HONGERA! Mkutano umefatiliwa zaidi duniani kuliko ule uliojaza wasanii. Hela za kuwalipa wasanii wengi namna ile ni bora wangepeleka kwa watoto yatima na Mungu angewabariki wao na Taifa
Kwa mtazamo utabaini kwamba wajumbe walikuwa upande wa Mbowe kutokana na mppishano mdogo wa Kura hizo chache zilizozidi ni za viongozi na zile shinikizo zao za kutaka Lisu apite ila Kwa kiasi kikubwa bado watu wengi walikuwa na Imani na Mbowe
Najiuliza mpk Sasa siaamini mpaka nisikie matokeo kwa mwenyekit wa uchaguzi imekuwaje lisu kashida wakat kalatas ilionekana kwa bon yai ni lundo la karatasi
Tulipo abudu pesa tukawa na Uongozi dhaifu. Mataifa yetu dhaifu haya kwa sababu hatuamini tena Kwenye moyo kwanza kabla ya silaha. Maono kwanza. Kama wana maono Chadema itaendelea na itatoa mchango Mzuri kwa taifa letu. Hata CCM pesa si kitu. Watu ndio msingi wao. Kibre ya pesa ni ujinga kama ujinga mwingine. Wananchi kuwaunga Mkono ni Jambo la msingi. Mwl Nyerere alituongoza watu hatuna hata ndala miguuni lakini alipendwa. Ni pesa ni matokeo sio maendeleo.
Nabii Godbless Lema m/mungu awajalie
Congratulations 🎆🎆🎆🎆
Mh lema nenda kawe mjumbe wa kamati kuu
Hongera sana Lema kwa umakini wako.
Jamaa kaupiga mwingi mno lema❤
HONGERA! Mkutano umefatiliwa zaidi duniani kuliko ule uliojaza wasanii. Hela za kuwalipa wasanii wengi namna ile ni bora wangepeleka kwa watoto yatima na Mungu angewabariki wao na Taifa
Na ingefanywq hivyo...ungesema chama kinasaidia watu kwa kujionesha ilipaswa ifanye kisiri siri
Achaa hizo,Mapungufu ya chama chao wanakijua kwanini Toka nyuma walikuwa wanaogopa kugombea?
Big up Bro umeutisha sana
Kwa mtazamo utabaini kwamba wajumbe walikuwa upande wa Mbowe kutokana na mppishano mdogo wa Kura hizo chache zilizozidi ni za viongozi na zile shinikizo zao za kutaka Lisu apite ila Kwa kiasi kikubwa bado watu wengi walikuwa na Imani na Mbowe
Duuuh VIP mbona sioni wasanii wa muziki inamaana wote ni ccm😂😂,duuh wako vizuri wanafuatana Kama kondoo😂😂
Ongera sana lema
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 lema
Sasa huu ndo uchaguzi Sasa achana na ule wa akina diamond na zuchu wajumbe kama mazuzu wao wanaambiwa "Hayaaaaa" imeisha hiyo hakuna kuhoji Wala nini
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
My brother ADAM
Asante kwa ushid was rundu lisu
Sasa mm sikaelewa ni kwamba mbowe hamumtaki au
Kazi kwenu sasa, kwa wenzu midomo juu na yenu msiyafumbie midomo😢😢😢
Simba Lissu it has happened kuna malaya anatetemeka 😂
Najiuliza mpk Sasa siaamini mpaka nisikie matokeo kwa mwenyekit wa uchaguzi imekuwaje lisu kashida wakat kalatas ilionekana kwa bon yai ni lundo la karatasi
pia ilinistua
Wakati Bon analundo la karatasi Lema alikuwa na box zima la ziada maana hazikutosha kupangwa
Haramu Kunguni Chawa, haina nafasi kwa Haki, Haki na batuil havikai pamoja
Afadhali kengeza nae akae pembeni ndoAJUE AMECHOKWA
Chama bila pesa mtanyooka
pesa kutoka kwa nani?
@@jeffmap4038 mboe
Tulipo abudu pesa tukawa na Uongozi dhaifu. Mataifa yetu dhaifu haya kwa sababu hatuamini tena Kwenye moyo kwanza kabla ya silaha. Maono kwanza. Kama wana maono Chadema itaendelea na itatoa mchango Mzuri kwa taifa letu. Hata CCM pesa si kitu. Watu ndio msingi wao. Kibre ya pesa ni ujinga kama ujinga mwingine. Wananchi kuwaunga Mkono ni Jambo la msingi. Mwl Nyerere alituongoza watu hatuna hata ndala miguuni lakini alipendwa. Ni pesa ni matokeo sio maendeleo.
Acha ufala na usenge kama huna jambo nenda nenda kalale Banda la nguruwe
hatuwezii kuwapaa nchi kamweee😂😂😂😂
Weuna nchi ipi labda nyumbani kwenu
Wewe binafsi ndo useme hivyo ila watanzania wengi Wana Imani na chadema
wew Ndo umepewa kazii ya kujibu watu mtandaonii taftaa kazii binti yanguu😂😂
Fala
Wewe nanani 😂😂😂😂
Kazi kwenu sasa, kwa wenzu midomo juu na yenu msiyafumbie midomo😢😢😢
Afadhali kengeza nae akae pembeni ndoAJUE AMECHOKWA