Mwanamke baleeg .haifai kumshika mwanaume. Hizii sanaa .kwa zanzibar ni marufuku. Ujuwe mwanaume anavichwa 2 kichwa cha chini kikisimama basi cha juu hakifanyi kazi
Wallahi huyu hatoboi ata adhikiri uchi kinachomfata huyu sasa ni laana ya Allah huyu ataka awe kahaba wa kimataifa ila atajuta tena atajuta ata huna haya nyoooo
Mtanga bingwa wa ucheshi bongo heko 💕 kazi nzuri ❤
Mzanzibari gani anaetutia aibu,kwa vijisenti
Haitham MashAllah unajuwa my sister👏👏👏
Kazi nzuri sana mtanga Safi ni Rubani kutoka Kenya
Mwanamke baleeg .haifai kumshika mwanaume. Hizii sanaa .kwa zanzibar ni marufuku. Ujuwe mwanaume anavichwa 2 kichwa cha chini kikisimama basi cha juu hakifanyi kazi
😂
😂hhhhhhhhhhhhhh eti tiktak
Acheni wivu kuna sanaa na kufanya uhuni hiyo ni sanaa angekuwa ngozi nyeusi mnge sifia komedi komedi ina maudhui mazuri sana
Wewe mwanamke rudi kwa wazazi wako uombe msamaha vyenginevyo utapata tabu duniani na akhera itakua hasara kwako
Mtanga 😅😅😅 big up
Msimuhukum HAYTHAM jamani haifai hakuna baya lolote tunampenda from uk 🇬🇧 tumuschie Allah hakuna anaejuwa kesho yake
Mzanzibari gani huyo hajui hata kukaribisha wageni, inawezekana Mzanzibari lakini hana sifa za kizanzibari mgeni haulizwi tukuletee kinywaji gani unaleta akatae kukitumia
😂😂kwni mnajuwa kukaribisa
Bamboo wasema acha tubaki na mateso😂😅😅😂😅😂
Huyu binti haithamu hana wazee au hana kaka au hana maami au hana wajomba au au au... mpaka akafanya upumbavu huu?!!!
umeongea point sana,namimi nimewaza hivohivo
Usizalau kazi zawatu
😂😂😂 hii kiboko mapenzi hayo mi naungana na mkuria kila mtu afanye kwa mikono yake
Et bambo kaoa MUSOMA aaaah acha kimrambe 😂😂😂😂
Mapacha hamna baya🇰🇪💯🔥
Wee haytham umekosa kazi ya kufanya au unajitangaza
😂😂😂😂 ila bamboo
Hiyiiii kwel africa kumbe kuna hizii stly
😂😂
Jagi la maji linamshinda, huyo si mtambo wa fangasi
Afu wewe Bomba acha tamaa, shukuru mtambo ulonao, ya nini kutamani vya wenzio? Usiache vya mbachao kwa msara upitaow
Kamutango😂
Good job
Naahidi nitaoa zenji
Mtanga ana raha
Rudi kwa Wazazi upate Radhi zao....
Mpeni nasaha huyo bint atakuja kuishi maisha ya dhiki sna ktk dunia hii 😢
Mwanakulitafuta ......
@@z34-kp9qq mwanakulipata
Acheni kuchukulia vitu serious sana jmn daah😂😂
Sio mmeanza hivi tunawafatilia na kuwapa support halafu mnapotea mnatuangusha
Ni upumbavu wa hali ya juu sana wanakuja wageni unaanza kumkata kucha na kumvua vyatu ndo nini? Ni zalau sana. Wahudumie wageni kwanza acha ujinga
Yaan Haitham ndugu yngu huelekei haswaa na mambo haya unapotea huko ...sio sehemu salama 😢
Ni kweli kabisa
Allaah atuhifadhi na aturuzuku mwisho mwema
Wallahi huyu hatoboi ata adhikiri uchi kinachomfata huyu sasa ni laana ya Allah huyu ataka awe kahaba wa kimataifa ila atajuta tena atajuta ata huna haya nyoooo
Acha wivu weweee...
@@godfreygoyayi6576 ndio najua mnamtaka mumfunue tu.
Acheni ujinga bana
Jamani Mimi naoa Zanzibar
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂