Interview ya DIAMOND na BBC: Afunguka "Mimi ni mwokozi wa muziki wa E.A, Nitakua BILL GATES ajae

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 274

  • @sophieatieno5148
    @sophieatieno5148 3 года назад +41

    Diamond ako juu. Ye ni inspiration. Hiyo interview ilikuwa nzuri. Watu nje wanamkubali sana lakini watu wa kwao wanamkataa nadhani ju ya wivu. Mi nikimwona huwa nakumbuka tu nothing is impossible bora tu ufanye kazi kwa bidii. Pia napenda akili yake ya kibiashara

    • @marcemarco3747
      @marcemarco3747 3 года назад +1

      Wacha kupotosha watu wewe nasi tunafatilia Sana jamaa hakubaliki na ukitaka kujua swala hilo nyie watanzania mnasupport ujinga hata kama kitu kibovu.... Hata followers alionao kibao ni ujinga wa watanzania ... Sisi huku nje hatuna muda nae

    • @sharontabitha8861
      @sharontabitha8861 3 года назад +3

      @@marcemarco3747 wewe na nani uko nje tuliza matako 😠

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      @@marcemarco3747 soda nakuja kulipa

    • @Mrtop-we7co
      @Mrtop-we7co 3 года назад +1

      @@marcemarco3747 hahahha hilo halitushangazi maana unavoongea hivo halafu list ya mastaa wakubwa 2021 anakuja no3, no 2 akiwa Wizkid, no1 akiwa Burna na no4 akiwa Davido halafu tena kwenye shows za nje sio siri kila mmoja anaona anavojazaga so wew huna jipia na baadae October yupo ndani ya USA kwenye miji 11 sasa wew sijui unaishigi kwenye hizo town zote kkkkkk

    • @zainabukhalid8223
      @zainabukhalid8223 3 года назад

      @@marcemarco3747 usemee moyo wako kama wewe hawumkubali basi sio wote pimbi ww

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya8754 3 года назад +9

    Diamond ni shuja, Mwenyezi Mungu amzidishie ni kijana WA bidii sana

  • @fatumasaidi2592
    @fatumasaidi2592 3 года назад +5

    L'homme de situation kwa kweli mungu kakupa kipaji chako pekee continue comme ça mon grand achana na watu wenyewe roho mbaya ndo hawanawawiri roho zao nyeusi 🇹🇿🇨🇵

  • @gabrielomondi4630
    @gabrielomondi4630 3 года назад +22

    Diamond amezungumza vizuri sana kwa hiyo interview. Mimi nimeusikiliza mwenyewe. Ieleweke kuwa diamond ni msanii wa kimataifa na siyo TZ tu. Anaelea anga tofauti sana na wabongo. Mafala hawawezi elewa chochote hapa. Amezidi upeo wa uelewa wao (hahaha)..na ni vizuri ibakie hivyo

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 3 года назад

      Bc itakuw hujskilz vr kwaiyo ww umeamn km daimond n msni w kimatif hhhhh.. mataifa mangp. Usmb tu

    • @roycerolls9641
      @roycerolls9641 3 года назад

      Hujaskiliza vizur mond sio msanii wa kimataifa

    • @khadijakiba3587
      @khadijakiba3587 3 года назад

      Eti mafala 🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole yako

    • @mbezzoprince9462
      @mbezzoprince9462 3 года назад

      @@abdulaabdula2631 wew nmsanii wawapi acheni chuki za njaaa mikunduyenu

    • @sophieatieno5148
      @sophieatieno5148 3 года назад

      @gabriel omondi I completely agree with you. Sijui mbona ni Watanzania wenyewe who don't like seeing his progress but well a prophet is never welcomed in his own hometown 😂

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar4838 3 года назад +9

    Diamond platnumz ni next level kabisa msani namba moja duniani

  • @b.3845
    @b.3845 3 года назад +16

    Diamond is the king of east Africa music and showbiz! Don’t hate, be inspired!

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 3 года назад

      King Ni mmoja tu ambae Ni Kiba huyo cc Simba

  • @paulmawirakinyu2688
    @paulmawirakinyu2688 3 года назад +20

    Me nampenda Sana simbaaaaa keep moving bro

  • @radiIbrahimnuhu
    @radiIbrahimnuhu 3 года назад +8

    DIAMOND NI INSPIRATION YA WATU WOTE MTAANI WANAOTAMANI MAFANIKIO...HE IS THE LIVING LEGEND

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад +20

    Simba baba lao love 💘❤💯💯💯

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 3 года назад +5

    Kk mkuu ✊🏽🙏🏼💓

  • @Mrtop-we7co
    @Mrtop-we7co 3 года назад +26

    Ukubwa wake unajieleza maana ukubwa wa msani huonekana pale anapoenda kufanya shows mbali mbali so nani ambae hajaona shows zake zinavojaza?? Hadi jamaa anapokelewa na ma Raisi au wake zao, shows huvurugika kwa uingi wa watu na kupelekea kuahirishwa, tukienda kwenye Streams, Views , Awards, followers, Subscribers, mikataba mingi na makampuni na kulipwa pesa ndefu, promotions ya business mbali mbali, mmiliki wa label kubwa Africa, ni DIAMOND hakuna mwengine E.A so unaempinga kweli unataka nini???

    • @jcrackcrack1669
      @jcrackcrack1669 3 года назад +3

      Dats true bro

    • @brianmokaya8432
      @brianmokaya8432 3 года назад +1

      Diamond kapokelewa na raisi mgani

    • @zuwenaiddy7820
      @zuwenaiddy7820 3 года назад

      @@brianmokaya8432 mshamba wew

    • @MAMANDUNE
      @MAMANDUNE 3 года назад

      @@brianmokaya8432 rais wa south Sudan, rais wa guinea Bissau ...

    • @Mrtop-we7co
      @Mrtop-we7co 3 года назад

      @@MAMANDUNE nisaidieni kumuelewesha ajifunze kufwatilia vitu sio kuropoka tu wabishi wengi uaga ni watu ambao hawanaga info. Yoyote ile

  • @cyrusharper2355
    @cyrusharper2355 3 года назад +5

    Diamond ni MMOJA TU dunia nzima

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 3 года назад +13

    Wabongo wengi ama waafrica tu wengi japo sio wote hupenda wakuone level flani,bt ikipita level yao wanayo taka Basi hutakani ushuke,na wakiona haushuki Basi wao hutia sumu na kukuchukia,

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 года назад

      Kweli kabisa 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      @@nishaabdula5015 wewe ngozi nyeupe huna shida

    • @Mrtop-we7co
      @Mrtop-we7co 3 года назад +1

      @@emmanueljoseph2576 kwani kakataa kwamba yeye si ngozi nyeusi?

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      @@Mrtop-we7co unamjibia unamjua au shobo

    • @Mrtop-we7co
      @Mrtop-we7co 3 года назад

      @@emmanueljoseph2576 wew kuwa umemjibu unamjua?? Si ndo ushoga huo?

  • @eunicegeorge7274
    @eunicegeorge7274 3 года назад +5

    Diamond just hold your hose. Keep it to your heart the devil might hear you.😭😭

  • @janetsesay8928
    @janetsesay8928 3 года назад +23

    Simba baba lao 👏👏👏👏❤❤

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 3 года назад

      Umefli. Mungu ndo babyo ashukur alicho barkiw😁👍

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 3 года назад +6

    That’s Simba of Africa….. amejibu maswali vizuri sana hata kiziwi ataelewa vizuri sana….. God bless you Simba wetu.

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 3 года назад +14

    It is possible if you believe 🔋💯🦁

  • @joookahjokah8430
    @joookahjokah8430 3 года назад +8

    Simba BIG 💥🙌🙌🙌

  • @sharontabitha8861
    @sharontabitha8861 3 года назад +5

    Dreams are valid 🙏❤️ go go baba teee

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 3 года назад +1

    Tunacho cha kujivunia si mwingine ni yeye diamondplatnum 👏👏

  • @alexkalonga3632
    @alexkalonga3632 3 года назад +4

    Simulizi na Sauti

  • @philemonasukile8759
    @philemonasukile8759 3 года назад +5

    Me diamond namkunali sana lkn sipendi anavo panic msanii fulan akifanya vzuri Zaid yake icho ndo kinafany aniboe lkn ieleweke tu kwamba yeye ni SUPER musician in E.A as he said

    • @philemonasukile8759
      @philemonasukile8759 3 года назад

      @kalisto media wee boya na wew ume panic me sisubiri mpaka niambiwe kama wewe nmemuona mwenyewe ndomaana nmesema

    • @joshuavictor1909
      @joshuavictor1909 3 года назад

      We umemwon wp?

    • @emanuelmwaipaja2062
      @emanuelmwaipaja2062 3 года назад

      Mnaoshinda page za udaku instar nyie mnamatatizo sana maana kila kitu mnachokikuta mnajua ni ukweli bila kufikiri

    • @emanuelmwaipaja2062
      @emanuelmwaipaja2062 3 года назад +1

      @@philemonasukile8759 hahaha Ila we jamaa ni star kumbe unakaa na diamond hadi unajua kwamba anachukia wasanii wengine

    • @rushurikarashid3018
      @rushurikarashid3018 3 года назад

      Kapaniki lin tena? Mshikaj hana time na mtu huyo! Tangu lin billionaire kijana akapaniki bro?😊🏆

  • @tomascalisto4118
    @tomascalisto4118 3 года назад

    Good best diamond 💎 I’ve

  • @m___ck799
    @m___ck799 3 года назад +1

    It is ok to dream..💪🏾

  • @williamndayiragwe5740
    @williamndayiragwe5740 3 года назад +1

    The lion himself 💎💎💎🔥🔥🔥

  • @gideonzachariah1445
    @gideonzachariah1445 3 года назад +5

    Mchiz kaona ajipe credit mwenyew maana wabongo hawataki kukubali ukweli😂😂

    • @Mrtop-we7co
      @Mrtop-we7co 3 года назад

      Siku zote interview ataulizwa yeye na atakaetakiwa kujibu ni yeye sio wew boya

    • @gideonzachariah1445
      @gideonzachariah1445 3 года назад

      @@Mrtop-we7co Babaa mbn unaingia kichwa kichwa? nilichomaanisha ni kwamba diamond hapewi ukubwa anaostahili na wabongo na wengi huwa wanasema sio mwokozi wa bongoflaver ndio maana diamond kaamua kujipa credit mwenyew....

  • @abbykagnj9483
    @abbykagnj9483 3 года назад +4

    Baba lap Simba👏👏👏👏👏

  • @itNeza
    @itNeza 3 года назад +5

    Huyu mwamba Kaokowa Huu mziki wa Bongo na Est afrika : Hawa wengine Wanaskika Kupitia Yeye, Kelele zote ni kwasababu Ya Huyu Jama. 💎

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +7

    Simbaaa 🦁🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @godfreymallya9713
    @godfreymallya9713 3 года назад +6

    Simba Ni mkubwa kuliko Bongo fleva yenyewe.

  • @SUNDAYMRGAMINGTZ
    @SUNDAYMRGAMINGTZ 3 года назад +5

    mia mia simba

  • @fadhiliaswa5063
    @fadhiliaswa5063 3 года назад +1

    Simbaaaaaa 🎶

  • @msafirimemba3787
    @msafirimemba3787 3 года назад +1

    Diamond namkubl sana

  • @mao9622
    @mao9622 3 года назад +5

    Unatuinspire simbaaa

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 3 года назад

    Kweli kabsa

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 3 года назад +8

    Wa tz wanao muhate huyu msee ni wakumbavu sana ni waswang'a tu kama wa coast hawapendagi msee akiendelea wivu mob munaezaje skilia mtu wenyu wivu wajinga nyinyi

  • @king-size8114
    @king-size8114 3 года назад +1

    Kumbe eeeh blood pressure monitor

  • @yussufrabba2282
    @yussufrabba2282 3 года назад +5

    💎💎💎

  • @owlbig
    @owlbig 3 года назад +1

    Uyo ni king 🤴

  • @zuhuranadahhinda1366
    @zuhuranadahhinda1366 3 года назад

    Kweli huyu ndo simbaaaaa

  • @alimichael2524
    @alimichael2524 3 года назад +3

    He's just leaving is dream

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 3 года назад

      Not 'leaving' his dream, it's 'living' his dream.

  • @blackisrael9892
    @blackisrael9892 3 года назад

    Mnyama mkali simbaaaa

  • @mwalimunyerere
    @mwalimunyerere 3 года назад +4

    Diamond is MAD talented but he overestimate his VALUE.

  • @abedysteven5397
    @abedysteven5397 3 года назад +5

    Diamond anachukiwa na wasanii wenzake mana anawazd maendeleo,ko hyo haimxhi2i mana sisi waxhabik 2nampenda hata bibilia inasema ukiona maadui wanainuka ujue nafanikio yanakaribia!! AF pia mond siasa haimfai!!!

    • @hassanjongo3445
      @hassanjongo3445 3 года назад

      Sio anawazid anakera ushamba wake mwambien aache

    • @mbezzoprince9462
      @mbezzoprince9462 3 года назад

      @@hassanjongo3445 🤣🤣🤣🤣 alipokua Hana kitu hamkumita mshamba sai ananunua kila mchosema hawezi kunnua roho zawakera kwann hamkubali kua jamaa amepita kwenye hizo levo zenu mnazo mtabiria mikunduyenu

    • @abedysteven5397
      @abedysteven5397 3 года назад

      @@mbezzoprince9462 unachekexha!

  • @debest4164
    @debest4164 3 года назад

    Das is Platnumz Simbaa #SWAHILINATION BOY #diamondplatnumz #Simbaa #Wcbforlife 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎈🎈🎈🚀🚀

  • @marcemarco3747
    @marcemarco3747 3 года назад +1

    Yuko hoi jamaaa

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 3 года назад

    Big up to diamond platinum

  • @salmakanyeghesi1721
    @salmakanyeghesi1721 3 года назад +4

    Babalao

  • @shebe2573
    @shebe2573 3 года назад +1

    Sasa sio zero kilometre dubai ni used

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 3 года назад +2

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @tomascalisto4118
    @tomascalisto4118 3 года назад

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿good

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 3 года назад +2

    Mxiuuuuuuu

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 года назад

    Diamond 💪🇹🇿🇨🇭

  • @SomeOne-wh4yu
    @SomeOne-wh4yu 3 года назад

    Mungu anzidishie

  • @haithamsleiman9127
    @haithamsleiman9127 3 года назад +3

    Kila siku mtangazaji unaumwa na mafuta!!!😀😃

    • @kingmtz5740
      @kingmtz5740 3 года назад

      Korona haijaisha,ugonjwa mwingine umeibuka wa mafuta tutapona kweli?

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 3 года назад

    Simbaaaaa

  • @asmahussein2779
    @asmahussein2779 3 года назад +3

    🦁🦁🦁🦁🦁

  • @achizakafuliro4818
    @achizakafuliro4818 3 года назад

    Big simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @juniorsimbajr2955
    @juniorsimbajr2955 3 года назад +5

    🙏🙏🙏👑🦁🤜🤛👍🌎

  • @saidmkutu6658
    @saidmkutu6658 3 года назад +3

    😭

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 3 года назад

    simba kama simba

  • @godfreylyimo9442
    @godfreylyimo9442 3 года назад +1

    Hahah mwokozi huyo vepe

  • @zeyzey5439
    @zeyzey5439 3 года назад +2

    ♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯🇦🇪

  • @stellachalamila7455
    @stellachalamila7455 2 года назад

    Nyie munaferi wapi kwahiyo mwamba

  • @gazaomar587
    @gazaomar587 3 года назад +8

    Brother mtangazaji tujikaze tuwe wakweli izogari zenye una.. zungumziya kwakweli naona nimambo yenye yameisha pitwa nawakati mbona waimba music wa CONGO DRC wako namagari mengi saana lakini hakuna fujo hatamoja wanapiga kwamuziki diamond hajuwi muziki lakini anajuwa biashara sasa kwaiyo aache maneno afanye music mbona ameaza kukimbiya kwenye bongo flaver

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 3 года назад

      Kwli upo sahih

    • @mbezzoprince9462
      @mbezzoprince9462 3 года назад +1

      Sasa apa twaongelea Simba ama wakongo acheni wivu davido alinnua RR mkamsifieee na kusema Simba hawezi nnua amennua mkabadlisha hawezi nnua jet miaambiwa ata hio bado sku za kuesabu ifike tz sai amekua mshamba taari kwann hamkubali ukweli Simba ndo mkombozi wenu msmfananishe na mikundu kwio yenu

  • @musicins1246
    @musicins1246 3 года назад +1

    Simba🔥🔥🔥

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 3 года назад +12

    Kwatuvyojuwa mtu husifiwa na sio kujisifia,hell lakini huyu hua hasubiri kusifiwa🤷

    • @sharontabitha8861
      @sharontabitha8861 3 года назад

      Peleka wivu kwenu hakuna mwenye atakusifia kwa hii life usipojisifia kojoa ulale

    • @jackhans7708
      @jackhans7708 3 года назад

      @@sharontabitha8861 hilo ndio tatizo,kwani wewe unanifaham?kama sio shut...fu..c..k🤫

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад

      @@jackhans7708 😂😂hakufahamu aache shobo siyo

    • @jackhans7708
      @jackhans7708 3 года назад

      @@emmanueljoseph2576 umeongea sio👍

    • @trisamilob3652
      @trisamilob3652 3 года назад

      Ukisubiri binadamu wa kitanzania akusifie utakufa mapema jikubali mwenyewe kwanza siyo usubiri meli uwanja wa ndege

  • @worldstartz
    @worldstartz 3 года назад +3

    Kuwa bill getes sawa tu, lakini kuwa mkombozi wa mziki E A aache kuongea ujinga

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 года назад +4

    Kwani wasanii wenzie wanasemaje kuhusu mwokozi wao 😂

    • @adolphmaige4249
      @adolphmaige4249 3 года назад +1

      Ila ukweli amewaokoa

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 3 года назад +1

      🤣🤣🤣Saiz wanabebwa kupelekwa hospital mana wamejipigza Sana kwa ukuta sabu ya hasira na wivu hahahaha baada ya kusikiza hii interview

    • @yumnasuleiman
      @yumnasuleiman 3 года назад +1

      @@welcometoeat165 😀😀Mbavu zang me

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 3 года назад +1

      @@welcometoeat165 wewe mwenyewe Una hali gani 😂

    • @filskischannel9737
      @filskischannel9737 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣you are killing bro🤦🏻‍♂️🤣🤣🤣

  • @martinignasious
    @martinignasious 3 года назад +3

    Sky mwiten mond kweny kipindii

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 3 года назад

      Sio rahisi wakati ana media yake

  • @zaibizaibi8154
    @zaibizaibi8154 3 года назад

    Asituchoshe

  • @chinemaentertainment1110
    @chinemaentertainment1110 3 года назад +9

    Hana maajabu

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 3 года назад +1

    Kuwadunia nikuvumiriya

  • @hafidhinyupa8246
    @hafidhinyupa8246 3 года назад

    Kwa makelele

  • @abdulaabdula2631
    @abdulaabdula2631 3 года назад +6

    Daimand si mokozi kw sababu anjitapa sn. Mtu hajisifu, ansifiw,... Asjtpe km n muokoz.
    mokozi ni mungu peke 2 bc yeye ashukur 2 alicho barikiw.

    • @rushurikarashid3018
      @rushurikarashid3018 3 года назад +4

      Mungu hausik kwny mziki wewe...huyu jamaa ukwel unabak pale kwamba ameupaisha mzik wa tz international.

    • @jcrackcrack1669
      @jcrackcrack1669 3 года назад +2

      Mjomba unakataa bt east africa yote mtateta bt yeye ndio mokozi tu, wengine wamepewa mwangaza tu na yeye,

    • @EbondoSounds
      @EbondoSounds 3 года назад +1

      Acha majungu wewe

    • @ashamohamed1461
      @ashamohamed1461 3 года назад +2

      Ndiyo maana akakuambia kaletwa na mungu akakuambia amejileta mwenyewe awe mokozi a mziki mxiiiiiiii

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 3 года назад +1

      Yan Mibongo bhana kwa ugubu ni hatari

  • @emanuelmwaipaja2062
    @emanuelmwaipaja2062 3 года назад

    Sema nini wazee mambo aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya simba mnamkosea heshima sana kumfananisha na wakina harmo na kiba Ila inachangamsha genge tu

  • @salimkatana6721
    @salimkatana6721 3 года назад +1

    Hii media niyakisenge,tafuteni makala ya maana badala ya issue zakifala.ii habari inatusaidia vpi

    • @dicksontewele3667
      @dicksontewele3667 3 года назад

      Sasa mzee c ungepit kushoto umeangalia yann sasa we ni matako nn

    • @salimkatana6721
      @salimkatana6721 3 года назад

      @@dicksontewele3667 watombwa ww,media ipost vitu zakijanja sasa rolls Royce na personal life ya huyo bwege wenu imekusaifia nn.pambana na hali yko.

  • @nomad7707
    @nomad7707 3 года назад +11

    sadala aka domo kubwa mpenda masifa . acha usifiwe , sio kujisifu.

    • @alainnduwimana544
      @alainnduwimana544 3 года назад +4

      Roho mbaya inakusumbua we ni poossy teja

    • @ShSh-my8cw
      @ShSh-my8cw 3 года назад +1

      Ndio maana akakosa tuzo😄

    • @hamedabashir9
      @hamedabashir9 3 года назад +1

      @@ShSh-my8cw hata akikosa wewe unaumia nn panya nyinyi

    • @saidchitanda2782
      @saidchitanda2782 3 года назад

      @@ShSh-my8cw amekosa tuzo tuzo kapewa mama ako

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 3 года назад

      Kwli m2 ajisifu husifiw

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад

    Mbwa huyu hana jipya

  • @faredamobilo3678
    @faredamobilo3678 3 года назад

    FROM POOR FAMILY YANI ALIKUWA MASKINI.MKUBWA HATA HAKUWA KIDOMO WAKA NO ONE ANGEK8MPENDA ILA MOLA KAMPA BA ABDULLI KUWA NA MAMA MWENYEWE YANI ,NI.MUNGU KWA BIDII NAPIA KUWA NA SUBRA KUKA CHINI.NAPIA NYUMBA ZA .ATOPR MOLA HUTOA WATI NAKINYANI.KAKA DISMOND NI JITU LA HAKI NA YSAWA HATA HIVI YUKO SAWA KUFUTIA WENGI NA.PIA KUOKOKOA VIJANA CHINI KWA MAISHA ALIYOPITIA KWA HIVYO MIMI KANAMA MJANE FRO M.KENYA MOMBADA SIONI VIBAYA WAKA SHEE ILA TU,MWENYR ANALAKE ANYAMAZE SIYO PEREPETE HAKUPA MAMAKE NA NAVA KILOMBE CHA MAJI AU HATA UJI HATA VIAZI ZA KARAI HIVI HAWANA LA KUSENA NIKUPOTEZA WAKATI ,KWA KUWA YUKO AU YIMO NA TENA ATAKUWA NA MINGU KAMPA NO.ONE ATAKUWA KANA YEYE HAFI SIKU YA KIAMA SIYO KIUNO,STYLE YA KUCHEZESHA MABENGA,YANI @PARTS OF THE BODY SO LETS THRM.TAKKS BORA USIKU WANALALA NA YEYE ANAENDELEA ILA YEYE NI YEYE NA AKIYE DANI YAKE NI YEYE HUWA KAJUA NI YEYE DIAMONDDD

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 3 года назад +1

    🤣🤣🤣kari lipya😖😖😖

  • @yuleboy2010
    @yuleboy2010 3 года назад +1

    Kamuokoe na MZee wako nae c Yuko East Africa au

  • @mwanahawa6362
    @mwanahawa6362 3 года назад

    Htre na nusuu

  • @emmalwaitamanyerere330
    @emmalwaitamanyerere330 3 года назад

    Bill muuaji!!!!?

  • @sultanadam5529
    @sultanadam5529 3 года назад

    East Africa landa sio Kenya na Uganda amewaokoa wa kule TZ ....

    • @mwinyiramadhani2604
      @mwinyiramadhani2604 3 года назад

      Vipi mbona kimekuuma

    • @sultanadam5529
      @sultanadam5529 3 года назад

      @@mwinyiramadhani2604 iniume kweni mi ni mzee Abdul wewe ndio unaumwa kule

    • @mwinyiramadhani2604
      @mwinyiramadhani2604 3 года назад

      Sasa Mzee Abdul katokea wap Ayo ndiyo mambo ya kuteseka mafanikio ya mwezako ushambiwa daimond ni mkombozi WA muziki East Africa we kinakuuma kaa wewe basi uwe mkombozi WA WA east Africa maana kinaumana mtapata muhao

    • @sultanadam5529
      @sultanadam5529 3 года назад

      @@mwinyiramadhani2604 wala siteseki bro kila mtu ana uhuru wakutoa maoni yake na nimekupa Mfano anae takiwa Kupata machungu ni jama zake yani familia not me hatuusiani ndiomaana nikasema industry ya Kenya hajasaidia chochote labda kule Tz hapa tuna malengeds waliopigania mziki wa uku yeye sijui anaongelea east Africa gani so elewa ukiwa shabiki msifie pia ni haki yako

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 3 года назад +3

    Bill gates wa wasafi

  • @greaterjustin2231
    @greaterjustin2231 3 года назад +1

    Kama mziki ungekua ni shamba basi tungeweza kusema kwamba dai amekuta shamba lishalimwa na mazao yapo sokoni ko mziki kaukuta mjini,aheshimu pia waliopokea kijiti kutoka kwa kizazi cha kina les wanyika,pia kuna wasan Wengine amekuta wanajulikana E.A na Africa pia ni saw saw leo useme burnaboy ndo mwokoz wa mziki wa Nigeria kisa zile tuzo za bet na gramy ye apige kazi mazuri yake watu wanayaona

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 3 года назад +9

    Tuko bize na jealous, gar used kanunua Dubai 150M

    • @paulmawirakinyu2688
      @paulmawirakinyu2688 3 года назад +5

      Nani kakuleta apa si uende kwa RUclips ya huyo mwenye views wasio na trending nchi yoyote kwanza apa Kenya ako no 7 akati Simba ako no 1 tulia bro na ndio maana kila charts kaongoza yeye na kwa tuzo pia atapita Ivo Ivo maana Kama Ni views ameona hazimpeleki global

    • @denisimaliyaweni9183
      @denisimaliyaweni9183 3 года назад +2

      @@paulmawirakinyu2688 huo wivu, na mwaka huu mtakoma, kiba atawachoosha cku hz mond hana jipya anapata views kama lavalava tu wale wa zamani ni wa kununua , na subscribers wakununua ili aonekane namba one Africa kumbe kajipotezea muda watu hawaangalii subscribers wanaangalia mziki mzur ndo unapata tunzo mwakani BET anachukua alikiba

    • @jibrildavis5664
      @jibrildavis5664 3 года назад

      @@denisimaliyaweni9183 unachekesha nduguyangu eti kibakuli atachua tuzo labdakidogo tena harmoniz

    • @hafidhsalim1077
      @hafidhsalim1077 3 года назад +1

      @@denisimaliyaweni9183 kenge mkubwa wewe ety nani achukuwe tuzo kwa mziki gani mzuri alio nao??

    • @hafidhsalim1077
      @hafidhsalim1077 3 года назад +2

      Wewe gari lako original liko wapi malaya mkubwa wewe

  • @mjitenaziofficial3035
    @mjitenaziofficial3035 3 года назад

    😄😄😄 ana fikiri grammy ni maji 😄😄😄😄😄😄😄..

    • @emanuelmwaipaja2062
      @emanuelmwaipaja2062 3 года назад

      Grammy inatafuta na juhudi za mtu na simba anajuhudi acha roho mbaya ww

  • @maryannemwangi168
    @maryannemwangi168 3 года назад +2

    Usijisifu na wacha kujilinginisha na bill gates yeye hajionyeshi Sana Kama wewe yeye anapesa Ila hajionyeshi

    • @maryannemwangi168
      @maryannemwangi168 3 года назад

      @@nishaabdula5015 ni Kuran ipi inayosema unitukane ukimaliza hapa nenda umwombe Allah akusamehe Ila usinitukane mtandaoni kwasababu ya mtu ambaye ataweka chakula Kwa meza yako siku njema na asante

    • @ronny1321
      @ronny1321 3 года назад

      @@maryannemwangi168 dadang uyu ni msanii kila kitu lazma aonyeshe ina saidia kubland jina lake na kimzik angalia wasanii wote wanavy ishi ukijua ilo utaach kumlaum yey

    • @maryannemwangi168
      @maryannemwangi168 3 года назад

      @@ronny1321 hayo yote najua ilaasijisifie Sana angoje hizo sifa unaowaamerika wanajisifia ama wacha mtu ajuepriorities zake siokujilinganisha na watu ambao wanapesa zaidi yake nahawajisifia wacha ajilinganishe nawengine Ila sikinaBillgates bado hajafika hapo enywe kukosa kusoma kunashida unaonakama Burnaboy anajiita Billgates yeye ajijua na nimzalendo kuwanasikunjema

    • @maryannemwangi168
      @maryannemwangi168 3 года назад

      @@walaaabdallah3236 Ila usijilinganishe na mfinyibiashara tajika aliyenamkwaja kushinda naukimaliza hapa nenda na kumwombee Allah msamaha kuwakunitukana mtandaoni na usijiite mwokozi wa muziki wa EAfrica kwani kunawalioanza na hawajionyeshi ilihali wanajua nawe unajua walioanza sikunjema

    • @maryannemwangi168
      @maryannemwangi168 3 года назад

      @@walaaabdallah3236 siwezi mpangia ilaajifunze kunyenyekea kwani hizosifa zaweza chukuliwa na Allah waonakama Burnaboy anafanya hivyo sibasi ajiite mwokozi wa muziki wa muziki wa West Africa enyewe kutosoma kunashida sikunjema me nishabiki ilasifa za kijinga usijitie

  • @shazzywakingsmusic8672
    @shazzywakingsmusic8672 3 года назад +3

    Mokozi wanini Huyo anaimba mapiano kwann asiimbe BongoFlavour eti mokozi 🤣🤣🤣

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 3 года назад +1

    Mwiz WA nyot za wenzio thief

  • @chinemaentertainment1110
    @chinemaentertainment1110 3 года назад +5

    Mwokozi wa matakoni labda

    • @paulmawirakinyu2688
      @paulmawirakinyu2688 3 года назад +6

      Mbona matusi mengi ama uteam umekujaa na chuki zisizo kuwa na maana ukimchukia mond utakufa kwa pressure sababu haipiti saa hujakutana Naye mitandaoni

    • @alibinali_
      @alibinali_ 3 года назад +1

      We sio mzima

    • @ShSh-my8cw
      @ShSh-my8cw 3 года назад

      @@alibinali_ 🤣

    • @ShSh-my8cw
      @ShSh-my8cw 3 года назад

      🤣

    • @SalimSalim-jm8mb
      @SalimSalim-jm8mb 3 года назад

      😂😂😂

  • @brothertilldies
    @brothertilldies 3 года назад +9

    Simbaa