Usiwaambie wasinunue Tripod kwamba hakuna pakuitumia sababu unapiga picha na si video. Tripod inatumika kwenye picha aina tofauti tofauti mfano real estate/majengo (interior or exterior). Huwezi fanya multiple explosures bila tripod, huo ni mfano mmoja tu. Good content anyway! 👍
umeongea vitu vingi bila mpangilio unapotosha wanafunzi wako.. Cha kwanza inabidi utenganishe makundi ya photographer - kama sport, Event, wildlife landscape photographer nk awa wote maitaji Yao ni tofauti..... mtu events awezi kukosa speed light au store na mtu wa sports au landscape hivi havihitaji...... na kwenye kesi ya lensi pia inategemea eneo mtu wa potrait au event anahitaji 50mm nk bila pingamizi lakin mtu sports ahitaji lens ya 50mm ata kidogo.. Cha msimgi chambua mada kwa kutenganisha makundi ya hao watu sio unasema Tu usinunue speed light
Bro Mm natamani nifanye hii inshu ya kuwa photography lakin Sina uelewa wa namna ya kupima picha Wala kuanza au nianze na mtaji wa shiling ngp....au nifanye hatua gan ya kuanza ili niwe photography wa kiwango please nisaidie
Mnaitajii msaadaa sana nahss kunavitu bdoo
Nimekupata vizuri sana,JE OFISI IPO hapa Dar au
Makini brother
Kali san bro una tusaidia san kweli 🙏🙏
kaka uko vizuri sana
Gud broh
Nashida
Ahsante kwa maelezo mazuri
nimekubal brother
Namba yako brother
Nimekuelewa vizuri na umenifungua sana brother ahsanteni sana brother 🙏🙏🙏
🎉
Nimekufahamu ndugu Asante kwa mafunzo
Usiwaambie wasinunue Tripod kwamba hakuna pakuitumia sababu unapiga picha na si video. Tripod inatumika kwenye picha aina tofauti tofauti mfano real estate/majengo (interior or exterior). Huwezi fanya multiple explosures bila tripod, huo ni mfano mmoja tu. Good content anyway! 👍
Nakukubali kaka.
umeongea vitu vingi bila mpangilio unapotosha wanafunzi wako..
Cha kwanza inabidi utenganishe makundi ya photographer - kama sport, Event, wildlife landscape photographer nk awa wote maitaji Yao ni tofauti..... mtu events awezi kukosa speed light au store na mtu wa sports au landscape hivi havihitaji......
na kwenye kesi ya lensi pia inategemea eneo mtu wa potrait au event anahitaji 50mm nk bila pingamizi lakin mtu sports ahitaji lens ya 50mm ata kidogo..
Cha msimgi chambua mada kwa kutenganisha makundi ya hao watu sio unasema Tu usinunue speed light
Haujanielewa kabisa rudia tena video ukinielewa ndio utoe mtazamo wako
Unyama
hakua unyama hapo
Tuko pamoja
Asante kwa kuniunga kwenye group lako
Ungeweka viwango vya uprofesional ukiweka wa juu tu sisi tunaoanza inakuaje
Kak Nna shida
Unapatikana wãpii kaka
thanks broo
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hamna kitu
🙏🙏
Nimekupata mkuu
Thanks so much bro.
Kiongoz niunge kweny group lako..
Naomba uniunge kwenye group lako kiongoz
Unyama sana bro ila link hujaweka
Niunge group la professional video shutter
Kaka Nina kijana wangu Yuko talented sana katika kuigiza so naomba kama utapat nafasi umpe nafasi ya walau kushuti katika filam plz
Bro
Mm natamani nifanye hii inshu ya kuwa photography lakin Sina uelewa wa namna ya kupima picha Wala kuanza au nianze na mtaji wa shiling ngp....au nifanye hatua gan ya kuanza ili niwe photography wa kiwango please nisaidie
Kaka namba zako za whtsp haziwonekani vizuli kwa kweli.sijuwi yakwamba unaweza zituma kwa comments???
Upo makini sana bro unapatikana wapi?
Nikipata namba ako itanisaidia sana kaka
Bro me ntk unifundishe photography
Bro me naomba niwe mwanafunzi wako kak please 🙏
Kaka nime namba tuchonge zaid
Naipataje?
Please naitaji number yako ya Whatsapp