsi yangu, Mimi ni wokovu wako'' 🕊️🙏

  • @isaacisavwa92
    @isaacisavwa92 5 лет назад +4

    Nitetee eeh Bwana nitetee.
    Wimbo safi, wacheza vyombo wameiva!

  • @anethfredrick6937
    @anethfredrick6937 4 года назад

    Nakupenda sana mamy Christina. Nyimbo zako zinauburudisha sana moyo wangu

  • @modestajohn8947
    @modestajohn8947 5 лет назад +3

    Amina niteteebwana nitetee katika hili najua utatenda.mungu awabariki

  • @laodikiagiantsingers1027
    @laodikiagiantsingers1027 3 года назад

    Bwana pigana na adui zangu, nimekutumainia wewe kristo nisiangamie.

  • @royroxie8721
    @royroxie8721 4 года назад +3

    Mungu akubaliki kwa nyimbo nzuri dada yagu,❤️❤️❤️