MTANGA NA BAMBO,RAHA YA MKE WA ZANZIBAR HII NOMA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 48

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 4 часа назад

    Mtanga bingwa wa ucheshi bongo heko 💕 kazi nzuri ❤

  • @HafidhAli-b6e
    @HafidhAli-b6e 5 часов назад +2

    Mzanzibari gani anaetutia aibu,kwa vijisenti

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 часа назад

    Haitham MashAllah unajuwa my sister👏👏👏

  • @Rubanikarisagona
    @Rubanikarisagona 8 часов назад +1

    Kazi nzuri sana mtanga Safi ni Rubani kutoka Kenya

  • @SaidAbdala-f7p
    @SaidAbdala-f7p 13 часов назад +4

    Mwanamke baleeg .haifai kumshika mwanaume. Hizii sanaa .kwa zanzibar ni marufuku. Ujuwe mwanaume anavichwa 2 kichwa cha chini kikisimama basi cha juu hakifanyi kazi

  • @MIGEZO4542
    @MIGEZO4542 5 часов назад

    😂hhhhhhhhhhhhhh eti tiktak

  • @musicstudioofficial006
    @musicstudioofficial006 5 часов назад

    Acheni wivu kuna sanaa na kufanya uhuni hiyo ni sanaa angekuwa ngozi nyeusi mnge sifia komedi komedi ina maudhui mazuri sana

  • @SulaimanAlAdwani
    @SulaimanAlAdwani 10 часов назад +3

    Wewe mwanamke rudi kwa wazazi wako uombe msamaha vyenginevyo utapata tabu duniani na akhera itakua hasara kwako

  • @Rikas_Riphin
    @Rikas_Riphin 5 часов назад

    Mtanga 😅😅😅 big up

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 Час назад

    Msimuhukum HAYTHAM jamani haifai hakuna baya lolote tunampenda from uk 🇬🇧 tumuschie Allah hakuna anaejuwa kesho yake

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 9 часов назад +4

    Mzanzibari gani huyo hajui hata kukaribisha wageni, inawezekana Mzanzibari lakini hana sifa za kizanzibari mgeni haulizwi tukuletee kinywaji gani unaleta akatae kukitumia

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 2 часа назад

      😂😂kwni mnajuwa kukaribisa

  • @Dullayoo-M
    @Dullayoo-M 10 часов назад

    Bamboo wasema acha tubaki na mateso😂😅😅😂😅😂

  • @Ujumbewadini
    @Ujumbewadini 5 часов назад +2

    Huyu binti haithamu hana wazee au hana kaka au hana maami au hana wajomba au au au... mpaka akafanya upumbavu huu?!!!

  • @geeva99
    @geeva99 14 часов назад

    😂😂😂 hii kiboko mapenzi hayo mi naungana na mkuria kila mtu afanye kwa mikono yake

  • @CharlessPhinias
    @CharlessPhinias 13 часов назад

    Et bambo kaoa MUSOMA aaaah acha kimrambe 😂😂😂😂

  • @Dullayoo-M
    @Dullayoo-M 10 часов назад

    Mapacha hamna baya🇰🇪💯🔥

  • @AbuuMuawiyya
    @AbuuMuawiyya 12 часов назад +3

    Wee haytham umekosa kazi ya kufanya au unajitangaza

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 13 часов назад

    😂😂😂😂 ila bamboo

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 14 часов назад +1

    Hiyiiii kwel africa kumbe kuna hizii stly

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 3 часа назад

    😂😂

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 13 часов назад

    Jagi la maji linamshinda, huyo si mtambo wa fangasi

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 13 часов назад

    Afu wewe Bomba acha tamaa, shukuru mtambo ulonao, ya nini kutamani vya wenzio? Usiache vya mbachao kwa msara upitaow

  • @Mkwila
    @Mkwila 15 часов назад

    Kamutango😂

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 13 часов назад

    Good job

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 11 часов назад

    Naahidi nitaoa zenji

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 11 часов назад

    Mtanga ana raha

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 14 часов назад +3

    Rudi kwa Wazazi upate Radhi zao....

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 14 часов назад

      Mpeni nasaha huyo bint atakuja kuishi maisha ya dhiki sna ktk dunia hii 😢

    • @z34-kp9qq
      @z34-kp9qq 6 часов назад

      Mwanakulitafuta ......

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 6 часов назад

      @@z34-kp9qq mwanakulipata

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 4 часа назад

      Acheni kuchukulia vitu serious sana jmn daah😂😂

  • @seifsaud
    @seifsaud 12 часов назад

    Sio mmeanza hivi tunawafatilia na kuwapa support halafu mnapotea mnatuangusha

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 13 часов назад +1

    Ni upumbavu wa hali ya juu sana wanakuja wageni unaanza kumkata kucha na kumvua vyatu ndo nini? Ni zalau sana. Wahudumie wageni kwanza acha ujinga

  • @WazirrashadYussuf-um5uq
    @WazirrashadYussuf-um5uq 14 часов назад +2

    Yaan Haitham ndugu yngu huelekei haswaa na mambo haya unapotea huko ...sio sehemu salama 😢

    • @mtangacomedy
      @mtangacomedy 12 часов назад

      Ni kweli kabisa

    • @z34-kp9qq
      @z34-kp9qq 6 часов назад

      Allaah atuhifadhi na aturuzuku mwisho mwema

  • @Irfaan-k1j
    @Irfaan-k1j 11 часов назад +2

    Wallahi huyu hatoboi ata adhikiri uchi kinachomfata huyu sasa ni laana ya Allah huyu ataka awe kahaba wa kimataifa ila atajuta tena atajuta ata huna haya nyoooo

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg 14 часов назад

    Jamani Mimi naoa Zanzibar

  • @kafitiwilliam8358
    @kafitiwilliam8358 11 часов назад

    😂😂😂

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 12 часов назад

    😂😂😂

  • @tayga2031
    @tayga2031 12 часов назад

    😂😂😂😂