Diamond ako juu. Ye ni inspiration. Hiyo interview ilikuwa nzuri. Watu nje wanamkubali sana lakini watu wa kwao wanamkataa nadhani ju ya wivu. Mi nikimwona huwa nakumbuka tu nothing is impossible bora tu ufanye kazi kwa bidii. Pia napenda akili yake ya kibiashara
Wacha kupotosha watu wewe nasi tunafatilia Sana jamaa hakubaliki na ukitaka kujua swala hilo nyie watanzania mnasupport ujinga hata kama kitu kibovu.... Hata followers alionao kibao ni ujinga wa watanzania ... Sisi huku nje hatuna muda nae
@@marcemarco3747 hahahha hilo halitushangazi maana unavoongea hivo halafu list ya mastaa wakubwa 2021 anakuja no3, no 2 akiwa Wizkid, no1 akiwa Burna na no4 akiwa Davido halafu tena kwenye shows za nje sio siri kila mmoja anaona anavojazaga so wew huna jipia na baadae October yupo ndani ya USA kwenye miji 11 sasa wew sijui unaishigi kwenye hizo town zote kkkkkk
L'homme de situation kwa kweli mungu kakupa kipaji chako pekee continue comme ça mon grand achana na watu wenyewe roho mbaya ndo hawanawawiri roho zao nyeusi 🇹🇿🇨🇵
Diamond amezungumza vizuri sana kwa hiyo interview. Mimi nimeusikiliza mwenyewe. Ieleweke kuwa diamond ni msanii wa kimataifa na siyo TZ tu. Anaelea anga tofauti sana na wabongo. Mafala hawawezi elewa chochote hapa. Amezidi upeo wa uelewa wao (hahaha)..na ni vizuri ibakie hivyo
@gabriel omondi I completely agree with you. Sijui mbona ni Watanzania wenyewe who don't like seeing his progress but well a prophet is never welcomed in his own hometown 😂
Ukubwa wake unajieleza maana ukubwa wa msani huonekana pale anapoenda kufanya shows mbali mbali so nani ambae hajaona shows zake zinavojaza?? Hadi jamaa anapokelewa na ma Raisi au wake zao, shows huvurugika kwa uingi wa watu na kupelekea kuahirishwa, tukienda kwenye Streams, Views , Awards, followers, Subscribers, mikataba mingi na makampuni na kulipwa pesa ndefu, promotions ya business mbali mbali, mmiliki wa label kubwa Africa, ni DIAMOND hakuna mwengine E.A so unaempinga kweli unataka nini???
Wabongo wengi ama waafrica tu wengi japo sio wote hupenda wakuone level flani,bt ikipita level yao wanayo taka Basi hutakani ushuke,na wakiona haushuki Basi wao hutia sumu na kukuchukia,
Me diamond namkunali sana lkn sipendi anavo panic msanii fulan akifanya vzuri Zaid yake icho ndo kinafany aniboe lkn ieleweke tu kwamba yeye ni SUPER musician in E.A as he said
@@Mrtop-we7co Babaa mbn unaingia kichwa kichwa? nilichomaanisha ni kwamba diamond hapewi ukubwa anaostahili na wabongo na wengi huwa wanasema sio mwokozi wa bongoflaver ndio maana diamond kaamua kujipa credit mwenyew....
Wa tz wanao muhate huyu msee ni wakumbavu sana ni waswang'a tu kama wa coast hawapendagi msee akiendelea wivu mob munaezaje skilia mtu wenyu wivu wajinga nyinyi
Diamond anachukiwa na wasanii wenzake mana anawazd maendeleo,ko hyo haimxhi2i mana sisi waxhabik 2nampenda hata bibilia inasema ukiona maadui wanainuka ujue nafanikio yanakaribia!! AF pia mond siasa haimfai!!!
@@hassanjongo3445 🤣🤣🤣🤣 alipokua Hana kitu hamkumita mshamba sai ananunua kila mchosema hawezi kunnua roho zawakera kwann hamkubali kua jamaa amepita kwenye hizo levo zenu mnazo mtabiria mikunduyenu
Brother mtangazaji tujikaze tuwe wakweli izogari zenye una.. zungumziya kwakweli naona nimambo yenye yameisha pitwa nawakati mbona waimba music wa CONGO DRC wako namagari mengi saana lakini hakuna fujo hatamoja wanapiga kwamuziki diamond hajuwi muziki lakini anajuwa biashara sasa kwaiyo aache maneno afanye music mbona ameaza kukimbiya kwenye bongo flaver
Sema nini wazee mambo aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya simba mnamkosea heshima sana kumfananisha na wakina harmo na kiba Ila inachangamsha genge tu
FROM POOR FAMILY YANI ALIKUWA MASKINI.MKUBWA HATA HAKUWA KIDOMO WAKA NO ONE ANGEK8MPENDA ILA MOLA KAMPA BA ABDULLI KUWA NA MAMA MWENYEWE YANI ,NI.MUNGU KWA BIDII NAPIA KUWA NA SUBRA KUKA CHINI.NAPIA NYUMBA ZA .ATOPR MOLA HUTOA WATI NAKINYANI.KAKA DISMOND NI JITU LA HAKI NA YSAWA HATA HIVI YUKO SAWA KUFUTIA WENGI NA.PIA KUOKOKOA VIJANA CHINI KWA MAISHA ALIYOPITIA KWA HIVYO MIMI KANAMA MJANE FRO M.KENYA MOMBADA SIONI VIBAYA WAKA SHEE ILA TU,MWENYR ANALAKE ANYAMAZE SIYO PEREPETE HAKUPA MAMAKE NA NAVA KILOMBE CHA MAJI AU HATA UJI HATA VIAZI ZA KARAI HIVI HAWANA LA KUSENA NIKUPOTEZA WAKATI ,KWA KUWA YUKO AU YIMO NA TENA ATAKUWA NA MINGU KAMPA NO.ONE ATAKUWA KANA YEYE HAFI SIKU YA KIAMA SIYO KIUNO,STYLE YA KUCHEZESHA MABENGA,YANI @PARTS OF THE BODY SO LETS THRM.TAKKS BORA USIKU WANALALA NA YEYE ANAENDELEA ILA YEYE NI YEYE NA AKIYE DANI YAKE NI YEYE HUWA KAJUA NI YEYE DIAMONDDD
Sasa Mzee Abdul katokea wap Ayo ndiyo mambo ya kuteseka mafanikio ya mwezako ushambiwa daimond ni mkombozi WA muziki East Africa we kinakuuma kaa wewe basi uwe mkombozi WA WA east Africa maana kinaumana mtapata muhao
@@mwinyiramadhani2604 wala siteseki bro kila mtu ana uhuru wakutoa maoni yake na nimekupa Mfano anae takiwa Kupata machungu ni jama zake yani familia not me hatuusiani ndiomaana nikasema industry ya Kenya hajasaidia chochote labda kule Tz hapa tuna malengeds waliopigania mziki wa uku yeye sijui anaongelea east Africa gani so elewa ukiwa shabiki msifie pia ni haki yako
Kama mziki ungekua ni shamba basi tungeweza kusema kwamba dai amekuta shamba lishalimwa na mazao yapo sokoni ko mziki kaukuta mjini,aheshimu pia waliopokea kijiti kutoka kwa kizazi cha kina les wanyika,pia kuna wasan Wengine amekuta wanajulikana E.A na Africa pia ni saw saw leo useme burnaboy ndo mwokoz wa mziki wa Nigeria kisa zile tuzo za bet na gramy ye apige kazi mazuri yake watu wanayaona
Nani kakuleta apa si uende kwa RUclips ya huyo mwenye views wasio na trending nchi yoyote kwanza apa Kenya ako no 7 akati Simba ako no 1 tulia bro na ndio maana kila charts kaongoza yeye na kwa tuzo pia atapita Ivo Ivo maana Kama Ni views ameona hazimpeleki global
@@paulmawirakinyu2688 huo wivu, na mwaka huu mtakoma, kiba atawachoosha cku hz mond hana jipya anapata views kama lavalava tu wale wa zamani ni wa kununua , na subscribers wakununua ili aonekane namba one Africa kumbe kajipotezea muda watu hawaangalii subscribers wanaangalia mziki mzur ndo unapata tunzo mwakani BET anachukua alikiba
@@nishaabdula5015 ni Kuran ipi inayosema unitukane ukimaliza hapa nenda umwombe Allah akusamehe Ila usinitukane mtandaoni kwasababu ya mtu ambaye ataweka chakula Kwa meza yako siku njema na asante
@@maryannemwangi168 dadang uyu ni msanii kila kitu lazma aonyeshe ina saidia kubland jina lake na kimzik angalia wasanii wote wanavy ishi ukijua ilo utaach kumlaum yey
@@ronny1321 hayo yote najua ilaasijisifie Sana angoje hizo sifa unaowaamerika wanajisifia ama wacha mtu ajuepriorities zake siokujilinganisha na watu ambao wanapesa zaidi yake nahawajisifia wacha ajilinganishe nawengine Ila sikinaBillgates bado hajafika hapo enywe kukosa kusoma kunashida unaonakama Burnaboy anajiita Billgates yeye ajijua na nimzalendo kuwanasikunjema
@@walaaabdallah3236 Ila usijilinganishe na mfinyibiashara tajika aliyenamkwaja kushinda naukimaliza hapa nenda na kumwombee Allah msamaha kuwakunitukana mtandaoni na usijiite mwokozi wa muziki wa EAfrica kwani kunawalioanza na hawajionyeshi ilihali wanajua nawe unajua walioanza sikunjema
@@walaaabdallah3236 siwezi mpangia ilaajifunze kunyenyekea kwani hizosifa zaweza chukuliwa na Allah waonakama Burnaboy anafanya hivyo sibasi ajiite mwokozi wa muziki wa muziki wa West Africa enyewe kutosoma kunashida sikunjema me nishabiki ilasifa za kijinga usijitie
Diamond ako juu. Ye ni inspiration. Hiyo interview ilikuwa nzuri. Watu nje wanamkubali sana lakini watu wa kwao wanamkataa nadhani ju ya wivu. Mi nikimwona huwa nakumbuka tu nothing is impossible bora tu ufanye kazi kwa bidii. Pia napenda akili yake ya kibiashara
Wacha kupotosha watu wewe nasi tunafatilia Sana jamaa hakubaliki na ukitaka kujua swala hilo nyie watanzania mnasupport ujinga hata kama kitu kibovu.... Hata followers alionao kibao ni ujinga wa watanzania ... Sisi huku nje hatuna muda nae
@@marcemarco3747 wewe na nani uko nje tuliza matako 😠
@@marcemarco3747 soda nakuja kulipa
@@marcemarco3747 hahahha hilo halitushangazi maana unavoongea hivo halafu list ya mastaa wakubwa 2021 anakuja no3, no 2 akiwa Wizkid, no1 akiwa Burna na no4 akiwa Davido halafu tena kwenye shows za nje sio siri kila mmoja anaona anavojazaga so wew huna jipia na baadae October yupo ndani ya USA kwenye miji 11 sasa wew sijui unaishigi kwenye hizo town zote kkkkkk
@@marcemarco3747 usemee moyo wako kama wewe hawumkubali basi sio wote pimbi ww
Diamond ni shuja, Mwenyezi Mungu amzidishie ni kijana WA bidii sana
L'homme de situation kwa kweli mungu kakupa kipaji chako pekee continue comme ça mon grand achana na watu wenyewe roho mbaya ndo hawanawawiri roho zao nyeusi 🇹🇿🇨🇵
Diamond amezungumza vizuri sana kwa hiyo interview. Mimi nimeusikiliza mwenyewe. Ieleweke kuwa diamond ni msanii wa kimataifa na siyo TZ tu. Anaelea anga tofauti sana na wabongo. Mafala hawawezi elewa chochote hapa. Amezidi upeo wa uelewa wao (hahaha)..na ni vizuri ibakie hivyo
Bc itakuw hujskilz vr kwaiyo ww umeamn km daimond n msni w kimatif hhhhh.. mataifa mangp. Usmb tu
Hujaskiliza vizur mond sio msanii wa kimataifa
Eti mafala 🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole yako
@@abdulaabdula2631 wew nmsanii wawapi acheni chuki za njaaa mikunduyenu
@gabriel omondi I completely agree with you. Sijui mbona ni Watanzania wenyewe who don't like seeing his progress but well a prophet is never welcomed in his own hometown 😂
Diamond platnumz ni next level kabisa msani namba moja duniani
Diamond is the king of east Africa music and showbiz! Don’t hate, be inspired!
King Ni mmoja tu ambae Ni Kiba huyo cc Simba
Me nampenda Sana simbaaaaa keep moving bro
DIAMOND NI INSPIRATION YA WATU WOTE MTAANI WANAOTAMANI MAFANIKIO...HE IS THE LIVING LEGEND
Simba baba lao love 💘❤💯💯💯
Umefl
Kk mkuu ✊🏽🙏🏼💓
Ukubwa wake unajieleza maana ukubwa wa msani huonekana pale anapoenda kufanya shows mbali mbali so nani ambae hajaona shows zake zinavojaza?? Hadi jamaa anapokelewa na ma Raisi au wake zao, shows huvurugika kwa uingi wa watu na kupelekea kuahirishwa, tukienda kwenye Streams, Views , Awards, followers, Subscribers, mikataba mingi na makampuni na kulipwa pesa ndefu, promotions ya business mbali mbali, mmiliki wa label kubwa Africa, ni DIAMOND hakuna mwengine E.A so unaempinga kweli unataka nini???
Dats true bro
Diamond kapokelewa na raisi mgani
@@brianmokaya8432 mshamba wew
@@brianmokaya8432 rais wa south Sudan, rais wa guinea Bissau ...
@@MAMANDUNE nisaidieni kumuelewesha ajifunze kufwatilia vitu sio kuropoka tu wabishi wengi uaga ni watu ambao hawanaga info. Yoyote ile
Diamond ni MMOJA TU dunia nzima
Wabongo wengi ama waafrica tu wengi japo sio wote hupenda wakuone level flani,bt ikipita level yao wanayo taka Basi hutakani ushuke,na wakiona haushuki Basi wao hutia sumu na kukuchukia,
Kweli kabisa 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@@nishaabdula5015 wewe ngozi nyeupe huna shida
@@emmanueljoseph2576 kwani kakataa kwamba yeye si ngozi nyeusi?
@@Mrtop-we7co unamjibia unamjua au shobo
@@emmanueljoseph2576 wew kuwa umemjibu unamjua?? Si ndo ushoga huo?
Diamond just hold your hose. Keep it to your heart the devil might hear you.😭😭
Simba baba lao 👏👏👏👏❤❤
Umefli. Mungu ndo babyo ashukur alicho barkiw😁👍
That’s Simba of Africa….. amejibu maswali vizuri sana hata kiziwi ataelewa vizuri sana….. God bless you Simba wetu.
It is possible if you believe 🔋💯🦁
Simba BIG 💥🙌🙌🙌
Dreams are valid 🙏❤️ go go baba teee
Tunacho cha kujivunia si mwingine ni yeye diamondplatnum 👏👏
Simulizi na Sauti
Me diamond namkunali sana lkn sipendi anavo panic msanii fulan akifanya vzuri Zaid yake icho ndo kinafany aniboe lkn ieleweke tu kwamba yeye ni SUPER musician in E.A as he said
@kalisto media wee boya na wew ume panic me sisubiri mpaka niambiwe kama wewe nmemuona mwenyewe ndomaana nmesema
We umemwon wp?
Mnaoshinda page za udaku instar nyie mnamatatizo sana maana kila kitu mnachokikuta mnajua ni ukweli bila kufikiri
@@philemonasukile8759 hahaha Ila we jamaa ni star kumbe unakaa na diamond hadi unajua kwamba anachukia wasanii wengine
Kapaniki lin tena? Mshikaj hana time na mtu huyo! Tangu lin billionaire kijana akapaniki bro?😊🏆
Good best diamond 💎 I’ve
It is ok to dream..💪🏾
The lion himself 💎💎💎🔥🔥🔥
Mchiz kaona ajipe credit mwenyew maana wabongo hawataki kukubali ukweli😂😂
Siku zote interview ataulizwa yeye na atakaetakiwa kujibu ni yeye sio wew boya
@@Mrtop-we7co Babaa mbn unaingia kichwa kichwa? nilichomaanisha ni kwamba diamond hapewi ukubwa anaostahili na wabongo na wengi huwa wanasema sio mwokozi wa bongoflaver ndio maana diamond kaamua kujipa credit mwenyew....
Baba lap Simba👏👏👏👏👏
Huyu mwamba Kaokowa Huu mziki wa Bongo na Est afrika : Hawa wengine Wanaskika Kupitia Yeye, Kelele zote ni kwasababu Ya Huyu Jama. 💎
Simbaaa 🦁🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Simba Ni mkubwa kuliko Bongo fleva yenyewe.
Ha haaaa
True
mia mia simba
Simbaaaaaa 🎶
Diamond namkubl sana
Unatuinspire simbaaa
Kweli kabsa
Wa tz wanao muhate huyu msee ni wakumbavu sana ni waswang'a tu kama wa coast hawapendagi msee akiendelea wivu mob munaezaje skilia mtu wenyu wivu wajinga nyinyi
Kumbe eeeh blood pressure monitor
💎💎💎
Uyo ni king 🤴
Kweli huyu ndo simbaaaaa
He's just leaving is dream
Not 'leaving' his dream, it's 'living' his dream.
Mnyama mkali simbaaaa
Diamond is MAD talented but he overestimate his VALUE.
Diamond anachukiwa na wasanii wenzake mana anawazd maendeleo,ko hyo haimxhi2i mana sisi waxhabik 2nampenda hata bibilia inasema ukiona maadui wanainuka ujue nafanikio yanakaribia!! AF pia mond siasa haimfai!!!
Sio anawazid anakera ushamba wake mwambien aache
@@hassanjongo3445 🤣🤣🤣🤣 alipokua Hana kitu hamkumita mshamba sai ananunua kila mchosema hawezi kunnua roho zawakera kwann hamkubali kua jamaa amepita kwenye hizo levo zenu mnazo mtabiria mikunduyenu
@@mbezzoprince9462 unachekexha!
Das is Platnumz Simbaa #SWAHILINATION BOY #diamondplatnumz #Simbaa #Wcbforlife 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎈🎈🎈🚀🚀
Yuko hoi jamaaa
Big up to diamond platinum
Babalao
Sasa sio zero kilometre dubai ni used
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿good
Mxiuuuuuuu
Why you getting jealous
Diamond 💪🇹🇿🇨🇭
Mungu anzidishie
Kila siku mtangazaji unaumwa na mafuta!!!😀😃
Korona haijaisha,ugonjwa mwingine umeibuka wa mafuta tutapona kweli?
Simbaaaaa
🦁🦁🦁🦁🦁
Big simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
🙏🙏🙏👑🦁🤜🤛👍🌎
😭
simba kama simba
Hahah mwokozi huyo vepe
♥️♥️♥️♥️🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯🇦🇪
Nyie munaferi wapi kwahiyo mwamba
Brother mtangazaji tujikaze tuwe wakweli izogari zenye una.. zungumziya kwakweli naona nimambo yenye yameisha pitwa nawakati mbona waimba music wa CONGO DRC wako namagari mengi saana lakini hakuna fujo hatamoja wanapiga kwamuziki diamond hajuwi muziki lakini anajuwa biashara sasa kwaiyo aache maneno afanye music mbona ameaza kukimbiya kwenye bongo flaver
Kwli upo sahih
Sasa apa twaongelea Simba ama wakongo acheni wivu davido alinnua RR mkamsifieee na kusema Simba hawezi nnua amennua mkabadlisha hawezi nnua jet miaambiwa ata hio bado sku za kuesabu ifike tz sai amekua mshamba taari kwann hamkubali ukweli Simba ndo mkombozi wenu msmfananishe na mikundu kwio yenu
Simba🔥🔥🔥
Kwatuvyojuwa mtu husifiwa na sio kujisifia,hell lakini huyu hua hasubiri kusifiwa🤷
Peleka wivu kwenu hakuna mwenye atakusifia kwa hii life usipojisifia kojoa ulale
@@sharontabitha8861 hilo ndio tatizo,kwani wewe unanifaham?kama sio shut...fu..c..k🤫
@@jackhans7708 😂😂hakufahamu aache shobo siyo
@@emmanueljoseph2576 umeongea sio👍
Ukisubiri binadamu wa kitanzania akusifie utakufa mapema jikubali mwenyewe kwanza siyo usubiri meli uwanja wa ndege
Kuwa bill getes sawa tu, lakini kuwa mkombozi wa mziki E A aache kuongea ujinga
😂😂
sasa we unapinga nn ulitka mkombozi awe babaakooo wkati haimbi ata kwaya.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Kwani wasanii wenzie wanasemaje kuhusu mwokozi wao 😂
Ila ukweli amewaokoa
🤣🤣🤣Saiz wanabebwa kupelekwa hospital mana wamejipigza Sana kwa ukuta sabu ya hasira na wivu hahahaha baada ya kusikiza hii interview
@@welcometoeat165 😀😀Mbavu zang me
@@welcometoeat165 wewe mwenyewe Una hali gani 😂
🤣🤣🤣🤣🤣you are killing bro🤦🏻♂️🤣🤣🤣
Sky mwiten mond kweny kipindii
Sio rahisi wakati ana media yake
Asituchoshe
Hana maajabu
Wwe maajabu unayo????? Bwege wwe
Kum t ww
We hao wenye maajabu wako wapi 😂😂😂😂
Ku.. wwe
Yeye ndo hana maajabu simba ni mmoja tyu
Kuwadunia nikuvumiriya
Kwa makelele
Daimand si mokozi kw sababu anjitapa sn. Mtu hajisifu, ansifiw,... Asjtpe km n muokoz.
mokozi ni mungu peke 2 bc yeye ashukur 2 alicho barikiw.
Mungu hausik kwny mziki wewe...huyu jamaa ukwel unabak pale kwamba ameupaisha mzik wa tz international.
Mjomba unakataa bt east africa yote mtateta bt yeye ndio mokozi tu, wengine wamepewa mwangaza tu na yeye,
Acha majungu wewe
Ndiyo maana akakuambia kaletwa na mungu akakuambia amejileta mwenyewe awe mokozi a mziki mxiiiiiiii
Yan Mibongo bhana kwa ugubu ni hatari
Sema nini wazee mambo aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya simba mnamkosea heshima sana kumfananisha na wakina harmo na kiba Ila inachangamsha genge tu
Hii media niyakisenge,tafuteni makala ya maana badala ya issue zakifala.ii habari inatusaidia vpi
Sasa mzee c ungepit kushoto umeangalia yann sasa we ni matako nn
@@dicksontewele3667 watombwa ww,media ipost vitu zakijanja sasa rolls Royce na personal life ya huyo bwege wenu imekusaifia nn.pambana na hali yko.
sadala aka domo kubwa mpenda masifa . acha usifiwe , sio kujisifu.
Roho mbaya inakusumbua we ni poossy teja
Ndio maana akakosa tuzo😄
@@ShSh-my8cw hata akikosa wewe unaumia nn panya nyinyi
@@ShSh-my8cw amekosa tuzo tuzo kapewa mama ako
Kwli m2 ajisifu husifiw
Mbwa huyu hana jipya
FROM POOR FAMILY YANI ALIKUWA MASKINI.MKUBWA HATA HAKUWA KIDOMO WAKA NO ONE ANGEK8MPENDA ILA MOLA KAMPA BA ABDULLI KUWA NA MAMA MWENYEWE YANI ,NI.MUNGU KWA BIDII NAPIA KUWA NA SUBRA KUKA CHINI.NAPIA NYUMBA ZA .ATOPR MOLA HUTOA WATI NAKINYANI.KAKA DISMOND NI JITU LA HAKI NA YSAWA HATA HIVI YUKO SAWA KUFUTIA WENGI NA.PIA KUOKOKOA VIJANA CHINI KWA MAISHA ALIYOPITIA KWA HIVYO MIMI KANAMA MJANE FRO M.KENYA MOMBADA SIONI VIBAYA WAKA SHEE ILA TU,MWENYR ANALAKE ANYAMAZE SIYO PEREPETE HAKUPA MAMAKE NA NAVA KILOMBE CHA MAJI AU HATA UJI HATA VIAZI ZA KARAI HIVI HAWANA LA KUSENA NIKUPOTEZA WAKATI ,KWA KUWA YUKO AU YIMO NA TENA ATAKUWA NA MINGU KAMPA NO.ONE ATAKUWA KANA YEYE HAFI SIKU YA KIAMA SIYO KIUNO,STYLE YA KUCHEZESHA MABENGA,YANI @PARTS OF THE BODY SO LETS THRM.TAKKS BORA USIKU WANALALA NA YEYE ANAENDELEA ILA YEYE NI YEYE NA AKIYE DANI YAKE NI YEYE HUWA KAJUA NI YEYE DIAMONDDD
🤣🤣🤣kari lipya😖😖😖
Kamuokoe na MZee wako nae c Yuko East Africa au
Htre na nusuu
Bill muuaji!!!!?
East Africa landa sio Kenya na Uganda amewaokoa wa kule TZ ....
Vipi mbona kimekuuma
@@mwinyiramadhani2604 iniume kweni mi ni mzee Abdul wewe ndio unaumwa kule
Sasa Mzee Abdul katokea wap Ayo ndiyo mambo ya kuteseka mafanikio ya mwezako ushambiwa daimond ni mkombozi WA muziki East Africa we kinakuuma kaa wewe basi uwe mkombozi WA WA east Africa maana kinaumana mtapata muhao
@@mwinyiramadhani2604 wala siteseki bro kila mtu ana uhuru wakutoa maoni yake na nimekupa Mfano anae takiwa Kupata machungu ni jama zake yani familia not me hatuusiani ndiomaana nikasema industry ya Kenya hajasaidia chochote labda kule Tz hapa tuna malengeds waliopigania mziki wa uku yeye sijui anaongelea east Africa gani so elewa ukiwa shabiki msifie pia ni haki yako
Bill gates wa wasafi
roho mbaya yako utasubiri sana
Kabisaaa 👍👍👍💯💯
😂😂
Kama mziki ungekua ni shamba basi tungeweza kusema kwamba dai amekuta shamba lishalimwa na mazao yapo sokoni ko mziki kaukuta mjini,aheshimu pia waliopokea kijiti kutoka kwa kizazi cha kina les wanyika,pia kuna wasan Wengine amekuta wanajulikana E.A na Africa pia ni saw saw leo useme burnaboy ndo mwokoz wa mziki wa Nigeria kisa zile tuzo za bet na gramy ye apige kazi mazuri yake watu wanayaona
Hao unaowasema waliwahi kuifikisha hii tasnia alipoifikisha??
Hao unaowasema waliwahi kuifikisha hii tasnia alipoifikisha??
Kweli kabisa 👍💯
Waaaaah we sijui unatumia akili au kibamia 😩
@@walaaabdallah3236 sio kweli
Tuko bize na jealous, gar used kanunua Dubai 150M
Nani kakuleta apa si uende kwa RUclips ya huyo mwenye views wasio na trending nchi yoyote kwanza apa Kenya ako no 7 akati Simba ako no 1 tulia bro na ndio maana kila charts kaongoza yeye na kwa tuzo pia atapita Ivo Ivo maana Kama Ni views ameona hazimpeleki global
@@paulmawirakinyu2688 huo wivu, na mwaka huu mtakoma, kiba atawachoosha cku hz mond hana jipya anapata views kama lavalava tu wale wa zamani ni wa kununua , na subscribers wakununua ili aonekane namba one Africa kumbe kajipotezea muda watu hawaangalii subscribers wanaangalia mziki mzur ndo unapata tunzo mwakani BET anachukua alikiba
@@denisimaliyaweni9183 unachekesha nduguyangu eti kibakuli atachua tuzo labdakidogo tena harmoniz
@@denisimaliyaweni9183 kenge mkubwa wewe ety nani achukuwe tuzo kwa mziki gani mzuri alio nao??
Wewe gari lako original liko wapi malaya mkubwa wewe
😄😄😄 ana fikiri grammy ni maji 😄😄😄😄😄😄😄..
Grammy inatafuta na juhudi za mtu na simba anajuhudi acha roho mbaya ww
Usijisifu na wacha kujilinginisha na bill gates yeye hajionyeshi Sana Kama wewe yeye anapesa Ila hajionyeshi
@@nishaabdula5015 ni Kuran ipi inayosema unitukane ukimaliza hapa nenda umwombe Allah akusamehe Ila usinitukane mtandaoni kwasababu ya mtu ambaye ataweka chakula Kwa meza yako siku njema na asante
@@maryannemwangi168 dadang uyu ni msanii kila kitu lazma aonyeshe ina saidia kubland jina lake na kimzik angalia wasanii wote wanavy ishi ukijua ilo utaach kumlaum yey
@@ronny1321 hayo yote najua ilaasijisifie Sana angoje hizo sifa unaowaamerika wanajisifia ama wacha mtu ajuepriorities zake siokujilinganisha na watu ambao wanapesa zaidi yake nahawajisifia wacha ajilinganishe nawengine Ila sikinaBillgates bado hajafika hapo enywe kukosa kusoma kunashida unaonakama Burnaboy anajiita Billgates yeye ajijua na nimzalendo kuwanasikunjema
@@walaaabdallah3236 Ila usijilinganishe na mfinyibiashara tajika aliyenamkwaja kushinda naukimaliza hapa nenda na kumwombee Allah msamaha kuwakunitukana mtandaoni na usijiite mwokozi wa muziki wa EAfrica kwani kunawalioanza na hawajionyeshi ilihali wanajua nawe unajua walioanza sikunjema
@@walaaabdallah3236 siwezi mpangia ilaajifunze kunyenyekea kwani hizosifa zaweza chukuliwa na Allah waonakama Burnaboy anafanya hivyo sibasi ajiite mwokozi wa muziki wa muziki wa West Africa enyewe kutosoma kunashida sikunjema me nishabiki ilasifa za kijinga usijitie
Mokozi wanini Huyo anaimba mapiano kwann asiimbe BongoFlavour eti mokozi 🤣🤣🤣
Kama ujui kiswahili pekee ndio kinatujurisha kuwa ss n swahilination
@@nishaabdula5015 kafilane na mama uko pimbi ww acha kushoboka Hana ukombozi wowote
😂😂
Unajua maana uokozi am unaropoka ukumbavu
Kwani amapiano sio mziki
Mwiz WA nyot za wenzio thief
Mwokozi wa matakoni labda
Mbona matusi mengi ama uteam umekujaa na chuki zisizo kuwa na maana ukimchukia mond utakufa kwa pressure sababu haipiti saa hujakutana Naye mitandaoni
We sio mzima
@@alibinali_ 🤣
🤣
😂😂😂
Simbaa