Sisi wehusi Mungu ni mukiswahili,mu kibembe ni Abeca Pu'ungu wa bobasha ,wa bukechi wa lo'undo mu kikongo Nzambi a M'pungu Tulendo, mu lingala nzambe akongo mongal mu kirundi kinyarwanda imana,rurema,wasukuma,wazaramo waha etc wana namna wanamuhita Mungu mu lugha zawo. allah adamu eva god dieu siyo mila desturi Sio ya culture yetu ,muzungu na mwarabu ni mkubwa na mdogo kwa hiyo hatuwezi kufunzwa kuhusu mungu na hawo watu ,sisi mababu zetu walizungumuza na Mungu kila siku sisi wajukuhu yawo njoo tumepoteza yote juhu tumehambatana na ujinga wawazungu na waharabu.
Eva na adamu ni wazungu piya kwa machotara waarabu wanadayi adamo na hawa, wale watu na wazazi wa kwanza wa wazungu . Siyo wasisi watu wehusi black race ,sisiwehusi kila labila mu afilika inamuhita mulugha yake ila siyo mulugha ya kiaharabu .allah ni waharabu god ni wangereza ,
Kaz mzur san
Wanawake jaman tupunguzen fitna ktk family za watu....tumejifunza shukuran zenu za dhati kwenu ❤❤❤❤
Saf saf saf sanaaaaan bonge la Kaz
Kichwa somo Kama miye ningekipa jina la WANAWAKE
Mwamke mchimvi , mchonganishi.mchawi muhuwaji mwongo.
Sisi wehusi Mungu ni mukiswahili,mu kibembe ni Abeca Pu'ungu wa bobasha ,wa bukechi wa lo'undo mu kikongo Nzambi a M'pungu Tulendo, mu lingala nzambe akongo mongal mu kirundi kinyarwanda imana,rurema,wasukuma,wazaramo waha etc wana namna wanamuhita Mungu mu lugha zawo.
allah adamu eva god dieu siyo mila desturi Sio ya culture yetu ,muzungu na mwarabu ni mkubwa na mdogo kwa hiyo hatuwezi kufunzwa kuhusu mungu na hawo watu ,sisi mababu zetu walizungumuza na Mungu kila siku sisi wajukuhu yawo njoo tumepoteza yote juhu tumehambatana na ujinga wawazungu na waharabu.
Me nimejifunza k2 ap nikuwa aturuusiwi kumwamin mwana mke kwa kila k2
Eva na adamu ni wazungu piya kwa machotara waarabu wanadayi adamo na hawa, wale watu na wazazi wa kwanza wa wazungu . Siyo wasisi watu wehusi black race ,sisiwehusi kila labila mu afilika inamuhita mulugha yake ila siyo mulugha ya kiaharabu .allah ni waharabu god ni wangereza ,
Masha Allah Masha Allah Tabbarak Rahman 🤲❤❤❤
Nasuu umecheza mbaya from kenya
Uuuwi kwasababu ni igizo viginevyo mh sijui
Mko vzur Sana nimependa
Maasha Allah Mko Vizuri Kimasunzo Mungu Awaongoze Mfike Mbali Insha Allah Ssi Wanawake Bwana 😂😂😂😂
Eti mnafiki uyu mko vizuli Sananakaziyenu ongera Sana washilikiwote
Me najuwa hiyo ni move 2 mwanaume ndo mujinga sikilakitu umwambie mke
Duu tam iyo mpigaji anasema Shem kanipiga 😭😭😭
Hahhah kaz8 nzur mweee nawapenz nyie watu
Jamani. Mmeweza Nzuri sana mov
" mwanamke hatari huyo!!
Nzuri sana
🇰🇪🇰🇪🇰🇪😛
Kazi nzuri
Nice
Mwnamke kma hyo nkidhabidhabina mkubwa n kuchongansh family kwke n rahisi xna