SNS is having very talented men starting by the CEO SKY himself but I confess that DJ SMAA is another phenomenon. Kudos to the whole team of SNS. Watching from D.R.CONGO
Mwalimu DJ sma, mwenyez Mungu akujaalie maisha mareefu yenye afya njema, akulinde leo na kesho, akufungulie milango ya rizki na aijaalie familia yako maisha marefu yenye afya njema, aamin
Aisee Wanajua vizuri sana, sema kuna kitu filani hivi kwa ajili ya mambo ya kiusalama. Ila kama wewe unajambo lako linalohusu humu inchini kwetu, wee wafuate private ndiyo utajua kama wanajua. 🤗🤗🤗🤗
Kaka dj smaa naomba utufahamishe kuhusu kenya ...nasikia mambo sio mazuri kabisa nasikia watu wanauwawa ovyo na watoto wanatekwa na watu wananyonywa damu na wanauza viungo eti nikwel kaka dj smaa??naomba utufahamishe kaka..kuhusu kenya nikweli hali ni mbaya sana??? Nataka utufahamushe mim nakuelewaga sana wewe dj smaa ukiwa unaelezeaga
Huyu mzee maadui zake lazima wamo ktk Serikali ya the Democratic. Trump ni tishio kwao kwa uchaguzi wa November. They wanted to accomplish the game early in the morning. Ila tu tukio hilo is a shame to a big Nation as USA. Congrats Dj Smaa!
Nice content, ila its why kuna baadh ya watu wanasema SS na FBI they have a lot to answer to this scenario. Au watu wanasahau issue ya JF Kennedy's assassination, the involvement of the gvt.
@@RamadhaniMohamedi-de2vc Shukrani. Dah kuna jamaa mmoja alipanic sana siku moja hapa hapa sns et kwasababu tu mi nlisema leo nmekuwa wa kwanza. Nlimshangaa sanaaa. Vitu vya kawaida kama hivi anapanic. Tuendelee kula madini.
Dj sma nimependa sana huo uzinduzi wa uchambuzi. Sidhani kama kutakuwa na taarifa tofauti sana na hiyo. Mwenyewe naamini kabisa huo ni mchongo kabisa uliolenga kumuua Trump. Na haujatoka nje ya serikali. Na kuna sababu kwanini kwenye water tower hakukuwa na counter sniper. Na kuna sababu kwanini walipuuza taarifa ya eyewitnesses. Na kuna sababu ya kwanini walidai kwamba ile sehemu ambayo gunman alikaa haikuwa kwenye mamlaka yao. Naomba kuwasilisha.
SNS is having very talented men starting by the CEO SKY himself but I confess that DJ SMAA is another phenomenon. Kudos to the whole team of SNS. Watching from D.R.CONGO
Allah amekujaalia ufaham na akili nyingi ungekua Kuweza kufumbua kitu good job DJ sma
MashaAllah
Amyn
Kipaji kikubwa icho kabisaa
Safiii sana...kaziii nzurii 🎉🎉🎉🎉
Dj sma uko Sawa Kwa uchabuzi wako mzuri kabisa, be blessed tunakufwatilia tukiwa huku Nairobi
Dj smaa Mungu akubariki sana na azidi kukupa maarifa zaidi
upo vizuri bro🔥🔥🔥
Dj smaa wewe ni next level 🔥🔥
Noumah kweli....brother uko vzr sana ninakufatilia kutoka zanzibar
DJ SMA on
Safi sana kaka unafanya kazi nzuri
Mchambuzi wa kiwango cha juu sana. DJ smaa, may God bless you.
I got you, man. You have touched the right place.
Kazi nzuri big up ufike mbali
Hizi ndo contents nazo zitaka ytb zina ujazo wakutosha..big up sana dj sma..kazi nzuriii mnoo
I appreciate🙏
MashaaAllah DJ smaa upo vinzuli MashaaAllah
Mwalimu DJ sma, mwenyez Mungu akujaalie maisha mareefu yenye afya njema, akulinde leo na kesho, akufungulie milango ya rizki na aijaalie familia yako maisha marefu yenye afya njema, aamin
Hakuna cha uwalimu hapo. Bali hawa wajama hua wanatafsiri hari zawengine japo simbaya. Ila sio wachambuzi.
@@BenyassearButoyialfred tafsili na ww bas fungua channel yako tuangalie
@@BenyassearButoyialfredUna roho mbaya sana na uchawi juu yote sababu ya umasikini mkubwa ulionao.
@@BenyassearButoyialfredbado ni elimu tosha, labda hufahamu nini maana elimu.
@@BenyassearButoyialfredhater sana we jamaa, chambua na ww basi kama unauwezo
Upo reality sana ..Walinzi wazembe ama walipanga hilo tukio kama raia tu walimuona akitambaa juu paa .😮😮
Good Job Dj Smaa you are the Best 👍
Wow amazing kazi nzuri kweli. Asante kwa kutufungua macho ❤
Aisee huu uchambuzi ni wa uhakika mnooo. Hongera sana ndugu yangu
TUNAJIVUNIA MAENDELEO YA WACHAMBUZI WATU TANZANIA MAELEZO NA VITENDO MBALIKIWE CHANNEL YETU ❤❤❤🎉🎉🎉
Waulize kuhusu bongo hawana taarifa yoyote😂😂
Aisee Wanajua vizuri sana, sema kuna kitu filani hivi kwa ajili ya mambo ya kiusalama. Ila kama wewe unajambo lako linalohusu humu inchini kwetu, wee wafuate private ndiyo utajua kama wanajua. 🤗🤗🤗🤗
@@charlesboniphace2249. 😅😅😅 Una mwanasheria ww
dj smaa umetishaa🔥🔥🔥
I appreciate. From Shinyanga
Hii serikali isipojua inamtu muhim sana pamoja naali bs tena
Pamoja from Oman 🇴🇲
Uko vizuri mzee baba💯🙌🔥
Asante sana dj sma
I commend the efforts and time to put all these together brother 🙏
Nakubali Sana Bro. Najua sio rahisi kutengeneza video kama izi . Ila naona kama Trump watamfanyia mchezo hatoshinda Uchaguzi huu .
Tanzania tunamtu mkubwa san big up bro wewe si wahapa niwambali sanaa
Kazi nzuri sana bro
Uchambuzi mzuri keep going broh
Dj sma safi sana, asante
djsima mungu akulinde ❤mashaallah
Bro umetisha sana
Fact And Logic
Akili mingi sana❤️❤️❤️
Upo vizuri Sana di sma nakukubali sanaaa
upo vizur san mkuu
Dg sma nakupata kutoka zanzibar
Kazi nzuri Dj
Safi sana mkuu habari nzurie
Smaa sio Dj niamini mimi,,,!!
😂😂😂😂😂😂😂😂 tuambie aisee,.
Dj sma maneno ya Jeffrey Sachs yametimiya hongera sna
Umetisha kwa uchambuzi mzuri sana mpaka
❤❤❤❤😂😊 Much love brother
Kaka unatisha km putin salute kwako
Unaogee kwli so far watasema ww ni mpinzani walivyo wajinga from? 277
Safi sanaaaa tunahitaji chambuxi za hivi wwl donee kk
Asante mwalimu wangu naendelea kukuamini
DJ Sma. Umetisha, you are a pro my brother💪🏾
Kikubwa dua popote 😊
Uchambuzi mzuri sana dj sma nakufwatilia kutoka Burundi
Uko vizuri
Bro vipi kuhusu protest ya bangladesh imekuaje ukiposti video itakuwa unyama❤
DJ kwa heshima yako Sio kujoin Dort ni ku connect dort umesema kuwa usharekebisha ila uko vizur kwa Analysis
Asante bro
Hongera yako mkuu kwa uchambuzi wako mzuri
This one is dope
DJ SMA umetisha
Big up bro❤
Dj smaa hakuna mchambuzi bora kam wew Afrika
Dj smaa wewe ni atari
Nakukubali sana DJ sma a.k.a van diesel
Nigaiye namba ya huyo alie kutengenezea meza me mwenyewe na studio yangu nataka anitengenezee
Kaka dj smaa naomba utufahamishe kuhusu kenya ...nasikia mambo sio mazuri kabisa nasikia watu wanauwawa ovyo na watoto wanatekwa na watu wananyonywa damu na wanauza viungo eti nikwel kaka dj smaa??naomba utufahamishe kaka..kuhusu kenya nikweli hali ni mbaya sana??? Nataka utufahamushe mim nakuelewaga sana wewe dj smaa ukiwa unaelezeaga
Nitaifanyia kazi🙏
kabsa kaka @@djsma255
🤦♂️Hii ni mipango ya kicyasa inawaumiza kichw!
Fundi mwanetu #DJSMAA🎉🎉
Aiseee Yani unavyochambua ni kama vile Alex Mohone kwenye Prison Break. Umetisha sana
Nakupa
mpka sasa....sidhamn kama hilo limetambulika lakn.. kwa akiri yaziada wenda hata aliefanya tukio is second sniper...
Asantee Kwa kutuelimesha
Nakubali kazi kaka
Dj Smaa ni KGB intelligence service. Umetusha mkuu kwa uchambuzi.
❤ Oman
Dah uko sawa kabisa kk😢😢
May you have whatever you need to upgrade your equipment to highest level in GOD's
Safi sana brother
Wa kwanza kila siku 😁
Very very nice
Ungetumia nguvu kutoa udadavuzi wa matukio ya nchi yako.. uyo Trump ana magwiji ya usalama sema alishaliwek tegemeo Kwa mungu wake basi.
Wao wazungu mwenyewe sisi watu weusi anatuchukia alafu nyinyi mnajipendekeza kwake
Babu uko vizuri
Walikua wanasubl afanye mauwaj wamuue pia mchezo uishee haya mengine n kutuvuruga
Eshima zako mkuu
I from Malawi
Dj smaa🙌🙌✍️
uchambuzi mzuri sana lakini vipi Tundu Lissu?ile si ilikuwa hatari kuliko hii??au kwa vile….?????
God is great
Noma sana DJ SMA
Wanadamu ni mungu ufalme wa mungu kama mbingunii kama duniani
🎉🎉🎉
Huyu mzee maadui zake lazima wamo ktk Serikali ya the Democratic. Trump ni tishio kwao kwa uchaguzi wa November. They wanted to accomplish the game early in the morning. Ila tu tukio hilo is a shame to a big Nation as USA.
Congrats Dj Smaa!
UNAFANYA NJEMA SANA MKUU
Yes
Akili mingiiii
Nilitazama movie ya Shooter the same scenario exactly Happened.
Bonge la Investigation Brother
Nice content, ila its why kuna baadh ya watu wanasema SS na FBI they have a lot to answer to this scenario. Au watu wanasahau issue ya JF Kennedy's assassination, the involvement of the gvt.
Leo nmekuwa wa kwanza. Wa kununa wanune tu 😂😂
Chukua🎉🎉🎉yako kwa kuwai
@@RamadhaniMohamedi-de2vc Shukrani. Dah kuna jamaa mmoja alipanic sana siku moja hapa hapa sns et kwasababu tu mi nlisema leo nmekuwa wa kwanza. Nlimshangaa sanaaa. Vitu vya kawaida kama hivi anapanic. Tuendelee kula madini.
🎉
Dj sma nimependa sana huo uzinduzi wa uchambuzi.
Sidhani kama kutakuwa na taarifa tofauti sana na hiyo. Mwenyewe naamini kabisa huo ni mchongo kabisa uliolenga kumuua Trump. Na haujatoka nje ya serikali. Na kuna sababu kwanini kwenye water tower hakukuwa na counter sniper. Na kuna sababu kwanini walipuuza taarifa ya eyewitnesses. Na kuna sababu ya kwanini walidai kwamba ile sehemu ambayo gunman alikaa haikuwa kwenye mamlaka yao.
Naomba kuwasilisha.
Daah hatari sana