😳DUH! HII NDO SIMBA MPYA! INATISHA! KIKOSI CHA MAUAJI MSIMU HUU!!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 24

  • @eneamwaipopo8849
    @eneamwaipopo8849 3 месяца назад +2

    Nilifulai nikiwa simba nalia nikiwa simba ila siami simba mana mm nisimba ilove you simba❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ProsperFloridi
    @ProsperFloridi 3 месяца назад +6

    ❤❤❤❤ I love you simba

  • @tanashatweet3292
    @tanashatweet3292 3 месяца назад +6

    Simba ya MAUAJI🔥🔥

  • @SalumSalehe-c8e
    @SalumSalehe-c8e 3 месяца назад +2

    Mchambuzi yanga

  • @MafanikioAmani
    @MafanikioAmani 3 месяца назад +6

    Hii timu inahitaji muunganiko

  • @FaridaMwamlima
    @FaridaMwamlima 3 месяца назад +2

    Simba bingwa2025

  • @Cristiano.UR123
    @Cristiano.UR123 3 месяца назад +5

    Hii Simba me mwenyew YANGA lkn naogopa 😅😅

  • @nebisoni1234
    @nebisoni1234 3 месяца назад +5

    Huu mwaka yani mpaka mseme simba sports club

  • @michaelmwaijande2561
    @michaelmwaijande2561 3 месяца назад +5

    Yusuph kagoma mnamsahau

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 3 месяца назад +6

    Kumbuka pia umri wao! Kadri umri unavyosonga ndivyo pia na viwango vinavyopanda

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 3 месяца назад +10

    Hivi ninyi wachambuzi hata aibu huwa hakuna. Timu mbovu ni simba na yanga ni kila kitu kwenu. Mnatia kichefuchefu sana na hii inadhihirisha mnasumbuliwa na mgongano wa kimaslahi hamfai kuwa wachambuzi hata kidogo. Tumewachoka bakini na yanga yenu.

    • @MafanikioAmani
      @MafanikioAmani 3 месяца назад

      Mmmh, wameongea nn kibaya hapo?

    • @JaydanJohn-b4x
      @JaydanJohn-b4x 3 месяца назад

      Mbona Kama umeanza kuogopa? 😂😂😂

    • @eneamwaipopo8849
      @eneamwaipopo8849 3 месяца назад

      wewe ludi tena uxome iyo Awana baya lolote wachambuzi ila we uwe nahaibu ndokaziyao iyo mbwa ww

  • @JohnTendwa-gn1nl
    @JohnTendwa-gn1nl 3 месяца назад +2

    Kwani wachambuzi wanakuwa Kama wapiga ramli? Kwani ni lazima kuifananisha yanga na Simba? Kwani hao Azam nap so ni wachezaji wapya? Na kwani Simba mliwaita wazee na Yanga akina pakome so ni pancha mbona hamsemi? Tukiinua vijana mnalalama Bora lipi Sasa? Nyie yanga wachambuzi uchwara.

  • @HamisiMussa-s8u
    @HamisiMussa-s8u 3 месяца назад +2

    Naipeda cimba maadalizmema

  • @DenisRwekaza
    @DenisRwekaza 3 месяца назад +2

    naaiman tutaweza msimu huu tunaua

  • @JaydanJohn-b4x
    @JaydanJohn-b4x 3 месяца назад +1

    Msimu ujao watajuta 😂😂😂

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 3 месяца назад +4

    Mimi ni mwanasimba ila yanga bado wapo juu

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 3 месяца назад +4

    Msimu ujao bado yanga bingwa

  • @JumamkuulaMkuula
    @JumamkuulaMkuula 3 месяца назад +2

    Nyie Uyanga mtupu