Hivi ninyi wachambuzi hata aibu huwa hakuna. Timu mbovu ni simba na yanga ni kila kitu kwenu. Mnatia kichefuchefu sana na hii inadhihirisha mnasumbuliwa na mgongano wa kimaslahi hamfai kuwa wachambuzi hata kidogo. Tumewachoka bakini na yanga yenu.
Kwani wachambuzi wanakuwa Kama wapiga ramli? Kwani ni lazima kuifananisha yanga na Simba? Kwani hao Azam nap so ni wachezaji wapya? Na kwani Simba mliwaita wazee na Yanga akina pakome so ni pancha mbona hamsemi? Tukiinua vijana mnalalama Bora lipi Sasa? Nyie yanga wachambuzi uchwara.
Nilifulai nikiwa simba nalia nikiwa simba ila siami simba mana mm nisimba ilove you simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤ I love you simba
Simba ya MAUAJI🔥🔥
Mchambuzi yanga
Hii timu inahitaji muunganiko
Simba bingwa2025
Hii Simba me mwenyew YANGA lkn naogopa 😅😅
Huu mwaka yani mpaka mseme simba sports club
Yusuph kagoma mnamsahau
Kumbuka pia umri wao! Kadri umri unavyosonga ndivyo pia na viwango vinavyopanda
Kwel kabisa
Sio kweli
Hivi ninyi wachambuzi hata aibu huwa hakuna. Timu mbovu ni simba na yanga ni kila kitu kwenu. Mnatia kichefuchefu sana na hii inadhihirisha mnasumbuliwa na mgongano wa kimaslahi hamfai kuwa wachambuzi hata kidogo. Tumewachoka bakini na yanga yenu.
Mmmh, wameongea nn kibaya hapo?
Mbona Kama umeanza kuogopa? 😂😂😂
wewe ludi tena uxome iyo Awana baya lolote wachambuzi ila we uwe nahaibu ndokaziyao iyo mbwa ww
Kwani wachambuzi wanakuwa Kama wapiga ramli? Kwani ni lazima kuifananisha yanga na Simba? Kwani hao Azam nap so ni wachezaji wapya? Na kwani Simba mliwaita wazee na Yanga akina pakome so ni pancha mbona hamsemi? Tukiinua vijana mnalalama Bora lipi Sasa? Nyie yanga wachambuzi uchwara.
Naipeda cimba maadalizmema
naaiman tutaweza msimu huu tunaua
Msimu ujao watajuta 😂😂😂
Mimi ni mwanasimba ila yanga bado wapo juu
Juu ya kifua chako ?
Msimu ujao bado yanga bingwa
Nyie Uyanga mtupu