Mwanya apo umetupiga ungetakiwa upigwe tukio kwanza ujue hustling za town zilivyo kwanza Sasa ww unafika town apo apo unatuonyesha umepata msamaria anakuchukua apo apo anakutafutia mishe
Muwe serious kidogo huo.usiku ni mda wa watu kulala lakn walivyo toka majumban mwao km vile wametoka makazini mfano mwenye kiti kavaa suti kabisa 😷😷😷😷😷
Dah mwanya story ni nzuri sana ila upande wa camera ndo umefeli uyo jinsi anavo shooting bado mgeni ata upande wa light alipo sawa Sasa Fanya kazi nzuri mwanya
@@mrmwanya Shida hutaki kujifunza😢 Bro unajua Sanaa Tena Sanaa ila feedback ni muhimu maana sisi ndio watazamaji tunaokuangalia kaka...Zingatia feedback za watu na ufanye changes👋
Ata Kama mimi ni wa mwisho nyoneyeni huruma basi ata like 👍 moja za upendo tu ❤️❤️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ww c wakiume kabsa mzee like za nn sasa!
Congo tous jour likolo Mr mwanya courage ❤❤
Kaitwa na mzee wa ndogo😂😂😂
Kazi safi sana
Mr mwanya nahomba like mm wa 9
Wakwanza depuis DRC❤
Well job mwanya mwenyezi Mungu akutangulie katika fani yako brother
Nimechelewa jamani ila naomaba na mm like zangu
Nakubali sana mr mwanya
Ni 🔥 kazi kazini❤
Mwamuzi nimekuona rfk angu popote ulpo jibu comment hii basi 😊Tosa fam👏👏
Familia😊
@@iam_mwamuzi nimekuona unamuwashia moto mchawi 😂😂😂
Boss wangu anataka kazi ya kuhesabu ela🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂 apo mwishoni Sasa ndo changamoto iyo tunasema kubababake
Bien sana 🇨🇩🇨🇩
Good job, from London UK🇦🇺
Hamko serious mtu kakutana nae usku mmoja ushampelka kazn hamko serious na hii movie
Yaan afu mwanya anaongea kiutan muda wote 😂😂😂😂😂😂
haikupangwa poah ucommedy n mwingi sana nlitaragia mwanya kuwa serious after kutoka kijijin na anaanza u@@cristaezekiel1036
Yani hajamaliza hata kuongea eti ingiya kwenye gari 🥲
Apo saf unyama sana 🎉🎉
Mr mwanya bado ayuko siliazi mana wahusika wote walio shiriki katika hii movie hawako siliazi kabisa yan wanafanya movie kuwa mbaya
Jmaaaa hyupo serious , kuna shmu znhtaj awe serious yy anznguaa dah , mwanya series bdo jfunze kwa clam vivo Yan bdo kbsaaaa apa Hmna ktu
Mwanya😅
Mr mwanya Abu kuwa serious ukicheza serious iyi movies itafika mbali Acha ukiomba KAZI huwezi kuweka vichekesho baba
Kunipangia ndio kitu huwezi 🎉
Tatizo lako jeuri shenzi wewe,hauko serious kwenye upande wa kuongea mzee
Ukiwa mjuaji sana huwezi fika mbaLi kuwa serious kwenye kuongea sio unalazimisha kuchekesha
Movie haifundishi ki2 ety atoke bushi afike Mjini aanze kuwazoea zoea watu bila connection 😄😄 movie mbayaaa
😂😂😂
Jamani mwanya 🤣🤣 weweunatafuta kazi yauraisi balabalani? WE mwehu kabisa ,🤣🤣
Mwanya hebu kua seriously kwenye hiii movie utafk mbali
Naomba brother mwanyaa uwe sereos mbona unajua ndugu yangu
Mr Mwanya Umekutana na Mzee wa chochote kitu😂😂
Wakwanza kwa mr mwanya kutoka Katoro geita naomba
hata laiki 20t❤😢😢😢😮
Huzipati n’gooo
Good 🎉🎉🎉🎉🎉
Mwanya 😂😂😂😂😂
Wabongo mnapenda kitonga hadi kwny kuongea khaa!!🤣🤣
Let's focus on this boss
Hahaha mwenyekiti anasema wanawake wa hapa maji yamejaa hawaolewi duuh 😂😂hapa umenichekesha wachawi wabaya
Lengo nipate erraa😂😂😂🎉🎉 SW baba Mia Mia wauweee 🎉🎉🎉 nime❤ iyoo
SHANTER nimeona mmetisha
umetka iringa huyo
Wa Kwanza hapo like Kama zote wakuuu,🙏🙏🙏
Nipeni like zangu hapaaaa mwanyaaaaaaaaa
😅😅😅😅😅 nimekuerewaaaaaa
Mwanya apo umetupiga ungetakiwa upigwe tukio kwanza ujue hustling za town zilivyo kwanza Sasa ww unafika town apo apo unatuonyesha umepata msamaria anakuchukua apo apo anakutafutia mishe
Kila nikitazama hii move ndio napozidi kuwapa heshima Yao CLAM na KICHECHE kuigiza Ni kazi na kujidhatiti kisawasawa
NOMA SANA
Muwe serious kidogo huo.usiku ni mda wa watu kulala lakn walivyo toka majumban mwao km vile wametoka makazini mfano mwenye kiti kavaa suti kabisa 😷😷😷😷😷
Kweli kk hawana uhlisia asaa
Ulikua unataka watoke uchi au
Achan nao SI wafanye na wao Kam wanaweza@@mrmwanya
Mbona huku Mombasa ndo twaenda kazi usikuu 😅
@@mrmwanya Nilicho gunduwa we ni msenge nimejaribu kupitia reply zako unaonekana kabisa hukubali kushauriwa mada faka
Apoo kwenyee uchawi angekuwaa ankozala 😅😅wasaidiane na bibichala
KAKA HIII KUBWA 🏆2024 Episode 1 mungu akutangulie kwenye safari yako Una baya mkubawaaa📌
Broo❤
Mwanya anafos kupata kazi anakuwa kama anakujua mjin
Kumbe 😂we bwabwa
Sio poa😂
Good content bro, ila hapo kweny Hiyo seen ya mchawi watu wanatok nyumban kwao na vijora
Good job 👏 likes
🔥🔥
❤️❤️🔥
Huu moto ni balaa🔥🔥🔥 😂
Digiriiiiiiiiiiiii laisi 😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉❤
Wa kwanza leo wapi like zangu ata moja
Mbona ume Pata kazi kirahisi ovyo alafu ulikuwa naongeya kisela tu 😆😆😆
Dah hii series ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤
Kazi zur ina tufudisha kaka Asante mungu akubariki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Inakufundisha kitu gan ambacho hukujui
Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui
Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui
Inakufundisha kitu gan ambacho hukijui
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bab kubwa 😂
Dah mwanya story ni nzuri sana ila upande wa camera ndo umefeli uyo jinsi anavo shooting bado mgeni ata upande wa light alipo sawa Sasa Fanya kazi nzuri mwanya
Sanaa imekushinda, katafute kazi ingine ya kufanya,miaka zote izo na bado kama ndio unaanza jana😅, why?
JAMANI NENDENI KWENYE ACCOUNT YANGU PIA KUSAPOTI 👏👏
Be serious Mr mwanya unaznguwa
😅😅😅😅😂😂😂😂
Nenda ukalime
Ata kwenye color alipo sawa
Asante sana brother mr mwanya
👏👏👏👏
Mwanya wewe nifundi mdogo wang
Nimesambaza mala 6 naomba like zanguu purz ❤❤❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇿🇦🇿🇦🇿🇦🤗🤗🤗
Wa kwanza Leo naomba like zenu Tafadhalii Kutoka kenya❤
Bado anafel ktk maudhui
Mr mwanya anachakujifunza kutoka Kwa clam
Bonjour @mr mwanya 🙌🙌tunasubir trending
Mr mwanywa komasavaaaa 🎉
Nice
Bro mwanya jaribu kutofautosha kai ya Movie n Comedy....JARIBU KUWA SERIOUS KIDOGO...story ni nzuri ila movie haina mvutoo🏃♂️
Tupishe sasa sio lazima 🎉
😂😂😂😂 hatariii
Mbona mwanya unarecord muvi kama huna director
@@mrmwanya Shida hutaki kujifunza😢 Bro unajua Sanaa Tena Sanaa ila feedback ni muhimu maana sisi ndio watazamaji tunaokuangalia kaka...Zingatia feedback za watu na ufanye changes👋
Tuko pamoja
mr mwanya bora baki zko tiktok tu uwendelee na content zko ila kweny movie bdo sn mkuu scene 1 dk 6 duh u a not serious
Kazi nzuri
episode 1 ilkuwa sawa ila ya pili mumezingua.siku ya kwanza kukutana mnakaa mnajuwana aaai
Muvi ni ya sryaz lakini watu wenyewe 😅 acha tu tuvumilie😂
Atakama mimi ni wamwisho ku Comment. Nipe ata like moja tu ! Nitashukuru ❤
Mbona kila seen ni usiku tu mwanya nini shida
😂😂😂😂
Another one best series 🔥🔥🔥
Ila mwanya 😂😂😂😂😂😂
Mv niusikukeausuiku au bean mr mwany
We mwanya unashoot movie usiku tuu
Good job❤
😂😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Riii8iiii
Hamuwezagi kuwa seriously 😂😂😂😂😂
Siku mbaya kazini 🎉🎉🎉🎉 Mr bonjour 🙌🙌🙌🙌
Mr pengo we ni msenge kama wasenge wengine
KAZI NZURI ILA BADO STORY HAI SISIMUI KAKA TUNA ITAJI KITI BEST
Kiti si ni kkoo jmn au
Huja wahikukoosea❤❤❤