UDADAVUZI mtitiriko wa TRUMP kupigwa risasi! Kulikuwa na SNIPER wa pili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 243

  • @mustafatsomba6178
    @mustafatsomba6178 3 месяца назад +15

    SNS is having very talented men starting by the CEO SKY himself but I confess that DJ SMAA is another phenomenon. Kudos to the whole team of SNS. Watching from D.R.CONGO

  • @abuuabuu274
    @abuuabuu274 3 месяца назад +21

    Allah amekujaalia ufaham na akili nyingi ungekua Kuweza kufumbua kitu good job DJ sma

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 3 месяца назад +8

    Safiii sana...kaziii nzurii 🎉🎉🎉🎉

  • @josphatmbugua9097
    @josphatmbugua9097 3 месяца назад +2

    Dj sma uko Sawa Kwa uchabuzi wako mzuri kabisa, be blessed tunakufwatilia tukiwa huku Nairobi

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 3 месяца назад +3

    Dj smaa Mungu akubariki sana na azidi kukupa maarifa zaidi

  • @blueboybajos6880
    @blueboybajos6880 3 месяца назад +8

    upo vizuri bro🔥🔥🔥

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 3 месяца назад +8

    Dj smaa wewe ni next level 🔥🔥

  • @allymwalim6363
    @allymwalim6363 3 месяца назад +19

    Noumah kweli....brother uko vzr sana ninakufatilia kutoka zanzibar

  • @lettysalala2504
    @lettysalala2504 3 месяца назад +5

    Safi sana kaka unafanya kazi nzuri

  • @ramadhanimtozeni8030
    @ramadhanimtozeni8030 3 месяца назад +4

    Mchambuzi wa kiwango cha juu sana. DJ smaa, may God bless you.

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 2 месяца назад

    I got you, man. You have touched the right place.

  • @yohanachacha8890
    @yohanachacha8890 2 месяца назад

    Kazi nzuri big up ufike mbali

  • @joneskessy5649
    @joneskessy5649 3 месяца назад +3

    Hizi ndo contents nazo zitaka ytb zina ujazo wakutosha..big up sana dj sma..kazi nzuriii mnoo
    I appreciate🙏

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 3 месяца назад

    MashaaAllah DJ smaa upo vinzuli MashaaAllah

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 3 месяца назад +15

    Mwalimu DJ sma, mwenyez Mungu akujaalie maisha mareefu yenye afya njema, akulinde leo na kesho, akufungulie milango ya rizki na aijaalie familia yako maisha marefu yenye afya njema, aamin

    • @BenyassearButoyialfred
      @BenyassearButoyialfred 3 месяца назад

      Hakuna cha uwalimu hapo. Bali hawa wajama hua wanatafsiri hari zawengine japo simbaya. Ila sio wachambuzi.

    • @sosbrayantbenjamin9701
      @sosbrayantbenjamin9701 3 месяца назад

      @@BenyassearButoyialfred tafsili na ww bas fungua channel yako tuangalie

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад

      ​@@BenyassearButoyialfredUna roho mbaya sana na uchawi juu yote sababu ya umasikini mkubwa ulionao.

    • @TheSadicLife
      @TheSadicLife 3 месяца назад

      ​@@BenyassearButoyialfredbado ni elimu tosha, labda hufahamu nini maana elimu.

    • @athumanijumanne4114
      @athumanijumanne4114 3 месяца назад

      ​@@BenyassearButoyialfredhater sana we jamaa, chambua na ww basi kama unauwezo

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 месяца назад +7

    Upo reality sana ..Walinzi wazembe ama walipanga hilo tukio kama raia tu walimuona akitambaa juu paa .😮😮

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236 3 месяца назад +1

    Good Job Dj Smaa you are the Best 👍

  • @eve3894
    @eve3894 3 месяца назад +2

    Wow amazing kazi nzuri kweli. Asante kwa kutufungua macho ❤

  • @martinhipolitichuwa366
    @martinhipolitichuwa366 3 месяца назад +5

    Aisee huu uchambuzi ni wa uhakika mnooo. Hongera sana ndugu yangu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад +29

    TUNAJIVUNIA MAENDELEO YA WACHAMBUZI WATU TANZANIA MAELEZO NA VITENDO MBALIKIWE CHANNEL YETU ❤❤❤🎉🎉🎉

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 3 месяца назад +3

      Waulize kuhusu bongo hawana taarifa yoyote😂😂

    • @bigowillythomaskayanda7763
      @bigowillythomaskayanda7763 3 месяца назад +1

      Aisee Wanajua vizuri sana, sema kuna kitu filani hivi kwa ajili ya mambo ya kiusalama. Ila kama wewe unajambo lako linalohusu humu inchini kwetu, wee wafuate private ndiyo utajua kama wanajua. 🤗🤗🤗🤗

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 3 месяца назад

      ​@@charlesboniphace2249. 😅😅😅 Una mwanasheria ww

  • @joycekonga4095
    @joycekonga4095 3 месяца назад +2

    dj smaa umetishaa🔥🔥🔥

  • @paulrutechura-oe7tu
    @paulrutechura-oe7tu 3 месяца назад +1

    I appreciate. From Shinyanga

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 3 месяца назад +6

    Hii serikali isipojua inamtu muhim sana pamoja naali bs tena

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 3 месяца назад +3

    Pamoja from Oman 🇴🇲

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 3 месяца назад +1

    Uko vizuri mzee baba💯🙌🔥

  • @erickericsson3584
    @erickericsson3584 3 месяца назад +3

    Asante sana dj sma

  • @Joseph-u4p2w
    @Joseph-u4p2w 3 месяца назад +1

    I commend the efforts and time to put all these together brother 🙏

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje 3 месяца назад +4

    Nakubali Sana Bro. Najua sio rahisi kutengeneza video kama izi . Ila naona kama Trump watamfanyia mchezo hatoshinda Uchaguzi huu .

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 3 месяца назад +1

    Tanzania tunamtu mkubwa san big up bro wewe si wahapa niwambali sanaa

  • @MenMakona
    @MenMakona 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana bro

  • @LazaroRaymond-vr2kd
    @LazaroRaymond-vr2kd 3 месяца назад +1

    Uchambuzi mzuri keep going broh

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly 3 месяца назад +1

    Dj sma safi sana, asante

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 3 месяца назад

    djsima mungu akulinde ❤mashaallah

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 3 месяца назад +1

    Bro umetisha sana

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 3 месяца назад +1

    Fact And Logic

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 3 месяца назад +1

    Akili mingi sana❤️❤️❤️

  • @chrisbee7876
    @chrisbee7876 3 месяца назад

    Upo vizuri Sana di sma nakukubali sanaaa

  • @saidalflan6515
    @saidalflan6515 3 месяца назад +7

    upo vizur san mkuu

  • @saidjuma7878
    @saidjuma7878 3 месяца назад +6

    Dg sma nakupata kutoka zanzibar

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 3 месяца назад

    Kazi nzuri Dj

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 3 месяца назад +1

    Safi sana mkuu habari nzurie

  • @Mwamba67
    @Mwamba67 3 месяца назад +3

    Smaa sio Dj niamini mimi,,,!!

  • @ludanchuwa5054
    @ludanchuwa5054 3 месяца назад +2

    Dj sma maneno ya Jeffrey Sachs yametimiya hongera sna

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 3 месяца назад +1

    Umetisha kwa uchambuzi mzuri sana mpaka

  • @THEFACTTVCHANNEL-b2x
    @THEFACTTVCHANNEL-b2x 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤😂😊 Much love brother

  • @NurudinZuberi
    @NurudinZuberi 3 месяца назад +6

    Kaka unatisha km putin salute kwako

  • @JohnmuvungaVitale
    @JohnmuvungaVitale 3 месяца назад +11

    Unaogee kwli so far watasema ww ni mpinzani walivyo wajinga from? 277

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 3 месяца назад

    Safi sanaaaa tunahitaji chambuxi za hivi wwl donee kk

  • @KhadijaMasoud-d2z
    @KhadijaMasoud-d2z 3 месяца назад +1

    Asante mwalimu wangu naendelea kukuamini

  • @abel_esam
    @abel_esam 3 месяца назад +4

    DJ Sma. Umetisha, you are a pro my brother💪🏾

  • @MkomboziMwachanga
    @MkomboziMwachanga 3 месяца назад +1

    Kikubwa dua popote 😊

  • @niyongabofreddy
    @niyongabofreddy 3 месяца назад

    Uchambuzi mzuri sana dj sma nakufwatilia kutoka Burundi

  • @nzeyimanaayubu
    @nzeyimanaayubu 3 месяца назад

    Uko vizuri

  • @AmaniSelemani-in1ln
    @AmaniSelemani-in1ln 2 месяца назад

    Bro vipi kuhusu protest ya bangladesh imekuaje ukiposti video itakuwa unyama❤

  • @zainulahmed8206
    @zainulahmed8206 3 месяца назад +1

    DJ kwa heshima yako Sio kujoin Dort ni ku connect dort umesema kuwa usharekebisha ila uko vizur kwa Analysis

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 3 месяца назад

    Asante bro

  • @omarwahab7191
    @omarwahab7191 3 месяца назад

    Hongera yako mkuu kwa uchambuzi wako mzuri

  • @radirapperrecord391
    @radirapperrecord391 3 месяца назад +1

    This one is dope

  • @POLITICS_WAR_DIPLOMACY
    @POLITICS_WAR_DIPLOMACY 3 месяца назад +1

    DJ SMA umetisha

  • @franklukazula
    @franklukazula 3 месяца назад

    Big up bro❤

  • @benmcdream2268
    @benmcdream2268 3 месяца назад +2

    Dj smaa hakuna mchambuzi bora kam wew Afrika

  • @SalumMajorhood
    @SalumMajorhood 3 месяца назад

    Nakukubali sana DJ sma a.k.a van diesel

  • @water_music40
    @water_music40 3 месяца назад +1

    Nigaiye namba ya huyo alie kutengenezea meza me mwenyewe na studio yangu nataka anitengenezee

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад +2

    Kaka dj smaa naomba utufahamishe kuhusu kenya ...nasikia mambo sio mazuri kabisa nasikia watu wanauwawa ovyo na watoto wanatekwa na watu wananyonywa damu na wanauza viungo eti nikwel kaka dj smaa??naomba utufahamishe kaka..kuhusu kenya nikweli hali ni mbaya sana??? Nataka utufahamushe mim nakuelewaga sana wewe dj smaa ukiwa unaelezeaga

  • @AlliyMohamedAlliy
    @AlliyMohamedAlliy 3 месяца назад +3

    🤦‍♂️Hii ni mipango ya kicyasa inawaumiza kichw!

  • @murtalla2826
    @murtalla2826 3 месяца назад +2

    Fundi mwanetu #DJSMAA🎉🎉

  • @Tinge-Tanzania
    @Tinge-Tanzania 3 месяца назад

    Aiseee Yani unavyochambua ni kama vile Alex Mohone kwenye Prison Break. Umetisha sana

  • @rojasshemweta1981
    @rojasshemweta1981 3 месяца назад

    Nakupa

  • @athanasius7921
    @athanasius7921 3 месяца назад +1

    mpka sasa....sidhamn kama hilo limetambulika lakn.. kwa akiri yaziada wenda hata aliefanya tukio is second sniper...

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 3 месяца назад

    Asantee Kwa kutuelimesha

  • @Is-hakaAbdallah
    @Is-hakaAbdallah 3 месяца назад

    Nakubali kazi kaka

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 месяца назад +1

    Dj Smaa ni KGB intelligence service. Umetusha mkuu kwa uchambuzi.

  • @MohammadMohammad-n2q
    @MohammadMohammad-n2q 3 месяца назад

    ❤ Oman

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 3 месяца назад

    Dah uko sawa kabisa kk😢😢

  • @alexmugo3159
    @alexmugo3159 3 месяца назад +1

    May you have whatever you need to upgrade your equipment to highest level in GOD's

  • @ahmedymahmudu9532
    @ahmedymahmudu9532 3 месяца назад

    Safi sana brother

  • @trustmwimanzi3754
    @trustmwimanzi3754 3 месяца назад +1

    Wa kwanza kila siku 😁

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 3 месяца назад

    Very very nice

  • @dulayowakiba569
    @dulayowakiba569 3 месяца назад +1

    Ungetumia nguvu kutoa udadavuzi wa matukio ya nchi yako.. uyo Trump ana magwiji ya usalama sema alishaliwek tegemeo Kwa mungu wake basi.

  • @iddsimba3849
    @iddsimba3849 3 месяца назад

    Wao wazungu mwenyewe sisi watu weusi anatuchukia alafu nyinyi mnajipendekeza kwake

  • @RashidFarid-y7o
    @RashidFarid-y7o 3 месяца назад

    Babu uko vizuri

  • @denisrenatus4935
    @denisrenatus4935 3 месяца назад +1

    Walikua wanasubl afanye mauwaj wamuue pia mchezo uishee haya mengine n kutuvuruga

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 3 месяца назад +1

    Eshima zako mkuu

  • @THEFACTTVCHANNEL-b2x
    @THEFACTTVCHANNEL-b2x 3 месяца назад

    I from Malawi

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking9571 3 месяца назад

    Dj smaa🙌🙌✍️

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 2 месяца назад

    uchambuzi mzuri sana lakini vipi Tundu Lissu?ile si ilikuwa hatari kuliko hii??au kwa vile….?????

  • @itaelmanang2968
    @itaelmanang2968 3 месяца назад

    God is great

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 3 месяца назад

    Noma sana DJ SMA

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 3 месяца назад

    Wanadamu ni mungu ufalme wa mungu kama mbingunii kama duniani

  • @XhebbyMandevu-u1h
    @XhebbyMandevu-u1h 3 месяца назад +2

    🎉🎉🎉

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 3 месяца назад

    Huyu mzee maadui zake lazima wamo ktk Serikali ya the Democratic. Trump ni tishio kwao kwa uchaguzi wa November. They wanted to accomplish the game early in the morning. Ila tu tukio hilo is a shame to a big Nation as USA.
    Congrats Dj Smaa!

  • @ElishaMgale
    @ElishaMgale 3 месяца назад

    UNAFANYA NJEMA SANA MKUU

  • @RAMAMOHA-vn9xv
    @RAMAMOHA-vn9xv 3 месяца назад

    Yes

  • @NellyLwitiko
    @NellyLwitiko 3 месяца назад

    Akili mingiiii

  • @JumaSaid-g5u
    @JumaSaid-g5u 3 месяца назад +1

    Nilitazama movie ya Shooter the same scenario exactly Happened.

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 3 месяца назад

    Bonge la Investigation Brother

  • @sicac33
    @sicac33 3 месяца назад +1

    Nice content, ila its why kuna baadh ya watu wanasema SS na FBI they have a lot to answer to this scenario. Au watu wanasahau issue ya JF Kennedy's assassination, the involvement of the gvt.

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 3 месяца назад +2

    Leo nmekuwa wa kwanza. Wa kununa wanune tu 😂😂

    • @RamadhaniMohamedi-de2vc
      @RamadhaniMohamedi-de2vc 3 месяца назад

      Chukua🎉🎉🎉yako kwa kuwai

    • @dunstunnchimbi7994
      @dunstunnchimbi7994 3 месяца назад

      @@RamadhaniMohamedi-de2vc Shukrani. Dah kuna jamaa mmoja alipanic sana siku moja hapa hapa sns et kwasababu tu mi nlisema leo nmekuwa wa kwanza. Nlimshangaa sanaaa. Vitu vya kawaida kama hivi anapanic. Tuendelee kula madini.

    • @djsma255
      @djsma255 3 месяца назад

      🎉

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 3 месяца назад

    Dj sma nimependa sana huo uzinduzi wa uchambuzi.
    Sidhani kama kutakuwa na taarifa tofauti sana na hiyo. Mwenyewe naamini kabisa huo ni mchongo kabisa uliolenga kumuua Trump. Na haujatoka nje ya serikali. Na kuna sababu kwanini kwenye water tower hakukuwa na counter sniper. Na kuna sababu kwanini walipuuza taarifa ya eyewitnesses. Na kuna sababu ya kwanini walidai kwamba ile sehemu ambayo gunman alikaa haikuwa kwenye mamlaka yao.
    Naomba kuwasilisha.

  • @JacobjacobExaud
    @JacobjacobExaud 3 месяца назад +1

    Daah hatari sana