JIFUNZE JINSI YA KUWA PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER AU MPIGA PICHA BORA KWA NJIA RAHISI SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 45

  • @chenboy6660
    @chenboy6660 Месяц назад +1

    Mnaitajii msaadaa sana nahss kunavitu bdoo

  • @edwardmwankemwa3877
    @edwardmwankemwa3877 25 дней назад

    Nimekupata vizuri sana,JE OFISI IPO hapa Dar au

  • @victordickson-mb8wm
    @victordickson-mb8wm Год назад +1

    Makini brother

  • @NicklassShimbe
    @NicklassShimbe Год назад +1

    Kali san bro una tusaidia san kweli 🙏🙏

  • @steamtvtz
    @steamtvtz 10 месяцев назад +2

    kaka uko vizuri sana

  • @vangraphixvan8320
    @vangraphixvan8320 Год назад +1

    Gud broh

  • @chenboy6660
    @chenboy6660 Месяц назад

    Nashida

  • @bertinnaftari7026
    @bertinnaftari7026 5 месяцев назад

    Ahsante kwa maelezo mazuri

  • @ankojohn526
    @ankojohn526 3 месяца назад

    nimekubal brother

  • @johnyassin1208
    @johnyassin1208 Год назад +1

    Namba yako brother

  • @mauzo_production
    @mauzo_production 6 месяцев назад

    Nimekuelewa vizuri na umenifungua sana brother ahsanteni sana brother 🙏🙏🙏

  • @PainBoyFitness
    @PainBoyFitness Год назад +1

    🎉

  • @hassanmahmud1470
    @hassanmahmud1470 5 месяцев назад

    Nimekufahamu ndugu Asante kwa mafunzo

  • @edwintouches
    @edwintouches 10 месяцев назад +2

    Usiwaambie wasinunue Tripod kwamba hakuna pakuitumia sababu unapiga picha na si video. Tripod inatumika kwenye picha aina tofauti tofauti mfano real estate/majengo (interior or exterior). Huwezi fanya multiple explosures bila tripod, huo ni mfano mmoja tu. Good content anyway! 👍

  • @josephdaniel7341
    @josephdaniel7341 11 месяцев назад

    Nakukubali kaka.

  • @deogratiasrobert7424
    @deogratiasrobert7424 Год назад +3

    umeongea vitu vingi bila mpangilio unapotosha wanafunzi wako..
    Cha kwanza inabidi utenganishe makundi ya photographer - kama sport, Event, wildlife landscape photographer nk awa wote maitaji Yao ni tofauti..... mtu events awezi kukosa speed light au store na mtu wa sports au landscape hivi havihitaji......
    na kwenye kesi ya lensi pia inategemea eneo mtu wa potrait au event anahitaji 50mm nk bila pingamizi lakin mtu sports ahitaji lens ya 50mm ata kidogo..
    Cha msimgi chambua mada kwa kutenganisha makundi ya hao watu sio unasema Tu usinunue speed light

    • @trommyx
      @trommyx  Год назад +1

      Haujanielewa kabisa rudia tena video ukinielewa ndio utoe mtazamo wako

  • @Odessaelectricaltechnology
    @Odessaelectricaltechnology Год назад +1

    Unyama

  • @chombobrand
    @chombobrand 4 месяца назад

    Tuko pamoja

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 Год назад +1

    Asante kwa kuniunga kwenye group lako

  • @WazoDigital-ld8ll
    @WazoDigital-ld8ll Год назад +1

    Ungeweka viwango vya uprofesional ukiweka wa juu tu sisi tunaoanza inakuaje

  • @SuleimanHussein-d8u
    @SuleimanHussein-d8u 2 месяца назад +1

    Kak Nna shida

  • @JuniorSantoc-jh8ku
    @JuniorSantoc-jh8ku Год назад +2

    Unapatikana wãpii kaka

  • @dullahbalaka1515
    @dullahbalaka1515 5 месяцев назад

    thanks broo

  • @helperphotography941
    @helperphotography941 11 месяцев назад +1

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya6743 Год назад +1

    Hamna kitu

  • @josephandre8608
    @josephandre8608 Год назад +1

    🙏🙏

  • @DonyLeoonard-ij9zc
    @DonyLeoonard-ij9zc 10 месяцев назад +1

    Nimekupata mkuu

  • @deusclavery3171
    @deusclavery3171 Год назад +2

    Kiongoz niunge kweny group lako..

  • @EmmaHaule-k5y
    @EmmaHaule-k5y Год назад +1

    Naomba uniunge kwenye group lako kiongoz

  • @sebastianmlugu8751
    @sebastianmlugu8751 Год назад +1

    Unyama sana bro ila link hujaweka

  • @ErickyMpoma
    @ErickyMpoma 3 месяца назад

    Niunge group la professional video shutter

  • @MauaTowakal-qm8ti
    @MauaTowakal-qm8ti Год назад +1

    Kaka Nina kijana wangu Yuko talented sana katika kuigiza so naomba kama utapat nafasi umpe nafasi ya walau kushuti katika filam plz

  • @fadhilidaviddaud7966
    @fadhilidaviddaud7966 4 месяца назад

    Bro
    Mm natamani nifanye hii inshu ya kuwa photography lakin Sina uelewa wa namna ya kupima picha Wala kuanza au nianze na mtaji wa shiling ngp....au nifanye hatua gan ya kuanza ili niwe photography wa kiwango please nisaidie

  • @missafricano
    @missafricano 10 месяцев назад +1

    Kaka namba zako za whtsp haziwonekani vizuli kwa kweli.sijuwi yakwamba unaweza zituma kwa comments???

  • @angeldecute6694
    @angeldecute6694 7 месяцев назад +1

    Upo makini sana bro unapatikana wapi?

  • @gaspergabo4143
    @gaspergabo4143 2 месяца назад

    Nikipata namba ako itanisaidia sana kaka

  • @saleeMika
    @saleeMika 9 месяцев назад +1

    Bro me ntk unifundishe photography

  • @directorezeboy2203
    @directorezeboy2203 2 месяца назад

    Bro me naomba niwe mwanafunzi wako kak please 🙏

  • @markomarkos-em9ii
    @markomarkos-em9ii 8 месяцев назад

    Kaka nime namba tuchonge zaid

  • @kobabaoyamerudi
    @kobabaoyamerudi Год назад +1

    Naipataje?

  • @djanvallo
    @djanvallo 3 месяца назад

    Please naitaji number yako ya Whatsapp