SIKU MBAYA KAZINI ( episode 2 )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #2024 #mrmwanya #comedy #series #sikumbayakazini

Комментарии • 135

  • @_Wayiva_mukuta_jean
    @_Wayiva_mukuta_jean 4 месяца назад +35

    Ata Kama mimi ni wa mwisho nyoneyeni huruma basi ata like 👍 moja za upendo tu ❤️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @suleimanbakari4377
      @suleimanbakari4377 4 месяца назад +3

      Ww c wakiume kabsa mzee like za nn sasa!

    • @JohnNzombo
      @JohnNzombo 4 месяца назад +1

      Congo tous jour likolo Mr mwanya courage ❤❤

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 4 месяца назад +5

    Kaitwa na mzee wa ndogo😂😂😂

  • @skystarVEVO254
    @skystarVEVO254 4 месяца назад +4

    Kazi safi sana

  • @Nasibu.kiboko.yawarembo
    @Nasibu.kiboko.yawarembo 4 месяца назад +11

    Mr mwanya nahomba like mm wa 9

  • @freddyplaniddy4571
    @freddyplaniddy4571 4 месяца назад +5

    Wakwanza depuis DRC❤

  • @lesemomole6286
    @lesemomole6286 4 месяца назад +2

    Well job mwanya mwenyezi Mungu akutangulie katika fani yako brother

  • @HusseinBizzy
    @HusseinBizzy 4 месяца назад +12

    Nimechelewa jamani ila naomaba na mm like zangu

  • @PrinceAmos-y8t
    @PrinceAmos-y8t 4 месяца назад +4

    Nakubali sana mr mwanya

  • @medelinamkeya1176
    @medelinamkeya1176 4 месяца назад +1

    Ni 🔥 kazi kazini❤

  • @Doctor-pongo
    @Doctor-pongo 4 месяца назад +9

    Mwamuzi nimekuona rfk angu popote ulpo jibu comment hii basi 😊Tosa fam👏👏

    • @iam_mwamuzi
      @iam_mwamuzi 3 месяца назад +1

      Familia😊

    • @Doctor-pongo
      @Doctor-pongo 3 месяца назад +1

      @@iam_mwamuzi nimekuona unamuwashia moto mchawi 😂😂😂

  • @SuzyAlly-gk5yv
    @SuzyAlly-gk5yv 4 месяца назад +1

    Boss wangu anataka kazi ya kuhesabu ela🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂 apo mwishoni Sasa ndo changamoto iyo tunasema kubababake

  • @PandaKakozi-n9i
    @PandaKakozi-n9i 4 месяца назад +2

    Bien sana 🇨🇩🇨🇩

  • @fasajitv228
    @fasajitv228 4 месяца назад +3

    Good job, from London UK🇦🇺

  • @Msegenajr
    @Msegenajr 4 месяца назад +4

    Hamko serious mtu kakutana nae usku mmoja ushampelka kazn hamko serious na hii movie

    • @cristaezekiel1036
      @cristaezekiel1036 4 месяца назад +2

      Yaan afu mwanya anaongea kiutan muda wote 😂😂😂😂😂😂

    • @villamuzic
      @villamuzic 4 месяца назад

      haikupangwa poah ucommedy n mwingi sana nlitaragia mwanya kuwa serious after kutoka kijijin na anaanza u@@cristaezekiel1036

    • @HAWAMAULIDI-zl5xd
      @HAWAMAULIDI-zl5xd 4 месяца назад

      Yani hajamaliza hata kuongea eti ingiya kwenye gari 🥲

  • @Mrpembe
    @Mrpembe 4 месяца назад +1

    Apo saf unyama sana 🎉🎉

  • @VicentMkude
    @VicentMkude 4 месяца назад +2

    Mr mwanya bado ayuko siliazi mana wahusika wote walio shiriki katika hii movie hawako siliazi kabisa yan wanafanya movie kuwa mbaya

  • @abubakarmohd4822
    @abubakarmohd4822 4 месяца назад +2

    Jmaaaa hyupo serious , kuna shmu znhtaj awe serious yy anznguaa dah , mwanya series bdo jfunze kwa clam vivo Yan bdo kbsaaaa apa Hmna ktu

  • @Barnizeboy
    @Barnizeboy 4 месяца назад +3

    Mwanya😅

  • @Husein-z8e
    @Husein-z8e 4 месяца назад +4

    Mr mwanya Abu kuwa serious ukicheza serious iyi movies itafika mbali Acha ukiomba KAZI huwezi kuweka vichekesho baba

    • @mrmwanya
      @mrmwanya  4 месяца назад

      Kunipangia ndio kitu huwezi 🎉

    • @NaibuNoah
      @NaibuNoah 4 месяца назад +3

      Tatizo lako jeuri shenzi wewe,hauko serious kwenye upande wa kuongea mzee

    • @kefasonivenace5424
      @kefasonivenace5424 4 месяца назад +1

      Ukiwa mjuaji sana huwezi fika mbaLi kuwa serious kwenye kuongea sio unalazimisha kuchekesha

    • @mayco-channel__1
      @mayco-channel__1 4 месяца назад +2

      Movie haifundishi ki2 ety atoke bushi afike Mjini aanze kuwazoea zoea watu bila connection 😄😄 movie mbayaaa

    • @Kidoaaisha
      @Kidoaaisha 4 месяца назад

      😂😂😂

  • @CharlesAsifiwe
    @CharlesAsifiwe 4 месяца назад +1

    Jamani mwanya 🤣🤣 weweunatafuta kazi yauraisi balabalani? WE mwehu kabisa ,🤣🤣

  • @KalotvTanzania
    @KalotvTanzania 4 месяца назад +11

    Mwanya hebu kua seriously kwenye hiii movie utafk mbali

  • @yusuphdeule686
    @yusuphdeule686 4 месяца назад +5

    Naomba brother mwanyaa uwe sereos mbona unajua ndugu yangu

  • @PIERETV501
    @PIERETV501 4 месяца назад +1

    Mr Mwanya Umekutana na Mzee wa chochote kitu😂😂

  • @DavidSamwel-ez3fs
    @DavidSamwel-ez3fs 4 месяца назад +4

    Wakwanza kwa mr mwanya kutoka Katoro geita naomba
    hata laiki 20t❤😢😢😢😮

  • @Faldofilms
    @Faldofilms 4 месяца назад +1

    Good 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @davidmtafya
    @davidmtafya 4 месяца назад +1

    Mwanya 😂😂😂😂😂

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise4802 4 месяца назад +1

    Wabongo mnapenda kitonga hadi kwny kuongea khaa!!🤣🤣

  • @Dpoached
    @Dpoached 4 месяца назад +1

    Let's focus on this boss

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 4 месяца назад +1

    Hahaha mwenyekiti anasema wanawake wa hapa maji yamejaa hawaolewi duuh 😂😂hapa umenichekesha wachawi wabaya

  • @abdullatif053
    @abdullatif053 4 месяца назад +1

    Lengo nipate erraa😂😂😂🎉🎉 SW baba Mia Mia wauweee 🎉🎉🎉 nime❤ iyoo

  • @EsterChengula-s8y
    @EsterChengula-s8y 4 месяца назад +1

    SHANTER nimeona mmetisha

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 4 месяца назад +1

    umetka iringa huyo

  • @princejonasgeorge5836
    @princejonasgeorge5836 4 месяца назад +10

    Wa Kwanza hapo like Kama zote wakuuu,🙏🙏🙏

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ 4 месяца назад +4

    Nipeni like zangu hapaaaa mwanyaaaaaaaaa

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz 4 месяца назад +1

    😅😅😅😅😅 nimekuerewaaaaaa

  • @nkuxstv7891
    @nkuxstv7891 4 месяца назад +1

    Mwanya apo umetupiga ungetakiwa upigwe tukio kwanza ujue hustling za town zilivyo kwanza Sasa ww unafika town apo apo unatuonyesha umepata msamaria anakuchukua apo apo anakutafutia mishe

  • @octavian54
    @octavian54 4 месяца назад +2

    Kila nikitazama hii move ndio napozidi kuwapa heshima Yao CLAM na KICHECHE kuigiza Ni kazi na kujidhatiti kisawasawa

  • @Fundi_feck4248
    @Fundi_feck4248 4 месяца назад +1

    NOMA SANA

  • @deeonetheginger7011
    @deeonetheginger7011 4 месяца назад +4

    Muwe serious kidogo huo.usiku ni mda wa watu kulala lakn walivyo toka majumban mwao km vile wametoka makazini mfano mwenye kiti kavaa suti kabisa 😷😷😷😷😷

    • @HusseinBizzy
      @HusseinBizzy 4 месяца назад +1

      Kweli kk hawana uhlisia asaa

    • @mrmwanya
      @mrmwanya  4 месяца назад

      Ulikua unataka watoke uchi au

    • @ajmaladam6343
      @ajmaladam6343 4 месяца назад

      Achan nao SI wafanye na wao Kam wanaweza​@@mrmwanya

    • @vellah-op4ut
      @vellah-op4ut 4 месяца назад

      Mbona huku Mombasa ndo twaenda kazi usikuu 😅

    • @deeonetheginger7011
      @deeonetheginger7011 4 месяца назад

      @@mrmwanya Nilicho gunduwa we ni msenge nimejaribu kupitia reply zako unaonekana kabisa hukubali kushauriwa mada faka

  • @EzekiellKingmollel
    @EzekiellKingmollel 4 месяца назад +1

    Apoo kwenyee uchawi angekuwaa ankozala 😅😅wasaidiane na bibichala

  • @Tiwestboy
    @Tiwestboy 4 месяца назад +1

    KAKA HIII KUBWA 🏆2024 Episode 1 mungu akutangulie kwenye safari yako Una baya mkubawaaa📌

  • @Arianaalyy
    @Arianaalyy 4 месяца назад +2

    Broo❤

  • @Twilumba
    @Twilumba 4 месяца назад +1

    Mwanya anafos kupata kazi anakuwa kama anakujua mjin

  • @erickalfaxard3728
    @erickalfaxard3728 4 месяца назад +2

    Kumbe 😂we bwabwa

  • @muniramuhando6303
    @muniramuhando6303 4 месяца назад +2

    Sio poa😂

  • @ZuwenaLandism-ft1lb
    @ZuwenaLandism-ft1lb 4 месяца назад +1

    Good content bro, ila hapo kweny Hiyo seen ya mchawi watu wanatok nyumban kwao na vijora

  • @EnockKenedy-sj4nd
    @EnockKenedy-sj4nd 4 месяца назад +1

    Good job 👏 likes

  • @lynMishy92
    @lynMishy92 4 месяца назад +1

    🔥🔥

  • @angelynboniface8044
    @angelynboniface8044 4 месяца назад +1

    ❤️❤️🔥

  • @EgraLuka
    @EgraLuka 4 месяца назад +1

    Huu moto ni balaa🔥🔥🔥 😂

  • @stoperbenz
    @stoperbenz 4 месяца назад +1

    Digiriiiiiiiiiiiii laisi 😂😂😂😂😂

  • @VeronicaKalinga-r9d
    @VeronicaKalinga-r9d 4 месяца назад +1

    🎉🎉🎉❤

  • @charmingcomedian
    @charmingcomedian 4 месяца назад +1

    Wa kwanza leo wapi like zangu ata moja

  • @ChristophEsking
    @ChristophEsking 4 месяца назад

    Mbona ume Pata kazi kirahisi ovyo alafu ulikuwa naongeya kisela tu 😆😆😆

  • @director_lavvy
    @director_lavvy 4 месяца назад +1

    Dah hii series ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @TinoBoy-z3g
    @TinoBoy-z3g 4 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @Hashim_a12b3c4d
    @Hashim_a12b3c4d 4 месяца назад +1

    Kazi zur ina tufudisha kaka Asante mungu akubariki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @yurry_meh8911
      @yurry_meh8911 4 месяца назад

      Inakufundisha kitu gan ambacho hukujui

    • @yurry_meh8911
      @yurry_meh8911 4 месяца назад

      Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui

    • @yurry_meh8911
      @yurry_meh8911 4 месяца назад

      Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui

    • @yurry_meh8911
      @yurry_meh8911 4 месяца назад

      Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui

  • @marynyota6146
    @marynyota6146 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HamimuMuhammed
    @HamimuMuhammed 4 месяца назад +1

    Bab kubwa 😂

  • @21focus_studio1
    @21focus_studio1 4 месяца назад

    Dah mwanya story ni nzuri sana ila upande wa camera ndo umefeli uyo jinsi anavo shooting bado mgeni ata upande wa light alipo sawa Sasa Fanya kazi nzuri mwanya

  • @IamSifa254
    @IamSifa254 4 месяца назад

    Sanaa imekushinda, katafute kazi ingine ya kufanya,miaka zote izo na bado kama ndio unaanza jana😅, why?

  • @RuwaBoycomedy
    @RuwaBoycomedy 4 месяца назад +1

    JAMANI NENDENI KWENYE ACCOUNT YANGU PIA KUSAPOTI 👏👏

  • @nickdemitychanell
    @nickdemitychanell 4 месяца назад

    Be serious Mr mwanya unaznguwa

  • @MushagalushaMigabo
    @MushagalushaMigabo 4 месяца назад +1

    😅😅😅😅😂😂😂😂

  • @atitwadenis
    @atitwadenis 4 месяца назад

    Nenda ukalime

  • @21focus_studio1
    @21focus_studio1 4 месяца назад

    Ata kwenye color alipo sawa

  • @flaviusflavius3979
    @flaviusflavius3979 4 месяца назад +1

    Asante sana brother mr mwanya

  • @Dielo_tv
    @Dielo_tv 4 месяца назад +1

    👏👏👏👏

  • @YunnusAhmed-vy3cw
    @YunnusAhmed-vy3cw 4 месяца назад +1

    Mwanya wewe nifundi mdogo wang

  • @Comediani_KAMUSWGA97-ix6fl
    @Comediani_KAMUSWGA97-ix6fl 4 месяца назад +4

    Nimesambaza mala 6 naomba like zanguu purz ❤❤❤

  • @EugèneKasereka-b8p
    @EugèneKasereka-b8p 4 месяца назад +1

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ChristopherLucky-m5h
    @ChristopherLucky-m5h 4 месяца назад +1

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦🤗🤗🤗

  • @modex_0376
    @modex_0376 4 месяца назад +9

    Wa kwanza Leo naomba like zenu Tafadhalii Kutoka kenya❤

  • @yurry_meh8911
    @yurry_meh8911 4 месяца назад +3

    Bado anafel ktk maudhui

    • @VicentMkude
      @VicentMkude 4 месяца назад

      Mr mwanya anachakujifunza kutoka Kwa clam

  • @DominickKanyata
    @DominickKanyata 4 месяца назад +2

    Bonjour @mr mwanya 🙌🙌tunasubir trending

  • @richardjackson1773
    @richardjackson1773 4 месяца назад +4

    Mr mwanywa komasavaaaa 🎉

  • @BIGSTAROGTZ
    @BIGSTAROGTZ 4 месяца назад +3

    Nice

  • @donatussimon3712
    @donatussimon3712 4 месяца назад +3

    Bro mwanya jaribu kutofautosha kai ya Movie n Comedy....JARIBU KUWA SERIOUS KIDOGO...story ni nzuri ila movie haina mvutoo🏃‍♂️

    • @mrmwanya
      @mrmwanya  4 месяца назад

      Tupishe sasa sio lazima 🎉

    • @NuruFreddy
      @NuruFreddy 4 месяца назад

      😂😂😂😂 hatariii

    • @Robertkichembu
      @Robertkichembu 4 месяца назад

      Mbona mwanya unarecord muvi kama huna director

    • @donatussimon3712
      @donatussimon3712 4 месяца назад

      @@mrmwanya Shida hutaki kujifunza😢 Bro unajua Sanaa Tena Sanaa ila feedback ni muhimu maana sisi ndio watazamaji tunaokuangalia kaka...Zingatia feedback za watu na ufanye changes👋

  • @JumanyaNgonyani
    @JumanyaNgonyani 4 месяца назад +3

    Tuko pamoja

  • @ashrakswaleh2116
    @ashrakswaleh2116 4 месяца назад +1

    mr mwanya bora baki zko tiktok tu uwendelee na content zko ila kweny movie bdo sn mkuu scene 1 dk 6 duh u a not serious

  • @wizzmoh
    @wizzmoh 4 месяца назад +4

    Kazi nzuri

  • @villamuzic
    @villamuzic 4 месяца назад +1

    episode 1 ilkuwa sawa ila ya pili mumezingua.siku ya kwanza kukutana mnakaa mnajuwana aaai

  • @emmanuelibrahim4556
    @emmanuelibrahim4556 4 месяца назад +1

    Muvi ni ya sryaz lakini watu wenyewe 😅 acha tu tuvumilie😂

  • @teMohmamboleo
    @teMohmamboleo 4 месяца назад +6

    Atakama mimi ni wamwisho ku Comment. Nipe ata like moja tu ! Nitashukuru ❤

  • @zachariakitila
    @zachariakitila 4 месяца назад +1

    Mbona kila seen ni usiku tu mwanya nini shida

  • @Mubarakaashim
    @Mubarakaashim 4 месяца назад +2

    😂😂😂😂

  • @Msonjo_khan
    @Msonjo_khan 4 месяца назад +1

    Another one best series 🔥🔥🔥

  • @Jofuboy
    @Jofuboy 4 месяца назад +1

    Ila mwanya 😂😂😂😂😂😂

  • @nyakungaonlinetv
    @nyakungaonlinetv 4 месяца назад +1

    Mv niusikukeausuiku au bean mr mwany

  • @AllyKhamisi-wb2vv
    @AllyKhamisi-wb2vv 4 месяца назад +1

    We mwanya unashoot movie usiku tuu

  • @Juliana-gx5ok
    @Juliana-gx5ok 4 месяца назад +1

    Good job❤

  • @Mubarakaashim
    @Mubarakaashim 4 месяца назад +1

    😂😅😅😅😅😅😅😅

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 4 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @Twilumba
    @Twilumba 4 месяца назад +1

    Riii8iiii

  • @Spagles
    @Spagles 4 месяца назад +1

    Hamuwezagi kuwa seriously 😂😂😂😂😂

  • @osimtawa5392
    @osimtawa5392 4 месяца назад +1

    Siku mbaya kazini 🎉🎉🎉🎉 Mr bonjour 🙌🙌🙌🙌

  • @deeonetheginger7011
    @deeonetheginger7011 4 месяца назад

    Mr pengo we ni msenge kama wasenge wengine

  • @singledimpozempire
    @singledimpozempire 4 месяца назад +1

    KAZI NZURI ILA BADO STORY HAI SISIMUI KAKA TUNA ITAJI KITI BEST

    • @mrmwanya
      @mrmwanya  4 месяца назад

      Kiti si ni kkoo jmn au

  • @DastanKenedy
    @DastanKenedy 4 месяца назад +1

    Huja wahikukoosea❤❤❤