#sauti

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • wimbo mpya kutoka kwaya ya sauti ya Jangwani #Naiwaza
    usisahau kusubscribe coment na kushare

Комментарии • 90

  • @petergolden872
    @petergolden872 9 месяцев назад +1

    Nabarikiwsga sana kwa hizi nyimbo za kale maana watunzi wao walikuws makini na hawana papala c wa sasa

  • @justusmutuku8303
    @justusmutuku8303 11 месяцев назад +1

    Barikiweni saaana watumishi

  • @oscarmashishanga3307
    @oscarmashishanga3307 Год назад +1

    Keep it up...❤❤❤

  • @ibrahimgata8200
    @ibrahimgata8200 Год назад +1

    Àsateni sana kwa wimbo huu muhimu sana katika maisha

  • @user-gb9el6xk5d
    @user-gb9el6xk5d 19 дней назад

    Mungu awabariki sana watumishi wa mungu kwa nyimbo nzuri ni somo zuri kwa watu wa mungu

  • @thomaskimuyu1426
    @thomaskimuyu1426 Год назад +1

    Hakika nasikia kama Niko juu Sana sababu ya huo wimbo asante sana waimbaji mlikuwa ndani ya roho kabisa Mimi ni Tohomas kimuyu kutoka machakos Kenya .

  • @user-gb9el6xk5d
    @user-gb9el6xk5d Месяц назад

    Amen watumishi wa mungu mungu awazidishie karama kubwa

  • @FabienNdayi-tt1cp
    @FabienNdayi-tt1cp 11 месяцев назад +2

    Sauti yajangwani mubarikiwe saana kwantimbo tamu!Mubarikiwe sana!

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 3 года назад +1

    Mungu awabariki Leo nimewaona kanisani katika kambi kwa kweli mmenibariki sana

  • @kelvinbayona9349
    @kelvinbayona9349 8 месяцев назад +3

    Saiz ni mwaka 2024 lakin bado narudi kuusikiliza huu wimbo, Bwana azid kuwabariki sana waimbaji wote

  • @andrewndabigeze6271
    @andrewndabigeze6271 2 года назад

    Gitaa ni nzri sana naomba mczuaxhe waimbaji

  • @imitekererezeihabanye8681
    @imitekererezeihabanye8681 2 года назад +4

    Ahsante sana Sauti ya Jangwani! Twawapenda sana nchini Rwanda, pokeeni maamkizi mengi kutoka kwa washiriki wa Kanisa la wasabato nchini Rwanda!

  • @andrewndabigeze6271
    @andrewndabigeze6271 2 года назад +3

    Tunatamani sana kutoa ata sadaka kwa shukrani ya nyimbo nzr km hii

  • @syboy158
    @syboy158 Месяц назад

    I like the song.be blessed

  • @jeremiahmutie3728
    @jeremiahmutie3728 День назад

    Wimbo mzuri sana!!

  • @pendomashauri8904
    @pendomashauri8904 25 дней назад

    Huwa nabarikiwa sana Na jumbe zenu za injili mbarikiwe sana🙏🙏🙏🙏

  • @ibrahimgata8200
    @ibrahimgata8200 Год назад

    Asante sana wimbo huu muhimu sana bwana awabariki sana

  • @BoazNobeye
    @BoazNobeye 4 месяца назад

    Naomba nyimbo za zamani ukiwemo wimbo wa ujila wa watakatifu

  • @JimmyNdamo
    @JimmyNdamo 23 дня назад

    Saudi ya Jangwani mzidi kubarikiwa sana.

  • @laurentndarusanze4451
    @laurentndarusanze4451 3 года назад +3

    Asante saaa_na. Sauti ya jangwani mungu awabariki. Ni Laurent kutoka BURUNDI mkoani NGOZI mjini kati. Kutokana na nyimbo zenu nzuri ninajiandaa kuokoka kamiri na ku batizwa kwa maji mengi .ooooo.. Nawapenda waimbaaji wa tanzania. Yaani kwaya za tanzania za wa sabato mungu awa ongezee ngumvu nasi tuzidi kubarikiwa na tuokoke kamiri....amen_amen

  • @lookenfrag7412
    @lookenfrag7412 4 года назад +3

    Wimbo mzuri hadi najihisi naenda mbinguni

  • @dfanyloveondijo5679
    @dfanyloveondijo5679 2 года назад +1

    Jangwani Mungu awabariki sana.Mahubiri yenu kwa njia ya za imeokoa wengi sana

  • @abujosiasy9314
    @abujosiasy9314 4 года назад +1

    Moja ya nyimbo nzuri sana

  • @user-sy1fk9og2p
    @user-sy1fk9og2p 4 месяца назад

    Amen,sauti ya jangwani I am convinced,that you have contributed much in my life to glorification.also pastor mbwana aman of God I remember 2007 set lite preach,hope someday nitawaona mbinguni

  • @marionjons2288
    @marionjons2288 6 месяцев назад

    Wonderful song from the book of Genesis 3:24

  • @meshackleonce2850
    @meshackleonce2850 4 года назад +1

    Amina ujumbe mkuu

  • @HafashimanaLevis-rp5ru
    @HafashimanaLevis-rp5ru 9 месяцев назад +1

    Ilikuwa safali ya huzuni kubwa

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 4 года назад +3

    Naombeni muuweke tena wimbo wa ubatizo, siku hizi siupati you tube! Naamini upo kwenye ulbum moja na huu. Mungu awabariki sana Sauti ya Jangwani, huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu

    • @laurenciaelias3978
      @laurenciaelias3978 3 года назад +1

      Hata mie nimeutafuta sana sijui kwa nini waliutoa , wimbo mzuri sana huo

  • @piusilugata3795
    @piusilugata3795 4 года назад +1

    Nimeusikia zaidi ya mara mbili unamafudisho mazuri sana mtuzi uriogozwa na Roho Mtakatifu Mungu akubariki pia nawaimbaji mbarikiwe sana

  • @kauntisamkale173
    @kauntisamkale173 2 года назад +2

    God bless very powerful spiritual song.

  • @piusilugata3795
    @piusilugata3795 4 года назад +1

    La leo wimbo huu umenibariki sana Mungu awabariki

  • @aberimlengera244
    @aberimlengera244 5 лет назад +1

    mungu awbariki sana suti ya jangwan msi ishie kuimba hapa dunian tu bari hats binging muwe kama mrivo hivo itapendaza sana

  • @josephndosela9354
    @josephndosela9354 4 года назад +1

    Yes good song blessings all v,you my dear singers,,,

  • @stanleykimeto5907
    @stanleykimeto5907 2 года назад +1

    Am blessed the more by this nostalgia song that talks of sin and garden of Eden....very much touching soul.

  • @boazontomwa6794
    @boazontomwa6794 5 лет назад +2

    soo lovely songs.jangwani

  • @jerrymashiri5850
    @jerrymashiri5850 4 года назад +1

    Hakika Mungu awaongoze zaid na zaid naamin mtamsaidia kuwaokoa wanadam wasio ijua haki

  • @daudydaud
    @daudydaud 4 года назад +1

    Asanteh Kwa mafundisho ya nyimbo Sauti ya jagwani 🙏 mbarikiwe mnoo

  • @rachaelndege5641
    @rachaelndege5641 5 лет назад +1

    Dhambi ni mbaya ee Mwenyezi Mungu tuhurumie tupe upendeleo tujekuwa kati ya watakao kula na wewe meza moja Kyle Mbinguni

  • @kaselemarco44
    @kaselemarco44 5 лет назад +2

    Hakika, dhambi imetuweka mbali na uso wa Bwana. Asante Yesu kutupatanisha na Muumbaji wetu, Baba wa Mbinguni, Edeni hakika tutarudi tulikokuwa tumefukuzwa, Mbarikiwe waimbaji, nawapenda mno Jangwani.

  • @MutuaKakinyi
    @MutuaKakinyi 4 года назад +1

    Naomba "mwokozi yesu uliniita" by sauti ya jangwani, sda dar es salaam

  • @sagwamasanja9546
    @sagwamasanja9546 5 лет назад +1

    Kazi hii itakumbukwa siku zote songeni mbele tu

  • @robbiemax1554
    @robbiemax1554 4 года назад +1

    Nice songs, may God bless you all.

  • @vincentondari1940
    @vincentondari1940 4 года назад +2

    Rhythm,dressing,message glory to God.

    • @iancolin1978
      @iancolin1978 3 года назад

      i guess it is kinda randomly asking but does anybody know a good site to stream newly released tv shows online ?

    • @keanudawson8657
      @keanudawson8657 3 года назад

      @Ian Colin flixportal xD

    • @iancolin1978
      @iancolin1978 3 года назад

      @Keanu Dawson Thank you, signed up and it seems to work :D I appreciate it !!

    • @keanudawson8657
      @keanudawson8657 3 года назад

      @Ian Colin No problem :)

  • @dorcaslor2166
    @dorcaslor2166 4 года назад

    Dambi Inawuwa Amen Accenti n’a mafundisho muzuri Shalom

  • @ezekieltalinha6002
    @ezekieltalinha6002 5 лет назад +1

    Musiki wenu ni bora, uimbaji wenu ni bora, mwonekano wenu ni bora na jumbe zenu ni amina. Wpotoshaji msiwasikilize. BWANA anatubariki mno kupitia huduma yenu.

  • @osiomamargret7505
    @osiomamargret7505 4 года назад +2

    Amazing song indeed❤❤🎤🎤🎤

  • @daudimasongi1914
    @daudimasongi1914 5 лет назад +1

    MUNGU awabariki sana watumishi wa BABA

    • @deomayunga753
      @deomayunga753 2 года назад

      Mubalikiwe sana ujumbe unafundisha

  • @jachanalubuyi661
    @jachanalubuyi661 5 лет назад +1

    amina watoto wa baba

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 5 лет назад +1

    Mmesimama sio kwa juhudi zenu bali mungu amewasimamia sana mkiimba naona utukufu wa bwana ndani yenu

  • @jacobolucas6356
    @jacobolucas6356 5 лет назад +1

    MUNGU kwanza

  • @kilasaelisha6349
    @kilasaelisha6349 5 лет назад

    nice nabarikiwa sana

  • @clevartv2672
    @clevartv2672 5 лет назад

    dhambi ni tamu unapo tenda lakini mwisho huzun,yaaaani ukweli mtupu

  • @eliyamasindi7590
    @eliyamasindi7590 5 лет назад

    WIMBO HUU NI MBARAKA KWA WATU WOTE.
    MUNGU AWABARIKI SAUTI YA JANGWANI SDA CHURCH. USHIRIKA. SHINYANGA

  • @maryntemi2826
    @maryntemi2826 5 лет назад

    nawapenda sana Mungu awasaidie musonge mbele

    • @franciskarisa2213
      @franciskarisa2213 3 года назад

      Aki inabariki sana 👍 God bless you all

    • @elifadhilileonard4450
      @elifadhilileonard4450 3 года назад

      Saut ya jangwani kweli nikiwa Nina Mambo magumu yanayonishinda nikisikia nyimbo zenu namwona yesu pembeni yangu akinifariji Mungu awabariki mnoo awape maisha mema matakatifu

  • @imitekererezeihabanye8681
    @imitekererezeihabanye8681 2 года назад

    Mahubiri haya yanabatilisha maamuzi kuhusa chanjo yaliyochukuliwa na makundi ya uongozi wa kanisa la Waadventista Wasabato ambao waliyaamua maamuzi hayo bila mamlaka ya kuyaamua.
    Maamuzi hayo yanabatilishwa, washiriki wakapewa rufaa ili kuwa wa kipekee.
    ruclips.net/video/UboEMJ6BR2I/видео.html

  • @leonardleuben30
    @leonardleuben30 4 года назад

    Assa

  • @ulimwenguwaleo2282
    @ulimwenguwaleo2282 5 лет назад

    Sauti ya jangwani mko shinyanga sehemu gani, kuna sauti inanivuta nije nibarikiwe na uimbaji wenu nikiwa nawaona kanisani

    • @oscarmashishanga3307
      @oscarmashishanga3307 5 лет назад

      Ushirika SDA Church Shinyanga Municipal Council

    • @ezekieltalinha6002
      @ezekieltalinha6002 5 лет назад +1

      muziki wenu ni bora, uimbaji wenu ni bora, mwonekano wenu ni bora, mavazi yenu ni bora na jumbe zenu ni amina. wayumbishaji msijewasikiliza. Twabarikiwa mno na BWANA kupitia huduma yenu.

  • @emersonndalami7102
    @emersonndalami7102 4 года назад

    Tafakari

  • @danielokul1172
    @danielokul1172 5 лет назад +2

    Tafathali karibuni Kenya mtuletee ujumbe huo hapa inchini Kenya hasa Sana jijini Nairobi mfikapo tuwasiliane kwa nambari hii +254724042993

  • @kaselemarco44
    @kaselemarco44 5 лет назад

    Hakika, dhambi imetuweka mbali na uso wa Bwana. Asante Yesu kutupatanisha na Muumbaji wetu, Baba wa Mbinguni, Edeni hakika tutarudi tulikokuwa tumefukuzwa, Mbarikiwe waimbaji, nawapenda mno Jangwani.