VIDEO: LEMA APIGIWA SHANGWE, AFUNGUKA “CHAMA KIMESHINDA, TUTAENDA KUROPOKA”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 41

  • @nestor384
    @nestor384 10 дней назад +3

    Nabii Godbless Lema m/mungu awajalie

  • @oltetiangaroya8489
    @oltetiangaroya8489 10 дней назад +3

    Congratulations 🎆🎆🎆🎆
    Mh lema nenda kawe mjumbe wa kamati kuu

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 10 дней назад +6

    Hongera sana Lema kwa umakini wako.

  • @emanuelpelomollel8161
    @emanuelpelomollel8161 10 дней назад +3

    Jamaa kaupiga mwingi mno lema❤

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 10 дней назад +17

    HONGERA! Mkutano umefatiliwa zaidi duniani kuliko ule uliojaza wasanii. Hela za kuwalipa wasanii wengi namna ile ni bora wangepeleka kwa watoto yatima na Mungu angewabariki wao na Taifa

    • @yussufritzy7684
      @yussufritzy7684 10 дней назад

      Na ingefanywq hivyo...ungesema chama kinasaidia watu kwa kujionesha ilipaswa ifanye kisiri siri

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 10 дней назад +1

      Achaa hizo,Mapungufu ya chama chao wanakijua kwanini Toka nyuma walikuwa wanaogopa kugombea?

  • @nolicmbarack1947
    @nolicmbarack1947 10 дней назад

    Big up Bro umeutisha sana

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 10 дней назад +1

    Kwa mtazamo utabaini kwamba wajumbe walikuwa upande wa Mbowe kutokana na mppishano mdogo wa Kura hizo chache zilizozidi ni za viongozi na zile shinikizo zao za kutaka Lisu apite ila Kwa kiasi kikubwa bado watu wengi walikuwa na Imani na Mbowe

  • @zittaSheshe
    @zittaSheshe 10 дней назад +1

    Duuuh VIP mbona sioni wasanii wa muziki inamaana wote ni ccm😂😂,duuh wako vizuri wanafuatana Kama kondoo😂😂

  • @MUSAMWAMBENE
    @MUSAMWAMBENE 10 дней назад +1

    Ongera sana lema

  • @LucyJackson-h8i
    @LucyJackson-h8i 10 дней назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 lema

  • @NESTORYMAGUTU
    @NESTORYMAGUTU 10 дней назад +3

    Sasa huu ndo uchaguzi Sasa achana na ule wa akina diamond na zuchu wajumbe kama mazuzu wao wanaambiwa "Hayaaaaa" imeisha hiyo hakuna kuhoji Wala nini

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 10 дней назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @tumboz
    @tumboz 10 дней назад +1

    My brother ADAM

  • @IddySaid-h7o
    @IddySaid-h7o 10 дней назад

    Asante kwa ushid was rundu lisu

  • @matiacetz7721
    @matiacetz7721 10 дней назад

    Sasa mm sikaelewa ni kwamba mbowe hamumtaki au

  • @byosabiosa5223
    @byosabiosa5223 10 дней назад

    Kazi kwenu sasa, kwa wenzu midomo juu na yenu msiyafumbie midomo😢😢😢

  • @MfunjoWabaBoydays
    @MfunjoWabaBoydays 10 дней назад +1

    Simba Lissu it has happened kuna malaya anatetemeka 😂

  • @jellyyatta7597
    @jellyyatta7597 10 дней назад

    Najiuliza mpk Sasa siaamini mpaka nisikie matokeo kwa mwenyekit wa uchaguzi imekuwaje lisu kashida wakat kalatas ilionekana kwa bon yai ni lundo la karatasi

    • @igayo_tv
      @igayo_tv 10 дней назад

      pia ilinistua

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 10 дней назад

      Wakati Bon analundo la karatasi Lema alikuwa na box zima la ziada maana hazikutosha kupangwa

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 10 дней назад

    Haramu Kunguni Chawa, haina nafasi kwa Haki, Haki na batuil havikai pamoja

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 10 дней назад

    Afadhali kengeza nae akae pembeni ndoAJUE AMECHOKWA

  • @JustinJoseph-k2t
    @JustinJoseph-k2t 10 дней назад

    Chama bila pesa mtanyooka

    • @jeffmap4038
      @jeffmap4038 10 дней назад +2

      pesa kutoka kwa nani?

    • @SalimAbdallah-mi1wc
      @SalimAbdallah-mi1wc 10 дней назад

      @@jeffmap4038 mboe

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 10 дней назад

      Tulipo abudu pesa tukawa na Uongozi dhaifu. Mataifa yetu dhaifu haya kwa sababu hatuamini tena Kwenye moyo kwanza kabla ya silaha. Maono kwanza. Kama wana maono Chadema itaendelea na itatoa mchango Mzuri kwa taifa letu. Hata CCM pesa si kitu. Watu ndio msingi wao. Kibre ya pesa ni ujinga kama ujinga mwingine. Wananchi kuwaunga Mkono ni Jambo la msingi. Mwl Nyerere alituongoza watu hatuna hata ndala miguuni lakini alipendwa. Ni pesa ni matokeo sio maendeleo.

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 10 дней назад

      Acha ufala na usenge kama huna jambo nenda nenda kalale Banda la nguruwe

  • @AdorableHalisi
    @AdorableHalisi 10 дней назад +1

    hatuwezii kuwapaa nchi kamweee😂😂😂😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 10 дней назад +2

      Weuna nchi ipi labda nyumbani kwenu

    • @vicentbunzal7342
      @vicentbunzal7342 10 дней назад +1

      Wewe binafsi ndo useme hivyo ila watanzania wengi Wana Imani na chadema

    • @AdorableHalisi
      @AdorableHalisi 10 дней назад

      wew Ndo umepewa kazii ya kujibu watu mtandaonii taftaa kazii binti yanguu😂😂

    • @MfunjoWabaBoydays
      @MfunjoWabaBoydays 10 дней назад

      Fala

    • @SnowfallpoliticalTV
      @SnowfallpoliticalTV 10 дней назад

      Wewe nanani 😂😂😂😂

  • @byosabiosa5223
    @byosabiosa5223 10 дней назад

    Kazi kwenu sasa, kwa wenzu midomo juu na yenu msiyafumbie midomo😢😢😢

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 10 дней назад

    Afadhali kengeza nae akae pembeni ndoAJUE AMECHOKWA